Mwijaku Afunguka Bifu na Harmonize Kutembea na Paula mbele ya Kajala Kufukuza Wasanii KondeGang

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2022
  • Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
    #bingoonlinetz
    #sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
    Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 1.1K

  • @rowneyodinga417
    @rowneyodinga417 ปีที่แล้ว +98

    Napenda maongezi ya Mwijaku sana although am from Kenya 🇰🇪 but this guy gives good advices 💪🏾

  • @issakinono9124
    @issakinono9124 ปีที่แล้ว +37

    Hili boga leo naona limeongea point dah poleni sana kajala na binti yake

  • @Dira-90
    @Dira-90 ปีที่แล้ว +45

    Mwijaku hatujasahau uliyomtendea MENINA ujue 😄🤣

    • @mapettcokenya
      @mapettcokenya ปีที่แล้ว +1

      Alifanya nini 😂😂

    • @carinamatt1031
      @carinamatt1031 ปีที่แล้ว +3

      Kajisahaulisha huyu kajizima data

    • @haifaahoussain7787
      @haifaahoussain7787 ปีที่แล้ว +3

      Imagine ndomana lana ya menina inamuandama huyu 😂

    • @rabinzsinoya1434
      @rabinzsinoya1434 ปีที่แล้ว +3

      Mnafiki wewe, tunakumbuka mpaka leo ulivyo mzalilisha menina

    • @AfricaQueen
      @AfricaQueen ปีที่แล้ว +2

      Umeonaa Kasahau 🤦🏾🙆🏽‍♀️Bado Yatamkuta Alivyomfanyia Menina☝️🤲Malipo yanakuja.

  • @celinekenedy870
    @celinekenedy870 ปีที่แล้ว +43

    Huyu jamaa ana lopokaga lkn kwa hili la nyuchi za mama na mtoto😂😂😂,, ameongea point sn zenye akili timamu,, mwijaku on it.

    • @fredysimwanza735
      @fredysimwanza735 ปีที่แล้ว +2

      Kwel bro

    • @asyamgeni9819
      @asyamgeni9819 ปีที่แล้ว +2

      Una uhakika gani mbona yeye alimuadhiri mtoto wa watu menina na huyo menina alikuwa na mtoto pia uongo bwana

    • @joscamwoshezi2986
      @joscamwoshezi2986 ปีที่แล้ว +1

      Mbona hukuonhea wakati ule.Nafiki sana

    • @celinekenedy870
      @celinekenedy870 ปีที่แล้ว +1

      @@joscamwoshezi2986 Bahat nzuri sana wewe umeelewa vzr nilicho comment,, alaf bahati mbaya sana cjaelewa ulichoandika ndugu.

    • @Wamoyothenumberone
      @Wamoyothenumberone ปีที่แล้ว +2

      Weumejuaje kama hiki anakionge anaropoka

  • @abdulazizsharif2984
    @abdulazizsharif2984 ปีที่แล้ว +65

    Hakuna kitu mbaya kwa hii dunia kama ulimi wenye unafiki , umezidi unafiki Allah akuongoze

    • @nantariamateso7781
      @nantariamateso7781 ปีที่แล้ว

      th-cam.com/video/WWLysrZ6vTw/w-d-xo.html

    • @Wamoyothenumberone
      @Wamoyothenumberone ปีที่แล้ว +1

      Haujui maana ya unafiki wewe

    • @jolieandrekwozera5495
      @jolieandrekwozera5495 ปีที่แล้ว

      👍👍👍👍👍👍👍

    • @abdulazizsharif2984
      @abdulazizsharif2984 ปีที่แล้ว

      @@Wamoyothenumberone wacha uchawi ndugu

    • @MhmHm_21
      @MhmHm_21 ปีที่แล้ว

      Bro usiufungie macho ukweli kisa ushabiki ati unafiki unajua unafiki ww

  • @jonasstephano7680
    @jonasstephano7680 ปีที่แล้ว +17

    Uyo ndo mwijaku 😄😄😄amemfanya mtangazaji ajitemee mate

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 ปีที่แล้ว +29

    Msema kweli mwijaku anasema ukweli katibuka mwijakuu uchawa umekwishaa subhannaallah 🥺🥺

    • @abdulazizsharif2984
      @abdulazizsharif2984 ปีที่แล้ว +1

      Hana akili ujinga tu na fitna zimemujaa

    • @naslee1010
      @naslee1010 ปีที่แล้ว

      Ukweli gani dada angu hizo zote ni kukosa kitu alicho kua ana pata

    • @gidionmakopa5427
      @gidionmakopa5427 ปีที่แล้ว

      @@naslee1010 K

    • @fatmamansour676
      @fatmamansour676 ปีที่แล้ว

      Muongo huyo kataka kutu hajakipata ndo mana kumbuka alivomfanyia nandy

  • @chelseafc3990
    @chelseafc3990 ปีที่แล้ว +18

    Uko sahii mwijaku kajala hakupaswa kurudiaa na harmo coz ya kumtakaa paula

  • @hurstingsmwangudzah5329
    @hurstingsmwangudzah5329 ปีที่แล้ว +23

    Kenya hakuna mambo ya machawa sijui machawi ya kulipwa pesa kusifia wasanii huu ni umbwakini tu Kwa huyu zuzu mwijaku much love @Harmonize from 254🇰🇪

    • @souvenirweber7169
      @souvenirweber7169 ปีที่แล้ว +4

      Anaongea ukweli hapa sio umbwakini

    • @leeobite5657
      @leeobite5657 ปีที่แล้ว +5

      @@souvenirweber7169 kwann hakuongea wakat akiwa chawa...au kwakua ameachwa

    • @jameskilasa759
      @jameskilasa759 ปีที่แล้ว +4

      Hatuwez fanana kwa kila kitu jamaa kenya sio tz

    • @naslee1010
      @naslee1010 ปีที่แล้ว +3

      Katika mashoga wa Tanzania nahuyu ni miongoni mwao

    • @linahsemindu4261
      @linahsemindu4261 ปีที่แล้ว

      Skutegemea Kama mwijaku leo ataongea hivi kwel ubinadam kazi😭

  • @Suka_Dm_Guy
    @Suka_Dm_Guy ปีที่แล้ว +24

    Nimekuelewa sana bro mwinjaku unapoongea vitu vya msingi unanyooka kama inavyotakiwa big up kwa hilo

  • @princesanita46
    @princesanita46 ปีที่แล้ว +28

    Penye ukweli turuhusuni kusemwa ili tujirekebishe makosa yetu ushabik mzuri ni kumuambia ukweli rafiki yako harmonize kakosea na kajala ni mtu mzima kama kweli hakupendezwa na alicho kifanya harmonize asinge rudiana nae tena ni kwa sababu yeye na mwanae hawa heshimiani hata kidogo na hawana hofu ya mungu

    • @missykalele5520
      @missykalele5520 ปีที่แล้ว

      Hiii ni mass media kuna watu wanapitia haya katika jamii na wapo kimya maisha yanasonga mwacheni kajala mna ushahidi katoka na pau

    • @mumsboy4410
      @mumsboy4410 ปีที่แล้ว +2

      mwijaku unaaibisha watu walio soma wa dree kwan uliesomea umbea tafuta kazi usiaibishe wasomi

    • @karasuyazidi8547
      @karasuyazidi8547 ปีที่แล้ว

      @@missykalele5520 tofautisha mtu maarufu na asiye maarufu konde ni msanii maarufu kutembea na mama na mtoto aibuu

    • @saidikitambulio6264
      @saidikitambulio6264 ปีที่แล้ว

      Umaarufu si 7bu ya kuona haibu Bali 2natakiwa na hofu y mung na tabia njema Allah a2epushe

  • @victoriadaizy5277
    @victoriadaizy5277 ปีที่แล้ว +3

    Waaah mwijaku una msiba mkubwa moyoni.
    Konde boy amekunyosha kama rula. hivi ww ile scandal yako na Menina ilishia wapi vile 🙄 na tamani Konde ukuchukue mzobamzoba mpaka kituo cha police ukaeleze vizuri.😂😂

  • @nassrasharja3106
    @nassrasharja3106 ปีที่แล้ว +11

    Huyo mnafiki anazingua sis bdo team konde💞💞💞💞💞

  • @cycynageragezekwambaraneza1987
    @cycynageragezekwambaraneza1987 ปีที่แล้ว +16

    ila hamonize anapigwa vita sana ilo siwe kuku bali sizani kama kajala anaweza kukubali hayo mwijaku muongo wew

    • @jareengeorge5478
      @jareengeorge5478 ปีที่แล้ว +1

      Kuhusu konde kutembea napaula nikweli.nandiomaana kajara akaamua Bora waachane.lkn mwijako anampenda kuongelea sana.yale yalishapitaaa.

    • @minjesha
      @minjesha ปีที่แล้ว +1

      @@jareengeorge5478 harmonize hajawahi kutembea na paula,ila alimuonyesha tu sehemu zake za siri..ila hawakufanya tendo..ndio alikua anataka kulisanua ndo paula alimwambia mamake ndio wakaachana.

  • @shabansaid4154
    @shabansaid4154 ปีที่แล้ว +36

    duh mwijaku umeishia kabisa tafuta maisha yako acha ujingia

  • @zulphaadam4671
    @zulphaadam4671 ปีที่แล้ว +10

    Ni kharaaaamu 😂 daaah, mwijakuu😂

  • @walizanasiri4963
    @walizanasiri4963 ปีที่แล้ว +9

    👯💂Mwijaku apewe tuzo😂😂😂kwa maneno mazuli ya dini

  • @mwisukulu1
    @mwisukulu1 ปีที่แล้ว +12

    kajala atakuwa kampunguza jamaa😂😂😂

  • @yarahstaste104
    @yarahstaste104 ปีที่แล้ว +1

    Hapo kwa kutema mate tumboni sasa😂😂 khaaa Mwijaku banaa🤣… kwani kuapa haitoshi hadi mate bana🤣🤣🙌🏻

  • @bonethsanga1875
    @bonethsanga1875 ปีที่แล้ว +8

    Sana Sana 🇿🇲🇿🇲🇿🇲

  • @lowasakitwiyan7758
    @lowasakitwiyan7758 ปีที่แล้ว +25

    Umeongea point nzuri kabisa brother Mwijaku🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @nangatv7258
    @nangatv7258 ปีที่แล้ว +5

    Wote wampondao diamond, saiz wanabadilika, kwel daimond asemwi vbaya😂😂😂😂😂

  • @zuwenasleiman3587
    @zuwenasleiman3587 ปีที่แล้ว +2

    Kama anachosema mwinjaku ni kweli harmonize anakosea sana

  • @rajabawadhi5378
    @rajabawadhi5378 ปีที่แล้ว +3

    Mwijak kaongeea poent xan keep it up bro ningepend kupat hat namb zak media nixaidien niongoe na mwijaku

  • @shaqdizo7678
    @shaqdizo7678 ปีที่แล้ว +3

    😂😂😂😂 uchawa umeisha sasa umekuwa mchawi 😂😂

  • @yustayusuph9101
    @yustayusuph9101 ปีที่แล้ว +25

    😀😀😀😀👌🤸🤸🤸 hii inaitwa akuanzae mmalize 💪🔥🔥🔥🤸🤸🤸

    • @monstermonster3649
      @monstermonster3649 ปีที่แล้ว +1

      Fact, vita ni vita Mura.
      🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

    • @mdta8161
      @mdta8161 ปีที่แล้ว

      Kachokoza pabaya

  • @winnieamanya1550
    @winnieamanya1550 ปีที่แล้ว +30

    mwijaku....wewe ni mnafiki...mnafiki saana... Khaaaaa mchwwwwww 💔

  • @rajabusalimu8426
    @rajabusalimu8426 ปีที่แล้ว +26

    Fata yako acha kufatilia watu unao wasifia leo kesho utawasema pia machawa hizo ndo stori za kila siku mwanaume hutakiwi kuwa mmbea

    • @BREEZY882.
      @BREEZY882. ปีที่แล้ว

      Sasa wew mtu anaongea ulweli unachukia umelogwa ww

    • @fatmamansour676
      @fatmamansour676 ปีที่แล้ว

      @@BREEZY882. ukweli gani hebu tuambiae ulikuepo hayo anayo ongea ukayashuhudia au unamfata måneno tu hebu vuta picha alivomfanyia nandy kisa hakumpa pesa

    • @fatmamansour676
      @fatmamansour676 ปีที่แล้ว

      Huyu mnafki San lära aende kW alikiba mara harmonise sahv hiyo kubet ishamuingia ndo anataka kwenda ssa si aende tu hu'o asikae kumchafua mwenziwe

  • @wardamunguakuzidishew9399
    @wardamunguakuzidishew9399 ปีที่แล้ว +13

    Ww muongo kama ingekuwa ivo mwijaku mbona ukusema mwanzo hamo alipokosea na Ndiokwanza ulikuwa unamkuadia adi kwenye msiba wa maunda zoro ww roho inakuuma hamo kachoka kukupa pesa kama mwanamke wake Bora ungekaa kimyaa

    • @fatmamansour676
      @fatmamansour676 ปีที่แล้ว

      Hawa yye na hbaba walifanya bwege mtto w watu kila wanapotaka pesa anawapa ssa kagoma wamekaa kusema vibaya

    • @wardamunguakuzidishew9399
      @wardamunguakuzidishew9399 ปีที่แล้ว

      @@fatmamansour676 ndio walikuwa wanafanya chumio washenzi kweli wanajenga wanakula kwa pesa ya mtoto mdogo zuruma zimewajaa wapambane na Ali zao

  • @joysarah
    @joysarah ปีที่แล้ว +8

    Nimekwama hapo kwa kutema mate😂🙌

  • @sadikiballack1631
    @sadikiballack1631 ปีที่แล้ว +8

    Mwinjaku upo sahihi nyuchi mbili za mwana na mama laana kubwa kofi la Mngu lipo tayali Kwake

  • @jervinbronze9143
    @jervinbronze9143 ปีที่แล้ว +57

    #mwijaku hakika unafkri anguko la #harmonize litakuw kwaajili ya unafiki wako? Lahasha! Mungu mara zote ni mweny nguvu na uwezo mkubwa san na ajawai mwacha pekee awaye yeyote mja wake, kwa hili utaushuhudia ukubwa wa harmonize adi uzeeni mwako na kuadisia wajukuu zako. Na pekee uyu unaemwona nyoka mbele zako ndiye mfalme na mtetez wa kizazi kipya cha music industry at sikulazimishi ulikubali hili lkn moyoni mwako unalo na utakuwa nalo tuu!

    • @Kamala_thegospel
      @Kamala_thegospel ปีที่แล้ว

      Ameeen

    • @missmwayway4704
      @missmwayway4704 ปีที่แล้ว

      Ameeeeeeeeeen

    • @victormartin1696
      @victormartin1696 ปีที่แล้ว +1

      Natamani tuongelee muziki pekeake wala sikukatalii Harmonize is super good artist but not the best na ukiisha zungumzia kizazi kipya Harmonize hayupo huku unakutana na kina Marioo Benson Jay Melody Kusah Mabantu Lord Music Cheed Ki2ga Dayoo na wengine kibao na mfalme wa hii new generation ni Marioo japo hata chukua muda mrefu saaana kwasababu yuko na watu wanaojua nini wanafanya

    • @fatmamansour676
      @fatmamansour676 ปีที่แล้ว

      Huyu mnafiki na mchonganishi anataka kuachisha penzi la watu isitoshe kama alivomfanyia nandy ndo anataka kumfanyia huyu yaani kwa nandy je abgepanda presha a kajifungua mda sio wake kukatokea tatizo 7bu yye angesema je vile alivomfanyia kulzushia huyu watu wakimsikiliza ataachish sna watu

    • @jervinbronze9143
      @jervinbronze9143 ปีที่แล้ว

      @@victormartin1696 Kaka uwez elewa yuko ktk angle ipi lkn uyu jamaan harmonize ana Play part kubwa san ktk awa new generation ivyo atkuw mkubwa wao kaka

  • @matanohassan9667
    @matanohassan9667 ปีที่แล้ว +10

    Wacha kula hela ya kamari ili uwe salama ama chako kimotoni siku moja BWEGE sanaaaaaa

  • @elizamapunda6043
    @elizamapunda6043 ปีที่แล้ว +47

    Muongo sana mwijaku unaaibu looh

    • @madudumadudu9273
      @madudumadudu9273 ปีที่แล้ว +1

      Kama umeolewa bac toka na baba mkwe wako

    • @user-po8hz7xw9j
      @user-po8hz7xw9j ปีที่แล้ว +3

      Hunaakili Wewe. Ndio nyinyi mnaolala NA baba zenu

    • @ibrahdedonny4073
      @ibrahdedonny4073 ปีที่แล้ว +1

      Leo yamewafika nyinyi Konde Gang ndo mmeamin huyu ni muongo

    • @ibrahdedonny4073
      @ibrahdedonny4073 ปีที่แล้ว +1

      Mmechelewa xana acha mchambuliwe na nyie, Sisi WCB tumezoea kero za huyu

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 ปีที่แล้ว +3

    Dhambi kubwa ni USHIRIKINA MWIJAKU
    ALLAH ATUTHIBISHE KAULI THABITI
    NA UTURUZUKU TOBA YA KWELI KABLA YA MAUTI🤲🏻.Amiin

  • @fdizzo
    @fdizzo ปีที่แล้ว +7

    We jamaa ni mnafiki Sana ila tofauti na hilo ni muigizaji mzuri sana

  • @wardamunguakuzidishew9399
    @wardamunguakuzidishew9399 ปีที่แล้ว +7

    Ukuwai kuwa mchafu unajisaulisha ulichomfanyia menina ila kumbuka menina alimuachia mungu ss yatakukuta2 mengi maana ujaenda kumuomba msamahaa

    • @zamibrahim3014
      @zamibrahim3014 ปีที่แล้ว

      Kajisahau 😄 🤣 😂.

    • @wardamunguakuzidishew9399
      @wardamunguakuzidishew9399 ปีที่แล้ว

      @@zamibrahim3014 walimwengu ndio tunamkumbusha balazuri uyu kaonga pesa mahakamani na amerga kesi imefutwa

  • @TheRealGold
    @TheRealGold ปีที่แล้ว +19

    😂😂😂🔥🔥🔥🔥 MWIJAKUUUUUU ON FIREEEEEE😂

    • @leeobite5657
      @leeobite5657 ปีที่แล้ว

      Ustadh ndio angetangaza pombe il
      Alipwe mshahara? Mnafiki tu. Meng anayoyafanya yakisheitwqn kabsaa

  • @fatumafatuma9931
    @fatumafatuma9931 ปีที่แล้ว +5

    Muhongo muhongoooo mwijaku nimekuita mara ngapi...
    Umemwagwa tulia

  • @dayanadismasslasway3419
    @dayanadismasslasway3419 ปีที่แล้ว +12

    Sema kweli mpenzi wangu mwijaku💋😂

    • @fatmamansour676
      @fatmamansour676 ปีที่แล้ว

      Ukweli gani huyu kataka kitu hajapewa ndo kaamua kuharibu

    • @jamalbakari6136
      @jamalbakari6136 ปีที่แล้ว +1

      @@fatmamansour676 we ulijuaje mkiambiwa ukwel mnatfta pakutokea😂

    • @ndaziharuna4820
      @ndaziharuna4820 ปีที่แล้ว

      mwijaku anaongea facts lkn je how can we believes him? inaweza kua kick

  • @faridaanthonymatata4310
    @faridaanthonymatata4310 ปีที่แล้ว +11

    Jamani Mwijaku dhambi kutukana uongo Ona sura mbaya na roho mbaya hee Konde atakoma😂

  • @sanjookhan2120
    @sanjookhan2120 ปีที่แล้ว +26

    Mnafik hajawahii kutoka salama mbele ya Allah ole wako mwijaku

    • @anthonymwambepo7441
      @anthonymwambepo7441 ปีที่แล้ว +1

      Kweli aisee huyu jama mbele ya Mungu awezi kutoboa uongo ambao anaouongea ni zambi kubwa sana aisee

    • @khadijasalum2302
      @khadijasalum2302 ปีที่แล้ว +1

      Tuchunge ndimi zetu anavyoongea subhanallah

  • @SonOfNun5555
    @SonOfNun5555 ปีที่แล้ว +2

    Good advice Mwijaku

  • @sultannaveen7872
    @sultannaveen7872 ปีที่แล้ว +38

    This guy(Mwinjaku) walai knows how to promote his account. Anyway, harmonize is still in charge and always will be the top topic in your mouth for now...one love harmo🤞🤞👌👌

  • @mubarakhassan2618
    @mubarakhassan2618 ปีที่แล้ว +15

    Njaaa zinakupereka vibaya ila tafuta maisha kwanjia nyingine

    • @barakakoi5976
      @barakakoi5976 ปีที่แล้ว

      Mwijaku ako right kama nmuelewa

    • @irenejoely5589
      @irenejoely5589 ปีที่แล้ว

      mwijaku Leo nimekuelewa sana

    • @mubarakhassan2618
      @mubarakhassan2618 ปีที่แล้ว

      @@irenejoely5589 hivi mnamuelewa je huyu jamaa

    • @mwishehe2067
      @mwishehe2067 ปีที่แล้ว +1

      Njaa tu hizo kama unajua dini mbona unasapoti kamali na angalia utakuja kuwekwa ndani

    • @mubarakhassan2618
      @mubarakhassan2618 ปีที่แล้ว

      @@mwishehe2067 kabisa

  • @officialAlAbdul
    @officialAlAbdul ปีที่แล้ว +12

    hakika n bora kuwa mtu wakawaida kuliko kuwa mtu marufu na auna kipato yan utaibika sana

  • @bbycandy3979
    @bbycandy3979 ปีที่แล้ว +19

    Conde for life 🔥🔥🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @shabanihalfan5547
    @shabanihalfan5547 ปีที่แล้ว +30

    Yote hayo sababu umefukuzwa wewe ulikuwa unamsifia paula na mamayake wewe bogazi kaungane na h baba umepewa talaka.

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 ปีที่แล้ว +8

    Kama haya anasema yana ukweli, basi mmakonde ana hali mbaya sana. Kutweza utu wa mtu kwa sababu ya hali zao si haki mbele za Mungu.

  • @emmanuelsimsokwe6244
    @emmanuelsimsokwe6244 ปีที่แล้ว +4

    Mm n fan mkubwa San w MWIBA leo mwijaku umenifungua San,mm nakusupport katka hilo msaad usiwe manyanyaso

  • @oliviamichael1840
    @oliviamichael1840 ปีที่แล้ว +7

    Mwijaku mnafiki sana,

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole4000 ปีที่แล้ว +14

    Wajifanya una diiini, na unasport kamari (Wasafi bet)

  • @suntzu8959
    @suntzu8959 ปีที่แล้ว +18

    A. Person who can market you is also capable of de-markerting you

    • @allybakari8558
      @allybakari8558 ปีที่แล้ว +1

      Absolutely 👍 ttZo huyo jamaa anayoongea hapo anawwza akawa anatunga tu

    • @pilimwanza8117
      @pilimwanza8117 ปีที่แล้ว

      Harmonize hakuwa promoted na huyu kimziki ila ni jitihada zake km unakumbuka interview kibao kafanya hata hizo nyimbo hazijui za Harmonize

    • @pilimwanza8117
      @pilimwanza8117 ปีที่แล้ว

      @@allybakari8558 yaani kwa kumsikiliza tu ndo hujagundua km anatunga. Imagine mara Harmonize akishikwa kifua na Paula akitokea kajala anakimbia. Mara ohh mama na mwana wanamfanyia massage pamoja wakiwa hawana nguo mh

    • @omarsalimomar6293
      @omarsalimomar6293 ปีที่แล้ว

      This is heavy

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 ปีที่แล้ว +19

    Nyuchiiii ya mama Na mwana kondeboy

    • @carinamatt1031
      @carinamatt1031 ปีที่แล้ว +1

      Muongo huyu mwijaku hakuna mtu anaweza kufanya uchafu km huo mbele ya watu huyu mnafiki

    • @monstermonster3649
      @monstermonster3649 ปีที่แล้ว +3

      @@carinamatt1031
      Inawezekana Mwijaku anatia chunvi story zake lakini haya mambo yapo na hufanyika sana tu, hivyo kauli ya kusema hakuna wayafanyayo hayo labda ni wewe tu haujawahi kuyaona ila yanafanyika sana tu.

    • @carinamatt1031
      @carinamatt1031 ปีที่แล้ว +1

      @@monstermonster3649 duh basi hatari km ndo ivyo

    • @salmayusuph227
      @salmayusuph227 ปีที่แล้ว +1

      Punguza uongo mwijaku acha maisha ya watu kama mama karidhia

    • @monstermonster3649
      @monstermonster3649 ปีที่แล้ว +2

      @@salmayusuph227
      Kuridhia mama na mwana kufirimbwa? Au sijaelewa kuridhia kitu gani?

  • @stephenbaraka4143
    @stephenbaraka4143 ปีที่แล้ว +7

    Mwijaku ni fun Sana 😂😂😂Much Love from Kenya

  • @marymakwega1366
    @marymakwega1366 ปีที่แล้ว +18

    Hiyo kasoro yake umeiona leo? Siku zote ulipokuwa ukimsifia hukuiona? Kulikoni? Watu tuna akili ya kupembua mambo ni bora unyamaze kuliko kujivunjia heshima, hasa ukiwa na familia kama unavyodai.

    • @fatumasaidi2592
      @fatumasaidi2592 ปีที่แล้ว

      Njia ya mwongo ni fupi katahayari huyo baba 😝😝😝

    • @paulrichard4696
      @paulrichard4696 ปีที่แล้ว

      mazuri anasifia mabaya anakosoa uyo ndo mwijaku,

  • @peterphilipo4152
    @peterphilipo4152 ปีที่แล้ว +3

    Mbn makasiliko broo sula yako tu inaonesha umeumia sana kupunguzwa konde gang kama katembea nao wote si makubaliano yao we inakuuma nini tafuta yako acha shombo na maisha ya watu kila mtu na maisha yake kakojoe ulale

  • @ibraheemqassim3018
    @ibraheemqassim3018 ปีที่แล้ว +1

    Mwijaku nakuomba uache kuingiza dini yetu katika mambo ya kipumbavu hii mara ya mwisho nakuonya kama unafikir huwez kufanywa kitu endelea ila tusije kulaumiana acha kuingiza uislam kwenye mambo yako ya kipumbavu☝️ACHA NAKUFUATILIA

  • @halimasalim5477
    @halimasalim5477 ปีที่แล้ว +1

    Mwijaku unaongea na uchungu sanaa. Natuambie kuusu melina..ukasambaza uchi wake tanzania nzima.tupe dhambi zake..

  • @samsonmsafiri444
    @samsonmsafiri444 ปีที่แล้ว +4

    Duuu kweli mwijaku umeongea kweli yani mungu atunusuru 😭😭😭

  • @zazazawadi7270
    @zazazawadi7270 ปีที่แล้ว +5

    Mwijaku kahamiya kwa king kiba sasa😂😂😂

  • @smokeedaisy2252
    @smokeedaisy2252 ปีที่แล้ว

    From Uganda 2
    🇺🇬 but I follow this guy

  • @iddyissa7124
    @iddyissa7124 ปีที่แล้ว +11

    Hii nchi yaajabu🤣

  • @champion11537
    @champion11537 ปีที่แล้ว +27

    Mm konde gang Ila harmonize akili mavi sana

    • @livinjbenon8026
      @livinjbenon8026 ปีที่แล้ว

      kwan kuna kondgang?? maanayake hamonze (kondboy)

    • @agwalubifaridah7079
      @agwalubifaridah7079 ปีที่แล้ว +2

      Huyu faala alivoropokaga eti.mtoto.wa tanasha ni wake siwemuani hata kidogo,,kajala.amemtimua.kwa harmo.ndo majungu.haya yote huyu mpuumbafu trust me

  • @nasraiddy3252
    @nasraiddy3252 ปีที่แล้ว +4

    Wanawake jamani tufanye kazi...mtazalilika kwa ajili ya kutegemea hawa wanaume wenye pesa

  • @halimaburhan1952
    @halimaburhan1952 ปีที่แล้ว +1

    Happ kwenye temamate kwenye tumbo lako mara tatu nimecheka kwa sauti muandishi nae kafanya hahahaaa

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 ปีที่แล้ว

    huu jama watu wana munuku vipaya tu ila anachokesema ni sahii sana nata mimi nilimu owa mke wana na kumukuzia mtoto yake wa kike ila kiukweli ujiga ule wa harmonise ..sita fikiha hata kidogo ..nimemukuza mtoto kama wangu sasa ana mihaka kumina sita ....uleniwanagu kama mwanagu wa mwili wakiume nimezaa na mamake naku elewa sana .. harmonise hanaufu kweli nakupenda sana mwijaku unaofuna mungu sana ..nakufata toka Capetown kesington

  • @martinngenzi6276
    @martinngenzi6276 ปีที่แล้ว +4

    Point tupu big up bro

  • @neemawilfred6994
    @neemawilfred6994 ปีที่แล้ว +4

    izo zote ni hasira za kupunguzwa kondegang😂😂nyuchi ya nyoko

  • @wardamunguakuzidishew9399
    @wardamunguakuzidishew9399 ปีที่แล้ว +6

    Alafu usitukane mshenzi mkubwa raivani usimkaribishe uyu naona anataka kujiweka kwako

  • @nizytz7273
    @nizytz7273 ปีที่แล้ว +19

    Nahamia Kenya jaman bongo nimechoka

  • @frankkasele4024
    @frankkasele4024 ปีที่แล้ว +3

    Bro umeongea point sana 💪💪💪💪

  • @jervinbronze9143
    @jervinbronze9143 ปีที่แล้ว +28

    #harmonize let them do each and everything wrong for you, but you'r the champ and remain be the top of all the time!

  • @swalehesaad1143
    @swalehesaad1143 ปีที่แล้ว +11

    Hahahahahaaa mwijaku mie nakufagilia tu maana pale ulipokuwa unamponda mondi Wala sikukutakana so pambana na maisha ndugu.

  • @mwitarawe4445
    @mwitarawe4445 ปีที่แล้ว +4

    jamaaaaaa snichi sana daaah 😁😁😁😁😁

  • @sophdenis3471
    @sophdenis3471 ปีที่แล้ว +22

    Uko sawa mzee baba

  • @sashawambura
    @sashawambura ปีที่แล้ว +26

    Uchawa unapofika tamati na mirija ya pesa inapokatika hugeuka uadui..Wasanii mjifunze kuwaweka karibu washikaji kama hawa..mwishowe wanavua nguo..

    • @tumainimwaifunga3884
      @tumainimwaifunga3884 ปีที่แล้ว +3

      Wasanii wajifunze mwijaku hafai hata kidogo.

    • @darkplatnum9006
      @darkplatnum9006 ปีที่แล้ว +1

      Hawa watu diamond ndy anawez pekee wasinii wengin wot hawajui kuish na hawa watu

    • @beatricekilas6670
      @beatricekilas6670 ปีที่แล้ว +2

      Umepunguza au umepunguzwa falaa ww izo nyuchi ndo umeanza kuziona Sasaiv mbn mwanzo ulikuw husemi hakuna jipya Hapo kajipange upya hahahha

    • @chadrackaugistin344
      @chadrackaugistin344 ปีที่แล้ว

      Jamani mwijaku Jaa itakuja ikuponze ufungwe jela Acha kukosea Boss

  • @officialyd5614
    @officialyd5614 ปีที่แล้ว +1

    Daah 😂 wazee kwahili mwijaku adanganyi mh maana mtu hawezi kuropoka hivi 😅😅Daah hamonaizy achamambo hayo Daah

  • @mariamke8437
    @mariamke8437 ปีที่แล้ว +13

    Uzuri harmonize uwa ajali na maneno yenu

    • @ashamohamed1461
      @ashamohamed1461 ปีที่แล้ว +1

      Ila mungu anamuna Kama kweli kweli narudia Tena Kama kweli anayasema ipo siku atayajari tu

    • @yonicdontah6392
      @yonicdontah6392 ปีที่แล้ว +1

      @@ashamohamed1461 hamna ukweli hapo
      Kafukuzwa kule

  • @fatumafatuma9931
    @fatumafatuma9931 ปีที่แล้ว +6

    Mbna ukumwambia kutoka ile sku ulipowaona wanayafanya...alfu mbna unatudabganya na paula yuko n JUX acha kutudanganya ww

  • @omarmasoud5808
    @omarmasoud5808 ปีที่แล้ว

    He is intelligent..literate👏👏👏it's call survival 💪

  • @michaeljohn9070
    @michaeljohn9070 ปีที่แล้ว +1

    watu wata acha kukualika kwenye nyumba zao maana unalopoka mambo ya ndani za familia ya watu,, hakika we ni mnafiki uliekubuu ,,

    • @samsoncharo9348
      @samsoncharo9348 9 หลายเดือนก่อน +1

      Bora anaye kwambia ubaya au makosa uliyo nayo huyo inawezekana akakusaidia kwa kujirekebisha tabia yako kuliko mwengine anakwambia uko sawa na ilihali sivyo.

  • @justingodfrey8282
    @justingodfrey8282 ปีที่แล้ว +5

    Kajala umri wote huo ata sehemu ya kujiegesha, ushakosea kwa mtu wako wa kwanza

  • @Queen_latiffa
    @Queen_latiffa ปีที่แล้ว +8

    Kama ni kweli wewe ni mtu mzima unaye jielewa kwanini usiwakalishe chini uwambie hapa ivi na ivi sijapenda saa ukijakusema huku unapata farida gani au unamzalilisha nani kwani umewahi kumwambia acha hii tabia akakataa acha akili za kitoto wee ni mtu mzima vitu unaongea hata haviingii kichwani ujinga tu

  • @jamaafrican3827
    @jamaafrican3827 ปีที่แล้ว +1

    Takbir.....allahu Akbar

  • @innocenthaulee
    @innocenthaulee ปีที่แล้ว +2

    15:36 shiii natoa kamasi kidogo😂😂🤣

  • @stevememax2053
    @stevememax2053 ปีที่แล้ว +4

    Much love from Kenya. Ningependa kumhoji Mwijaku one of this days, kaka ana elimu yule, kuna chaneli naanzisha ya EA vibe yani wanangu tunapiga story tu mambo tusioyajua kwenye circle ya East Africa, tutapiga hii na itaweza sana

  • @com5766
    @com5766 ปีที่แล้ว +7

    Daaah! Mateka alafu walitekwa😅😅😅

  • @gasperlukagatv239
    @gasperlukagatv239 ปีที่แล้ว +6

    Mwijaku leo ndio umeongea point.

  • @fatumafatuma9931
    @fatumafatuma9931 ปีที่แล้ว +7

    Acha ujinga rayvanny anaumizwa n JUX kachukua mtto acha zako

  • @mlenglewis1747
    @mlenglewis1747 ปีที่แล้ว +4

    Leo hataki ata kumtaja jina🤣🤣😂

    • @joycendanundanu9218
      @joycendanundanu9218 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂😂Comments za leo fire🔥🔥🔥🔥. itakuwa hamjui 😂😂

    • @mlenglewis1747
      @mlenglewis1747 ปีที่แล้ว

      @@joycendanundanu9218 vathei🤣🤣😂

  • @ndeyeeeconomistplatform4835
    @ndeyeeeconomistplatform4835 ปีที่แล้ว +9

    KUMBE HILI JAMAA PUMBAVU KIASI HIKI

  • @haurahawari5828
    @haurahawari5828 ปีที่แล้ว +1

    Sasa tutajuaje kama hii nyuchi ya kajala na hii ya paula🤣🤣🤣astaghfurullah

  • @TheRealGold
    @TheRealGold ปีที่แล้ว +1

    Nawaona Konde kang wanavyo haha 😂 kwa mwijaku mlivyokua mnafurahia anavyo mchafua diamond 😂😂😂 hamo anachomwa tu😂

    • @kanezanadegenana4832
      @kanezanadegenana4832 ปีที่แล้ว

      Umeon kumb n wewe😂😂😂😂😂😂😂patamu ap 🤣🤣🤣

  • @allyzegele6280
    @allyzegele6280 ปีที่แล้ว +20

    Hakuna kitu kama icho unaunganisha story, harmonize awezi kufanya kama unavyo ongea wewe. Tatizo umepunguzwa Konde gang

  • @farajially8072
    @farajially8072 ปีที่แล้ว +3

    Kwahyo anaenda maseblen mwa watu kuchunguza maisha yao

  • @jescaemmanuel100
    @jescaemmanuel100 ปีที่แล้ว +1

    Hiyo pua ya mwijaku tuu mi hoi 😄😄😄😄😄😄😄😄🙌🙌🙌

  • @judithndomondo4113
    @judithndomondo4113 ปีที่แล้ว +1

    Kwakweli laana ya diamond inawatembelea😂😂 hatimae mwijaku nae anatema cheche🤗

  • @girbathkamaghe9291
    @girbathkamaghe9291 ปีที่แล้ว +6

    Ndo binadamu hawa...mwezi uliopita alikua na konde, leo anamkejeli😄😄

  • @farajiwanted8257
    @farajiwanted8257 ปีที่แล้ว +3

    #TRENDING_NAMBA_5
    ME NI KING MUSIC 🎵 LAKIN HAPA MWIJAKU UMEZINGUA SANA MWIJAKU MBONA UNAKUWA MTU MUONGO SANA UNABUNI VITU VBAYA ILI KUMKANDAMIZA HARMONIZER SIO VZURI ACHA IZO FOCUS NA MAISHA YAKO MBONA BABA LEVO SIO MNAFKI KAMA WEWE KWANZA UNATUMIA NGUVU KUBWA KULIKO AKILI KWENYE KUONGEA