ASSAALM ALAYKUM WARAHMATULLAH WABARAKATU MIMI Nawanasihi Waislam Wenzangu UTULIVU UPO KWA KUMTEGEMEA ALLAH ILA UKIANZA TU KUFATILIA MAMBO YA NYOTA YAKO CJUI PUNDA CJUI NG'E HUFANYI KITU BILA KUPIGA RAMLI MALA NANI KAKUROGA JAMN NDUGU ZANGU KWA MGANGA HUMALIZI NG'O KILA CKU UTAENDA NA JIPYA NA UTAMUONA HUYO MGANGA WAKO NDO MAISHA YAKO YA RABBI TUPE MWISHO MWEMA
Mungu mrehemu shekhe nassoro bachu kwa kutuachia ostazi uyu anae ushughulikia uslam yani anamsimamo kama swahaba omari ishallh mung akulinde na fitma brother tupo pamoya
Assalam alaikum "OMBI OMBI OMBI" shekhe maeneo ya soko la mwanakwerekwe pembeni ya mskiti wa sokoni kuna watu wanakuja wanadai kuuza dawa lakini wanatumia uchawi. wanadai wanaweza kubadilisha uume wa mtu ukawa uke. Cha kusikitisha ni kwamba watu wengi huwazongea na kuwasikiliza na hata kununua dawa zao naomba uje mskiti wa sokoni ulizungumzie jambo hili mana hawa watu wanapata wafuasi kila siku.
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّمَا الْخَمْرُ وَالْمَيْسِرُ وَالْأَنصَابُ وَالْأَزْلَامُ رِجْسٌ مِّنْ عَمَلِ الشَّيْطَانِ فَاجْتَنِبُوهُ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ ﴿٩٠﴾ 90. Enyi walioamini! Hakika pombe na kamari na masanamu na kutazamia kwa mishale ya kupigia ramli; ni unyaa na chukizo kutokana na kitendo cha shaytwaan; basi jiepusheni navyo, mpate kufaulu.[10]
Na tena kuna wengine miongoni mwa wanaojifanya wanatibu watu kwa kufuata sunna wanafanya hayo na kupoteza waisilam wasiosoma. Kuna mmoja nilimwambia mm km mambo hayo ya nyota hayafai ni ushirikina.
Km huku nje utamkuta mtu anapeleka kiganja chake cha mkono kinatizamwa...yote ni mambo ya kishirikina. Mpaka yale magazeti yanayoandika nyota pia...Nakumbuka zamani tulikua tunakatazwa lkn siku hzi watu wamevamia kila kitu wanaona sawa tu.
@@Muhammad_Nassor_Bachu_. يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّمَا الْخَمْرُ وَالْمَيْسِرُ وَالْأَنصَابُ وَالْأَزْلَامُ رِجْسٌ مِّنْ عَمَلِ الشَّيْطَانِ فَاجْتَنِبُوهُ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ ﴿٩٠﴾ 90. Enyi walioamini! Hakika pombe na kamari na masanamu na kutazamia kwa mishale ya kupigia ramli; ni unyaa na chukizo kutokana na kitendo cha shaytwaan; basi jiepusheni navyo, mpate kufaulu.[10] Anae bisha na abishe sasa wape elimu hao
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّمَا الْخَمْرُ وَالْمَيْسِرُ وَالْأَنصَابُ وَالْأَزْلَامُ رِجْسٌ مِّنْ عَمَلِ الشَّيْطَانِ فَاجْتَنِبُوهُ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ ﴿٩٠﴾ 90. Enyi walioamini! Hakika pombe na kamari na masanamu na kutazamia kwa mishale ya kupigia ramli; ni unyaa na chukizo kutokana na kitendo cha shaytwaan; basi jiepusheni navyo, mpate kufaulu.[10]
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّمَا الْخَمْرُ وَالْمَيْسِرُ وَالْأَنصَابُ وَالْأَزْلَامُ رِجْسٌ مِّنْ عَمَلِ الشَّيْطَانِ فَاجْتَنِبُوهُ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ ﴿٩٠﴾ 90. Enyi walioamini! Hakika pombe na kamari na masanamu na kutazamia kwa mishale ya kupigia ramli; ni unyaa na chukizo kutokana na kitendo cha shaytwaan; basi jiepusheni navyo, mpate kufaulu.[10]
ASSAALM ALAYKUM WARAHMATULLAH WABARAKATU MIMI Nawanasihi Waislam Wenzangu UTULIVU UPO KWA KUMTEGEMEA ALLAH ILA UKIANZA TU KUFATILIA MAMBO YA NYOTA YAKO CJUI PUNDA CJUI NG'E HUFANYI KITU BILA KUPIGA RAMLI MALA NANI KAKUROGA JAMN NDUGU ZANGU KWA MGANGA HUMALIZI NG'O KILA CKU UTAENDA NA JIPYA NA UTAMUONA HUYO MGANGA WAKO NDO MAISHA YAKO YA RABBI TUPE MWISHO MWEMA
Haya ni mambo kwa Sasa ni mengi mno mpaka mtu akienda kusali msikitini kwanza anapiga ramli Allah akuhifadh ww pamoja nasi
Mungu mrehemu shekhe nassoro bachu kwa kutuachia ostazi uyu anae ushughulikia uslam yani anamsimamo kama swahaba omari ishallh mung akulinde na fitma brother tupo pamoya
Amiini
Mungu akubariki sana nakupenda kwajili ya Alla
Nina ustadh wangu kanifunza madrassa.. cha ajabu nae kaingilia haya mambo.. Allah atuongoze
Assalam alaikum "OMBI OMBI OMBI" shekhe maeneo ya soko la mwanakwerekwe pembeni ya mskiti wa sokoni kuna watu wanakuja wanadai kuuza dawa lakini wanatumia uchawi.
wanadai wanaweza kubadilisha uume wa mtu ukawa uke.
Cha kusikitisha ni kwamba watu wengi huwazongea na kuwasikiliza na hata kununua dawa zao naomba uje mskiti wa sokoni ulizungumzie jambo hili mana hawa watu wanapata wafuasi kila siku.
Mashallah
😂😂😂😂 Wazee wabangaa
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّمَا الْخَمْرُ وَالْمَيْسِرُ وَالْأَنصَابُ وَالْأَزْلَامُ رِجْسٌ مِّنْ عَمَلِ الشَّيْطَانِ فَاجْتَنِبُوهُ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ ﴿٩٠﴾
90. Enyi walioamini! Hakika pombe na kamari na masanamu na kutazamia kwa mishale ya kupigia ramli; ni unyaa na chukizo kutokana na kitendo cha shaytwaan; basi jiepusheni navyo, mpate kufaulu.[10]
Wangejuaje mtume karogwa, habari hizi,zilitolewa osipitalini usilolifahamu kaka,usilizugumze
Ww ndio uczungumze usilolijuwa maana Mtume aliambiwa na Allah na yeye Allah ndio aliyempa dawa ya kubatilisha uchawi
Jamaa halijasom hiki linanichefua Asa Kinga Kwl Kwl walomsomesha bab yko walikuw wapiga Ramli akiwemo shekh sleman bin alawy ww mtt wa juzi kielmu ht juzuu hujahifadhi unalet ujing wk
Kwa maana hiyo wewe unimkosoa shekhe unajawabu gani kuhusu Ramli halali au haramu tupe jawabu wewe basi.
Na tena kuna wengine miongoni mwa wanaojifanya wanatibu watu kwa kufuata sunna wanafanya hayo na kupoteza waisilam wasiosoma. Kuna mmoja nilimwambia mm km mambo hayo ya nyota hayafai ni ushirikina.
Masha Allah
Hujawahi rogwa wewe
Fanya tafiti vizuri kwanza maalim ktu kma ukjui achana nacho
Sasa sheikh majini tumuelewaje sasa!!!?😊
Assalaikum naombeni namba ya Sheikh
Sheikh angalia nyuma hizo tylis zina misalaba
🇧🇮🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣hata taarifa ya ilmu nujumu huijuwi subhanAllah.
Hawa watu wapo wengi wapiga ramli na sisi waislam nijukum letu sot kuondoa uchaf huuu hatar wat wanaritadishwa na huku wanasali mtihani mkubwa mno
Sheikh Mimi ningekuomba kurudi shule
Na ww unafuata ushirikina
Mtu akipinga ramli ametoka katika uislamu😂
Ndo tulipofikishwa apo🤣
Km huku nje utamkuta mtu anapeleka kiganja chake cha mkono kinatizamwa...yote ni mambo ya kishirikina. Mpaka yale magazeti yanayoandika nyota pia...Nakumbuka zamani tulikua tunakatazwa lkn siku hzi watu wamevamia kila kitu wanaona sawa tu.
@@alhamdulillah5796 kweli kabisa
@@alhamdulillah5796
Hata wale wanaotabiri mvua ni washirikina utabiri wa Hali ya hewa
@@bamoclimber4186 soma uelewe hiyo haifanani na ramli hali ya hewa kuna vipimo vya kisayansi
NIKUTOKUSOMA NA WlALIOSOMA NIKJPUUZA NAKUSAHAU ADHABU YA YA ALLH
Shekhe hiyo Azlaam Ni mchezo wa patapotea,Rudi fanya research zaidi Nini Ramli,Bado hujaigusa Ramli hapo,
Itakua Ramli ni kula mikate na kachori
@@Muhammad_Nassor_Bachu_. hyo Ni ramli kabsa hakuna Shaka Surat maidah imeeleza waz azlaam Ni ramli
@@Muhammad_Nassor_Bachu_.
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّمَا الْخَمْرُ وَالْمَيْسِرُ وَالْأَنصَابُ وَالْأَزْلَامُ رِجْسٌ مِّنْ عَمَلِ الشَّيْطَانِ فَاجْتَنِبُوهُ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ ﴿٩٠﴾
90. Enyi walioamini! Hakika pombe na kamari na masanamu na kutazamia kwa mishale ya kupigia ramli; ni unyaa na chukizo kutokana na kitendo cha shaytwaan; basi jiepusheni navyo, mpate kufaulu.[10]
Anae bisha na abishe sasa wape elimu hao
@@Muhammad_Nassor_Bachu_.mimi nina kushauri mambo usiyo kua na elimu nayo achana nayo mpaka usome kwanza
@@abuujibriltv5233ww mwenyewe elimu tuelimishe huo uhalali wa ramli
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّمَا الْخَمْرُ وَالْمَيْسِرُ وَالْأَنصَابُ وَالْأَزْلَامُ رِجْسٌ مِّنْ عَمَلِ الشَّيْطَانِ فَاجْتَنِبُوهُ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ ﴿٩٠﴾
90. Enyi walioamini! Hakika pombe na kamari na masanamu na kutazamia kwa mishale ya kupigia ramli; ni unyaa na chukizo kutokana na kitendo cha shaytwaan; basi jiepusheni navyo, mpate kufaulu.[10]
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّمَا الْخَمْرُ وَالْمَيْسِرُ وَالْأَنصَابُ وَالْأَزْلَامُ رِجْسٌ مِّنْ عَمَلِ الشَّيْطَانِ فَاجْتَنِبُوهُ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ ﴿٩٠﴾
90. Enyi walioamini! Hakika pombe na kamari na masanamu na kutazamia kwa mishale ya kupigia ramli; ni unyaa na chukizo kutokana na kitendo cha shaytwaan; basi jiepusheni navyo, mpate kufaulu.[10]