EXCLUSIVE: Nape afunguka mazito tukio la Lissu kupigwa risasi
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ย. 2017
- Aliyekuwa Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Nape Nnauye amefunguka kuzungumzia hali ya siasa nchini pamoja na matukio yanayoendelea. Akiongea na Bongo5 Mkoani Dodoma, Mbunge huyo wa Mtama, amezungumzia tukio la Tundu Lissu kipigwa risasi, hali ya demoksaria nchini pamoja na mambo mengine mengi.
- บันเทิง
Sijaacha KUKUPA BIG UP ULIVYONENA. TATIZO NI NCHI. SIO UONGOZI UPI. WANGALISIKIA HATA WAKIBAKIA MAMBO YANGALIPENDEZA WANANCHI
Saaf saan umekomaa brother...
nape uko vzr sana
Nape you are good, Napenda watu wenye Misimamo Kama Nape
Nakuelewa kiongozi wangu
Nikweli kabisa tushindane kwa hoja
Well said nape , umeongea jambo muhimu sanaa UONGOZI SIO VINYONGO SIO UADUI SIO VISASI Kweli kabisaa usemalo JK aliua uongozi wa upinzani Ni POSITIVE WAYS Sio negative Na hiyo ndio SIASA
huyu nape ni hazina Tanzania wako wachache Sana yuko bashe, zero, msigwa nk
Lydia Thadeous zito
Mzee Nape upo vozuri mkuu Mungu akupe maisha marefu zaidi .
safi sana, aisee naisi kama interview hi ni ya kiroho usipoyelewa basi wewe sio binadamu!
Mweshimiwa nape SHIKAMO!
unaloongea nape ni kweli kabisa,tupambane kwa hoja na kejeli majukwaani ,tukishuka tukumbatiane nchi ni ya wote si ya chama kimoja
Kweli au ni KUTOKANA na wananchi kuelimishwa. IMANI ilitumika kuwanyamazisha utafikiri NDIO KATIKA tuseme wakati umewadia
hongera kwa speech nape
Nape upo smart sana
Nape is strong politician i love him is so bright!
Hapo nape nimerifhika na majibu yako safi
demokrasia bila mipaka itakua fujo na mipaka ikizidi itakua balaa
big up Mr Nape,,,, tell them
huyu ni mmoja wapo wa wahun waliotajwa na Plpl
Shikamo Nape
Yuko wapi Lissu pumbavuu
napenda watu wenye upeo Mkubwa km ww
Unafiki tu huo
nakupenda sana Nape
Nape Nauye big up sana nakuelewa mkuu wape ukweli wabunge wa CCM
Well said Mheshimiwa.......👏🏾👏🏾👏🏾
hakika umeonesha ukomavu ktk nyanja siasa,amini hata kama ccm watakufanyia hila 2020 bado utashinda kiti chako cha ubunge,kwani wananchi wa mtama wanaimani kubwa na wewe!big up Mhe: Nape
That 's it Nape.
Nape huondo ukweli lanzimatuseme ukweli
nape your too smart
Tuweke wazi na swala lako kutolewa bastola umefikia wapi
Congratulations broo nape kwa kulitambua hilo
sawa
Nape mwanangu umezaliwa na siasa umelelewa ndani ya siasa nakupogezi
Ukweli unakupa heshima kubwa kuliko kuwa wadhili huku wananchi wanakuzarau,simamia ukweli japo ccm hawapendi kuambiwa ukweli.
Kweli siasa ni unafki Nape kwa Mwangosi sikukusikia ukisema kwa Ulimboka kimya bom la arusha uliendeleza ukimya sasa leo utatuambia nn Nape me naona kupoteza uwaziri kumekuathiri sana na sasa umekua mpiga upande wa pili pole broo
kelvin alex punguza jaziba
Nape uko vizuri kimawazo ila hao wengine uko bungeni wanafuata masilai na kukubali kuburuzw na mamlaka ya juu wanafanya kazi kwa kuogopa na kiunafki wanaona uovu wanashindwa kukemea wanaogopa kutolewa madarakani wewe ndio shuja wa Tanzania Nape pambana na sisi tuko yuma yako kiongozi Achana na hao Mamluki wa CCM
acha hizo nampe kaikuze demokrasia karibu chadema mambo ya ccm yaachie ina wenyewe najua ni kweli ccm bila wewe ingeshapigwa chini longtime sana
karibu uwe na uhuru wa kusema
CCM NI CHAMA na nape ni mwanachama tuu Sasa CCM kwanni wasingepta nauku wengne wapo
..
VIONGOZI WETU TULIOWAPADHAMANA YAKUONGOZANCHI NDIOWENYEVINYONGO NAKULIPIZANA VISASI MIAKAMITANO ITAISHA HAKUTAKUWA NAMAENDELEO YOYOTE KILASIKUMATUKIO
roho ipo chagadema mwili ni ccm, ila mimi nazani roho ndio binadamu mwenyewe na mwili hua unafata tu kile roho inataka, kwaiyo ctoshangaa uchaguzi ujao kuckia yupo upande ulee wanapokimbilia mafisadi.
una maana gani fala kabisa,unavyomuita Mhe.hivyo unaijua nafsi yake bendera fuata upepo ningejua no kadi yako ningekufukuza pumbafuu kimodudu mtupu chagadema kwa nyumayakoo,utabaki mngoni tu usokuwa na maendeleo utaumia na maendeleo ya wachaga hawaendekezi njaa,na siyo wachaga wote ni chadema koma ufara muku wako
Unaongea point mh Nape
hongera kwa speech nape