Ukweli mwakatobe yuko vizuri kwa sababu ni mbunifu zaidi maana ukweli hana maneno mengi ya kuchekesha kama kicheche lakini bado mwakatobe yuko vizuri na nimbunifu sio kama kicheche kila move anatoa lazima aseme umbwa Mimi au pumbavu zangu sasa kiukweli wengine tumesha zichoka tayari
Kwakweli aweziiii kabisa uyoooo kicheche kushindikanasan mwakatobe aweziiii kushinda ni shwa na vitu vya ajabuuuu uyoooo chicheche atapigwa na kitu kizito mimaviiiiiiiiii pwaaaaaaaaaaaaaa pwaaaaaaaaaaaaaa pwaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Tabia ya kushindanisha wasinii ni ujinga. Wote ni wazuri na wako na mashabiki. Ifikie mahali sisi waafrika tuamkeni na tuzingatie mambo muhimu yanayotujenge. Tuache ujinga guys, let's wake up and work hard.
@@AlvinKhim-lc1jo haina shida hyo lkn clam bila mwakatobe haendi popote ndo maana unaona anamtumia mwakatobe, mbona mwakatobe ana you tube channel yake na haifanyi vzr usimfnananyishe kicheche na mwakatobe kicheche n levo za kina clam
Nampenda mwakatobe hajiskii pia Hana dharau❤❤❤❤
mwakatobe sijawai kukupinga❤
Nampenda saana uyu kaka ❤❤❤❤❤❤🎉anajua mpka anajua tena
I love mwakatobe,s acting
Mwakatobe upo vizuri
Big up broo
Sarut sana team mwaka Tobe hunabaya brother
Big boss uliuwa sana ndonilipo kujulia mwakatobe kaz nzur
Mwakatobe hana mfananisho❤️🔥❤️🔥❤️🔥
Clam awe blessed .. he has raised huyu jamaa
Nampenda sana huu dada kbx
Nakupenda
Mwakatobe yupo juu movie zake zaeleweka na kicheche ni venye tulimuona wakwanza but mwakatobe uko peke yko uganga na uchawi ndio your style
Kicheche n yupi
Mwakatobe yupo vizuri zaid😊
Mwakatobe sanamu yangu, ni mkubwa sana, nampenda tangu DRC 🇨🇩
Your doing well mwakatobe kazi nzuri keep going
mwakatobe ni bora kuliko kicheche hadi United State
Mwakatobe namukubari sana huu ni wakati wake wakutaba
Mwakatobe namukabiri sana kwenye nyama ya mwanangu anachekesha sana
Mwakatobe pls usimpake dawa mtangazaji wetu😂😂😂😂😂
Nakukubali sana mwakatobe
Nakubali Sana bg❤❤❤❤❤❤❤❤
Mwakatobe anafaa sana akiigiza kwenye vipande va uchawi
Shida yenu mnapenda sana kujisifia badala ya kusifiwa na sisi watazamaji,KICHECHE ni moto mwingine kabisaaaaaa
Hivo umehona huyo jamaaa amejisifu
Clam Vevo ni mkali❤
jamaa anaongea point
Sijaona mwakatobe kujisifia Bali mwandishi tu anamsukuma huko
Mtangazaji unauliza propaganda za bifu kuwa inakuza Sanaa halikuwa nyie waandishi ndo chanzo Kwa kuuliza maswali ya uchochezi
Well ❤🇨🇩🇨🇩
Wakatobe htli jmn❤❤❤
Wanakudanganyaa brooo .una njaaa sana tunakujua usiwaponde wenzio Tafuta pesa
Mwakatobe is the Best❤❤❤❤❤😅😅😅
Makatobe ni hatari 🙌
Mwakatobe yupo juu
Mbona waandishi mnaulizaga sana maswali yakutengeza ugomvi baina ya wasanii? Waandishi waandishi waandishi pliz up ur game
❤❤❤
Safi kaka unapambana kwakwel
Lichawi la taifa letu 😂😂
Mwakatobe noma sana tuache utan na wivu
Mwakatobe Yuko vizuri Tena TU,ila kicheche Kwa kweli ni moto,bana wewe,kicheche mweke Kwa Steve na clam sio mwakatobe
Acha kumfananisha clam na vitu vya ovyo bhna😂
Acha mungu awe nao
th-cam.com/video/jSJ0bOVfXKc/w-d-xo.htmlsi=26Hm5nzxBm8yCYWF
Kicheche matusi mengi@@rajabushedafa6397
Weee kicheche level nyingine wew
Kila msaani ni mzuri kivyake
Mwakatobe ni moto ni moto moto wa kuangukia mbali... Jmn muangalieni kwenye big boss huyu babah
Napenda unavyo igiza mwanga tobe napenda ulivyo cheza nyama ya mwangu nimependa
Kabra hajajakwa cram vevo nirikuwa simujuwi apa namujuwa kupitia kwa cram vevo vevo ni simba
Mwakatobe ulibarikiwa Na Sauti ya ugangaugangaaaaa😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Mwakatobe anafika mbali
Mwakatobe yupo juu na istoshe hayupo kwenye siri yasi na mwajatobe yupo siriyasi
Mwakatobee nakukubaliii
crazy
Ukweli mwakatobe yuko vizuri kwa sababu ni mbunifu zaidi maana ukweli hana maneno mengi ya kuchekesha kama kicheche lakini bado mwakatobe yuko vizuri na nimbunifu sio kama kicheche kila move anatoa lazima aseme umbwa Mimi au pumbavu zangu sasa kiukweli wengine tumesha zichoka tayari
Kila mtu Ana uzuri wake na kipaji chake kicheche ni mzuri ila hawezi kuwa mwakatobe kwenye nafasi ya uganga kicheche hatoboi
Alafu mm nilimusahau nimeshazoea kumuona na magauni ya kichawii😂
😂😂😂
Kicheche anajua Ila mwakatobe anajua zaidi
Mimi nawakubali wote ila mwaka tobe juu zaidi
Kaza utaminywa😂
Kwanini nyinyi mnajisifu wenyewe badala ya kusifiwa
Kwani uyo jama amejisifia wapi? Acheni uchoga🙄🙄🙄😒
Jamaa mtu sana
safiii
Napenda unavyochakesha,ila punguza majigambo na kuponda wengine inakuaribia c.v,pia punguza zuchu nyingi....huwa zinakinai..
Chekexha ww bac km unaona unajua xn.ww kwel mxhamba 7bu Kila mchekexhaj ana style yak
Mwakatombe chefuu
Kicheche bado
Ako sawaa akiigiza Kwa uchawi sanaaaaa
Afu mwakatobe we jisifie tuu kwasababu ayo nimatunda Yako chukua maua yako na ata anae kuchukia akiangalia tuu action Yako anacheka automatic 🎉🎉🎉
Kweli kabisa
Nice
Snake boy uliua bro
Mtangazaji wewe zuchu tu😂😂😂😂 acha maswali ya kupiganisha
hataree huyoo
❤❤❤❤❤
Mchumbaaa tuuuu❤😂😂
Nakukbal xn mwakatobe
Jambaz wa kula ice cream hii kiboko mwakatobe
Kazoea vilingeni hakuna vitamu leo kaviona hawezi viacha😂😂😂😂
🎉🎉🎉🎉🎉Mwakatobe
Kazikazi
Huna maswali unalazimisha kutafuta ushindan baina ya watu
Laina me nakupendaga aseeee
Ili jitu linachekesha 😂😂liacheni tu mchumba tuuu
Chogo ka mwiko 😂😂😂
Chungu
mwakatobe ni moto
Punguzeni sifa mwakatobe
😂😂😂
Kicheche toka aanze kujitia mahabuba amekuwa hana jipya
😮
Let's see what kicheche will say
Mwandishi unashindwa hata kuuliza miaka ya mwakatobe jina kamili
Alishawah kumuhoj lakin huyuhuyu dada,akawa ametaja vyote,kiufupi history yake nzima
jambazi mlooo
We mchumba tu
Kwakweli aweziiii kabisa uyoooo kicheche kushindikanasan mwakatobe aweziiii kushinda ni shwa na vitu vya ajabuuuu uyoooo chicheche atapigwa na kitu kizito mimaviiiiiiiiii pwaaaaaaaaaaaaaa pwaaaaaaaaaaaaaa pwaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Mwakatobe hayo mandevu yanakuzeesha Bora ukayanyoee
Ayo yauganga
Ley mchongqnishi
Mwakatobe we ni gifty tumepewa na Mungu
Huyu jamaa anajua ila
Asifananishwe na kicheche
Huyu jamaa mwakatobe ndo anajitafuta
Maswali yaleyale kila interview
vipi
Chogo kama mwiko
Tabia ya kushindanisha wasinii ni ujinga. Wote ni wazuri na wako na mashabiki. Ifikie mahali sisi waafrika tuamkeni na tuzingatie mambo muhimu yanayotujenge. Tuache ujinga guys, let's wake up and work hard.
Waandshi nyie ni makumzzzzz tu unaacha kuuliza maswali umekalia tu kuwachonganisha hao unaboa sasa we mdada pumbavuuu
mwakatobe wewe ni mba moja
wewe dada jifunze kuhoji kwa maswali ya kujenga amani kati ya wasanii... hii tabia iache ..
Mwakatobe atali
Huyo daga kebwa
Zuchuu tuuu😂
Zuchu tu
😂😂😂😂
Very worse interview you ask baseless questions mwakatobe keep it up your talent.
King mwakayobe
Clam mwenyew anabebwa na mwakatobe na huyo mwakatobe hamfkii kicheche hta robo
Sasa viewers wenyewe wa kicheche ni wadogo ukubwa wake uko wap Kwa clam
@@AlvinKhim-lc1jo haina shida hyo lkn clam bila mwakatobe haendi popote ndo maana unaona anamtumia mwakatobe, mbona mwakatobe ana you tube channel yake na haifanyi vzr usimfnananyishe kicheche na mwakatobe kicheche n levo za kina clam
Utacheka ufe.... Wee let me unfollow you cos this is the third time kusema utacheka ufe..