Ni muhimu muongee yote sasa hivi, Kwani ligi ikianza ni muda wenu wa kutoa matusi kwa viongozi wenu. MANGUNGU, TRYAGAIN n.k. Endelea kupayuka na kuropoka sasa.
Chama hana jipya ktk ligi yetu. Kubwa kwa sasa wachezaji wapewe KIAPO cha UAMINIFU kwa SIMBA, ili mashabiki waondoshe sintofahamu juu ya wachezaji wao kuihujumu timu.
Ikifika mwezi wa 12 usije itisha waandishi ooh hatumtaki mangungu. Yanga inao wachezaji mahiri sana watawafunga tena nyie endeleeni Mambo ya ushirikina 😂😂
Aisee hiyo nimeipenda,Ubaya Ubwela,,,,,NSSF ni wanga sana😮😮,,,mwaka huu tuwarinde wachezaji wetu,,,,kwa visomo vya mana
Kama kweli mpenzu katua simba saluti kwa mo deuji pamoja na viongozi wengine 😊🎉❤
Wanarogwa Sana, NAYANGA
Yani Simba rahaaaaaa sana ukisikia Kaz naumri ndosimbaa ii tupo kazni kwasaaa niushind tu
Kazin kwa aucho.kuna kazi
Gb 64 we noma Simba nguvu moja
Simba nguvu moja
Simba nguvu moja ❤❤❤❤❤
Ww sahiv mm sikuamin tena
Elaa
Nice Gb 64
Simba nguvu mojaaaa❤❤
Kaka umetisha
Simba nguvu moja🎉🎉🎉❤❤❤
🎉🎉🎉simba nguvu moja
Kama mpanzu katua unyamani bac sas mateso bac welcome mpanzu
I love you SIMBA
GB 360
Waooooo
chama alikua mlija wa yanga katuuza sana
Ni muhimu muongee yote sasa hivi, Kwani ligi ikianza ni muda wenu wa kutoa matusi kwa viongozi wenu. MANGUNGU, TRYAGAIN n.k. Endelea kupayuka na kuropoka sasa.
Umetisha Gb 64 waeleze wajue.ubaya ubwela
KWELI, wachezajiwetu WAZIR lkn wanarohwa Sana NAYANGA Ili kupoteza vipajivyao.
Lingi ikiisha Mwakani kuna uwezekano Mkubwa Simbasc ikauza wachezaji wengi sana ulaya
Ubaya ubwela, maanayake ni ubaya umerudi
I love Simba, but what drugs is this guy on? Are they available at Kariakoo markets?
❤❤❤
Saf kaka❤❤❤❤❤❤
mimi ni simba hila staki maneno mpaka niwaone uwanjani hisije kuwa kina jobe
Gb 64 Yeye Ana Mawasiliano Ya Simu Za viongozi Moja kwa Moja Data Anazimegewa Vizuri Kwa Hiyo Elia Mpanzu Ni Mnyama
Haaaaa umenichesha kwel
Kwanza manula nmuskie segelea 5 zilikuwa nyingi alaumiwe manula na chama na kenedi na inonga
Hatari
GB64 tutatumia carbon fourteen,umetisha baba
Chama hana jipya ktk ligi yetu. Kubwa kwa sasa wachezaji wapewe KIAPO cha UAMINIFU kwa SIMBA, ili mashabiki waondoshe sintofahamu juu ya wachezaji wao kuihujumu timu.
Tuliosikia neno ubwaya ubwela naombeni like zenu jmn😂😂😂
Zanini wakati wote tumesikia?
Safi mkuuu
Mbona yanga walisajili msimu mmoja na msimu huohuo wakachukua ubigwa
UBWELA UBAYA ❤❤❤❤❤❤ MPAKA MAJI WAITE MMAAA 😂😂😂😂
SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nice
Magufuli alikuwa ana akili sana kutimua walimu hewa, sasa wanafunzi wangeambulia nini.
Magoli mwenyewe amekanusha
Babra kumbe yupo na hamsemi GB friji bovu
Gb 64 kumbuka yakuwa ngombe hazeeki maini talehe 8 ndipo tutakapo juwa
Ametshaaa
Gb natamani sku Moja nikuone kwenye bodi ya wakurugenzi na itatimia
Tena na jezi ya mkude kapewa Chama,mkude chaliiiii
Sisi simba tuna maneno jamani
Tunakukubali gb64
Sana kakaaaaaa
Hakika niushid 2
GB 64 ubaya ubwela
G B ACHA MANENO TUNATAKA UKWELI ERIYA MPA,ZU
Baba hakuna cha mpazu wa faiasli wewe nunuwaga tu vocha
Wenzetu wamesajili mwalimu sio mchezaji ambaye ni chama
Wanasimba tubakize maneno na chama amesema tukutane uwanjani
Tena chama alisein nawino mwingine aliunywa kwasaba anajua aliko enda hakupendi
Mwanzoni ilikuwa nakuamin sn ila cku izi ni muongo kupindukia
hu ni mwaka wa full mikazo t
Hili kweli gb 64 hizo data ni sahihi na hajalikodi popote mpeni maua yake jamani huyu jamaa kiboko😅😅😅😅😅😅😅
We call him Deborah (dibrah)
❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤
Muoongo wewe kaziyenu iyoiyo kuwadanganya mashabiki wewe ulikuwepo wakatiwausajili wakati kinashabarara hawajalipwa elazao za mishahara mpkaleo wachezaji wote mliowasajili hamnahata wamilioni miambiliapo nahuyompanzu atajuta kusajiliwa Simba wenzie kinaonana wameshaanza kukataliwa na kocha
Viongozi chonde wachezaji muwe nao makini ,,pini jamani
kweli
Nyuma mwiko Wana mambo yajabu jamani tupate mwaka wa fulaha popote pale tetea nembo ya simba simba ndotim kubwa
MWIKO WA NYUMA NUKSI SANA
Watasema utoporo
raha kidog mpaka wataelewa msimu uu
Machine ya maneno ila watu wa Simba 😁
😂😂😂😂😂😂 atutaki mleviiiiiiiiiiii😂😂😂😂😂
Mwamba unaongea sana tena vizur ila usiwaswifu sana wachezaj
Gb64 nimsala
Muongo ww simba hakuna ht mchezai 1 alofika dola laki 1 wachezaj wote wadogo wale hlf ww kesho t unabadilika sikuamin tena ww bwege 😂
Ikifika mwezi wa 12 usije itisha waandishi ooh hatumtaki mangungu. Yanga inao wachezaji mahiri sana watawafunga tena nyie endeleeni Mambo ya ushirikina 😂😂
Umetoa mwiko mzee?
Bado anahangaika nao huyo😂😂@@muksinimbaruku1233
GB 64 wewe ni wamba kweli kweli
😂😂😂wemwamba ni hatari
Awesu tena???
chama aondoke tu
tatizo wewe kigeugeu
Izi video za kucopy jau
Jjh
Ubaya ubwela, maanayake ni ubaya umerudi