Aliyepoteza baba mzazi ajali ya kiwanda cha Mtibwa afunguka kwa uchungu "alifanya kazi kwa miaka 35"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
- Jodack Majaliwa, ambaye amempoteza baba yake mzazi kwenye ajali ya mlipuko wa bomba la kusafirishia mvuke wa umeme katika Kiwanda cha Sukari cha Mtibwa, Mkoa wa Morogoro jana Alhamisi, Mei 23, 2024, amezungunza na Mwananchi Digital na kueleza machungu wanayopitia baada ya baba yao kufariki dunia.
Jodack anasema baba yake alifanya kazi kwenye kiwanda hicho kwa miaka 35 ambapo mpaka umauti unamkuta alikuwa fundi wa mtambo wa kuzarisha umeme.
Ajali hiyo imesababisha vifo vya watu 11 akiwemo baba yake mzazi Jodack.
Poleni sana ndgu zetu mungu awape nguvu
Nimepoteza kakaangu kipenz juma
Daaaah walazw mahali pem
Polen sana ndugu zetu🤲🙏🙏🙏🙏
""Inauma sana, Kwakweli.Hakika kifo hakina huruma "Kwakweli Madizini tunamajonzi sana kuwapoteza ndg zetu!Laiti kifo kungekuwa kinabisha hodi!😢
Poleni sana ndug zetu
Polen sana wanafamilia
Pole san wanafamiliya
R.I.P.Poleni Wafiwa.
We wa mwisho kuongea nimekuelewa
Wamwisho ndio mkubwa
Rafiki yangu ni miongoni mwa walio kufa katika hiyo idadi ya watu 11. Ina una sana 😭 😭😭😭
Pole sana Mungu akutie nguvu
Ukute mitambo yenyewe yuzid 😢😢😢😢 hawajanunua mipya
Poleni sana ila hio mitambo inahitaji kukaguliwa na OSHA kwa usalama zaidi
Poleni sana ndugu zetu. Kila jambo linakuwa imepangwa na Allah.