MWL, CHRISTOPHER MWAKASEGE: SEMINA YA NEO LA MUNGU KAHAMA DAY 2 [TAR 12 MEI 2023]
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024
- SOMO:-
"ASICHOTAKA SHETANI UKIFAHAMU JUU YA KUKETI KWAKO PAMOJA NA YESU"
.................................................................................................................
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
PIA UNAWEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE
Barikiwa mtumishi wa Muñgu Muñgu awape maisha ya amani katika utumishi wenu
Umenigusa sana kuhusu somo la jana la sadaka kufunga kesho ya mtu ni kweli kbs nimekuwa nikijiuliza maswali mengi kwenye maisha yangu kumbe kunamahali wametoa sadaka kufunga maisha yangu ,Namba kwenye luninga hazionekani vizuri
Ameeen kubwaaaa sana.
Is there a way to order books online?
MUNGU akutunze na akubariki baba
Amen
Ukiona wazo linakuja ndani yako then badala ya kuboresha tumaini la kesho lkn linaua ujue hilo siyo wazo la Kristo/Mungu
Nipo live kahama Nabarikiwa na Huduma hii
Amen
Sifa na shukran kwa Allah..!!?...Kenya...watamu.
Mimi niko misungwi lakini nabarikiwa kuliko kwa viwango vya juu sana MUNGU ni mwema sana.
Amen
Ameeen, barikiwa sana
natamani sana kupata vitabu hivi mtandaoni
Amen
Mungu azidi kukutumia Kama alivyokuchagua,Asikupungukie
Nikitaka kitabu nitapataje
Amen
Nakuelewanga baba
Amina
Ameni
Amenn barikiwa sana mtumishi wa Mungu najiunganisha na familiya yangu yote na madhabau hii kwa damu ya YESU
Amen 🙏🙏 niponanye E Mungu usinipite utakapongusa wegine naminiwemo
Amen
Amen
Amen 🙏🙏
THIS IS DEEP
Amen sana Mungu azidi kuapigania
Nabarikiwa sana kwa neno
Waooo Mama Utukufu kwa Mungu mkuu ,
lakini hao Wamama wafundishwe kuvua Mapambo hiyo ni roho ya yezebeli tukubali kubaki kama tulivyoubwa Inapendeza
❤
Thanks Jesus
Eeh MUNGU Tusaidie Kuendelea na Masomo Type Kibali Chako Chakuendelea na fungua UCHUMI Wa Familia
Amjambo
Nawasikia vizuri sana toka Bagamoyo pwani YESU kristo awatunze watumishi wa MUNGU
Kristo Yesu atujalie kufunguka masiko ya Rohoni ili tupate kupona
Naomba niunganishe sadaka yangu na jina na Briyan unaona wng wa kwanza na vifungo vikivyoekwa kwa familia yangu ndugu zangu wapate kupona mtoto wangu apate ufahamu Ameen
Bwana Yesu Kristo nitafakarishe na kunishika mkono kwaajiri ya wokovu ulioweka ndani yangu na uzao wangu na wazazi wangu na uzao wa mamaangu. Damu yako agano iliyomwagika msalabani inene mema kwaajiri ya uzao wa tumbo la mamaangu katika jina la Yesu Kristo aliyehai. Amen
Amen Amen mtumishi wa Bwana Mungu akubariki
Vijana wenzangu cheza!!
Bibi anapenda ujana huyu
Sijawahi ona Wala kusikia😂😂.
Aminaaaaaa sanaaaaa mtumishi
Amen
Najiunganisha na Ibada hii Bwana Yesu naomba Rehema zako na hekima Amen 🙏.
Amen
Nampenda yesu❤
real mwakasege ni mwl God's bless
Amen 🙏🙏🙏
Ameeeeni baba YANGU
Hallelujah