Profesa J alivyoingia kwenye harusi yake kwa michano

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2024
  • Rapper na Mbunge wa Mikumi Joseph Haule ‘Profesa Jay’ leo July 8, 2017 amefunga ndoa na mpenzi wake Grace DSM ambapo watu mbalimbali wakiwemo Wabunge walialikwa na baada ya ndoa walikaa kwa ajili ya picha za kumbukumbu.

ความคิดเห็น • 97

  • @andrew29468
    @andrew29468 7 ปีที่แล้ว

    hongera mh. mbunge wa mikumi,ni hatua nzr ukiwa km kiongozi,tunakutakia maisha mema ya ndoa

  • @negotz4701
    @negotz4701 7 ปีที่แล้ว +1

    ongera sana my prof, Hakka umefanya jambo la busaraaa.....plz may god wxhea u a long lyf in ur marriage

  • @paulntara2052
    @paulntara2052 7 ปีที่แล้ว +1

    muheshimiwa umetishaaa, hongera sanaaa

  • @frolamoses1028
    @frolamoses1028 7 ปีที่แล้ว +24

    ila wifi ulizubaa sana mwenzio kafurahi kinyama we umepoooza utafikiri ulinyimwa pilau mda wa saluni why???? yani hapo ulitakiwa ujimwage mpaka nyaku nyaku wafe kwa hasira

    • @Chemba67
      @Chemba67 7 ปีที่แล้ว

      Hahahahahahaha Limy Masele

    • @annymsupa5175
      @annymsupa5175 7 ปีที่แล้ว +1

      +Limy Masele hki umeongea kweli 😁😁😁hongera zako

    • @gracegeofreyzablonmatalu3946
      @gracegeofreyzablonmatalu3946 7 ปีที่แล้ว +1

      Frola Moses daaaah kweli amepooza kinyama wifi yani ilibidi ayarudi mpk ilo wingi alishikilie mkononi! daaaah ila bro nimemkubali kaitendea haki harusi yake NICE

    • @maggymm7302
      @maggymm7302 7 ปีที่แล้ว

      Frola Moses Yaaani umeona. alifaaa aserebuke vihasaaa..tchaa

    • @maggymm7302
      @maggymm7302 7 ปีที่แล้ว

      Best entrance eveeeerr.. kuimbiwa hivyo dooh..af mke amepoa kama nn.. My future husband plz practice this song to sing for me n i will dance for yo😘

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 7 ปีที่แล้ว +1

    safi sana professor Jay umetisha mzee Baba harusi la kibabe

  • @lucyhadwiger3164
    @lucyhadwiger3164 7 ปีที่แล้ว +1

    wangoni huku hatujaona ngoma za songea jamani..hongera wakunyumba❤❤

  • @hamisi8
    @hamisi8 7 ปีที่แล้ว

    Congratulation Mr and MRS JOSEPH HAULE .....HAVE A LONG AND HEALTH MARRIAGE

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca 7 ปีที่แล้ว

    WOW... VERY NICE.. CONGRATULATIONS SIR. #JAY

  • @hongerakkachawasemewwkzbut4996
    @hongerakkachawasemewwkzbut4996 7 ปีที่แล้ว +2

    halafu wifi ndio hata furaha hana kabisa sijui hajapata hata juice ya maembe duuuuu ndio kununa hivyo kweli duuu

  • @rachelmlaponi247
    @rachelmlaponi247 7 ปีที่แล้ว

    hongera sana

  • @benimagaya4440
    @benimagaya4440 7 ปีที่แล้ว

    Hongera sanaaaa Brother Prof Jay

  • @michaellukas3914
    @michaellukas3914 7 ปีที่แล้ว

    nice nice congratulation much

  • @mcdaddyclinton853
    @mcdaddyclinton853 7 ปีที่แล้ว +2

    sometimes wahusika huomba nyimbo wenyewe wanazopenda uwezi kumlaumu dj

  • @godfreymwita1808
    @godfreymwita1808 7 ปีที่แล้ว +4

    huyu jamaa anaongoza binadamu na wanyama

  • @daudm1558
    @daudm1558 7 ปีที่แล้ว +1

    professor kafanya kitu kizuri Sana.... ndoa njema na yenye baraka tele

  • @kuruthumomary4626
    @kuruthumomary4626 7 ปีที่แล้ว

    iko vizuri sana nimeipenda

  • @abiriawaelimu2428
    @abiriawaelimu2428 7 ปีที่แล้ว

    Good mfalme jizoo

  • @gershonkomando4669
    @gershonkomando4669 7 ปีที่แล้ว

    Gud job mr proff

  • @hkmayala414
    @hkmayala414 7 ปีที่แล้ว +1

    good kweli muoe maana mmekula ujana hadi mnaingilia nyakati zetu bwana, muda wenu umeisha kikubwa kukubali matokea huu ni muda wetu bwana.

  • @akimmbwego797
    @akimmbwego797 7 ปีที่แล้ว

    Nicely mnooooooo

  • @missagatha1756
    @missagatha1756 7 ปีที่แล้ว +1

    safiiiii sana umetisha mheshimiwa ningeshangaa ungeingia na nyimbo za wenzio wakt ww una vichupa vikali vinakata,ila wife material mbona kazubaa jmn kamili gadooo anashindwa kujimwaga ?

  • @Nickojunior
    @Nickojunior 7 ปีที่แล้ว

    hongereni

  • @aligmohammed3738
    @aligmohammed3738 7 ปีที่แล้ว

    nomanoma professor

  • @tumainkabengula6154
    @tumainkabengula6154 7 ปีที่แล้ว

    Kila la kheri katika maisha mapya ya ndoa kwake proff j..aka Joseph haule

  • @jacksonmars7894
    @jacksonmars7894 7 ปีที่แล้ว

    Sawaaaaa Mh Mbunge

  • @barakatesha7823
    @barakatesha7823 4 ปีที่แล้ว

    Ilipendeza sanaaa

  • @waruhassan7881
    @waruhassan7881 7 ปีที่แล้ว

    mashaallah

  • @jaystar1004
    @jaystar1004 7 ปีที่แล้ว +3

    Sema bi harusi ana zgoo😂😂😂😂🙌

    • @duakyando791
      @duakyando791 7 ปีที่แล้ว

      Jay Star shabaash yan ni ngoriiiii

  • @ufugajiwetu7782
    @ufugajiwetu7782 7 ปีที่แล้ว

    umetisha kaka

  • @nelibaba
    @nelibaba 7 ปีที่แล้ว

    hongera J

  • @linahsemindu4261
    @linahsemindu4261 2 ปีที่แล้ว

    Namuona lowasa jmn🥰

  • @ahmedyoung7300
    @ahmedyoung7300 7 ปีที่แล้ว

    safi sana ipo poa sana

  • @TheJuvenyl
    @TheJuvenyl 7 ปีที่แล้ว

    nimependa sana... kweli ye msanii bado... ndoa njema prof J...

  • @jimmymdugala8074
    @jimmymdugala8074 7 ปีที่แล้ว +1

    bonge la harusi i like that

  • @happynesndaki1443
    @happynesndaki1443 7 ปีที่แล้ว

    Hadi raha

  • @ashatadei5639
    @ashatadei5639 7 ปีที่แล้ว

    iko poa sana

  • @jimmyerick4021
    @jimmyerick4021 7 ปีที่แล้ว

    Namuona lowassa apo 💪💪💪💪✌✌✌✌

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 7 ปีที่แล้ว +1

    aha zari la mentele imenoga kumbe ulikua upoupo kwanza

  • @mohamedhamza1050
    @mohamedhamza1050 7 ปีที่แล้ว +4

    Ume nishawish niowe

    • @mariamsuleiman3795
      @mariamsuleiman3795 7 ปีที่แล้ว

      Mohamed Hamza hahahahahaha amsha dudeeeeee

    • @hassanovajunior6972
      @hassanovajunior6972 7 ปีที่แล้ว +2

      Mohamed Hamza ukiiga utaumia utatusogezea sehemu tuwe tukijikunjua😂😂😂😂

  • @fatmatanzania2412
    @fatmatanzania2412 7 ปีที่แล้ว

    wow wamependeza kwa kwel wagen na magauni yao

  • @adnanramadhanjunuzage1629
    @adnanramadhanjunuzage1629 7 ปีที่แล้ว

    profesor mistal ad kwenye arus yako,,,uko vizur bro

  • @mniwekubwa5124
    @mniwekubwa5124 7 ปีที่แล้ว

    Wa kuitwa Jongwe aka Sugu rais wa mbeya, katisha sana

  • @aligmohammed3738
    @aligmohammed3738 7 ปีที่แล้ว

    am in nairobi bt cjui why sikufika harusi

  • @mussadembelle1282
    @mussadembelle1282 7 ปีที่แล้ว

    Tukumbuke kuwa Uyu Jamaa anaongoza Binadamu na Wanyama

  • @ziadasalim8807
    @ziadasalim8807 5 ปีที่แล้ว

    mmh bi harusi umepoa ata aipendezi. nyama nimekosa mlaji loo ningekuwa mm

  • @faustinjamson2657
    @faustinjamson2657 7 ปีที่แล้ว +1

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @itsregie7346
    @itsregie7346 7 ปีที่แล้ว +1

    huyo ni Lowassa au 😂😂😂

  • @luluhaule4762
    @luluhaule4762 7 ปีที่แล้ว

    uyo mwanamke umemlazimisha au maana hataki ndoa uyo

  • @johnsonjohn8590
    @johnsonjohn8590 7 ปีที่แล้ว

    iko poa tu

  • @ashahaji4936
    @ashahaji4936 7 ปีที่แล้ว

    Flora yote anafikir miaka 15 kuishi na mtu bila ya ndoa km hajaamin km kweli imekua

  • @zulfasaid6710
    @zulfasaid6710 7 ปีที่แล้ว +1

    wow ameezing asante milard

  • @kitonekantasha1687
    @kitonekantasha1687 7 ปีที่แล้ว

    lowasa kawa bubu 😎 sio kwa mikono hiyo raisi mtarajiwa anaangalia tu 😂😂😂😁 huyu angekuwa raisi tz trip za vijivijni ningeuza kuku kwenye basi wala hata mtu asingeni jali 😚😚😚😚😚 twamtaka huyu ila tu amani iwepo tulinde amani yetu

  • @TahmaneTV
    @TahmaneTV 7 ปีที่แล้ว

    Too much Nigerian Music, Tanzania ama East Africa kwingine hakuna wasanii!!?

  • @cynobaby50
    @cynobaby50 7 ปีที่แล้ว +1

    Mtoto yuko kamili gado!!!

  • @immaabukuku7180
    @immaabukuku7180 7 ปีที่แล้ว

    Prof katisha sana af yuko kamili gado

  • @amashanampwapwa6636
    @amashanampwapwa6636 7 ปีที่แล้ว

    Uko vizur

    • @amashanampwapwa6636
      @amashanampwapwa6636 7 ปีที่แล้ว

      Ila baba usitoke wcb itakua umefeli maisha asikudanganye dem eshom office yako

  • @beatricekyando3815
    @beatricekyando3815 7 ปีที่แล้ว

    ustawi wa jamii hili la watoto wadogo kuhudhuria masherehe kama hoya inakuaje?

  • @zuhuraabdurlazack8008
    @zuhuraabdurlazack8008 7 ปีที่แล้ว

    😘😘😘😘

  • @gysevengeorge9549
    @gysevengeorge9549 7 ปีที่แล้ว

    ongela prof jizee

  • @winifridajoseph7858
    @winifridajoseph7858 7 ปีที่แล้ว

    biaruc kazubaa kama amin kama angeilew

  • @saeedalsaeed6185
    @saeedalsaeed6185 7 ปีที่แล้ว

    duh watu wahumu munavituko

  • @hongerakkachawasemewwkzbut4996
    @hongerakkachawasemewwkzbut4996 7 ปีที่แล้ว

    duuu mbunge anachana mistari hatareeeeeee

  • @pendomunguasaidiesufiani4254
    @pendomunguasaidiesufiani4254 7 ปีที่แล้ว

    huyu ndio yule mrangi au

  • @queenandrea5648
    @queenandrea5648 7 ปีที่แล้ว

    hahahaha wifi bhana umeshindwa kuitumia chance

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 7 ปีที่แล้ว

    limy utaruka sarakasi km ebitoke

  • @princerashidvevo7760
    @princerashidvevo7760 7 ปีที่แล้ว

    yn hp Mc angekuwa pilipili ingkuwa xhdaaaaa

  • @omarymbalala6224
    @omarymbalala6224 7 ปีที่แล้ว

    😂 😂 😂 😂 😂 sugu acha kunichekesha mh sio kwa kuchezewa huko

  • @saimmabula3442
    @saimmabula3442 7 ปีที่แล้ว

    Hahah Sugu sio wa mchezo mchezo

  • @rogermuncaster1582
    @rogermuncaster1582 7 ปีที่แล้ว +1

    first

  • @isharaclarahbeckam3731
    @isharaclarahbeckam3731 7 ปีที่แล้ว

    god bless you dears

  • @daudm1558
    @daudm1558 7 ปีที่แล้ว

    Nina mtakia pia maisha marefu wamitulinga

  • @benimagaya4440
    @benimagaya4440 7 ปีที่แล้ว

    Hongera sanaaaa Brother Prof Jay

  • @hongerakkachawasemewwkzbut4996
    @hongerakkachawasemewwkzbut4996 7 ปีที่แล้ว

    halafu wifi ndio hata furaha hana kabisa sijui hajapata hata juice ya maembe duuuuu ndio kununa hivyo kweli duuu

  • @pendomunguasaidiesufiani4254
    @pendomunguasaidiesufiani4254 7 ปีที่แล้ว

    huyu ndio yule mrangi au

  • @cynobaby50
    @cynobaby50 7 ปีที่แล้ว

    Mtoto yuko kamili gado!!!