POLISI WAWAGEUKA WADUDU WA MAKONDA POLISI WAWAKAMATA NA KUTESWA VIBAYA MSANII FIDO VATO AWASAIDIA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
TH-cam : www.youtube.co...
Tiktok. www.tiktok.com...
Hahaha wadudu wapigwa, polisi mmekosea mngewapulizia rungu
Aixeee chugaaa polen sana wajombaaa
Wadudu wameongea kwa uchungu mpaka nimejikuta natokwa 😭, poleni sana,na pia nimpogeze kaka yenu fido kwa kuwapambania
Mh, wadudu ni watoto hata hayo maneno hayana maadili Cha msingi watafutiwe shule m sielewagi
Wadodowadogo wadudu sisimixi au mende hawa. Bangi bangi pombepombe kwa sana. Mtihani sana
Fundisheni watoto siokuteyea ualifu
Mmh jamani vijana wapelekwe shule.
Pole nam imekuuma na itaendelea kukuuma lkn mungu ipo siku atalpa .nahakaman bila failli kweli ni Tanzania
Wadudu wamepuliziwa rungusprey😢😢poleni wajuba
Polisi wakamateni wale waliotajwa kwenye ripoti ya CAG acheni kuhangaika na watoto wa masikini.
Point ❤
Hawo na wadudu aina nnge,hivyo sioni makosa ya police mimi
Polis hongereni kwa kazi nzuri
Asante kaka Fido kuwasaidia hao vijana
Tatizo hawana tafaudi na mapanyarodi mee nikutane nao nitakibia😂
Pastor Gora kaingia mkenge 😂😂
Hawa wanaendekezwa ila tutakuja juta sana
La jisajilini mtambulike kisheria pia mie na katiba nuongozi imara ili ikitokea kurupukurupu msinyanyasike cz some time jamii itawachukulia ninyi niwaharifu ama mnahatibu jamii ya wadogo zenu wadogo ...
Wanazingua sana haoooo
Wapelekwe JKT
Hii nchi hii ni shida sanaa
Wadudu kitu gani bhana vibaka hao, wanakosa kufanya vitu vya msingi kz kujiita wadudu.... Genge la wahalifu hilo hamna lolote na huyo anaewatetea anakula nao, sisi wenye tunaishi hivohivo kiugumu, wabadirike......! Kwanza wanaonekana wamepinda.
Bangi mbaya hamna hata mmoja kati ya hao aliyekuwa na akili timamu bangi zishawaharibu
Wp kenyonyo
Poleni wanangu
Hii ndio Gn Z...sijui huko mbeleni itakuaje kwa kizazi kijacho
Duu hawawatu noma
Usaniii usio na maadili uzuiliweee sasa maneno ya kihuniii wanakuja ganjaaa
Yaani ninyi mnatakiwa mpewe jina la kunguni 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Police wanaakili mbovu sana ndio maana tunasema waliofeli shule
Hawana sapoti zaidi ya kunyanyasa
😢
Peras limetembea kwel sabab hakun sabab ya kukamtwa ukikotw umejipumzikia Zak na mamb yak kamat twend bil Sabab ya msing kosa ukiuliz unachezea kitaa kilinuk ila tunatak hak
Wapew majembe wakalime waachan nahuyo ujinga wao
Mbona hawavalishwi vizuri?
N
Uongozi mbaya umeharibu jamii ya kitanzania
😊mapolisi wa Tanzania ndio walivyo ukitaka kujitetea ,wanakwambia unatufundisha kazi hii ni tabia mbaya sana si ubinadam kabisa
😂ucha ushamba wew usihukumu usichokijua
Eti serikali chini ya Makonda yawashibokea wadudu.... Wala ngada....
Haya serikali Haina rafiki, itawatumia kama toilet paper na mwisho kuwatupa!!
Mimi nilijua hilo
Tatizo jina😂😂
Hiyo ndo ccm mkome
Usiseme tu vitu usivyo vijua hebu msiwalaumu wadudu
Wameonewa tu Kuna watu wanaitwa chawa,tenbo Simba wote hawa ni majina siyo ya kibinadamu au Kwa sababu ni maskini? Ewe Makonda hawo ni wamasai wapo hivyo watakusha sivii
😂😂 wadudu.
kumbe mmelala huku mmesimamaaa
Nimuombe mweshimiwa makonda hawanyime hao police mshahara miezi 6 wakome maana wanaonekana hawajui kazi ni wapimbavu tu
Wapi Kenyonyo
Sio awanyime kazi acha apige kazi , watu wazima wanaitwaje wadudu, kwanza Mimi siwaelewagi ongea Yao ni kama mapepo sijui Hawa wazazi wamewaleaje ?
Mnataka tukabe tuibe tuuwe au mnataka Nini nyie
Askari wengi Mimi siwaamini
We ni mavumbi na mavumbini wamekurudisha hahaha et natokwa vumbi hahaha
NYINYI WAZI WAKUBWA MNAJULIKANA NDOMAANA MMEKAMATWA WAONE SURAZAO NGUMU
Kuna Baazi Ya Polisi Hawafuati Sheria Ya Kazi Inayompasa Kuitekeleza Wanaamua Kufanya Unyanyasaji, Kwa Watu Wachini Hivi Hao Polisi Waliofanya Hivyo Hawana Viongozi? Au Ndio Wametumwa Hivyo Ingekua Wao Wamejiajili Na Kufanyiwa Hivyo Wangejisikiaje?,
Ongea yenywe tu ni bangi tupu pombe
Hawo n iwadudu aina ya nnge,hivyo sioni makosa ya police mimi na viboko vya kutosha mngepata hawa ndo tatu mzuka huku mjin na vile wizi umeongezeka
Wavuta bangi wakubwa hao, hakuna kitu ilitakiwa wale na viboko 50 kila mmoja kumbavu sana
Acha ufala
G A z
Hakuna mdudu binadamu
😂😂😂😂😂
TUMEWACHOKA MAJAMBAZI WAKUBWA NYINYI NABADO MGEKUFA BORA
𝐀𝐜𝐡𝐞𝐧𝐢 𝐦𝐚𝐧𝐲𝐚𝐧𝐲𝐚𝐬𝐨 𝐧𝐲𝐢𝐞 𝐚𝐬𝐤𝐚𝐫𝐢𝐢𝐢
Ila sasa hivi hatujui wadudu wakali ama wapole watu wanakatwa mapanga hovyo ninyi wadudu
Hawo na wadudu aina nnge,hivyo sioni makosa ya police mimi
We ni mavumbi na mavumbini wamekurudisha hahaha et natokwa vumbi hahaha
Hawa wadudu hawajamsoma makonda mkome mtaisoma namba
Inawezekana hata hao police wamewaibia pesa zao
Mama mwenyewe anayewatetea bangi tupu
Arusha acheni kuendekeza ujinga wadudu ndio Nini?? Yani watu wazima munijiita wadudu Kama nyie mujiita majina hayo watoto wenu watakua nani 😂 acheni uzembe kabisa
Wape jina bx ambalo unaona linawafaaa acha kutetey ujinga
Hao mapolisi Wana roho ya kwanini wapuuzi kweli waende dafuu sio kuwaoshea raiya
Kwa nini mnaitwa wadudu? Ninyi ni binadamu
Wadudu ni kikundi tu Cha wasanii waliojipa jina hio wala sio wahuni
Na sio watu wote wa Arusha wanaitwa wadudu.. Ni shinikizo tu la kiuchawa, kutoka kwa kiongozi Flani ambae hajapewa maana halisi na wazawa kuhusu wadudu, na akawaweka wadudu katika kundi la watu wanaotumia Cha Arusha ambao hufanya matendo ya uvunjifu wa Amani, Note wadudu ni kundi la wasanii waigizaji Kama kina misso na wazee wa makoti
nyie niwajinga mnategwa namakonda mnasomwa akili mmeingia mtegoni nie washenzi kwel niljuwa wachuga niwajanja kumbe mafaratu sa bangi zanini mnavuta hanaisiya nyie zakumsoma mtu mmeshindwa kumsoma makonda boya vile washenzi nyie mngenyweshwa hata mavi mavinyie
Acha wivu weee chugs wako smart sasa ulitaka wapiganena police au
kwanza rudi shule maana unaandika kama bata kakanyaga tope alaf akapita kwenye tiles (marumaru)
Wadudu nijina lao walilo chagua kwenye usanii wao hata muheshimiwa makonda anauwelewa wa kujua mtu kabla hajamaliza mazungumzonae huyu mzul huyu mbaya hata polisi wakati mwingine ndoo chanzo kibaya kwa hao vijana juwa kwamba mwananchi anamjua mtu mbaya hata kabla polisi hajafika eneo husika
Wabadilishe jina wadudu ndio Nini sasa mala chuga eee mauwa yenu wadudu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wazazi mmeshindwa kuwalea watoto wenu kwa maadili yanayofaa, leo mnaendelea kuwatetea kesho watawatoboa macho.
😂😂😂😂😂hawaaapaa 😂😂 kurukushaani kadiniiiiii😂😂 mbatambata
Kwa Nini maskari wa afrika wakikzmata wezako lazima wawapige kama wanyama ?!??hawana hishma wala kujali wananchi wezao japo kuna uhalifu lazima watese wapige maraia mbona wazungu hawana Hao mambo ?!?hawapigi mtu wanampa hishma yake Ila Sisi wafrika ndo tuna Hao mateso mwafrka ana uadui gani au ubaa gani nawezao ????
Na Huyo Askali Kata Hafai Ni Mchonganishi Nae Aonekane Anafanya Kazi,
Afya ya akili ni tatizo kubwa kwa vijana wa Arusha ila serikali bado haija tambua
Mm ni mchuga kuweni makini wana Arusha hata huyo makonda msimuamini hiyo ni ishu ya chama tawala
Hiyo ndio ccm imeanza kuteka na kupiga watu
Hawa wanajikuta ndo wajanja
Mlipenda kusifia
Hapo serikali inakosea kwa hao wadudu
Wachumba wote hamna wadudu hapo
😂😂😂🙌🙌duh
Hii ndo Tanzania
HAWANIWAIZI WAMTAA WANAIBIA WATU CM