I do not understand how can anyone dislike that performance. Let us learn to give credit to our orgsnists for many hours and effort they devote in attempt to perfect their skill.
hongera dogo inafurahisha sana namna unavyozicheza nyimbo za Mama yetu Maria, mimi ni Mkereketwa wa nyimbo hizo naimbia kwaya ya Mt. Maria Mama wa Mungu Parokia ya Kiwanja cha Ndege Dodoma naomba tuwasiliane 0786 261188
Kuna jambo nalitamani sana kutoka kwenu wataalamu wa muziki lkn naona ni wachache wanaolifanya ingawa sijui kama wanajua wanatakiwa kufanya au inajitokeza tu.
Manikoshaga sana an Hua nabarikiwa na melody za kinananda hamjuagii tu congratulations But nimewaomba mnipigie misa ya mt yakobo by fr kayetta mda kwel mbna hamnifanyii hivyo??
@@JugoMedia nimefurahi, mm pia napenda kujifunza mziki na kucheza kinanda, nasoma chuo ,nimenunua kinanda Yamaha PSR s263, nipo Moshi Kilimanjaro tanzania
Wewe ni expert
I do not understand how can anyone dislike that performance. Let us learn to give credit to our orgsnists for many hours and effort they devote in attempt to perfect their skill.
hongera dogo inafurahisha sana namna unavyozicheza nyimbo za Mama yetu Maria, mimi ni Mkereketwa wa nyimbo hizo naimbia kwaya ya Mt. Maria Mama wa Mungu Parokia ya Kiwanja cha Ndege Dodoma naomba tuwasiliane 0786 261188
Saut kinanda umeset vzuriii inavutia kusikiliza.. Ufundi km woteee
Asante sana
Naomba ucheze Uwe mdhamini wangu ee mama Maria
Ubarikiwe yanikumbusha Christmas mwaka 1997
Amina
Félicitations mon cher
Jerry huu wimbo umeuonea sana sasaa hahahaa.. Sichokag kuusikiliza na vile viclip... Noma sanaaa
Naomba mpige na Na wimbo wa Nyota ya Bahari wa Joseph Makoye naupenda sana
Asante kwa kufuatilia channel yetu, wimbo huo umesharekodiwa soon tu tutau upload bado tunaufanyia kazi
Wimbo ulioomba huu hapa ndugu th-cam.com/video/8z449gbhghs/w-d-xo.html
Asanteni sana na mbarikiwe
Hongera sana jerry, kwa talanta uliyojaaliwa kaka
Thanks for the master piece well done
Safi
Kuna jambo nalitamani sana kutoka kwenu wataalamu wa muziki lkn naona ni wachache wanaolifanya ingawa sijui kama wanajua wanatakiwa kufanya au inajitokeza tu.
Jambo gani hilo. Tuambie
Balikiwa sana mtumishi
Amina
Amina
Dear admin naomba copy ya wimbo huu..
Nawapataje nikitaka kujifunza
Angalia namba ya simu kila mwiso wa tos video
Mnapatikana wapi
Dar es salaam
Manikoshaga sana an
Hua nabarikiwa na melody za kinananda hamjuagii tu congratulations
But nimewaomba mnipigie misa ya mt yakobo by fr kayetta mda kwel mbna hamnifanyii hivyo??
Asante kwa kufuatilia channel yetu, tunalifanyia kazi ndugu
Amina
Nitapataje namba ya huyu jamaa aisee
Mmeukosha moyo wangu haswaa naomba wimbo wenyewe plz 0717749511. Naupenda sn pia nataka kujifunza kupiga kinanda
Tafadhari tutumie ujumbe kupitia namba iliyopo mwisho wa video
Natamani hata mm nijifunze kinanda,napenda sana no yangu 0715000984 kwa mawasiliano
Asante
Mnatoa mafunzo ya kupiga kinanda
Yes
@@JugoMedia nimefurahi, mm pia napenda kujifunza mziki na kucheza kinanda, nasoma chuo ,nimenunua kinanda Yamaha PSR s263, nipo Moshi Kilimanjaro tanzania
Natamani hata Mimi kujifunza kinanda,0692079945,nipeni utaratibu wa kujifunza kinanda,ada Ni sh ngapi
Sawa