MIUNO YA RC CHALAMILA AKICHEZA SINGELI MBELE YA RAIS SAMIA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 44

  • @YusufLubangula-yn6tq
    @YusufLubangula-yn6tq 2 หลายเดือนก่อน +2

    DUa nyingi Kwa Rais SAMIA Mungu Amzidishie!Tunajionea Kizimkazi Tunafurahia ZANZIBAR🎉😘🥰💯%✅

  • @abelubamba7409
    @abelubamba7409 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nchi ikiwa na uongozi bora tunafanya mambo yetu kwa uhuru ,hongereni sana Viongozi wetu,tuifurahie hii amani asiwepo wa kutuvuruga,hongera Mh. Rais Mama S.S.H

  • @uledimasai9415
    @uledimasai9415 2 หลายเดือนก่อน +9

    Uchawa unazidi mpk inakera,

  • @kuntimartin
    @kuntimartin 2 หลายเดือนก่อน +5

    Habari za maana hampost kukata viuno wa kwanza Mungu atusaidie

  • @Longisho
    @Longisho 2 หลายเดือนก่อน +7

    Hii nchi tunako elekea na aina ya viongozi wanao tuongoza, kwa kweli Mungu asimame nasi😢

    • @ibrahimkasim922
      @ibrahimkasim922 2 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂

    • @meshacknyandongo577
      @meshacknyandongo577 2 หลายเดือนก่อน +1

      Viongozi ni waswahili balaa mipasho kama yote

  • @bonifacegasper9508
    @bonifacegasper9508 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ngoja nisiongee mengi maana hapa tulipo alie baki nimungu tu,.

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 2 หลายเดือนก่อน +3

    Liwombo libayaaa km hauna mtumzi achana na kuimba

  • @SeifSeif-c5d
    @SeifSeif-c5d 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu cyo mjinga kama ww hiyo dua iwez kufika

  • @ShabaniSaleeh
    @ShabaniSaleeh 2 หลายเดือนก่อน +1

    Chalamila usitikisike 😂😂😂😂😂 yeye bado hana tikisika😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kha nime😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @NinaMon-b1y
    @NinaMon-b1y 2 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu jamaa anajua sana,congrats makabila

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 2 หลายเดือนก่อน +3

    Shenzi waedi nyang’au hawa bundi matako kubinuka yaani watu wanatekwa na kuzidi kuuwawa wao wako kwenye sherehe na huyu taahira anaimba eti Tanganyika ya Mavi kunuka Iko salama

  • @GraceDeo-g1n
    @GraceDeo-g1n 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hicho ndo kilichobaki kujifarji kwamaneno ya wasaka tonge

  • @deonicemollel4205
    @deonicemollel4205 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hivi watanznia ni lini tutaacha upumbavu yaaani tuko kama wajinga flani benjut shwain nchi imeoza lakini.cjui ni njaa sielewi

  • @AmbakisyeMbwaga
    @AmbakisyeMbwaga 2 หลายเดือนก่อน +1

    Viongozi uchawa unawaibisha nakuwashushia heshima

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 2 หลายเดือนก่อน

    Watoto wa wenzenu wanakufa wanapotea wana bakea kulawitiwa
    nyinyi mnafurahi tu !
    Hii nchii ni lazma viongoz waadibishwe kwanza kama Alivyokuwa Maguf.

  • @TakyLulu
    @TakyLulu 2 หลายเดือนก่อน

    Wacha wainjoi bhana maisha yenyewe mafupi haya saa zote watu wakaze ubongo tuuu😂😂😂😂

  • @yasiniSwedi-qg5oc
    @yasiniSwedi-qg5oc 2 หลายเดือนก่อน +1

    Unayosema tofauti na uhalisia unajua jpm aliwapaisha Sana wasanii kwakua uwajibikaji wake uliwabeba kwani mliyo mkiimba ndyoyanayotendeka nchini laknisasa mnayoimba tofauti nawayatendayo viongozi ndomaana hamna mvuto kwa wtz

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 2 หลายเดือนก่อน +1

    Uchawa tuu hamnalolote

  • @meshacknyandongo577
    @meshacknyandongo577 2 หลายเดือนก่อน

    Viongozi hawatakiwi kusifiwa kwa kukata miuno alafu jamaa ni wa kiume kabisa anakatika maka anazunguka aiseee hapo ni pesa nyingi sana imetumika kuandaa hilo tamasha mm naona ni matumizi mabaya ya pesa

  • @AmbakisyeMbwaga
    @AmbakisyeMbwaga 2 หลายเดือนก่อน

    Unakata mauno kiongozi kweli

  • @AlouiseNgenDanDumwe
    @AlouiseNgenDanDumwe 2 หลายเดือนก่อน +2

    Chalamia hana lolote he is nothing hata samia hana hanalolote anafukuza watu kwenye maeneo yao kwanini asifukuze waru wa Zanzibar mungu anawaona guys

    • @NunuKupela
      @NunuKupela 2 หลายเดือนก่อน

      Hilo hajaanza Leo tangu enzi za Nyerere aliwaamiaha watu waliokajitenga na kukaa kiukoo na kuunda vijiji vya ujamaa ,Marais wote wamefanya kazi hio yy anaendeleza

  • @rabsonchisumo6640
    @rabsonchisumo6640 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kazi kweli

  • @saimonjoseph5598
    @saimonjoseph5598 2 หลายเดือนก่อน

    sijawahi kuona nchi ya wajinga kama hii jeshi limekosa kitu ya kufanya mpaka mmacheza.taarab ndiyo.maana ni masikini.watu wasifia ujinga hizo sifa sio.nza viongozi wanaomcha mungu kweli hiyo ndiyo.kazi mmechanguliwa kwenda.kufanya

  • @RazakiMatochi
    @RazakiMatochi 2 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂 safi kabisa kipaji kikubwa sana iko kwa mheshimiwa chalamila

    • @MmbagaMmbaga
      @MmbagaMmbaga 2 หลายเดือนก่อน

      Kukata viuno alafu watanganyika wanakula mlo mmoja hyo ndio sahhi

  • @meshackpatrick6981
    @meshackpatrick6981 2 หลายเดือนก่อน

    Kumbe chalamila
    Ni dancer mzur

  • @IreneIssaya
    @IreneIssaya 2 หลายเดือนก่อน +1

    Chalamila kiboko

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh หลายเดือนก่อน

    Pumbavu we ni mungu?

  • @OnlineEarningTz
    @OnlineEarningTz 2 หลายเดือนก่อน

    Wanaokosoa nao waachwe wasitekwe

  • @AhmedAli-x8w9e
    @AhmedAli-x8w9e 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @YassirAliy-j1f
    @YassirAliy-j1f 2 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤

  • @jizzotheking9238
    @jizzotheking9238 2 หลายเดือนก่อน

    ahhhh

  • @JolotaErastoJuma
    @JolotaErastoJuma 2 หลายเดือนก่อน

    Ila nandy

  • @Elishanyambele
    @Elishanyambele 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂

  • @PotinSoya
    @PotinSoya 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hawaviongozi we2mbona wasani2 hadimakazini mwao

    • @MmbagaMmbaga
      @MmbagaMmbaga 2 หลายเดือนก่อน

      Mama yao ndio star,, royal tour

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 2 หลายเดือนก่อน

    Duwa la kuku nyau wee

  • @CollinsMacha
    @CollinsMacha 2 หลายเดือนก่อน

    Bongo sihamii

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 2 หลายเดือนก่อน

      Mwenzio na hama 😂😂😂

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs 2 หลายเดือนก่อน

    Mbona umemtoa ela mh wetu

  • @Josephineexsuper
    @Josephineexsuper 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂