SALAMA - Vitali Maembe
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 ม.ค. 2019
- Vitali Maembe ni mwanamuziki kutoka Tanzania ambaye muziki wake umejaa sauti za Afrika.
Mwakilishi wa jamii. Maembe ni mbunifu kwenye mashairi yake - maandishi ya nyakati maneno yanayoakisi maisha ya kisiasa na kijamii katika Afrika.
Salama ni wimbo unaoeleza maisha ya mtunzi na kuonyesha shukurani na tamanio katika maisha.
Kutoka katika santuri ya CHANJO YA RUSHWA.
Furahia!
Vitali Maembe is a Tanzanian musician whose music has traditional African sounds.
A social commentator, Maembe is very articulate in his poetry - the writings of time; the words that reflects mostly Political and social happenings in Africa.
Salama is a self-depict song that has writer express aspiration and gratitude towards life.
Taken from the album CHANJO YA RUSHWA.
Enjoy!
Huu wimbo naukumbuka ulitumbuiza siku ya kigoda cha mwalimu pale mlimani.Wanaokubali wanaweza kugonga like zao hapa chini,Vital usisahau kutumia ule wimbo wa HIMA au kino
Asante!
@@vitalimaembe76 Hongera Sana unaimba vema sanaaa!
Mungu akupe Maisha Malefu,Mwenyezi Mungu Pekee ndiye anaweza kukulipa kwa jinsi unavojitolea kuisemea Tz,Pamoja na Magumu unayopitia kutokana na Mashairi yako
Wewe sasa tukuite BABU KIDUDE 🎉🎉🎉
Akili kubwa, kipaji cha uandishi na upigaji….Unaitumia pumzi yako vyema….Harakati ziendelee na ni maombi yangu wazaliwe wakina Vitali wengi……Nakuombea maisha marefu yenye mafanikio ili uendele kuvitumia vema hivyo vyako viungo👏👏👏
Asante sana Prochess!
Ni faraja sana kwangu kupiga muziki kwa ajili yako.
Yan vitali napata raha sana kuckiliza nyimbo zako Mungu akupe afya njema na hekima zaid
Nimesikia kwa mara ya kwanza leo kwenye basi nikabidi niutafute sana..
Mungu akubariki sana.
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌.
Izo ndio nyimbo basata wanazipiga marufuku uku wanaruhusu nyimbo za matusi zikipigwa redioni na kwenye television big_up matembe tuko pamoja mpaka mwisho
Best of Vitali Maembe potraying true African music andcultural heritage. Kazi nzuri sana Vitali, nikija Bagamoyo nitakuona
Asante, karibu Bagamoyo.
Kazi nzuri sana Vitalis. Siku unafanya show zako mahali popote Tanzania nijilishe nije kona live Music
Mpaka leo july 2020 tuna Skiliza
I heard this song in a show from ITV years back been looking for it ever since, only found it after news of this guy's arrest started spreading
Together We Stand!✊
'Like', 'Share' and 'Subscribe'!! - Vitali Maembe TV
Link: th-cam.com/users/vitalimaembeTV
Nakubali San nyumbo za zamani
Moja ya wasanii wachache sana ninao jivunia Tanzania, ahsante sana kwakuchagua unachokifanya Vitalis, mana kupitia wewe nakua inspired na kugundua ninachokimisi back home. Naomba unielekeze jinsi ya kununua CD zako kaka. Nahitaji sana.
Fuatilia kwenye link hizo hapo chini.
Asante!
twitter.com/vmaembe
facebook.com/vitali.maembe
instagram.com/vitalimaembe
soundclick.com/vitalimaembe
reverbnation.com/vitalimaembe
Sauti hii naifananisha na sauti ya Fundi Konde, hongera sana Vitali Maembe
Asante!
Unajua muziki mzuri. 🙏🏾
Msanii wa umma
Ninashukuru!
Km nakosa kitu cha kuikumbuka bagamoyo bc huwa natafuta nyimbo zako tu nasikiliza najikuta najiambia mkataa kwao ni mtumwa najivunia bagamoyo najivunia we we maembe jah bless u live longer
Karibu sana Ally!
Wakumbushe wengine pia. Na uwalete hapa kwenye hii chaneli wapate burudani.
One of the best song EVER and one Of MANJU all-time favorite
Nitakuja Bagamoyo na nitafanya hima nimuone Vitali Maembe
Karibu sana!
Nyimbo zako anasikiliza kila lika kaka hongera kipaji cha kipekee
Ww mzee nakukubali sana
Huyu ndiye Vitali Maembe ninae mjuwa mimi
Kwani wengine hawamjui?
hujamuonesha hapa aliye piga solo du, kafanya kazi nzuri sana
Fundi 💥💥💥💥
Kaka kazi mzuri sana sichoki kuisikiliza
Mziki mzuri nakukubali mnoo
Asante sana!
Kazi nzuri sana Vitalis
nakupenda hadi naumwa. huu ndio muziki haswaaa
Asante sana Fidia!
Namkubali sanaaa
Mziki Mzuri sana
Asante sana!
mziki mzur
kazi nzuri
🔥🔥
💣🔥
Vitalis naitafuta ile nyimbo yenye maneno yafuatayo -"nimetandika majamvi nimetandika nje
Inaitwa "MAJAMVI". Asante!
Kazi nzuri Vitali Maembe
Asante Allan!
Asante Vitali. Upload audio za kutosha kwa ajili ya mashabiki
Asante kwa wazo hilo.
Nazipatajr nyimbo zako kaka
Best Swahili song I ever heard, he is an activist singer.. very proud of yot
Thank you Frank Wambura.
Be blessed! 🙏🏾
Big music! Safi ndgu M'mungu akujalie uendelee kutupa burudani
Amina.