WAFAHAMU MASHAHIDI WA YEHOVA BONGO, MITAZAMO NA IMANI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ต.ค. 2024
  • MAHOJIANO MAALUMU YA MASHAHIDI WA YEHOVA TANZANIA. IMANI NA MITAZAMO YAO NDANI YA JAMII. USISAHAU KUSUBSCRIBE CHANNEL HII ‪@ganganainfochannel‬

ความคิดเห็น • 78

  • @israelpallangyo1664
    @israelpallangyo1664 ปีที่แล้ว +7

    Kutoka Arusha, Hongereni sana akina ndugu kwa kujibu maswali vizuri na tunashangwe sana kwa ajili yenu.

    • @jeanberchmansngendakuriyo2814
      @jeanberchmansngendakuriyo2814 11 หลายเดือนก่อน

      Hawa wazee walisahau kuuambia umma kuwa ktk historia yao YOTE mpaka sasa, Mashahidi wamefundisha mafundisho mengi ya UONGO ikiwemo kutangaza mwisho wa dunia kufika mwaka 1914, baadaye wakauhamishia 1918, 1925, 1975 na ktk karne ya 20 (eti kabla ya izazi cha mwaka 1914 KUTOWEKA). Mafundisho mengi mengi mengi ya UONGO pamoja za katazo la kuchangia damu na kuwekewa damu huku wakikubali kutiwa chembe chembe (fractions) za damu mishipani? Hivi, ikiwa kuwekewa damu mishipani ni sawa na KULA damu, nani kawaruhusu Mashahidi KULA chembe chembe za damu kama hemoglobin, albumin, immunoglobulin, nk. Mbona hizo weruhusiwa kuzitiwa MISHIPANI? (Tembelea: www. jwfacts.com na www.ajwrb.com na www.4jehovah.org)!!!

  • @robertally3538
    @robertally3538 7 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana ndg Kwa majbu yenyekugusa hisia ,tuwapongeza TBC Kpd Npe 5 na Khalid Gangana...

  • @ndewingiya
    @ndewingiya 2 ปีที่แล้ว +8

    Asanteni sana ndugu zetu wapendwa Zadok Mwaipwisi na Francis Mfuko.

  • @Christinengina-u5s
    @Christinengina-u5s 10 หลายเดือนก่อน +1

    Asanteni sana ndugu zetu

  • @oscarkileka3722
    @oscarkileka3722 ปีที่แล้ว +3

    Hongereni kwelikweli... mmejibu kwanjia iliyowastarehesha waliotazama na kusikiliza mahojiano hayo... asante sana kwa kutenda kwa niaba yetu

    • @jeanberchmansngendakuriyo2814
      @jeanberchmansngendakuriyo2814 11 หลายเดือนก่อน

      Hawa wazee walisahau kuuambia umma kuwa ktk historia yao YOTE mpaka sasa, Mashahidi wamefundisha mafundisho mengi ya UONGO ikiwemo kutangaza mwisho wa dunia kufika mwaka 1914, baadaye wakauhamishia 1918, 1925, 1975 na ktk karne ya 20 (eti kabla ya izazi cha mwaka 1914 KUTOWEKA). Mafundisho mengi mengi mengi ya UONGO pamoja za katazo la kuchangia damu na kuwekewa damu huku wakikubali kutiwa chembe chembe (fractions) za damu mishipani? Hivi, ikiwa kuwekewa damu mishipani ni sawa na KULA damu, nani kawaruhusu Mashahidi KULA chembe chembe za damu kama hemoglobin, albumin, immunoglobulin, nk. Mbona hizo weruhusiwa kuzitiwa MISHIPANI? (Tembelea: www. jwfacts.com na www.ajwrb.com na www.4jehovah.org)!!!

  • @ahazimwanja1830
    @ahazimwanja1830 ปีที่แล้ว +1

    Asanteni ndugu zetu kwa kufunua kweli za neno la Mungu. TBC asante kuwaalika mashahidi wa Jehova. Ndugu Ahazi Mwanja Mbeya

    • @jeanberchmansngendakuriyo2814
      @jeanberchmansngendakuriyo2814 11 หลายเดือนก่อน

      Hawa wazee walisahau kuuambia umma kuwa ktk historia yao YOTE mpaka sasa, Mashahidi wamefundisha mafundisho mengi ya UONGO ikiwemo kutangaza mwisho wa dunia kufika mwaka 1914, baadaye wakauhamishia 1918, 1925, 1975 na ktk karne ya 20 (eti kabla ya izazi cha mwaka 1914 KUTOWEKA). Mafundisho mengi mengi mengi ya UONGO pamoja za katazo la kuchangia damu na kuwekewa damu huku wakikubali kutiwa chembe chembe (fractions) za damu mishipani? Hivi, ikiwa kuwekewa damu mishipani ni sawa na KULA damu, nani kawaruhusu Mashahidi KULA chembe chembe za damu kama hemoglobin, albumin, immunoglobulin, nk. Mbona hizo weruhusiwa kuzitiwa MISHIPANI? (Tembelea: www. jwfacts.com na www.ajwrb.com na www.4jehovah.org)!!!

  • @elizabetherenesti309
    @elizabetherenesti309 ปีที่แล้ว +7

    Asanteni sana Ndugu zetu mmeeleza vizuri na mmeeleweka na mmejibu maswali ya wengi waliokuwa hawawajui Mashahidi wa Yehova ni watu gani.

    • @neemependezamahassan4387
      @neemependezamahassan4387 ปีที่แล้ว

      Neema Hassan
      Asanteni akina ndugu kwa mahjiano mazuri ni baraka kwa Yehova

  • @gracejulius3966
    @gracejulius3966 ปีที่แล้ว +5

    Asante Yehova Mungu kwa kuwezesha TBC kutoa fursa hii, habari njema imehubiriwa kwa Khalid Gangana pamoja na maelfu au mamilioni ya watu wanaofuatilia au watakaofuatilia mahojiano haya. Much greetings from Magu Mwanza Tz.

    • @jeanberchmansngendakuriyo2814
      @jeanberchmansngendakuriyo2814 11 หลายเดือนก่อน

      Hawa wazee walisahau kuuambia umma kuwa ktk historia yao YOTE mpaka sasa, Mashahidi wamefundisha mafundisho mengi ya UONGO ikiwemo kutangaza mwisho wa dunia kufika mwaka 1914, baadaye wakauhamishia 1918, 1925, 1975 na ktk karne ya 20 (eti kabla ya izazi cha mwaka 1914 KUTOWEKA). Mafundisho mengi mengi mengi ya UONGO pamoja za katazo la kuchangia damu na kuwekewa damu huku wakikubali kutiwa chembe chembe (fractions) za damu mishipani? Hivi, ikiwa kuwekewa damu mishipani ni sawa na KULA damu, nani kawaruhusu Mashahidi KULA chembe chembe za damu kama hemoglobin, albumin, immunoglobulin, nk. Mbona hizo weruhusiwa kuzitiwa MISHIPANI? (Tembelea: www. jwfacts.com na www.ajwrb.com na www.4jehovah.org)!!!

  • @dmwood5431
    @dmwood5431 ปีที่แล้ว +4

    intervew hii imenifundisha kujibu mawswali kwa ufupi na njia sahiii....hongereeni ...ndugu zangu na khalid...👏👏👏👏👏👏👏

    • @jeanberchmansngendakuriyo2814
      @jeanberchmansngendakuriyo2814 11 หลายเดือนก่อน

      Hawa wazee walisahau kuuambia umma kuwa ktk historia yao YOTE mpaka sasa, Mashahidi wamefundisha mafundisho mengi ya UONGO ikiwemo kutangaza mwisho wa dunia kufika mwaka 1914, baadaye wakauhamishia 1918, 1925, 1975 na ktk karne ya 20 (eti kabla ya izazi cha mwaka 1914 KUTOWEKA). Mafundisho mengi mengi mengi ya UONGO pamoja za katazo la kuchangia damu na kuwekewa damu huku wakikubali kutiwa chembe chembe (fractions) za damu mishipani? Hivi, ikiwa kuwekewa damu mishipani ni sawa na KULA damu, nani kawaruhusu Mashahidi KULA chembe chembe za damu kama hemoglobin, albumin, immunoglobulin, nk. Mbona hizo weruhusiwa kuzitiwa MISHIPANI? (Tembelea: www. jwfacts.com na www.ajwrb.com na www.4jehovah.org)!!!

  • @pascalmruma9136
    @pascalmruma9136 ปีที่แล้ว +3

    Hongereni sana akina ndugu.Tunathamini sana kwa kazi yenu nzuri.

  • @phebbyshayo9099
    @phebbyshayo9099 ปีที่แล้ว +4

    Asanteni sana ndugu zetu..nawapata kutoka Kigali..Phebby Shayo

    • @matronafrank9838
      @matronafrank9838 ปีที่แล้ว

      Mtangazaji uko vizuri sababu maswali yako yanajenga sama

  • @hezronmoses1082
    @hezronmoses1082 ปีที่แล้ว +5

    Asanteni sana

    • @cosmasfrancis1700
      @cosmasfrancis1700 ปีที่แล้ว +2

      good interview

    • @nicholaceseni9503
      @nicholaceseni9503 ปีที่แล้ว +1

      We appreciate you for all brothers to represent meaningful way, thanks Jah....!

  • @samkibomusic3872
    @samkibomusic3872 ปีที่แล้ว +1

    Nimefurahi sana kuwaona ndugu zetu mashaidi wa yehova naomba pia kipindi iki kiwe endelevu ndugu mtangazaji

  • @dullydulle9085
    @dullydulle9085 ปีที่แล้ว +1

    Ahsanteni sana akina ndugu, Kwa kuwakilisha vema. Sangwi Dulle songwe Shiwinga mbeya Tanzania.

  • @zerimwasaka-qz2hq
    @zerimwasaka-qz2hq ปีที่แล้ว +1

    Asante yehova

  • @elizabethmbilinyi9280
    @elizabethmbilinyi9280 ปีที่แล้ว +3

    Hongereni Sana kina Ndugu kwa maelezo Mazuri.

    • @jeanberchmansngendakuriyo2814
      @jeanberchmansngendakuriyo2814 11 หลายเดือนก่อน

      Hawa wazee walisahau kuuambia umma kuwa ktk historia yao YOTE mpaka sasa, Mashahidi wamefundisha mafundisho mengi ya UONGO ikiwemo kutangaza mwisho wa dunia kufika mwaka 1914, baadaye wakauhamishia 1918, 1925, 1975 na ktk karne ya 20 (eti kabla ya izazi cha mwaka 1914 KUTOWEKA). Mafundisho mengi mengi mengi ya UONGO pamoja za katazo la kuchangia damu na kuwekewa damu huku wakikubali kutiwa chembe chembe (fractions) za damu mishipani? Hivi, ikiwa kuwekewa damu mishipani ni sawa na KULA damu, nani kawaruhusu Mashahidi KULA chembe chembe za damu kama hemoglobin, albumin, immunoglobulin, nk. Mbona hizo weruhusiwa kuzitiwa MISHIPANI? (Tembelea: www. jwfacts.com na www.ajwrb.com na www.4jehovah.org)!!!

  • @wilhelminamutembei8039
    @wilhelminamutembei8039 ปีที่แล้ว +4

    Yaani kweli ushahidi umetolewa! Ahsante Baba Yehova!!!

    • @jeanberchmansngendakuriyo2814
      @jeanberchmansngendakuriyo2814 11 หลายเดือนก่อน

      Hawa wazee walisahau kuuambia umma kuwa ktk historia yao YOTE mpaka sasa, Mashahidi wamefundisha mafundisho mengi ya UONGO ikiwemo kutangaza mwisho wa dunia kufika mwaka 1914, baadaye wakauhamishia 1918, 1925, 1975 na ktk karne ya 20 (eti kabla ya izazi cha mwaka 1914 KUTOWEKA). Mafundisho mengi mengi mengi ya UONGO pamoja za katazo la kuchangia damu na kuwekewa damu huku wakikubali kutiwa chembe chembe (fractions) za damu mishipani? Hivi, ikiwa kuwekewa damu mishipani ni sawa na KULA damu, nani kawaruhusu Mashahidi KULA chembe chembe za damu kama hemoglobin, albumin, immunoglobulin, nk. Mbona hizo weruhusiwa kuzitiwa MISHIPANI? (Tembelea: www. jwfacts.com na www.ajwrb.com na www.4jehovah.org)!!!

  • @Saranold
    @Saranold 2 ปีที่แล้ว +7

    Yehova aendelee kuwatunza ndugu zetu 🙏

    • @matronafrank9838
      @matronafrank9838 ปีที่แล้ว +1

      Asante Yehova ww una nguvu na kweli watalazimika kumjua Yehovani nani

  • @pelesydaud7744
    @pelesydaud7744 2 ปีที่แล้ว +10

    Mimi Dada hobokela toka urambo tbr nimefurahi saana kwa kitia moyo chenu🙏

    • @jeanberchmansngendakuriyo2814
      @jeanberchmansngendakuriyo2814 11 หลายเดือนก่อน

      Hawa wazee walisahau kuuambia umma kuwa ktk historia yao YOTE mpaka sasa, Mashahidi wamefundisha mafundisho mengi ya UONGO ikiwemo kutangaza mwisho wa dunia kufika mwaka 1914, baadaye wakauhamishia 1918, 1925, 1975 na ktk karne ya 20 (eti kabla ya izazi cha mwaka 1914 KUTOWEKA). Mafundisho mengi mengi mengi ya UONGO pamoja za katazo la kuchangia damu na kuwekewa damu huku wakikubali kutiwa chembe chembe (fractions) za damu mishipani? Hivi, ikiwa kuwekewa damu mishipani ni sawa na KULA damu, nani kawaruhusu Mashahidi KULA chembe chembe za damu kama hemoglobin, albumin, immunoglobulin, nk. Mbona hizo weruhusiwa kuzitiwa MISHIPANI? (Tembelea: www. jwfacts.com na www.ajwrb.com na www.4jehovah.org)!!!

    • @jeanberchmansngendakuriyo2814
      @jeanberchmansngendakuriyo2814 11 หลายเดือนก่อน

      Hawa wazee walisahau kuuambia umma kuwa ktk historia yao YOTE mpaka sasa, Mashahidi wamefundisha mafundisho mengi ya UONGO ikiwemo kutangaza mwisho wa dunia kufika mwaka 1914, baadaye wakauhamishia 1918, 1925, 1975 na ktk karne ya 20 (eti kabla ya izazi cha mwaka 1914 KUTOWEKA). Mafundisho mengi mengi mengi ya UONGO pamoja za katazo la kuchangia damu na kuwekewa damu huku wakikubali kutiwa chembe chembe (fractions) za damu mishipani? Hivi, ikiwa kuwekewa damu mishipani ni sawa na KULA damu, nani kawaruhusu Mashahidi KULA chembe chembe za damu kama hemoglobin, albumin, immunoglobulin, nk. Mbona hizo weruhusiwa kuzitiwa MISHIPANI? (Tembelea: www. jwfacts.com na www.ajwrb.com na www.4jehovah.org)!!!

    • @erickbudigoma7999
      @erickbudigoma7999 7 หลายเดือนก่อน

      I see you madam boss 💯

  • @agnesappolinary4770
    @agnesappolinary4770 ปีที่แล้ว +2

    Hongereni sana akina ndg.

  • @oscarnevelle5472
    @oscarnevelle5472 ปีที่แล้ว +2

    Asanteni sana yehova awabariki sana akina ndugu.

  • @jonathanmbua6118
    @jonathanmbua6118 ปีที่แล้ว +2

    Hongeren sana ndugu kwa majibu na kuelezea vzur

  • @wilhelminamutembei8039
    @wilhelminamutembei8039 ปีที่แล้ว +1

    Ahsanteni sana wandugu. Ahsante pia TBC kutoa nafasi hii ili ukweli usikike. Shukrani sana

  • @laurynlyatuu6928
    @laurynlyatuu6928 ปีที่แล้ว +2

    Asanteni sana kina Ndugu

  • @user-hk1gj3bn9f
    @user-hk1gj3bn9f ปีที่แล้ว +1

    Hongereni sana akina ndugu kwa maelezo yenye kueleweka,
    Motisha simon kutoka Chimala Mbeya.

  • @gevissimbeye272
    @gevissimbeye272 ปีที่แล้ว +1

    Kwakwel tunamshukuru xan Yehova Kwa kuwategemeza mkawa wasemaji wazuli Ongelen majibu yalihusisha zaidi maandiko safi

  • @mebinmlwafu4762
    @mebinmlwafu4762 ปีที่แล้ว +1

    Hongereni sana kwa mazungumzo hayo

  • @hellennkalangango2515
    @hellennkalangango2515 ปีที่แล้ว +2

    Asanteni sana Alina ndugu

  • @O11CEreview
    @O11CEreview ปีที่แล้ว +2

    Yehova bariki kazi za ufalme duniani

  • @ethlenkoko3419
    @ethlenkoko3419 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hasate ndugu zetu

  • @stephanompunga1026
    @stephanompunga1026 ปีที่แล้ว +2

    Ni kweli ndugu zangu mmejibu kwa busara na hekima. Ila kuna baadhi ya maswali hamjajibu kwa usahihi,, yaani hayakueleweka kwa urahisi na wakati mwingine, tofauti kabisa na swali lililoulizwa.
    Ila hongereni sana.

    • @jeanberchmansngendakuriyo2814
      @jeanberchmansngendakuriyo2814 11 หลายเดือนก่อน

      Hawa wazee walisahau kuuambia umma kuwa ktk historia yao YOTE mpaka sasa, Mashahidi wamefundisha mafundisho mengi ya UONGO ikiwemo kutangaza mwisho wa dunia kufika mwaka 1914, baadaye wakauhamishia 1918, 1925, 1975 na ktk karne ya 20 (eti kabla ya izazi cha mwaka 1914 KUTOWEKA). Mafundisho mengi mengi mengi ya UONGO pamoja za katazo la kuchangia damu na kuwekewa damu huku wakikubali kutiwa chembe chembe (fractions) za damu mishipani? Hivi, ikiwa kuwekewa damu mishipani ni sawa na KULA damu, nani kawaruhusu Mashahidi KULA chembe chembe za damu kama hemoglobin, albumin, immunoglobulin, nk. Mbona hizo weruhusiwa kuzitiwa MISHIPANI? (Tembelea: www. jwfacts.com na www.ajwrb.com na www.4jehovah.org)!!!

  • @hellennkalangango2515
    @hellennkalangango2515 ปีที่แล้ว +1

    Hongereni sana ndugu zetu

  • @joycejulius3145
    @joycejulius3145 ปีที่แล้ว +1

    Asanteni sana kinandugu wapendwa

  • @eustacheizere6534
    @eustacheizere6534 ปีที่แล้ว +3

    Moyo wangu unashangwe Nyingiiii saaaaana Kwa kuwaona Wazee wetu wa Kiroho wakiliwakilisha jina la YEHOVA. YEHOVA aendelee kuwa nanyi Ndugu zetu wapendwa Mnaojitahidi kadiri Ya uwezo wenu ili Kuhubiri Habari njema ya Ufalme wa YEHOVA. Na YEHOVA awe pamoja nanyi Na kuendelea kuwalindi dhidi ya Mashambulizi ya Shetani Ibilisi. Ninawashukuru saaaaana kwa kuliwakilisha jina La Mungu wetu wa Kweli YEHOVA.Asanteni🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏. Jina langu Naitwa Eustache izere Natokea Nchini Burundi

    • @jeanberchmansngendakuriyo2814
      @jeanberchmansngendakuriyo2814 11 หลายเดือนก่อน

      Hawa wazee walisahau kuuambia umma kuwa ktk historia yao YOTE mpaka sasa, Mashahidi wamefundisha mafundisho mengi ya UONGO ikiwemo kutangaza mwisho wa dunia kufika mwaka 1914, baadaye wakauhamishia 1918, 1925, 1975 na ktk karne ya 20 (eti kabla ya izazi cha mwaka 1914 KUTOWEKA). Mafundisho mengi mengi mengi ya UONGO pamoja za katazo la kuchangia damu na kuwekewa damu huku wakikubali kutiwa chembe chembe (fractions) za damu mishipani? Hivi, ikiwa kuwekewa damu mishipani ni sawa na KULA damu, nani kawaruhusu Mashahidi KULA chembe chembe za damu kama hemoglobin, albumin, immunoglobulin, nk. Mbona hizo weruhusiwa kuzitiwa MISHIPANI? (Tembelea: www. jwfacts.com na www.ajwrb.com na www.4jehovah.org)!!!

  • @japhetkasewa9372
    @japhetkasewa9372 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana

  • @fordrwahura3308
    @fordrwahura3308 ปีที่แล้ว +2

    Asante kwa kutuwakilisha vizuri ndg Zadock Mwaipwisi na Ndg Fransis Mfuko

  • @marysingambi2830
    @marysingambi2830 ปีที่แล้ว +1

    Nimefurahi sana kuwaona akina ndugu,na mmeeleweka vizuri

  • @NsabimanaPierre-b2k
    @NsabimanaPierre-b2k 10 หลายเดือนก่อน +1

    Duniani Kote kunamashaidi wa yehova

  • @barakamwaka561
    @barakamwaka561 ปีที่แล้ว +1

    Jamaani hekima iliyotumika na wazee hawa katika kufanya imani yao imenichochea sana .nawapenda sana mashahidi

  • @hellenshani1614
    @hellenshani1614 ปีที่แล้ว +1

    Kwa Kweli Akina Ndugu Mme jibu vema sana. Hakika Roho ya Yehova ilikuwa juu yenu wakati mnazungumza. Sichoki kuwa SikiLiza.

  • @geraldbudigoma3564
    @geraldbudigoma3564 ปีที่แล้ว +2

    Tumefuramefurahishwa sana na mahojiano hayo,yamesisimua sana, Mimi binafsi ningependa mazungumzo haya yafanyike mara nyingi zaidi hata ktk vyombo vingine vya habari,. Mimi naitwa Gerald Budigoma , natoka kutaniko la urambo, Tabora.

    • @neemependezamahassan4387
      @neemependezamahassan4387 ปีที่แล้ว

      Asante sana kwa mahojiano hayo imeleta baraka kwa watu waliosika waliatafuta majumba ya ufalme na kujionea elimu ya kiroho wamefurahi sana

  • @jonasmalata4565
    @jonasmalata4565 ปีที่แล้ว +1

    Hongeni sana ndugu zetu wapendwa kwa kutoa ushahidi kamili

    • @jeanberchmansngendakuriyo2814
      @jeanberchmansngendakuriyo2814 11 หลายเดือนก่อน

      Hawa wazee walisahau kuuambia umma kuwa ktk historia yao YOTE mpaka sasa, Mashahidi wamefundisha mafundisho mengi ya UONGO ikiwemo kutangaza mwisho wa dunia kufika mwaka 1914, baadaye wakauhamishia 1918, 1925, 1975 na ktk karne ya 20 (eti kabla ya izazi cha mwaka 1914 KUTOWEKA). Mafundisho mengi mengi mengi ya UONGO pamoja za katazo la kuchangia damu na kuwekewa damu huku wakikubali kutiwa chembe chembe (fractions) za damu mishipani? Hivi, ikiwa kuwekewa damu mishipani ni sawa na KULA damu, nani kawaruhusu Mashahidi KULA chembe chembe za damu kama hemoglobin, albumin, immunoglobulin, nk. Mbona hizo weruhusiwa kuzitiwa MISHIPANI? (Tembelea: www. jwfacts.com na www.ajwrb.com na www.4jehovah.org)!!!

  • @NomiMoh-d3w
    @NomiMoh-d3w ปีที่แล้ว +1

    Mimi nilikua naomba Mutu wakijifunza naye

  • @paulmwakalukwa1356
    @paulmwakalukwa1356 ปีที่แล้ว +1

    Ni furaha sanaa kuwaona Ndugu zetu.

  • @ayubumwambene5342
    @ayubumwambene5342 ปีที่แล้ว +1

    Ayubu Mwambene songwe nimefurahi kwa mahojiano mazuri

  • @miriamnekesa3464
    @miriamnekesa3464 ปีที่แล้ว +1

    Asante Yehova kwa kulitetea jina lako

  • @tuguro
    @tuguro ปีที่แล้ว +1

    🙏

  • @pendokaozya506
    @pendokaozya506 ปีที่แล้ว +1

    Nimefrai saana mahojiano haya

  • @ijaraeliud546
    @ijaraeliud546 ปีที่แล้ว +2

    Ninafuraha sana mpaka najiuliza niandikeje!

  • @LinusdionizLinusi
    @LinusdionizLinusi ปีที่แล้ว

    Yehova hasante

  • @pauljosephtarimo2279
    @pauljosephtarimo2279 ปีที่แล้ว +1

    Mwaipisi hazeeki
    Toka nikiwa mdogo yupo hivihivi

  • @nathanezekiah8005
    @nathanezekiah8005 ปีที่แล้ว +1

    Ndaga fijo

  • @lusakomwendapole8934
    @lusakomwendapole8934 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana