Habari za lusifa sisi hazituhusu okoka nenda kamtumikie mungu aliye hai na utakuja kufa vibaya kwa sababu ujinga wew huna haya nenda kamtumikie mungu aliye hai na inawezekana umetumwa huku duniani kuja kufarakanisha kaz ya mungu.
Kwani hukuongea alipokuwa hai mambo yako enyi wagalatia msio na akili ni nani aliye waroga mhubiri mtu akiwa hai sio amekufa imeandikwa baada ya kufa ni hukumu,,, brother hubiri kazi ya Mungu itakusaidia ww kila mtu ni freemason Mungu akusaidie.
Wewe okoka acha kumubili shetan bado wewe ni mwana waibilisi atukutaki mubili Yesu umekuja kuvuluga wakilisto utupati tuna Yesu toka shetani kwa jina la Yesu🔥🔥🔥🔥
Zabron singers Nawapenda na Huyu jamaa ametimiza ule ujumbe wa wimbo wenu usemao mmekataa kusimulia wema wangu Mimi japo mwaujua mmrnyamaza... Kipindi Marco yupo Huyu jamaa hakusema chochote kabisa Ila baada ya kifo cha mpendwa Huyu ndo kasema ama kweli Mungu najua namna ya kufikisha ujumbe wake kwa watu... Mungu awatie nguvu na muendelee kutoa injili kwa walimwengu kama Huyu jamaa
Pepo wewe mbonga umefaa kitambaa nyekundu, Wacha nikuambie mungu atawapea amani juu inchi muzima wanalia juu yaiyo kifo kutoka hadi Tz pole mungu atarudi na 🔥🔥🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪
Dah Mimi sijaona hata point yoyote . Ktk mazungumzo yote uliyoongea . Hii theology Yako philosophy Yako Iko chini sana . Hata biblia hauifuati unasema tuiombee Roho yake wakati imeandikwa bahada tu ya kufa ni ukumu. Na mahandalio ya moyo ni ya mwanadamu bali jawabu la ulimi kutoka Kwa Bwana . Ndugu wewe unataka umaharufu na unasema unazungza na Mungu mungu . Nimekuandikia M na m kama umesoma theogy unaweza tambua . Mungu ni Roho lakini pia mungu ni roho hivyo kuongea kwako na mungu siyo sifa inategemea unaongea na yupi. Wewe swala l kwenda kuzimu ukakaa na shetani ni hatari sana kama ni kweli Mimi nin ayemjua Mungu sintataka hata kuongea na wewe mahana shetani anazombinu nyingi anauwezo wa kujigeuza kuwa Nuru na kuwa giza pia hata anaweza kuwa mnyama. Wan wa Mungu walipokwenda kujiuthurisha mbele za Mungu shetani naye alikuwepo. Ktk kusanyiko Mungu shetani yupo. Hivyo sikumini sana Tena bible insema dhambi zote waweza kusamehewa lakini ukimkufuru Roho mtakatifu hutaweza kusamehewa. Na bible inasema ile namba 666 ni muhuri wa mkubliano Kwa wakati huu ambao kanisa liko duniani. Na itafanya kazi Kwa Siri. Hadi Sasa hicho chama chenu kinafnya kazi Kwa Siri ndiyo mahana kinawatumia kama wapelelezi mkijifanya mlaika wa Nuru . Ndugu kama isemavyo bible ukishapigwa muhuri hiyo ya 666 hauwezi kusamehewa na Mungu akakutumia kama mtumishi wake . Kumbuka Yesu msingi wetu na mfano ktk njia ya mbinguni hkuwai kumsijudu Ibilisi japo alikesha naye kumshawishi . Lakini alishinda ndo mana Leo tunalo kanisa takatifu. Yesu alimpendeza Mungu na wanadamu Toka utoto. Watumishi wa Mungu aliye hai wamechaguliwa Toka utoto. Kapo Kuna wengine wamechaguliwa kam Paulo lakini bado hakufikia kupigwa muhuri ya shetani. Biblia inasema Mihuri ya Mungu imetumika kwa wale wasiotenda uhofu. Wewe kama kweli ulienda kuzimu mahana hata Bado siamini . Basi wewe ni Ajenti mkubwa sana katika Dunia hii na sijuhi utaokolewaje mahana kufuatana na biblia dhambi yako haina msamaha. Mahana namba hii itaruhusiwa kufanya kazi waziwazi kanisa litakapo ondolewa na ni hatari sana Kwa siku hizi kama bibilia isemavyo kama siku hizi hatafupiswa ataokoka hata mmoja mahana shetani anatumia mbinu mbaya sana kuwapotosha Watu wa Mungu Kwa kutumia Neno ilo Iko amabolo hata shetani anlitimia. Mimi niwaombe wanadamu msikubali kudanganywa danganywa . Kifo ni haki ya Kila mwenye mwili. Wala mtu asikuambie maneno yoyote ya matisho kwakuwa pengine umefiwa wote wanfiwa. Au unumwa wote wataumwa. Na watakufa. Kila kitu kizuri ni kwa utumifu wa Mungu . Ata kifo Cha mtakatifu ni kwa utukufu wa Mungu. Tunauzunika tunalia kwasababu Kuna vitu tutakosa Kwa ajili ya aliyeondoka pia hakuna anayejua siku ya kumiona Tena . Lakini kifo siyo Tatizo Kwa mteule mahana Yesu alitubia Mwenyewe nyumbani mwa baba yangu kuna makao mengi kama sivyo ningaliwaambia. Hoo Alaluya I love Jesus.
Mungu alimpenda saidi kwa kufariki kwake jee wakati ulionangahivyo mbona ukusemanga siri mapema wewe unaogopesha tu kwaidunia mtu akiondoka duniya mengi yanaongewa kifo chamtu mwana wa mungu ndiye ajuwaye mate ndogo yake na roho yake?
Ingekuwa vizuri hayo uyasemayo ungeriyasema wakati marcco yuko hai ili iwe sehemu ya kutubu kumrudia Mungu wake, mi naona unapoteza tu wakati wako , sisi utusimuliao tunalijua neno la Mungu na hatujawahi kukengeuka kama wewe tumetulia na injili aliyotupa Mungu, je ulijiunga na freemason Kwa kutafuta nini? Na ni nini kilichokutoa tena huko? Mi naona bado wewe hujajijua ulipo mpaka sasa na hujui unakokwenda
Umesema kanumba alikuwa mtumishi wa Mungu? Mateka wa shetani sio wanaokunywa pombe ni waliouliwa kichawi? Haaaaa marehemu steven kanumba alikuwa hajiusishi na mambo ya kichawii alikuwa anamtumikia Mungu wa kweli 17:20 .nimekujua wewe dogo bado ujapona unaendelea na kazi.....Nakuombea upone in Jesus name.
What we know is that the Messiah is coming leave people of the Lord because the Lord has send the mightiest mightiest heroes of Jehovah Yahweh to prepare us for the glorious kingdom of heaven
Hv wew umekosea njia ya kujulikan mtandaon au ayo mazito kaongee na wazazi wako msenge wewe Marco kafa Kwa tatizo lake na izo hudum zako kawape uko wako mbwa wewe
Poleni sana familia ya Zabron Mungu awe faraja kuu kwenu
Hat kam angekuwa freemason lakin ujumbe wa neno la mungu kashatufikishia soo mungu amlaze mahala pema peponi
🤣😂😂😂
Poleni wanafamilia jipe moyo ni mapenzi ya mungu.
Habari za lusifa sisi hazituhusu okoka nenda kamtumikie mungu aliye hai na utakuja kufa vibaya kwa sababu ujinga wew huna haya nenda kamtumikie mungu aliye hai na inawezekana umetumwa huku duniani kuja kufarakanisha kaz ya mungu.
Kwani hukuongea alipokuwa hai mambo yako enyi wagalatia msio na akili ni nani aliye waroga mhubiri mtu akiwa hai sio amekufa imeandikwa baada ya kufa ni hukumu,,, brother hubiri kazi ya Mungu itakusaidia ww kila mtu ni freemason Mungu akusaidie.
Tena mwanaizaya ww unawapa watu maumivu zaidi
Huruhusiw kumuhukum mwanadamu mwenzio mpaka kutoka katika dini hiyo basi tayar kamrudia mungu
Peleka mapepo yako huku we mwenyewe mwanga😅
Kabisa mavazi nywele kama katolewa milembe jana huyo ni mtumish wa kipepo alaniweee
God we need you to cover us with blood of Jesus Christ Amen
Familia ya zabron singers poleni sana ila msife moyo Mungu yu nanyi
Mungu akuhurumie saan maan nikikuangalia kwa jicho la kiroho nakuona kabisa wewe haun Mungu ndani yako hivyo Mungu akuhurumie na kukuokoa
Duu! Tena yamekuwa hayo🎉😂😂
Pole Mrs Marco hay yatapita mungu ndoo aliluhusu acha waseme mungu atawapiga
Mbona ukujitokeza akiwa hai humusaidie hiyo ni kazi ya Mungu Wacha zako bro
Hila wapendwa totautishe kati ya kifo cha mtu wa Mungu na kifo cha asiye na Mungu
Nimefuatilia kwa video tofauti unaona kuna jambo hapo
Umemua na unatwelezea nn shetan mkubwa,,kweda kuzimu na ushidwe in the mighty Jesus
Nawapa salamu kwa zabron singers poleni sana maulana awaremu❤❤❤
Ulivyo msema Mareham vibaya na wewe utasemwa the some something
Wew ndio mungu akurehemu
@@YoshuaNgasa Thank you
@@BettyNdiema hivi unamwelewa huyu emmanuel mtoa ushuhuda?
Mungu Baba Mwenyezi ndiye Anajua Marco karuhusu kifo kimpate. Huu sio wakati wa hadithi, tusaidieni tusipate vitu kama hivi kwenye simu zetu.
Mungu Aliye Hai Hausiki kabisa. Anayehusika ni Mungu wa giza
@@MabelKaaya-hl2je Mungu Aliye Ndiye mwamuzi wa maisha yeti.
Wewe hadi Léo unafanana tu fremason,acha kudanganya watu
Wewe okoka acha kumubili shetan bado wewe ni mwana waibilisi atukutaki mubili Yesu umekuja kuvuluga wakilisto utupati tuna Yesu toka shetani kwa jina la Yesu🔥🔥🔥🔥
Tunachojua sisi Mungu wetu karuhusu vingine hatujui ko tuache tunamuambudu Mungu aliye hai
Acheni kichafua watumishi wa mungu siku ya mwisho Kila neno utaritorea hesabu mwacheni apumzike Kwa amani.
Poleni sana ndugu sabron mungo awe nawe milele na akueke mahala pema patakatifu
Powers of darkness mshindwe katika jina la Yesu
Aiseee mungu akusaidie Sana kijana uliekosa maadili mungu akusaidie okoka acha dhamb wew utakufa vbaya Moto wa jehanam utakuunguza San
Cha muhimu shetani ana uwezo kuua Bali haezikuchukua roho,haezitoa,alafu kisasi Cha sasa hatuezikuzungumza na Mungu live uongo wew!!😮😮😮😮
Mungu atusaidie jameni❤🎉🎉
Nimecheka sana, yani mnenaji anajiramba!!!!😀😇
hauko serious aqiii😅😅😅😅
Mungu na akuhukumu kwa maneno ya kinywa chako
Huyu hana fani ya kuongea.Bro endelea tu na maisha yako.
Kifo ni jambo la kawaida, kila mmoja anakufa njia tofauti.Usiwape maumivu familia ya Zabron.
wapewe kama ni kwer
ANAELEWEKA KABISA MBONA
Zabron singers Nawapenda na Huyu jamaa ametimiza ule ujumbe wa wimbo wenu usemao mmekataa kusimulia wema wangu Mimi japo mwaujua mmrnyamaza...
Kipindi Marco yupo Huyu jamaa hakusema chochote kabisa Ila baada ya kifo cha mpendwa Huyu ndo kasema ama kweli Mungu najua namna ya kufikisha ujumbe wake kwa watu... Mungu awatie nguvu na muendelee kutoa injili kwa walimwengu kama Huyu jamaa
Family ya zabron mungu awatie nguvu weee shetan kafie mbali muogope mungu weee kijana 😭😭😭😭😭😭
Sometimes jifunze kuongea ukwelii acha kuongea mambo ya uongoo Mungu anakuonaa😅😅😅
Poleni sana Zabroni Singers. Marehemu apumzike kwa amani
Mungu sifunge hiyo mdomo forever,,shetani
Sahii watasema mengi sana kwa sababu ya marehemu mungu naye ninani
Hamulazepema
Ila mungu awasamehe sana nyinyi watu mnaolopoka hovyo mbona mnatafuta umalufu kilazima
Alipokuwa aimtukuza mungu halikuibuka hili limeibuka wakati wa kifo chale.
Ukweli kabisa 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
God he is the powerful to ll hispple
Yesu akuhurumie kabisa
Mungu ndeye anajuwa wacha zako mungu alimpenda kuliko sisituwai so kifo chake nimungu anajuwa sababugani alifaliki?
Ushidwe katika Jina la Yesu...
sauti ya mungu gani ninyi huongelea..yesu amewaonya kwenye bibilia amesema,,sauti ya mungu haijawahi siskika wakati wowote
Tumecoshwa na uongo wawa tanzania.Mungu akusamehe kaka
Acha uwongo huo kifo ni cha mungu sisi tunaamini mungu kachukua roho yake
Ulikuwa wapi kusema alipokuwa hai!? Mtumikie Mungu kikwelikweli acha story za freemason!
Poleni sana
Pepo wewe mbonga umefaa kitambaa nyekundu, Wacha nikuambie mungu atawapea amani juu inchi muzima wanalia juu yaiyo kifo kutoka hadi Tz pole mungu atarudi na 🔥🔥🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪
SI USIKILIZE TU UPATE MAARIFA?
Kumbuka Mungu wa dunia hii ni shetani hivyo zipo au upo ushahidi wa kweri kuhusu shetani kama ilivyo au zilivyoshuhuda za kweri kuhusu Mungu
Kwann umevaa hivy mbaka nakuogopa mungu anisaidie
Ndio nashindwa...Nini io amejifunika kwanza...inaogopesha
Ww ni lusifa pia na utakuja kufa vibaya Sana Mungu akusaidie urudi kwake mapema
Uongo ulikuwa wapi ww poleni sana kwa family ya zabroni singer😂😂😂😂😂😂😂
Ushindwe kwa jina la yesu
Nyie washenzii mtafute njia ingine ya kutafta pesa wajeni ujinga let Marco rest in peace 😢
Siku zote izi ulikuw wapi kuongea mpaka uje uongee Leo mungu akuokoe nauje kushuhudia kama unavyo ongea apo
Wewe kaka muogopeni Mungu aliye hai😢
Dah Mimi sijaona hata point yoyote . Ktk mazungumzo yote uliyoongea . Hii theology Yako philosophy Yako Iko chini sana . Hata biblia hauifuati unasema tuiombee Roho yake wakati imeandikwa bahada tu ya kufa ni ukumu. Na mahandalio ya moyo ni ya mwanadamu bali jawabu la ulimi kutoka Kwa Bwana . Ndugu wewe unataka umaharufu na unasema unazungza na Mungu mungu . Nimekuandikia M na m kama umesoma theogy unaweza tambua . Mungu ni Roho lakini pia mungu ni roho hivyo kuongea kwako na mungu siyo sifa inategemea unaongea na yupi. Wewe swala l kwenda kuzimu ukakaa na shetani ni hatari sana kama ni kweli Mimi nin ayemjua Mungu sintataka hata kuongea na wewe mahana shetani anazombinu nyingi anauwezo wa kujigeuza kuwa Nuru na kuwa giza pia hata anaweza kuwa mnyama. Wan wa Mungu walipokwenda kujiuthurisha mbele za Mungu shetani naye alikuwepo. Ktk kusanyiko Mungu shetani yupo. Hivyo sikumini sana Tena bible insema dhambi zote waweza kusamehewa lakini ukimkufuru Roho mtakatifu hutaweza kusamehewa. Na bible inasema ile namba 666 ni muhuri wa mkubliano Kwa wakati huu ambao kanisa liko duniani. Na itafanya kazi Kwa Siri. Hadi Sasa hicho chama chenu kinafnya kazi Kwa Siri ndiyo mahana kinawatumia kama wapelelezi mkijifanya mlaika wa Nuru . Ndugu kama isemavyo bible ukishapigwa muhuri hiyo ya 666 hauwezi kusamehewa na Mungu akakutumia kama mtumishi wake . Kumbuka Yesu msingi wetu na mfano ktk njia ya mbinguni hkuwai kumsijudu Ibilisi japo alikesha naye kumshawishi . Lakini alishinda ndo mana Leo tunalo kanisa takatifu. Yesu alimpendeza Mungu na wanadamu Toka utoto. Watumishi wa Mungu aliye hai wamechaguliwa Toka utoto. Kapo Kuna wengine wamechaguliwa kam Paulo lakini bado hakufikia kupigwa muhuri ya shetani. Biblia inasema Mihuri ya Mungu imetumika kwa wale wasiotenda uhofu. Wewe kama kweli ulienda kuzimu mahana hata Bado siamini . Basi wewe ni Ajenti mkubwa sana katika Dunia hii na sijuhi utaokolewaje mahana kufuatana na biblia dhambi yako haina msamaha. Mahana namba hii itaruhusiwa kufanya kazi waziwazi kanisa litakapo ondolewa na ni hatari sana Kwa siku hizi kama bibilia isemavyo kama siku hizi hatafupiswa ataokoka hata mmoja mahana shetani anatumia mbinu mbaya sana kuwapotosha Watu wa Mungu Kwa kutumia Neno ilo Iko amabolo hata shetani anlitimia. Mimi niwaombe wanadamu msikubali kudanganywa danganywa . Kifo ni haki ya Kila mwenye mwili. Wala mtu asikuambie maneno yoyote ya matisho kwakuwa pengine umefiwa wote wanfiwa. Au unumwa wote wataumwa. Na watakufa. Kila kitu kizuri ni kwa utumifu wa Mungu . Ata kifo Cha mtakatifu ni kwa utukufu wa Mungu. Tunauzunika tunalia kwasababu Kuna vitu tutakosa Kwa ajili ya aliyeondoka pia hakuna anayejua siku ya kumiona Tena . Lakini kifo siyo Tatizo Kwa mteule mahana Yesu alitubia Mwenyewe nyumbani mwa baba yangu kuna makao mengi kama sivyo ningaliwaambia. Hoo Alaluya I love Jesus.
ss tunaamini kwamba mungu ndie aliemuita Acha kutudanganya kwani yeye ndio wa kwanza kuondoka Acha kupotosha watu
Kazi ya mungu haina makosa fumilieni haya yatapita tu
Yaaani uko sawa toboa tobo hatasiku ya mwisho kilakitu kitawe wazi
Mbona mtu akiwa hai hamuongei wanadanamu mna maneno na vituko,God have mercy upon my life protect me please dear God 🙏🙏🙏
Poleni jamani
Ushindwe Kwa Jina la YESU kwenda kule
brother una wakati mungu sana una abudu kanisa Gani hiro
Polen sana family ya zabron kwamsiba mungu awape faraja
Huyu mtu anaboo sana,, hunanga lingine lakusema,, agopa ata mungu jamani hauna ata ushahidi ni kibelebele tu, tumekuchoka,
Congrats ❤
Acha stori brother,hautusaidii Sisi,Marco alikufa Kwa wakati wake mungu ndo anajua safari yake,hii ni nyakati za mwisho nani
Mungu si mwanadamu , mlindwe Na Mungu.
Pole kwa familia ya ZABRON
Kwa kuodokewa na mpendwa wenu mungu awatie NGUVU 🙏
✍️ Mabetu &Co
Mungu alimpenda saidi kwa kufariki kwake jee wakati ulionangahivyo mbona ukusemanga siri mapema wewe unaogopesha tu kwaidunia mtu akiondoka duniya mengi yanaongewa kifo chamtu mwana wa mungu ndiye ajuwaye mate ndogo yake na roho yake?
God he is the powerful to all his pple
Ndiyo nikweli hata kama alikuwa freemason kaishafikisha ujumbe wa MUNGU duniani
Mungu akukemee.
Aman Gani kengele wew umelpiwa shingap achen kutafta jina Kwa kuchafua wenzenu zaman kabla hajafa ulikuwa wapi nyashi wew😅😅😅
Ingekuwa vizuri hayo uyasemayo ungeriyasema wakati marcco yuko hai ili iwe sehemu ya kutubu kumrudia Mungu wake, mi naona unapoteza tu wakati wako , sisi utusimuliao tunalijua neno la Mungu na hatujawahi kukengeuka kama wewe tumetulia na injili aliyotupa Mungu, je ulijiunga na freemason Kwa kutafuta nini? Na ni nini kilichokutoa tena huko? Mi naona bado wewe hujajijua ulipo mpaka sasa na hujui unakokwenda
ww Bado ni freemason umetumwa mungu akusaidiye kwl
Huu ulimwengu tupo mwisho,tusimjalibu mngu wa mbinguni.😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wahaa dunia imeisha wacha Mungu atusaidie.
Mungu njo muhukumu wa kweli
Umesema kanumba alikuwa mtumishi wa Mungu? Mateka wa shetani sio wanaokunywa pombe ni waliouliwa kichawi? Haaaaa marehemu steven kanumba alikuwa hajiusishi na mambo ya kichawii alikuwa anamtumikia Mungu wa kweli 17:20 .nimekujua wewe dogo bado ujapona unaendelea na kazi.....Nakuombea upone in Jesus name.
Hata kama alikua wapi lakin neno la mung limesambaa kote ulimwenguni wenye kujifunza tumejifunza
kazi ya mungu ibarikiwe
cku zote mtu akfa meng ya uongo hutokea wewe kwa nn hukuyasema akwa hai,mungu aiweke roho ya marehem pema pepon,we mwendawazmu bana,
What a time! Satan himself has transformed himself into an angel of light....
Why the red attire of occultism if you be delivered already?
😢😢😢 tutajuaje kwamba wewe ni wa kweli,, alipokua hai hukua na huu ujumbe; je ulikua naye Freemason dini.
Yaan anatia hasira huyuuuu duuuh!!
Poleni Zabron 😢
Duhh Wabongo kilahatua ni fursa muhuni kaona haitoshi we adhabu gani uliopata
😂😂😂 mbona wew ujapata hiyo adhabu tokea umeanza kudanganya watu
Itoshe kusema Bwana na akukemee
Sasa ukiongea leo na mtu hayupo tenaa unadhan itasaidiaa niniii kwa mfanoooo????Anyway napitaaa!!
Mbwaa acha ujinga,ka hajafa Ako kwako,,Mungu akuchape kiboko
Anaejua ni mungu Mimi siwezi kubisha wa kukubali maneno haya
Poleni sna familia ya zabron singes
Acha zako kaka huyo musache aka pumzika mungu ameruhusu hivi mbona kama umekosa kazi za ku fanya kaka angu muache mwezio apumzike
N nn mbaya na nyie wat😢😢😢Mbona hata kwenye misibanaleta mzaha nkt..
Liongo hili anakera sana,kwanza watymishi wa Mungu haeavaagi hilo fulo lako,acha kuumizq familia yamarehem Marko kwauongo wako
😃😃😅hii nchi sasa uyujamaa amepauka Fremason ganisasa hanaela
Poleni sana familia ya zabroni mungu awatiye nguvu bwana alitowaa na bwana ametwa
Mbona hukusema mapema? Acha uongo, mtu akupata pesa ni rusifer dah😅😅
Freemason hawi mchovu kama fala huyu,sura kavu kma hiyo,hata lotion Hana uwezo kununua
Huyu amechanganyikiwa anachokiongea hakifahamu. Mungu akusamehe kaka na uache kuchafulia watu majina
jaman dunia imeisha wapendwa kwa hali hii hasra ya mungu itawaka juu ya wanadam
What we know is that the Messiah is coming leave people of the Lord because the Lord has send the mightiest mightiest heroes of Jehovah Yahweh to prepare us for the glorious kingdom of heaven
Mavazi, macho,na maongezi yako yanakaa tu freemason
Na mdomo ya huyu Jini inakaa tu ya Mchawi
Shetani mkubwa wewe .. Chieth!!! Guok!!!
Enyewe anatutanganya kabsa ,huyu ni freemason kabsa ata maboeka na stori zake
Hv wew umekosea njia ya kujulikan mtandaon au ayo mazito kaongee na wazazi wako msenge wewe Marco kafa Kwa tatizo lake na izo hudum zako kawape uko wako mbwa wewe
Uyu namjua vyema sana ila stor yake yaleo sina akika kama yakweli@@CYNTHIACHELIMO-u7n
Kwan kby kip kaongea