TUNDU LISU KAMA KESI YA MADELEKA NA GEKUL IMEFUTWA "AHOFIA KUFUNGUA KESI YA KUPIGWA RISASI"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ก.พ. 2024
  • Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
    Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: / kusagamedia
    Instagram: / kusaganews
    TH-cam : www.youtube.com/@kusagatv6320...
    Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...

ความคิดเห็น • 60

  • @ruwaichijoseph5946
    @ruwaichijoseph5946 4 หลายเดือนก่อน +7

    Mwacheie
    Mungu kaka lissu, peleka kwa
    Mungu ni shahidi wa haki,na mwaminifu

  • @gidongailo7174
    @gidongailo7174 4 หลายเดือนก่อน +5

    Wakati Lissu yupo hospitali polisi walisema amekimbia nchi na hataki kutoa ushirikiano kwa jeshi ili lichunguzwe. Leo anatoa ushirikiano, wengine hawataki

  • @hancymachibbula4355
    @hancymachibbula4355 4 หลายเดือนก่อน +6

    Mwandishi maneno mengi sana anapotea uelekeo wa mahojiano

    • @boscomfundo7953
      @boscomfundo7953 4 หลายเดือนก่อน

      Ndio lengo lake ili kupoteza hiyo hoja

  • @sautikuu212
    @sautikuu212 4 หลายเดือนก่อน +3

    Leo Nyanda amemhoji Lissu kipumbavu, amesabababisha tumekosa mambo ya maana kwa sababu ya upumbavu wa Nyanda.

  • @venancebanda291
    @venancebanda291 4 หลายเดือนก่อน +6

    Mwandishi unavuruga interview hujajipanga

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 4 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu ndio Lisu

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 4 หลายเดือนก่อน +3

    Yan huyo makonda mwesabu kama adui mkubwa sana sana ktk maisha yako,mh lissu.

  • @kingnass6410
    @kingnass6410 4 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu mwaandishi aka jifunze tena cz haachi mtu kujieleza kwa uhuru

  • @florianmodest6215
    @florianmodest6215 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mwandishi wa habari ni chawa ila ameshindwa kupambana na lissu huyo ametumwa akili hana.

  • @majidukalokola7253
    @majidukalokola7253 4 หลายเดือนก่อน +2

    Tundu Lisu anastahili kuhojiwa na Generali Ulimwengu ndipo tutaweza kupata uhondo wa mahojiano

  • @RahimMallya-fh9zc
    @RahimMallya-fh9zc 4 หลายเดือนก่อน +5

    Mwandishi kilaza sana wewe

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 4 หลายเดือนก่อน +3

    Watu walihusika na kama hawakuhusika mbona hawamshitaki kwa kuwataja?

  • @sautikuu212
    @sautikuu212 4 หลายเดือนก่อน +3

    Waandishi wetu wengi hawajui kuhoji

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA 4 หลายเดือนก่อน

      WANATAALUMA NDOGO

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mwacheni Lissu aweke wazi mchezo mzima ulivyokuwa msiogope ama acheni kumhoji.

  • @sospeterodhiambo6869
    @sospeterodhiambo6869 4 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu mwandishi kwa mm siwezi kumruhusu anihoji maana hana taaluma ya kuhoji Anataka aweke maneno yake kuwa majibu na hataka apate maelezo

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 3 หลายเดือนก่อน

    Mwaandishi wa habari jifunze kuwa msikilizaji zaidi unapokuwa unamhoji mtu kuliko kuwa mzungumzaji mwenyewe , chukua hiyo positively kabisaaa itakusaidiaa

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 4 หลายเดือนก่อน +3

    MWANDISHI NENDA SHULE ACHA UJINGA SUKARI IMESHUKA BEI WAPI NA HUKU HAIPATIKANI KABISA? WEWE UNAKULA UMESHIBA HUJUI NJAA.

  • @petronilamtei7470
    @petronilamtei7470 4 หลายเดือนก่อน +3

    huyu mtangazaji ni mpuuzi

  • @SAIDIMUKSIN-iy2op
    @SAIDIMUKSIN-iy2op 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mwandishi duu huna weled

  • @user-et3de6kk3z
    @user-et3de6kk3z 4 หลายเดือนก่อน +1

    Muandishi hakuna kitu

  • @user-fl1xz3ln3c
    @user-fl1xz3ln3c 4 หลายเดือนก่อน

    Mwamdishi anaogopa kupigwa risasi nae anapindisha pindisha😂

  • @florianmodest6215
    @florianmodest6215 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mwandishi kanjanja interview ya hovyo kabisa anajiona mjuaji katumwa huyu.

  • @innocentparsalaw8792
    @innocentparsalaw8792 4 หลายเดือนก่อน

    Mwandishi wa Habari hajajipanga. Nadhani hakupaswa kumu interview Mh. Lisu sababu ya uwezo wake.

  • @byabachwezirugemalila9838
    @byabachwezirugemalila9838 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mwandishi uchwara huyu

  • @evansdecaprio8196
    @evansdecaprio8196 4 หลายเดือนก่อน +1

    We mwandishi unamatatizo gani si usikilize majibu sio kumkatisha mwenzio kama hutaki aeleze usinge muhoji

  • @husseinamassanza50
    @husseinamassanza50 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mwandishi unazingua wewe, ukishampa mtu nafas ya kuongea muache amalize siyo unamkatisha, otherwise ungeenda kuongea nae kwako

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 4 หลายเดือนก่อน

    WEWE Mwandishi muache atoe dukudukumwehu Wewe hujui unatu
    Mwa,uwezi kuhimili vishindo

  • @Fesary
    @Fesary 4 หลายเดือนก่อน

    Mwandishi hamna kitu kwa leo

  • @siamollel6051
    @siamollel6051 4 หลายเดือนก่อน

    Mwandishi anaehoji hataki anaemuhoji ajiekeze ni hatari

  • @johnsonjoseph6544
    @johnsonjoseph6544 4 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa unaeleweshwa alafu unakuwa si muelewa nyie waandishi wa namna hii Huwa mnakuwa kama wapuuzi tu Kwa uoga maandazi tulia mpe mtu nafasi aeleze vzuri na wewe ujue Nini kinaendelea

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 4 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu mwandishi anaakili kweli?mbona anahoji vitu ambavyo majibu anayo?

    • @raymondnlelwa427
      @raymondnlelwa427 4 หลายเดือนก่อน

      Labda ni maswali elekezi, kaambiwa ayaulize hayo.

    • @1961nungwi
      @1961nungwi 4 หลายเดือนก่อน

      Mimi naona anauliza maswali lakini hawezi kuhimili majibu; anafikiri ni maswali yasiyojibika; lakini anajibiwa kwa ukamilifu mpaka anachanganyikiwa

    • @charlesshitobelo6870
      @charlesshitobelo6870 4 หลายเดือนก่อน

      Hana kabisa.

  • @EliasMASPELA-tx2jy
    @EliasMASPELA-tx2jy 4 หลายเดือนก่อน

    Mwandishi si utilie mtu ajieleze kama utaki usimuite

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg 4 หลายเดือนก่อน

    Wengine wesha kufa ila bado wengine wpo hai, tumuachie Mungu muda si mrefu sote tutakufa

  • @jumaahagu4764
    @jumaahagu4764 4 หลายเดือนก่อน

    Mtu anaongea ukweli kwa hoja unamuita muongo kweli dunia imekwishwa

  • @jessykadaraja2691
    @jessykadaraja2691 4 หลายเดือนก่อน

    Mwandishi anauliza swali au anatoa hotuba?

  • @MrMPUTO
    @MrMPUTO 4 หลายเดือนก่อน

    Kumsikiliza ni kama uko lecture room flani hivi.... Unajifunza historia, Sheria, uchumi n.k

  • @wilsonnsungwe196
    @wilsonnsungwe196 4 หลายเดือนก่อน

    Mbona Kama mnabishana Kwan ugomvi

  • @dannysankaa179
    @dannysankaa179 4 หลายเดือนก่อน

    Mwandishi mpumbaff

  • @JoshuaStanley-qu3im
    @JoshuaStanley-qu3im 4 หลายเดือนก่อน

    Nyanda wewe sio mwandishi wa habari, ila ni mbishi maana unauliza swali majibu unayo

  • @jovinjoseph1247
    @jovinjoseph1247 4 หลายเดือนก่อน

    Muandishi kilaza

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mtu ni muongo mnakumbuka makonda alikuwa kwa magufuri wakifanya mkutano wa makinikia sasa nijini

  • @matiankomola2391
    @matiankomola2391 4 หลายเดือนก่อน +1

    Anazunguka zunguka tu,
    Hueleweki

    • @ommaromary3312
      @ommaromary3312 4 หลายเดือนก่อน

      Nyanda hakuwa hivi,masikini amepoteza heshima yake ya uandishi kwa sababu ya uoga

  • @frankwilliam144
    @frankwilliam144 4 หลายเดือนก่อน

    Mtangazaji unaongea sana. Uliza swali subiria jibu. Sasa wewe unauliza maswali then hutaki majibu tafsiri yake ni nini? Usiulize maswali ambayo hutaki majibu yake.

  • @stanslausbernard5950
    @stanslausbernard5950 4 หลายเดือนก่อน

    Wewe ni lissu ni mtu muongo sana. Hajatokea mtu muongo kama wewe hapa nchini.

    • @husseinamassanza50
      @husseinamassanza50 4 หลายเดือนก่อน +4

      Alikutongoza akakuacha nini, au alikudanganya nini

    • @muhsinikoki4060
      @muhsinikoki4060 4 หลายเดือนก่อน +1

      alikuahid akufire akachelewa kuja

    • @elibarikimollel7149
      @elibarikimollel7149 4 หลายเดือนก่อน +2

      Ungetwangwa wewe ungependa watu kukuita muongo? We omba ya Lisu yasikukute ukikutana na wasiojulikana kwenye 18 zao!

    • @noelnchimbi1287
      @noelnchimbi1287 4 หลายเดือนก่อน

      Hongea mkweli wewe sasa

    • @MagrethMallya-we8ui
      @MagrethMallya-we8ui 4 หลายเดือนก่อน +1

      Stanley hauko sawa.