WAJUE MASHAHIDI WA JEHOVAH NCHINI/''TUNA MAJUMBA SIO MAKANISA''/UKIFA HUENDI POPOTE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#makanisa #wachungaji #taarifabilamipaka
Ahsanteni sana ndugu zetu wapendwa kwa kuweka ukweli bayana. Wenye kutafuta ukweli ( marafiki wa amani) wameupata kuhusu Yehova na jumuiya yake japo wengine bado wataendelea kupinga....na hii ni kwa sababu ( " .... imani si mali ya watu wote" 2 Wathesolonika 3:2)
interview nzuri sana Stans..
Hongereni sana Ndugu Mwaipwisi na Ndugu Mfuko kwa maelezo mazuri juu ya Mashahidi wa Yehova, hakika maswali ya watu wengi yamejibiwa!
Very interesting interview. Hongereni akina Ndugu bila Shaka mmeeleza vzi imani ya Mashadi wa Yehova.
Asanteni sana ndugu zetuu 🙏🙏🙏 majibu ni muzuri sana Jehovah ababariki sana. Nimependa sana kwa kweli ❤❤❤❤❤
asanteni sana ndugu zangu mmetoa ushahidi mzuri kumhusu mungu wetu Yehova ; naamini mwenye maskio naamesikia na ameona sasa kazi kwake hii ndio njia ya kweli .
❤
Asanteni kwa kuja
Hongera sana akina Ndugu ❤
Ahsante sana YEHOVA kwa kutupa dini ya kweli
Asante yehova kwa kutupa wazee wanyenyekevu
Hongeren sana ndugu zetu
Hao mashaidi wa yehova ni waongo kweli kweli wamemkataa yesu kristo na kufwata mafundisho yasio faa,
Hakika naipendaa IMANI hii😘
Proud to be😘
Lambat nimependa sana exclusive yako na ndg zangu hao,ubarikiwe sana.
Kweli kabisa ❤
Habali ndugu
Lambert! Kudos bro napenda unavyouliza maswali yako( sorry kama nimekosea kuspell Jina)
Darasa Tosha sana hili
Good
Mambow sistrer
Amina inafulahisha
Ninapenda jinsi Mashahidi wa Yehova wanajieleza
kwa usadikisho safii
Hii ndio imani ya kweli naikubali 100%na ndio imani yangu.
Kivipi?
Sasa kwanini hamponyeshi wakati wanafunzi wake waliambiwa waponye
Waongo ao
Kwanini
@@helentalawa4436 kwa sababu bibilia yao sio kama ya wengine, wamefuta maandiko mengi sana iliwafundishe uongo
Hahahahh pole sana ndugu yangu. Ila una uwakika na unachoongea au unaongeaa tu
Dunia paradiso je WW huitamani?
Dunia itakuwa paradiso kwa maandiko gani ya biblia? Acheni kupotosha watu..Neema ya Mungu iwe juu yenu na iwaokoe
Habali ndugu yangu
@@YakiniJoseph salama ndugu
soma zaburi 37: 9-11 utaelewa ..usiseme tu kuwa ni uongo bila kujua. pia Isaya 65:21-25. Asante
Wamefanya jambo la hekima waendelee vivyo hivyo akina ndugu
Augustine. Ninapenda vile Mashahidi wa Yehova wanajieleza
Hii ndiyo Ibada ya kweli
Huo ndiyo Ukweli
Kutaniko liko wap
Haaa vituko hamna salam ?mnasalimiana kama wayebusi,okokeni.
Na huu ndio UKWELI 100%
Dunia paradiso ?mmekwisha.okoken
Hakika hii ni njia yakweli nauzima
Mwandishi msomi. Maswali yako ina lenga mada vizuri
Kanisa gani hili halina salamu ya bwana
Bwana gani aliokuachia salamu kama sio kutungatu😮
Hiyo Imani ya Mashahidi wa Yehova,Ni Imani potofu,
Hayo ni maoni yako haihalalishi usemacho!
Unauthibisho wowote?
Wamepotosha kitu gani hususa
Lete ushahidi wa kimaandishi
Thibitisha kimaandiko
Mashahidi wa yehova ni imani inayotegemea biblia.Imani halisi katika biblia takatifu.
Hbali ndugu