EXCLUSIVE: Nape afunguka mazito tukio la Lissu kupigwa risasi
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024
- Aliyekuwa Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Nape Nnauye amefunguka kuzungumzia hali ya siasa nchini pamoja na matukio yanayoendelea. Akiongea na Bongo5 Mkoani Dodoma, Mbunge huyo wa Mtama, amezungumzia tukio la Tundu Lissu kipigwa risasi, hali ya demoksaria nchini pamoja na mambo mengine mengi.
Saaf saan umekomaa brother...
nape uko vzr sana
Nikweli kabisa tushindane kwa hoja
Nape upo smart sana
unaloongea nape ni kweli kabisa,tupambane kwa hoja na kejeli majukwaani ,tukishuka tukumbatiane nchi ni ya wote si ya chama kimoja
Kweli au ni KUTOKANA na wananchi kuelimishwa. IMANI ilitumika kuwanyamazisha utafikiri NDIO KATIKA tuseme wakati umewadia
Nape you are good, Napenda watu wenye Misimamo Kama Nape
hongera kwa speech nape
Nape is strong politician i love him is so bright!
Hapo nape nimerifhika na majibu yako safi
Shikamo Nape
hakika umeonesha ukomavu ktk nyanja siasa,amini hata kama ccm watakufanyia hila 2020 bado utashinda kiti chako cha ubunge,kwani wananchi wa mtama wanaimani kubwa na wewe!big up Mhe: Nape
safi sana, aisee naisi kama interview hi ni ya kiroho usipoyelewa basi wewe sio binadamu!
Mweshimiwa nape SHIKAMO!
Tuweke wazi na swala lako kutolewa bastola umefikia wapi
Congratulations broo nape kwa kulitambua hilo
nape your too smart
Nape mwanangu umezaliwa na siasa umelelewa ndani ya siasa nakupogezi
Ukweli unakupa heshima kubwa kuliko kuwa wadhili huku wananchi wanakuzarau,simamia ukweli japo ccm hawapendi kuambiwa ukweli.
Kweli siasa ni unafki Nape kwa Mwangosi sikukusikia ukisema kwa Ulimboka kimya bom la arusha uliendeleza ukimya sasa leo utatuambia nn Nape me naona kupoteza uwaziri kumekuathiri sana na sasa umekua mpiga upande wa pili pole broo
Unaongea point mh Nape
Nape uko vizuri kimawazo ila hao wengine uko bungeni wanafuata masilai na kukubali kuburuzw na mamlaka ya juu wanafanya kazi kwa kuogopa na kiunafki wanaona uovu wanashindwa kukemea wanaogopa kutolewa madarakani wewe ndio shuja wa Tanzania Nape pambana na sisi tuko yuma yako kiongozi Achana na hao Mamluki wa CCM
VIONGOZI WETU TULIOWAPADHAMANA YAKUONGOZANCHI NDIOWENYEVINYONGO NAKULIPIZANA VISASI MIAKAMITANO ITAISHA HAKUTAKUWA NAMAENDELEO YOYOTE KILASIKUMATUKIO
..
hongera kwa speech nape
demokrasia bila mipaka itakua fujo na mipaka ikizidi itakua balaa
Nape huondo ukweli lanzimatuseme ukweli
Well said nape , umeongea jambo muhimu sanaa UONGOZI SIO VINYONGO SIO UADUI SIO VISASI Kweli kabisaa usemalo JK aliua uongozi wa upinzani Ni POSITIVE WAYS Sio negative Na hiyo ndio SIASA
huyu nape ni hazina Tanzania wako wachache Sana yuko bashe, zero, msigwa nk
Lydia Thadeous zito
napenda watu wenye upeo Mkubwa km ww
huyu ni mmoja wapo wa wahun waliotajwa na Plpl
Nakuelewa kiongozi wangu
Yuko wapi Lissu pumbavuu
Sijaacha KUKUPA BIG UP ULIVYONENA. TATIZO NI NCHI. SIO UONGOZI UPI. WANGALISIKIA HATA WAKIBAKIA MAMBO YANGALIPENDEZA WANANCHI
Unafiki tu huo
Nape Nauye big up sana nakuelewa mkuu wape ukweli wabunge wa CCM
Mzee Nape upo vozuri mkuu Mungu akupe maisha marefu zaidi .
kelvin alex punguza jaziba
acha hizo nampe kaikuze demokrasia karibu chadema mambo ya ccm yaachie ina wenyewe najua ni kweli ccm bila wewe ingeshapigwa chini longtime sana
karibu uwe na uhuru wa kusema
CCM NI CHAMA na nape ni mwanachama tuu Sasa CCM kwanni wasingepta nauku wengne wapo
big up Mr Nape,,,, tell them
nakupenda sana Nape
sawa
That 's it Nape.
Well said Mheshimiwa.......👏🏾👏🏾👏🏾
roho ipo chagadema mwili ni ccm, ila mimi nazani roho ndio binadamu mwenyewe na mwili hua unafata tu kile roho inataka, kwaiyo ctoshangaa uchaguzi ujao kuckia yupo upande ulee wanapokimbilia mafisadi.
una maana gani fala kabisa,unavyomuita Mhe.hivyo unaijua nafsi yake bendera fuata upepo ningejua no kadi yako ningekufukuza pumbafuu kimodudu mtupu chagadema kwa nyumayakoo,utabaki mngoni tu usokuwa na maendeleo utaumia na maendeleo ya wachaga hawaendekezi njaa,na siyo wachaga wote ni chadema koma ufara muku wako