Mwijaku Afunguka Bifu na Harmonize Kutembea na Paula mbele ya Kajala Kufukuza Wasanii KondeGang
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2022
- Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
#bingoonlinetz
#sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1 - บันเทิง
Napenda maongezi ya Mwijaku sana although am from Kenya 🇰🇪 but this guy gives good advices 💪🏾
Eeehe kime fukuzwa hata hivo🤣🤣🤣🤣🤣
Kinini
The guy is a hypocrite
Nayamakwaza unawonge maneno mazuri
Y say although ur from Kenya?
Hili boga leo naona limeongea point dah poleni sana kajala na binti yake
Pont gan na ww
Unauhakikaaaa na anacho ongea?
mmh!!
Mwijaku hatujasahau uliyomtendea MENINA ujue 😄🤣
Alifanya nini 😂😂
Kajisahaulisha huyu kajizima data
Imagine ndomana lana ya menina inamuandama huyu 😂
Mnafiki wewe, tunakumbuka mpaka leo ulivyo mzalilisha menina
Umeonaa Kasahau 🤦🏾🙆🏽♀️Bado Yatamkuta Alivyomfanyia Menina☝️🤲Malipo yanakuja.
Huyu jamaa ana lopokaga lkn kwa hili la nyuchi za mama na mtoto😂😂😂,, ameongea point sn zenye akili timamu,, mwijaku on it.
Kwel bro
Una uhakika gani mbona yeye alimuadhiri mtoto wa watu menina na huyo menina alikuwa na mtoto pia uongo bwana
Mbona hukuonhea wakati ule.Nafiki sana
@@joscamwoshezi2986 Bahat nzuri sana wewe umeelewa vzr nilicho comment,, alaf bahati mbaya sana cjaelewa ulichoandika ndugu.
Weumejuaje kama hiki anakionge anaropoka
Hakuna kitu mbaya kwa hii dunia kama ulimi wenye unafiki , umezidi unafiki Allah akuongoze
th-cam.com/video/WWLysrZ6vTw/w-d-xo.html
Haujui maana ya unafiki wewe
👍👍👍👍👍👍👍
@@Wamoyothenumberone wacha uchawi ndugu
Bro usiufungie macho ukweli kisa ushabiki ati unafiki unajua unafiki ww
Uyo ndo mwijaku 😄😄😄amemfanya mtangazaji ajitemee mate
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂🤣🤣🤣🙌🙌
😂
😂😂😂😂
😅😅
Msema kweli mwijaku anasema ukweli katibuka mwijakuu uchawa umekwishaa subhannaallah 🥺🥺
Hana akili ujinga tu na fitna zimemujaa
Ukweli gani dada angu hizo zote ni kukosa kitu alicho kua ana pata
@@naslee1010 K
Muongo huyo kataka kutu hajakipata ndo mana kumbuka alivomfanyia nandy
Uko sahii mwijaku kajala hakupaswa kurudiaa na harmo coz ya kumtakaa paula
Kenya hakuna mambo ya machawa sijui machawi ya kulipwa pesa kusifia wasanii huu ni umbwakini tu Kwa huyu zuzu mwijaku much love @Harmonize from 254🇰🇪
Anaongea ukweli hapa sio umbwakini
@@souvenirweber7169 kwann hakuongea wakat akiwa chawa...au kwakua ameachwa
Hatuwez fanana kwa kila kitu jamaa kenya sio tz
Katika mashoga wa Tanzania nahuyu ni miongoni mwao
Skutegemea Kama mwijaku leo ataongea hivi kwel ubinadam kazi😭
Nimekuelewa sana bro mwinjaku unapoongea vitu vya msingi unanyooka kama inavyotakiwa big up kwa hilo
Leo nimekuelewa jaku,,huo ndo ukweli
Penye ukweli turuhusuni kusemwa ili tujirekebishe makosa yetu ushabik mzuri ni kumuambia ukweli rafiki yako harmonize kakosea na kajala ni mtu mzima kama kweli hakupendezwa na alicho kifanya harmonize asinge rudiana nae tena ni kwa sababu yeye na mwanae hawa heshimiani hata kidogo na hawana hofu ya mungu
Hiii ni mass media kuna watu wanapitia haya katika jamii na wapo kimya maisha yanasonga mwacheni kajala mna ushahidi katoka na pau
mwijaku unaaibisha watu walio soma wa dree kwan uliesomea umbea tafuta kazi usiaibishe wasomi
@@missykalele5520 tofautisha mtu maarufu na asiye maarufu konde ni msanii maarufu kutembea na mama na mtoto aibuu
Umaarufu si 7bu ya kuona haibu Bali 2natakiwa na hofu y mung na tabia njema Allah a2epushe
Waaah mwijaku una msiba mkubwa moyoni.
Konde boy amekunyosha kama rula. hivi ww ile scandal yako na Menina ilishia wapi vile 🙄 na tamani Konde ukuchukue mzobamzoba mpaka kituo cha police ukaeleze vizuri.😂😂
Huyo mnafiki anazingua sis bdo team konde💞💞💞💞💞
Hajakwambia uache
ila hamonize anapigwa vita sana ilo siwe kuku bali sizani kama kajala anaweza kukubali hayo mwijaku muongo wew
Kuhusu konde kutembea napaula nikweli.nandiomaana kajara akaamua Bora waachane.lkn mwijako anampenda kuongelea sana.yale yalishapitaaa.
@@jareengeorge5478 harmonize hajawahi kutembea na paula,ila alimuonyesha tu sehemu zake za siri..ila hawakufanya tendo..ndio alikua anataka kulisanua ndo paula alimwambia mamake ndio wakaachana.
duh mwijaku umeishia kabisa tafuta maisha yako acha ujingia
Ni kharaaaamu 😂 daaah, mwijakuu😂
👯💂Mwijaku apewe tuzo😂😂😂kwa maneno mazuli ya dini
Anaongea
kajala atakuwa kampunguza jamaa😂😂😂
Hapo kwa kutema mate tumboni sasa😂😂 khaaa Mwijaku banaa🤣… kwani kuapa haitoshi hadi mate bana🤣🤣🙌🏻
Sana Sana 🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Umeongea point nzuri kabisa brother Mwijaku🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Wote wampondao diamond, saiz wanabadilika, kwel daimond asemwi vbaya😂😂😂😂😂
Kama anachosema mwinjaku ni kweli harmonize anakosea sana
NI KWELI
Mwijak kaongeea poent xan keep it up bro ningepend kupat hat namb zak media nixaidien niongoe na mwijaku
😂😂😂😂 uchawa umeisha sasa umekuwa mchawi 😂😂
Hahahahaaaaa htr sanaaaa
😀😀😀😀👌🤸🤸🤸 hii inaitwa akuanzae mmalize 💪🔥🔥🔥🤸🤸🤸
Fact, vita ni vita Mura.
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kachokoza pabaya
mwijaku....wewe ni mnafiki...mnafiki saana... Khaaaaa mchwwwwww 💔
😁
Mbaya zaidi anajua dini mnafki sana huyu
Ukwel utabaki kuwa huru
Unajuaje Kama ni mnafiki
@@shanelmbunga1301 mbona hakuyasema Kabla ya Kufukuzwa
Fata yako acha kufatilia watu unao wasifia leo kesho utawasema pia machawa hizo ndo stori za kila siku mwanaume hutakiwi kuwa mmbea
Sasa wew mtu anaongea ulweli unachukia umelogwa ww
@@BREEZY882. ukweli gani hebu tuambiae ulikuepo hayo anayo ongea ukayashuhudia au unamfata måneno tu hebu vuta picha alivomfanyia nandy kisa hakumpa pesa
Huyu mnafki San lära aende kW alikiba mara harmonise sahv hiyo kubet ishamuingia ndo anataka kwenda ssa si aende tu hu'o asikae kumchafua mwenziwe
Ww muongo kama ingekuwa ivo mwijaku mbona ukusema mwanzo hamo alipokosea na Ndiokwanza ulikuwa unamkuadia adi kwenye msiba wa maunda zoro ww roho inakuuma hamo kachoka kukupa pesa kama mwanamke wake Bora ungekaa kimyaa
Hawa yye na hbaba walifanya bwege mtto w watu kila wanapotaka pesa anawapa ssa kagoma wamekaa kusema vibaya
@@fatmamansour676 ndio walikuwa wanafanya chumio washenzi kweli wanajenga wanakula kwa pesa ya mtoto mdogo zuruma zimewajaa wapambane na Ali zao
Nimekwama hapo kwa kutema mate😂🙌
Mwinjaku upo sahihi nyuchi mbili za mwana na mama laana kubwa kofi la Mngu lipo tayali Kwake
#mwijaku hakika unafkri anguko la #harmonize litakuw kwaajili ya unafiki wako? Lahasha! Mungu mara zote ni mweny nguvu na uwezo mkubwa san na ajawai mwacha pekee awaye yeyote mja wake, kwa hili utaushuhudia ukubwa wa harmonize adi uzeeni mwako na kuadisia wajukuu zako. Na pekee uyu unaemwona nyoka mbele zako ndiye mfalme na mtetez wa kizazi kipya cha music industry at sikulazimishi ulikubali hili lkn moyoni mwako unalo na utakuwa nalo tuu!
Ameeen
Ameeeeeeeeeen
Natamani tuongelee muziki pekeake wala sikukatalii Harmonize is super good artist but not the best na ukiisha zungumzia kizazi kipya Harmonize hayupo huku unakutana na kina Marioo Benson Jay Melody Kusah Mabantu Lord Music Cheed Ki2ga Dayoo na wengine kibao na mfalme wa hii new generation ni Marioo japo hata chukua muda mrefu saaana kwasababu yuko na watu wanaojua nini wanafanya
Huyu mnafiki na mchonganishi anataka kuachisha penzi la watu isitoshe kama alivomfanyia nandy ndo anataka kumfanyia huyu yaani kwa nandy je abgepanda presha a kajifungua mda sio wake kukatokea tatizo 7bu yye angesema je vile alivomfanyia kulzushia huyu watu wakimsikiliza ataachish sna watu
@@victormartin1696 Kaka uwez elewa yuko ktk angle ipi lkn uyu jamaan harmonize ana Play part kubwa san ktk awa new generation ivyo atkuw mkubwa wao kaka
Wacha kula hela ya kamari ili uwe salama ama chako kimotoni siku moja BWEGE sanaaaaaa
Muongo sana mwijaku unaaibu looh
Kama umeolewa bac toka na baba mkwe wako
Hunaakili Wewe. Ndio nyinyi mnaolala NA baba zenu
Leo yamewafika nyinyi Konde Gang ndo mmeamin huyu ni muongo
Mmechelewa xana acha mchambuliwe na nyie, Sisi WCB tumezoea kero za huyu
Dhambi kubwa ni USHIRIKINA MWIJAKU
ALLAH ATUTHIBISHE KAULI THABITI
NA UTURUZUKU TOBA YA KWELI KABLA YA MAUTI🤲🏻.Amiin
Hujui kitu
We jamaa ni mnafiki Sana ila tofauti na hilo ni muigizaji mzuri sana
Jamani makubwa
Ukuwai kuwa mchafu unajisaulisha ulichomfanyia menina ila kumbuka menina alimuachia mungu ss yatakukuta2 mengi maana ujaenda kumuomba msamahaa
Kajisahau 😄 🤣 😂.
@@zamibrahim3014 walimwengu ndio tunamkumbusha balazuri uyu kaonga pesa mahakamani na amerga kesi imefutwa
😂😂😂🔥🔥🔥🔥 MWIJAKUUUUUU ON FIREEEEEE😂
Ustadh ndio angetangaza pombe il
Alipwe mshahara? Mnafiki tu. Meng anayoyafanya yakisheitwqn kabsaa
Muhongo muhongoooo mwijaku nimekuita mara ngapi...
Umemwagwa tulia
Sema kweli mpenzi wangu mwijaku💋😂
Ukweli gani huyu kataka kitu hajapewa ndo kaamua kuharibu
@@fatmamansour676 we ulijuaje mkiambiwa ukwel mnatfta pakutokea😂
mwijaku anaongea facts lkn je how can we believes him? inaweza kua kick
Jamani Mwijaku dhambi kutukana uongo Ona sura mbaya na roho mbaya hee Konde atakoma😂
We ni malaika unaetukana wenzio
Mnafik hajawahii kutoka salama mbele ya Allah ole wako mwijaku
Kweli aisee huyu jama mbele ya Mungu awezi kutoboa uongo ambao anaouongea ni zambi kubwa sana aisee
Tuchunge ndimi zetu anavyoongea subhanallah
Good advice Mwijaku
This guy(Mwinjaku) walai knows how to promote his account. Anyway, harmonize is still in charge and always will be the top topic in your mouth for now...one love harmo🤞🤞👌👌
Njaaa zinakupereka vibaya ila tafuta maisha kwanjia nyingine
Mwijaku ako right kama nmuelewa
mwijaku Leo nimekuelewa sana
@@irenejoely5589 hivi mnamuelewa je huyu jamaa
Njaa tu hizo kama unajua dini mbona unasapoti kamali na angalia utakuja kuwekwa ndani
@@mwishehe2067 kabisa
hakika n bora kuwa mtu wakawaida kuliko kuwa mtu marufu na auna kipato yan utaibika sana
Conde for life 🔥🔥🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Anavongea ukweli mwijaku
Unaongea ukweli mtupu mwijaku
😂
Yote hayo sababu umefukuzwa wewe ulikuwa unamsifia paula na mamayake wewe bogazi kaungane na h baba umepewa talaka.
Fact
Apana ukweli na usemwe
@@amoratyclamar6215 kwa ukweli gn Huo Unafki au
Kama haya anasema yana ukweli, basi mmakonde ana hali mbaya sana. Kutweza utu wa mtu kwa sababu ya hali zao si haki mbele za Mungu.
Mm n fan mkubwa San w MWIBA leo mwijaku umenifungua San,mm nakusupport katka hilo msaad usiwe manyanyaso
Mwijaku mnafiki sana,
Haya kalale NA mkweo
@@user-po8hz7xw9j hujui unachoongea
Wajifanya una diiini, na unasport kamari (Wasafi bet)
A. Person who can market you is also capable of de-markerting you
Absolutely 👍 ttZo huyo jamaa anayoongea hapo anawwza akawa anatunga tu
Harmonize hakuwa promoted na huyu kimziki ila ni jitihada zake km unakumbuka interview kibao kafanya hata hizo nyimbo hazijui za Harmonize
@@allybakari8558 yaani kwa kumsikiliza tu ndo hujagundua km anatunga. Imagine mara Harmonize akishikwa kifua na Paula akitokea kajala anakimbia. Mara ohh mama na mwana wanamfanyia massage pamoja wakiwa hawana nguo mh
This is heavy
Nyuchiiii ya mama Na mwana kondeboy
Muongo huyu mwijaku hakuna mtu anaweza kufanya uchafu km huo mbele ya watu huyu mnafiki
@@carinamatt1031
Inawezekana Mwijaku anatia chunvi story zake lakini haya mambo yapo na hufanyika sana tu, hivyo kauli ya kusema hakuna wayafanyayo hayo labda ni wewe tu haujawahi kuyaona ila yanafanyika sana tu.
@@monstermonster3649 duh basi hatari km ndo ivyo
Punguza uongo mwijaku acha maisha ya watu kama mama karidhia
@@salmayusuph227
Kuridhia mama na mwana kufirimbwa? Au sijaelewa kuridhia kitu gani?
Mwijaku ni fun Sana 😂😂😂Much Love from Kenya
Yec
Hiyo kasoro yake umeiona leo? Siku zote ulipokuwa ukimsifia hukuiona? Kulikoni? Watu tuna akili ya kupembua mambo ni bora unyamaze kuliko kujivunjia heshima, hasa ukiwa na familia kama unavyodai.
Njia ya mwongo ni fupi katahayari huyo baba 😝😝😝
mazuri anasifia mabaya anakosoa uyo ndo mwijaku,
Mbn makasiliko broo sula yako tu inaonesha umeumia sana kupunguzwa konde gang kama katembea nao wote si makubaliano yao we inakuuma nini tafuta yako acha shombo na maisha ya watu kila mtu na maisha yake kakojoe ulale
Kabisa,aaache shobo...yeye kinamuuma nini
Mwijaku nakuomba uache kuingiza dini yetu katika mambo ya kipumbavu hii mara ya mwisho nakuonya kama unafikir huwez kufanywa kitu endelea ila tusije kulaumiana acha kuingiza uislam kwenye mambo yako ya kipumbavu☝️ACHA NAKUFUATILIA
Mwijaku unaongea na uchungu sanaa. Natuambie kuusu melina..ukasambaza uchi wake tanzania nzima.tupe dhambi zake..
Duuu kweli mwijaku umeongea kweli yani mungu atunusuru 😭😭😭
Mwijaku kahamiya kwa king kiba sasa😂😂😂
From Uganda 2
🇺🇬 but I follow this guy
Hii nchi yaajabu🤣
Sana aseee duuh
Mm konde gang Ila harmonize akili mavi sana
kwan kuna kondgang?? maanayake hamonze (kondboy)
Huyu faala alivoropokaga eti.mtoto.wa tanasha ni wake siwemuani hata kidogo,,kajala.amemtimua.kwa harmo.ndo majungu.haya yote huyu mpuumbafu trust me
Wanawake jamani tufanye kazi...mtazalilika kwa ajili ya kutegemea hawa wanaume wenye pesa
Happ kwenye temamate kwenye tumbo lako mara tatu nimecheka kwa sauti muandishi nae kafanya hahahaaa
huu jama watu wana munuku vipaya tu ila anachokesema ni sahii sana nata mimi nilimu owa mke wana na kumukuzia mtoto yake wa kike ila kiukweli ujiga ule wa harmonise ..sita fikiha hata kidogo ..nimemukuza mtoto kama wangu sasa ana mihaka kumina sita ....uleniwanagu kama mwanagu wa mwili wakiume nimezaa na mamake naku elewa sana .. harmonise hanaufu kweli nakupenda sana mwijaku unaofuna mungu sana ..nakufata toka Capetown kesington
Point tupu big up bro
izo zote ni hasira za kupunguzwa kondegang😂😂nyuchi ya nyoko
😆😆😆😆😆
Alafu usitukane mshenzi mkubwa raivani usimkaribishe uyu naona anataka kujiweka kwako
Nahamia Kenya jaman bongo nimechoka
Nauli unayo? 😂😂
Mi nip airport hapa nakusubil tugo ote
@@masala04official22 😄😄
Karibu
@@dushdollshow Asante nishaanza kupata wenyeji
Bro umeongea point sana 💪💪💪💪
#harmonize let them do each and everything wrong for you, but you'r the champ and remain be the top of all the time!
Hahahahahaaa mwijaku mie nakufagilia tu maana pale ulipokuwa unamponda mondi Wala sikukutakana so pambana na maisha ndugu.
jamaaaaaa snichi sana daaah 😁😁😁😁😁
Uko sawa mzee baba
Uchawa unapofika tamati na mirija ya pesa inapokatika hugeuka uadui..Wasanii mjifunze kuwaweka karibu washikaji kama hawa..mwishowe wanavua nguo..
Wasanii wajifunze mwijaku hafai hata kidogo.
Hawa watu diamond ndy anawez pekee wasinii wengin wot hawajui kuish na hawa watu
Umepunguza au umepunguzwa falaa ww izo nyuchi ndo umeanza kuziona Sasaiv mbn mwanzo ulikuw husemi hakuna jipya Hapo kajipange upya hahahha
Jamani mwijaku Jaa itakuja ikuponze ufungwe jela Acha kukosea Boss
Daah 😂 wazee kwahili mwijaku adanganyi mh maana mtu hawezi kuropoka hivi 😅😅Daah hamonaizy achamambo hayo Daah
Tafuta hela wew
Uzuri harmonize uwa ajali na maneno yenu
Ila mungu anamuna Kama kweli kweli narudia Tena Kama kweli anayasema ipo siku atayajari tu
@@ashamohamed1461 hamna ukweli hapo
Kafukuzwa kule
Mbna ukumwambia kutoka ile sku ulipowaona wanayafanya...alfu mbna unatudabganya na paula yuko n JUX acha kutudanganya ww
🤣🤣🤣 muongo huyu🤣🤣
He is intelligent..literate👏👏👏it's call survival 💪
watu wata acha kukualika kwenye nyumba zao maana unalopoka mambo ya ndani za familia ya watu,, hakika we ni mnafiki uliekubuu ,,
Bora anaye kwambia ubaya au makosa uliyo nayo huyo inawezekana akakusaidia kwa kujirekebisha tabia yako kuliko mwengine anakwambia uko sawa na ilihali sivyo.
Kajala umri wote huo ata sehemu ya kujiegesha, ushakosea kwa mtu wako wa kwanza
Kama ni kweli wewe ni mtu mzima unaye jielewa kwanini usiwakalishe chini uwambie hapa ivi na ivi sijapenda saa ukijakusema huku unapata farida gani au unamzalilisha nani kwani umewahi kumwambia acha hii tabia akakataa acha akili za kitoto wee ni mtu mzima vitu unaongea hata haviingii kichwani ujinga tu
Takbir.....allahu Akbar
15:36 shiii natoa kamasi kidogo😂😂🤣
Much love from Kenya. Ningependa kumhoji Mwijaku one of this days, kaka ana elimu yule, kuna chaneli naanzisha ya EA vibe yani wanangu tunapiga story tu mambo tusioyajua kwenye circle ya East Africa, tutapiga hii na itaweza sana
Daaah! Mateka alafu walitekwa😅😅😅
😂😂😂😂Hapaponi mtu
Watu waliotekwa wanaitwaje
You only focus to minor issues 😂😂😂
@@officialbntrasool5223 wanaitwa Slaves😂😂😂😂
Mwijaku leo ndio umeongea point.
Kama ni kweli... Kweli harmo anazngua
Acha ujinga rayvanny anaumizwa n JUX kachukua mtto acha zako
Leo hataki ata kumtaja jina🤣🤣😂
😂😂😂😂😂😂Comments za leo fire🔥🔥🔥🔥. itakuwa hamjui 😂😂
@@joycendanundanu9218 vathei🤣🤣😂
KUMBE HILI JAMAA PUMBAVU KIASI HIKI
Sasa tutajuaje kama hii nyuchi ya kajala na hii ya paula🤣🤣🤣astaghfurullah
Hahahahaha
Nawaona Konde kang wanavyo haha 😂 kwa mwijaku mlivyokua mnafurahia anavyo mchafua diamond 😂😂😂 hamo anachomwa tu😂
Umeon kumb n wewe😂😂😂😂😂😂😂patamu ap 🤣🤣🤣
Hakuna kitu kama icho unaunganisha story, harmonize awezi kufanya kama unavyo ongea wewe. Tatizo umepunguzwa Konde gang
Kweli
Kwahyo anaenda maseblen mwa watu kuchunguza maisha yao
Hiyo pua ya mwijaku tuu mi hoi 😄😄😄😄😄😄😄😄🙌🙌🙌
Kwakweli laana ya diamond inawatembelea😂😂 hatimae mwijaku nae anatema cheche🤗
Ndo binadamu hawa...mwezi uliopita alikua na konde, leo anamkejeli😄😄
#TRENDING_NAMBA_5
ME NI KING MUSIC 🎵 LAKIN HAPA MWIJAKU UMEZINGUA SANA MWIJAKU MBONA UNAKUWA MTU MUONGO SANA UNABUNI VITU VBAYA ILI KUMKANDAMIZA HARMONIZER SIO VZURI ACHA IZO FOCUS NA MAISHA YAKO MBONA BABA LEVO SIO MNAFKI KAMA WEWE KWANZA UNATUMIA NGUVU KUBWA KULIKO AKILI KWENYE KUONGEA