Lulu Diva: Mama alifariki nikiwa nimelala naye, walinicheka mtandaoni sijajenga, mjomba aliumia sana

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024
  • Lulu Diva anafunguka kuhusu kifo cha mama yake, aliyoyapitia baada ya msiba huo mkubwa na kusemwa mtandaoni kuwa hajajenga nyumbani kwao
    #ChillnaSky

ความคิดเห็น • 53

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 2 ปีที่แล้ว +24

    Mbona nyumban kwake pazuri tu watu wanahomcheka huyu dada awajawahi kuuguza hivi mama yko mgonjwa unapata wapi nguvu zakujenga nyumba bili za kulipa kila mahali hospital nk sio pesa ndogo ,ndugu wanakuangalia yan ukipata pesa yte inaishia kwenye kuuguza namwelewa sana huyu dada sio kaz ndogo na kam mama yke ananyumba why hapoteze pesa kujenga wakati anahuguza

  • @sharifaabdullah6825
    @sharifaabdullah6825 2 ปีที่แล้ว +24

    Kuondokewa na mzazi yanahitaji' subra mungu awafanyie wepesi wazazi wetu waliotangulia mbele za haki Amiin

    • @fidia3824
      @fidia3824 2 ปีที่แล้ว +1

      Amiin

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 2 ปีที่แล้ว +1

      Amina

    • @dinatalib2703
      @dinatalib2703 2 ปีที่แล้ว +1

      Amin angalau umepata upendo mwenzio ndonilitengwa haswa na familia na mbaya mama angu kazaliwa peke yake mtihan

    • @husnahlaazizmohammed7397
      @husnahlaazizmohammed7397 2 ปีที่แล้ว

      @@dinatalib2703 pole sana

    • @kaihulazahara8555
      @kaihulazahara8555 ปีที่แล้ว

      Allahumaah Aaaamiiin

  • @njeringugi7939
    @njeringugi7939 2 ปีที่แล้ว +16

    Lulu ukivaa official unapendeza sana kushinda zile zakutafutia ugali🥰🥰🥰🥰

  • @elizabethhonere2931
    @elizabethhonere2931 2 ปีที่แล้ว +5

    😭😭😭😭😭pole sana nayajua haya maumivu mama yangu pia kafua amemaliza anataka kuanika akakosa nguvu akaanguka ijumaa kesho yake akafariki hata sikumuuguza. Naumiaaaaa ndio kamaliza mwezi na siku kudhas tu kaburini. Pole sana

  • @zulfaissa7814
    @zulfaissa7814 2 ปีที่แล้ว +2

    Pole sn ndugu yangu mwenyezi mungu akujalie subra yadhati moyon mwako pia endelea kumuombea dua sn kwaallah ampe hatima njema pepon naamuondoshee naadhabu ya kabrii

  • @Whitefab001
    @Whitefab001 2 ปีที่แล้ว +5

    Nice interview mashaa Allah

  • @zabibumwilelo853
    @zabibumwilelo853 2 ปีที่แล้ว +3

    Yani mm nampendaga sana lulu cause she’s very positive as young lady

  • @njeringugi7939
    @njeringugi7939 2 ปีที่แล้ว +8

    Nampenda sana lulu 🥰🥰🥰🥰

  • @user-ty6lr1zq7j
    @user-ty6lr1zq7j ปีที่แล้ว

    Pole sana Lulu Mungu akuimarishe maana wewe ni bint wa mfano wa kuigwa nakupenda sana Lulu wangu

  • @abbyhabiba8062
    @abbyhabiba8062 2 ปีที่แล้ว +1

    May Allah keep strong my darling lulu...kupoteza mzazi yeyeto siyo rahisi kabisa..

  • @junelatifa2618
    @junelatifa2618 2 ปีที่แล้ว +2

    Pole sana diva

  • @sharon6674
    @sharon6674 2 ปีที่แล้ว +2

    Pole sana Lulu❤. May God comfort you.

  • @juliaayieta2578
    @juliaayieta2578 2 ปีที่แล้ว +3

    Mungu akutie nguvu 🙏🏾

  • @angelageofrey9756
    @angelageofrey9756 2 ปีที่แล้ว +1

    Jamani Lulu pole❤️ubarikiwe

  • @jamilarashidrashid5418
    @jamilarashidrashid5418 2 ปีที่แล้ว

    Pole sana lulu unanikumbusha siku nikiondoka wanangu watakuwa hali kama hii Pole sana umepata radhi za mamako shukuru una radhi ya mamako

    • @batulimabewa6953
      @batulimabewa6953 ปีที่แล้ว

      Acha dada mimi mwenyewe nakaaga nawaza cku nikifa watoto wangu watakavyokuwa wanyonge

  • @ashurakiswamba7085
    @ashurakiswamba7085 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah ❤️ umependeza

  • @barakahamisi574
    @barakahamisi574 ปีที่แล้ว

    Jamani kiukwel maumivi yakuondokewa na Mama Rest in peace My Hero ni miaka 7 lakini nimeshindwa kuamini mpk leo

  • @violetoloo445
    @violetoloo445 2 ปีที่แล้ว +3

    Acceptance heals every wound that time can't.....All the wounds will eventually heal and will only leave some patches of fading scars.

  • @fatumamahoiga3978
    @fatumamahoiga3978 ปีที่แล้ว

    Pole lulu

  • @stellamwitta8119
    @stellamwitta8119 2 ปีที่แล้ว

    Pole kipenz

  • @saimonmaiko679
    @saimonmaiko679 2 ปีที่แล้ว +1

    noma xna brod

  • @hawashamasi9115
    @hawashamasi9115 2 ปีที่แล้ว +1

    Interview nzure

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 ปีที่แล้ว +1

    Lulu vipi hapo kwa mtangazaji hata juice inakuwaje hapo.

  • @zaudatmakula3454
    @zaudatmakula3454 2 ปีที่แล้ว +1

    😍😍😍😍Lulu

  • @lucymathias9045
    @lucymathias9045 ปีที่แล้ว

    💔💔

  • @blueberrypotatogames7950
    @blueberrypotatogames7950 ปีที่แล้ว

    Mngu atakusaidia upate unacho itaji kama sip wewe njo umepana mama yako kama wanafa massa wengine

  • @kebibasherry3117
    @kebibasherry3117 2 ปีที่แล้ว

    Nampenda sana lulu mrembo❤️😘😘👋

  • @falsafatv7789
    @falsafatv7789 2 ปีที่แล้ว +1

    First to comment

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 ปีที่แล้ว +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️

  • @gresitimoth1099
    @gresitimoth1099 2 ปีที่แล้ว

    Mgeni apewe maji

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 ปีที่แล้ว

    Sasa kwanini hukujenga kwenu wakati una pesa

    • @ziadaarthasan6575
      @ziadaarthasan6575 ปีที่แล้ว

      Wewe umejenga kwenu

    • @edinaegidius6357
      @edinaegidius6357 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@ziadaarthasan6575😂😂😂😂😂😂

    • @edinaegidius6357
      @edinaegidius6357 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@ziadaarthasan6575kuna watu wanajikuta hiii dunia😂😂😂😂😂

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 2 ปีที่แล้ว +1

    Jamaa hata maji ya kunywa pia hapewi?