ibirisi anatesa ivo ili kulupiza maan na yy anasubili mateso yake ko hawezi kuwa na huruma wakati yeye hatahurumiwa, tumwombe sana mungu wakati wote, tuache uovu na tamaa anasa za duniani
Kwa mara ya kwanza nimesikia mtu anayesema vile mimi huamini: kutumia jina YESU KRISTO badala ya Yesu tu. Nilielewa kitambo kwamba jina KRISTO ndilo lililo na upako. Kuna watu wengine huitwa Yesu. Na kuna Yesu bandia kutoka kuzimu wa manabii wa uwongoo ...😂😂😂😂😂 Vile vile, mimi huwa sisemi tu "Bwana asifiwe", bila kuspecify ni Bwana Yesu Kristo. Sababu ni kuwa hata Shetani ni bwana wa wanaomwabudu!😂😂😂😃😃 Isitoshe, hata kufuata watu wanaoitana Mungu bila kuspecify kwamba ni Jehovah au Yahweh, Mungu wa Abraham, ni mtego. Miungu ni wengi!😂😂😂😂😃😂
Huyo yesu mwenyewe ni muuaji Kwa ushahid wa Luka 19-27 andiko linasema na sasa Kwa wale maadui zangu ambao hawataki niwe mfalme wao waleten hapa mkawaue hapahapa mbele yangu na yesu alipomaliza kusema hayo akawatangulia mbele akaelekea yerusalem sasa sisi tutamfuataje mtu muuaji kama huyo ? Yaan anaagiza asiomkubali auwawe sasa tufuataje mtu wa namna hiyo? SI itakuwa kituko tena Cha Karne ?
Yesu aliukubali utu, ili atuokoe sisi, kakini kabla ya hapo, yeye aliukua ni Mungu. Na sasa bado ya kutoa maisha yake msalabani, kufufuka siku ya tatu, na baadaye kupaa mbinguni, sasa ako jatika Utukufu wa Mungu aliokua nao mwanzoni. Somo hilo umelitaja, maana yake ni Yesu atakuja mara ya pili, kutoa hukumu kwa wanao mtumikia shetani. Yaani wale wamekataa kumkubali kama mwokozi wao.
Iko hivi: 18 Kwa hiyo, kama vile uasi wa mtu mmoja ulivyoleta hukumu kwa watu wote, hali kadhalika, tendo la haki la mtu mmoja linawafanya watu wote waachiliwe huru na kupewa uzima.
Isaya 53 1 Nani aliyeamini mambo tuliyosikia? Nani aliyetambua kuwa mkono wa Mwenyezi-Mungu ulihusika? 2Maana, mbele yake Mwenyezi-Mungu, mtumishi wake alikua kama mti mchanga, kama mzizi katika nchi kavu. Hakuwa na umbo wala sura ya kutupendeza, wala hakuwa na uzuri wowote wa kutuvutia. 3Alidharauliwa na kukataliwa na watu, alikuwa mtu wa uchungu na huzuni. Alikuwa kama mtu kinyaa kwa watu; alidharauliwa na tukamwona si kitu. 4 Hata hivyo alivumilia majonzi yetu, na kubeba huzuni zetu. Sisi tulifikiri amepata adhabu, amepigwa na Mungu na kuteswa. 5 Lakini alijeruhiwa kwa sababu ya dhambi zetu, aliumizwa kwa sababu ya maovu yetu. Kwa kuadhibiwa kwake sisi tumepata uhai; kwa kupigwa kwake sisi tumepona. 6 Sisi sote tumepotea kama kondoo, kila mmoja wetu ameelekea njia yake. Lakini Mwenyezi-Mungu alimtwika adhabu, ambayo sisi wenyewe tuliistahili. 7 Alidhulumiwa na kuteswa, lakini alivumilia kwa unyenyekevu, bila kutoa sauti hata kidogo. Alikuwa kama mwanakondoo apelekwaye machinjoni, kama kondoo akaavyo kimya anapokatwa manyoya. Hakutoa sauti hata kidogo. 8Alidhulumiwa, akahukumiwa na kupelekwa kuuawa; na hakuna mtu aliyejali yanayompata. Alifukuzwa kutoka nchi ya walio hai, kwa sababu ya makosa ya watu wangu. 9 Walimzika pamoja na wahalifu; katika kifo aliwekwa pamoja na matajiri, ingawa hakutenda ukatili wowote, wala hakusema neno lolote la udanganyifu. 10Mwenyezi-Mungu alipenda kumwumiza na kumweka katika huzuni. Alijitoa mhanga kwa ajili ya kuondoa dhambi. Mtumishi wa Mungu atakuwa na wazawa; ataishi maisha marefu. Yeye ndiye atakayetimiza mpango wa Mwenyezi-Mungu. 11Mungu asema: “Baada ya kutaabika sana, mtumishi wangu atafurahi. Kwa kuwajibika kwake kikamilifu, atatosheka na matokeo hayo. Kwa maarifa yake mtumishi wangu mwadilifu atawafanya wengi wawe waadilifu Yeye atazibeba dhambi zao. 12Kwa hiyo, nitamweka katika cheo cha wakuu, atagawa nyara pamoja na wenye nguvu; kwa kuwa alijitolea mwenyewe kufa, akawekwa katika kundi moja na wakosefu, alizibeba dhambi za watu wengi, akawaombea msamaha hao wakosefu.”
@@funny-videos-animation mbona mnapenda sana kumsemea yesu Kwan yeye Hana mdomo wa kujisemea nyie vip Mimi ninatakaka unipe andiko yesu mwenyewe aseme kuwa Mimi yesu nitakufa ili niwakomboe dhambi zenu. Andiko wapi yesu anasema mwenyewe mnataka kudanganya watu hapa
This guy knows how to explain himself. Very clear and concise.
For sure
Bwana Yesu Asifiwe Milele na milele Amina 🔥🔥🔥🔥
Jesus saves..He is Lord...kama sio Yesu sai angekuwa amekufa...KAMA UNAAMINI YESU NI MWOKOZI NA MUNGU...like hapa 👍
Isaya 9:6-7 Hakika Yesu kristo n Mungu Mkuu🙏
Mr facts thank you for kazi nzuli#NAMBA ZA MCHUNGAJI TAFADHARI
Ww Sema ombeni kwa dhehebu na kwa Imani yako
👍🏼👍🏼👍🏼👍🏼👍🏼👍🏼👍🏼👍🏼
Kwa dini yangu Ata ukiingia chooni uombe ndio uingie
ibirisi anatesa ivo ili kulupiza maan na yy anasubili mateso yake ko hawezi kuwa na huruma wakati yeye hatahurumiwa, tumwombe sana mungu wakati wote, tuache uovu na tamaa anasa za duniani
Je, muulize kama alipigwa ile chapa ya uko gamboshi kama vile Zablon
Kweli kabisa chakula cha msibani huwa hakiombewi
Wasukuma ni kiboko ndio maana wanapishana na simba hawawadhuru. Hata awe na ngo'mbe mia porini hawaguswi na mnyama yeyote.
Sio kula tu Ata ukitoka nyumbani omba dua
Amen
Mzee upako
Uwongo
wa kawnz
Manake kwanza hapo nichekeeee😂😂😂😂😂😂😂😂
Ana kwa ana na mungu 🤣🤣🤣🤣
Atari sana ayo mambo ya kichawi
Kwa mara ya kwanza nimesikia mtu anayesema vile mimi huamini: kutumia jina YESU KRISTO badala ya Yesu tu. Nilielewa kitambo kwamba jina KRISTO ndilo lililo na upako. Kuna watu wengine huitwa Yesu. Na kuna Yesu bandia kutoka kuzimu wa manabii wa uwongoo
...😂😂😂😂😂
Vile vile, mimi huwa sisemi tu
"Bwana asifiwe", bila kuspecify ni Bwana Yesu Kristo. Sababu ni kuwa hata Shetani ni bwana wa wanaomwabudu!😂😂😂😃😃
Isitoshe, hata kufuata watu wanaoitana Mungu bila kuspecify kwamba ni Jehovah au Yahweh, Mungu wa Abraham, ni mtego. Miungu ni wengi!😂😂😂😂😃😂
Megapro
Amesema hapo amemuona yesu yule wa kwenye movie ndo aliye mtokea,je huyo ndo yesu halisi?
Kasema mfano wa Yule mtu alioigiza kwenye movie ya yesu bali sio Yule mtu yeye katokewa Na yesu halisi
Tupo pamoja toka cape town
Mr nakuelewa san jesus ni mokozi
Yesu ni bwana
Yani huku bongoo wabibi woooote ni wachawi? Mbona hivio? Mambo ya mungu waliweka wapi?
Huyo yesu mwenyewe ni muuaji Kwa ushahid wa Luka 19-27 andiko linasema na sasa Kwa wale maadui zangu ambao hawataki niwe mfalme wao waleten hapa mkawaue hapahapa mbele yangu na yesu alipomaliza kusema hayo akawatangulia mbele akaelekea yerusalem sasa sisi tutamfuataje mtu muuaji kama huyo ? Yaan anaagiza asiomkubali auwawe sasa tufuataje mtu wa namna hiyo? SI itakuwa kituko tena Cha Karne ?
Yesu aliukubali utu, ili atuokoe sisi, kakini kabla ya hapo, yeye aliukua ni Mungu.
Na sasa bado ya kutoa maisha yake msalabani, kufufuka siku ya tatu, na baadaye kupaa mbinguni, sasa ako jatika Utukufu wa Mungu aliokua nao mwanzoni.
Somo hilo umelitaja, maana yake ni Yesu atakuja mara ya pili, kutoa hukumu kwa wanao mtumikia shetani.
Yaani wale wamekataa kumkubali kama mwokozi wao.
@@funny-videos-animation kamtolea nani maisha na wakat imeandikwa Kila nafsi iffe Kwa dhambi yake
Iko hivi:
18 Kwa hiyo, kama vile uasi wa mtu mmoja ulivyoleta hukumu kwa watu wote, hali kadhalika, tendo la haki la mtu mmoja linawafanya watu wote waachiliwe huru na kupewa uzima.
Isaya 53
1 Nani aliyeamini mambo tuliyosikia?
Nani aliyetambua kuwa mkono wa Mwenyezi-Mungu ulihusika?
2Maana, mbele yake Mwenyezi-Mungu,
mtumishi wake alikua kama mti mchanga,
kama mzizi katika nchi kavu.
Hakuwa na umbo wala sura ya kutupendeza,
wala hakuwa na uzuri wowote wa kutuvutia.
3Alidharauliwa na kukataliwa na watu,
alikuwa mtu wa uchungu na huzuni.
Alikuwa kama mtu kinyaa kwa watu;
alidharauliwa na tukamwona si kitu.
4 Hata hivyo alivumilia majonzi yetu,
na kubeba huzuni zetu.
Sisi tulifikiri amepata adhabu,
amepigwa na Mungu na kuteswa.
5 Lakini alijeruhiwa kwa sababu ya dhambi zetu,
aliumizwa kwa sababu ya maovu yetu.
Kwa kuadhibiwa kwake sisi tumepata uhai;
kwa kupigwa kwake sisi tumepona.
6 Sisi sote tumepotea kama kondoo,
kila mmoja wetu ameelekea njia yake.
Lakini Mwenyezi-Mungu alimtwika adhabu,
ambayo sisi wenyewe tuliistahili.
7 Alidhulumiwa na kuteswa,
lakini alivumilia kwa unyenyekevu,
bila kutoa sauti hata kidogo.
Alikuwa kama mwanakondoo apelekwaye machinjoni,
kama kondoo akaavyo kimya anapokatwa manyoya.
Hakutoa sauti hata kidogo.
8Alidhulumiwa, akahukumiwa na kupelekwa kuuawa;
na hakuna mtu aliyejali yanayompata.
Alifukuzwa kutoka nchi ya walio hai,
kwa sababu ya makosa ya watu wangu.
9 Walimzika pamoja na wahalifu;
katika kifo aliwekwa pamoja na matajiri,
ingawa hakutenda ukatili wowote,
wala hakusema neno lolote la udanganyifu.
10Mwenyezi-Mungu alipenda kumwumiza
na kumweka katika huzuni.
Alijitoa mhanga kwa ajili ya kuondoa dhambi.
Mtumishi wa Mungu atakuwa na wazawa;
ataishi maisha marefu.
Yeye ndiye atakayetimiza mpango wa Mwenyezi-Mungu.
11Mungu asema:
“Baada ya kutaabika sana,
mtumishi wangu atafurahi.
Kwa kuwajibika kwake kikamilifu,
atatosheka na matokeo hayo.
Kwa maarifa yake mtumishi wangu mwadilifu
atawafanya wengi wawe waadilifu
Yeye atazibeba dhambi zao.
12Kwa hiyo, nitamweka katika cheo cha wakuu,
atagawa nyara pamoja na wenye nguvu;
kwa kuwa alijitolea mwenyewe kufa,
akawekwa katika kundi moja na wakosefu,
alizibeba dhambi za watu wengi,
akawaombea msamaha hao wakosefu.”
@@funny-videos-animation mbona mnapenda sana kumsemea yesu Kwan yeye Hana mdomo wa kujisemea nyie vip Mimi ninatakaka unipe andiko yesu mwenyewe aseme kuwa Mimi yesu nitakufa ili niwakomboe dhambi zenu. Andiko wapi yesu anasema mwenyewe mnataka kudanganya watu hapa