MAISHA NI KAMA RELI BY INZAMBA GROUP TZ
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
- Maisha yetu yanafananishwa na njia ya reli ambayo huwa haijanyooka. Unapopita njia ya reli tegemea kuona wanyama wa kila aina, milima, mabonde, visiki na majabali makubwa. Kuna wakati utafika reli itashindikana kupita juu ya ardhi na italazimika kupita chini ya miamba na milima. Hivi ndivyo maisha ya mwanadamu yalivyo. Kuna kupanda na kushuka. Kuna furaha na huzuni. Kuna wakati utakosa hata rafiki mmoja wa kukufariji pale utakapopitia wakati mgumu katika maisha. Lakini kumbuka katika magumu yote upitayo, tunaye kiongozi wetu Yesu kristo ambaye yeye ni rafiki wa kweli nyakati zote na pale tunapomtegemea atakua nasi katika nyakati zote za huzuni na furaha katika maisha yetu.
Barikiweni sana kwa wimbo huu. Binafsi naupenda sana
Mbarikiwe vijana
Nabarikiwa kwa nyimbo zenu
"shikilia usukani itazame reli tu" Iko kipande kinanitia moyo sana, mbarikiwe❤
Jaman huu wmbo nna upenda sn mbarkiwe sn
Mbarikiwe
"Station Master wetu Yesu atatukaribisha, ingieni nchi nzuri, ingieni mbinguni". Poweful words. 🙏🏿
Amen
Mbarikiwa msihishie hapo jitaidini kufika mbinguni
Nakupenda San wimbo huu jamni mungu awabariki kwa ujumbe munzuri
Amen. Kwa wimbo mzuri unaotutia moyo kwaajili ya safari yetu ya mbinguni
I love the song. may I have the lyric please?❤ all the way from Namibia
Wonderful song indeed! Well arranged voices!
Mbarikiwe watumishi wa Mungu
Amen. Wimbo unatia matumain. Tuombe Mungu atusaidie ili siku ajapo tusikose . Barikiwen sana.
Ahsante kwa wimbo na ujumbe nzuri. Bwana awabariki mno
Duh! Amenn
❤❤❤❤👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Barikiweni saana
Safi Sana Mungu awatie nguvu
Amen MUNGU awabariki 🙏🙏
Mbarikiwe Sana jamani Inzamba,Mnanibariki Sana
MUNGU AWABARIKI SANA
Amen!!!
Munanibariki
Amen amen
Mutulahisishiye kudandrodi wa audio