Baadhi ya waandamananyi wafanikiwa kupenya na kufika mpaka Ikulu.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025
- Licha ya polisi kuweka ulinzi mkali katika mitaa mbalimbali ya jiji la Dar Es Salaam kuwadhibiti watu wanaodhaniwa ni Waumini wa dini ya Kiislamu waliokuwa na nia ya kufanya maandamano kuelekea Ikulu kwa lengo la kushinikiza kuachiliwa huru wenzao wanaoshikiliwa na polisi baadhi yao wamefanikiwa kupenya hadi katika maeneo ya Ikulu japo wameishia mikononi mwa polisi waliokuwa wamezunguka kona zote za makazi hayo ya raisi
nikweli sheikh wang
Allah akbar
Wewe unaweka Video hii ya zamani ili iweje?
Safi sana wewe na Mungu ataingilia kati
Ya zamani hii
Allah Atunusur InshaAllah na bila ya Kuamkaa ss waislam tutazid fanyiw madhila...Allahummah nsurn Islam
Mmekoswa kazi mnachochea vita
Matukio ya 2012 yanatangazwa leo vipi?
Iko ck taifa hili la Tanzania vilio vya wanyonge vitajibiwa 2 bara na visiwani endeleeni kuendeleza 2 ukoloni
mashallah. wala usikhofu kwani hata wasitupe hatimaya sote ni kwa mchanga tu
Jidanganyeni
ssa ninyi mnakilio gani wapuuzi ninyi hivi mmejaribu kwenda syria au somalia inamaan huyo mungu haoni huko?
Usingize uislamu kwa tamaa zako zadunia
Jaman hii kama ya zamani
Na ww itv taarifa ya miaka minane iliyopita unaiweka leo siku ya uchaguzi siku maalum ili iweje hasa?nini Nia na madhumuni ITV?
Kumbe ya mda
Yaani wewe kukomenti kwako leo ndio kumeifanya hii taarifa kuji-update
Kwa hiyo ITV mmeweka taarifa ya kipindi cha kikwete mkiambiwa mnachochea vita mlipe mtaanza kutafuta huruma kwa wananchi
Kumbe we mjane
Inaoneksna we mgeni youtube. Karibu. Pale juu inasema waliiweka miaka 8 iliyopita, youtube ndio wameona wakuletee leo. Sijui wamekuchukuliaje yani 😂😂😂
@@namchokondasaid9866 na uo ujane ukawe fungu lako
Tatizo we ni mento au kwakuwa we ni mjane
@@namchokondasaid9866 aonavyo nafsini mwake mtu ndivyo alivyo na nje, na kimtokacho mtu ndicho kiujazao moyo wake.
Kweli. Mwandamaji. Uripo, 2 po
Hiyo ya muda jamani
Bada ya kumuona Shee Alicho kisema mwili ulisismuk na Hili Mungu atafanya tu
Jamani bona mbona hivyo
Acha kuzingua hiyo ya mda sana ww
Wew monyewe c unaona 8 yrs ago
Miaka 8 iliyopita wew umependa kutizama monyewe
Muna upendo gani munauwana kwa mia mbili 2
Kwani aliyekojolea koroani ni Magufuli. Hivi hawa watu wanajua utawala bora na pia wanajua katika haina dini Wala Serikali haina Dini!?
2020 like hapa
TAARIFA HII HAIKUTAKIWA IWEKWE KIPINDI HIKI ITAAMSHA HISIA MBAYA ZA WATAZAMAJI. KUMBE NI TAARIFA YA ZAMANI, HAIKUSTAILI IONYESHWE JAMANI.
Kabisa
Nyie mnaleta vitu gani
Duh..police wa TZ wana juwa kutembeza virungu
umefrahi shehe alivodhalilishwa kaka yangu ee mbna dunia inakutia joto sana.
Na mtapata tabuu kidini mwaka huu na urais utaenda kwa wakristo mana hamjitambui na dini yenu ya kslamu mnajivuruga wenyewe
Hamujitambui nynyi makafiri watu wanaongea poit shida no madai yao sio chukizako za kidini kafiri www
Haki ikifuatiliwa hutaona haya yakitokea
JAMANI KUHUSU UISLAMU AULIZWE MWISLAMU
❤️❤️ Katika simu yako ingia sehemu ya TH-cam andika Fadhaget TV. Ili uwe unapata Video zetu za Afya Kutoka kwa Dr. Fadhili Emily wa Fadhaget Clinic Mbezi Beach Africana Dar Es Salaam na Usisahau ku Subscribe Chanel yetu ya Fadhaget TV. @Fadhaget @Fadhaget @Fadhaget #Fadhaget TV
Walikuwa wanatafuta haki gani Ikulu? Watu hawajijui wanaangaika tu na kuleta fujo. Kwani hawa waislamu ni wstu yofauti. Islamu ni dini siyo utu binafsi . Mtu afitumie dini kutafuta haki yake. Mtu aseme shida yake??, siyo kusema sisi waislam au mimi muislum. Hiyo siyo shida. Jamani mnavhanganya shida za kibinafsi na dini. Ni vitu tofauti.
Naikumbuka hii sio ya juzi nimesahau tu ilihusu nini
Bila yakukumbuka 😂cimeandikwa hapo miyaka 8 ilopitaaa🤣usiumize kichwa bure
Shehe umesema vema, wote tutakufa, ya nini kutendana unyama huu
Nashangaa utazani hawafi wao Dunia Ni yaoo hii kwanini watese watu
@@محمدالقايد-د6ب ila Mungu yupo watapata majibu yao
ssa unyama gani wametendewa
@@محمدالقايد-د6ب wameteswaje ssa wwe umekatazwa kuandamans alfu unaandamana kisha unasema unateswa kama sio upumbavu ninini
@@harrisonsamwel3112 hata hauhitaji elimu ya juu kuelewa unyama unatendeka Bara na Visiwani
Halafu nyinyi wadishi wahabar wapuuz kwel mnatuma kitu cha zama sara kabisa
Ni aibu kwa mtu mzima mwenye wototo kuwa mwizi jambazi
😂😂😂😂😂😂 miaka 8 iliopita ila bongo
Kwanza huyo sio muislam
Ndivyo alivyo kwambia kwamba yy siyo mwislamu
Simumwachee atembee kwani atakimbiaa mnazambi mapolisi wababe maana siwote mapolisi Ni wabaya wapo Baath yao
Mujue kula MTU atakufa usiringie cheo .cheo nn bwana
Sasa kaenda kufata nn kama si ushari achen kulama akuna udin nchi hii
Ni vigumu kufananisha chanzo cha tatizo na matukio haya,ndugu zetu waislamu mnasifika saana kwa ustaraabu ila kuanzia leo naona hiyo sifa sio yenu.
Kumbuka ustaarabu hupatikana Kwa ustaarabu
Sasa ii video ni ya mud mkubwa sana jmn
angalia muda iliyopostiwa ni miaka 8 iliyopita
2012
Mbona km ya siku nyingi.aaaaaa kumbe rais alikuwa kikwete.nyamazeni basi
Ok
Mtoeni meno yote huyo
wamal hayaatu ddun yaa illa maa ulghuruuur dada yangu
maisha ya dunia ni yakupita tu wakimtoa meno akifa kwnai wangapi wamekufa na walikua nani hapa?
Sasa anacha familia yake anaenda kuandaman akipigwa hapo hata Risas anacha familia yake kipumbavu tyuu hata ane mshabikia yeye familia yake iko salam wanakula na kunya huo ujinga wabomoe hata jicho ili liwe funzo kwa wengine na hata ck moja atoe istoria kwa familia yake
@@goodmusic8389 Acha kuongea ujinga wa Ma-CCM wezi na wanao kula damu za Watanzania wanyonge nchi hii... ni Mafidiem ambao hawataki kusemea Haki kwa sababu ya msemo wa watanzania usemao "NI MWIKO au SIO UTAMADUNI MZURI KUONGEA WAKATI WA KULA" tangu uhuru wanao kula NCHI HII NI CCM ni CCM"Chanzo Cha Matatizo/Machafuko" ndo maana hawawezi kusimama kwa kuongelea HAKI KUTENDEKA KATIKA NCHI HII... HAWAWEZI KUSEMA CHO CHOTE CHA KUJENGA TAIFA HILI..." WANAKULA" huku watanzania wanyonge WANASHINDIA NJAA... IPO SIKU WATANZANIA HAWA WANYONGE WATAFANYA MAAMUZI MAGUMU yaan "WATAONA NI BORA ...KUCHAGUA KUFA KWA HIZO RISASI ZA CCM, TUMECCM na POLICCM... kuliko KUTESEKA KWA MANYANYASO YA MA-CCM huku WAKIFA KWA NJAA YA KUKOSA CHAKULA"....!!!
Kuma tu uyo shoga
Mhuburi 6:
3 Mtu akizaa watoto mia, akaishi miaka mingi, nazo siku za maisha yake ni nyingi, lakini nafsi yake haikushiba mema; tena ikiwa, zaidi ya hayo, amekosa maziko; mimi nasema, Heri mimba iliyoharibika kuliko huyo;
Ndo shida ya kuzaa wengi ovyo wanataka haki na Ajira ya kizawadi wasiyoistaili wateuliwa tu kidini
TUTUMIENI NA VIDEO ZA MAISHA YA BABA WA TAIFA, MAANA NAONA MMEISHIWA MPYA
Imepita miaka minane sas angalieni comments zenu n tofaut na ya ss
Hahaa
Iyo ndiyo imani kwa waislamu hakuna kurudi nyuma
itv pumba
Video ya 8 years mnaonyesha leo mnamana gani?
Uchonganishi tu
Uchonganishi tu
tatizo elimu
mhmm ww acha tuelimu nani ss uyoustadh hana elimu ee ipo siku utakuja kuijua thamani yakena ttakua mda umeisha.
Hiyo ni ya kitambo acheni ujinga
Sasa c unaona n miaka 10 iliyopiota...ww vip
uyu mjinga sio muislamu, mshamba uyoo! pigeniiiiii
Haki ipo
Piga hao wapumbavu
TANZANIA ni nchi ya kikafli k m
Sasa si uhame ukaisha ya baba yako😡
😭😭😭😭😭😭
viongozi mnako taka twende tutafka tu maana waislam kwao kufa kwa ajili ya dini ni hadhi na heshima kubwa kwetu......Jee misri wameuliwa raia wngap?...lakini mubaraka si aling'oka..mageuziii!!.....oyeee
Sasa wanatak kuleta udini
We nae wakupiga huna.lolote unasaport ujinga ujitoe sadaka kwa jiri ya mtu ten hakufaham yeye yuko zake tyuu anainjoy
Yan nyie mtaalaaniwa ila jiskie sana ila wote wawe wakubwa wadogo kuna kufaaa nyanyasen tuu watuu
ipo siku thamani ya kila mtu wa allah atajulikanwa.
Hata vitabu vya dini vinasema watiini wenye mamlaka , Sasa Kama wewe unapinga upigwe tu
Mwehu wewe kwani uliambiwa maandamano ya 26 ni ya kidini?mbona unachanganya mambo! Hayo malalamiko ya waislam hayajaanza leo awamu zote sasa Magufuli ameingia juzi tu, haya yanamhusu vipi? Umebughi hayo sio ya mange ila ya wewe binafsi
Soma vizur sio ya leo hiyo toka 2012..kuku wee ..mnapenda kukurupuka mambo yamepitaaa
athumani choyo Kuku wewe na hao wajinga wenzio mmezoea vya bure shetani mkubwa weee rudi nyuma yezebel kwani ilikuwa lazima utukane? Mshenzi mkubwa yang'au ungekuwz muislam kweli usingetukana. Kulalamika lalamika tu hamna jema tumewazoea maisha lazima yaende tu. Ovyooooo
Mjinga ni wew ulieshindwa kusoma alama za nyakati
ROSE HILLARY haha?
David Madeje.tatizo watazania wanafiki sanaa
Ila uislam ni ushetani tuu waende somaria na yemeni na sudani wakaandamane na siyo TZ
shetni ww na waza wako waliokuzaa sio uislam
James Ngunda Teresia ukilisto.ndio.uxhetani.wee.kafirituuuu.hujuichochote
Wewe kafili kwakwambia Nani uislamu niushetani acha maneno yashombo unakua Kama shoga ukihongwa buku una ongea ujisikiavyo
Hii ni dhulma kweli
Jaman nchi yetu haina maonezi ya Kidini kabisa hapo serikali yangu naitetea mpaka mwisho.
This is sheet
Hao hawana hakir timam libaba lizima kabra ukatafutie lafe familia yako unaenda kuandaman huo ni kuonyesha baba mpumbavu kiasi gan? Tumien akili hat kuteng mchangua lissu yeye angekuwa anawaletea na pesa majumban kwenu mwendo ni ule ule mwanaume atakula kwa jasho HAPA KAZI TU
shida yao Ni kwamba Nchi iongozwe na Quraani
?
?
?
Ibrahim Gwasma unakijua unachokiongea?
Ibrahim Gwasma Wajinga tuu Lybya iliongozwa na nani leo kiko wapi? Chunguza nchi zote za uarabuni ulikotoka uislamu ni vurugu tupu hakuna la maana wenyewe wanagombana mbaya. Hawataki kuambiwa ukweli, wengi wao ni wavivu, hawataki kusoma/ hawasomeshi watoto kisha wanalalamika. Mimi nina mifano mizuri ya waislamu safi, wacha Mungu, wasomi na kamwe huwezi kuwakuta kwenye upuuzi kama huu ni wale wa aina ya wavivu kwa sababu hawana la kufanya ila tu kupanga uharibifu