Juma Lokole amtetea Harmonize kulala na Kajala na Paula/Zuchu bila kalio amteka Diamond wako South
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024
- Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
#bingoonlinetz
#sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1
😃😃😃 nimecheka kwa sauti,huyu Juma tumwache kbs
Machawa. Wanasapotiana
Mimi nimecheka kama wewe
Juma lolole unazeeka bana hebu oa basi au mnjooo unioe mimi hapa maan nakupenda ile mbaya mnoo sipitwi na masham sham yani nikisikia sauti yako tuuu najisikia vzr sana naitwa daazuu nakupenda lokole ❤❤❤❤❤
😕😏
Ningekuwa Paula ningeacha mawasiliano na Juma maana anapofika sio yaani mtu anakunangia mama yako mzazi kiasi hiki na bado unaurafiki nae aah hapana siwezi dharau mama yangu mzazi kwa watu wa mitandaoni
Mama mwenye hana akili
Huwa namshangaa sana Yule mtoto kajala na pau walikosea sana kujiweka karibu na huyu MTU baada ya kukosana na konde lkn nahisi wamejifunza kitu
@@madawamchuwa8253 afu hawa ndo walitengeneza Ile inshuu
Wallah Juma😂😂😂😂😂who is kajala🤣🤣🤣🤣umeniacha hoyi 🤣🤣🤣
Juma unanikoshaga sana eti simfaam nakupenda juma
Yaan juma leo umenifurahisha kweli kweli safi sana
Wasafi inatumia nguvu kubwa sana kumshusha harmonize
hampana
Na wee nawe, kwani huyo interviewer ni wa wasafi? Bingo online ni wasafi? Wacha makasiriko, wamshushe kwani kapanda wapi?
Wow Awesome 👌
Huyu sio mzima juma wallahy
😅😅ahahahahaaaaa Jumaaaaa!! Nakupendaaaa wallahi nimechekaa Who’s Kajalaaa!!
Nakubali sana kazi zako bro 🤠🤠🤠 pamoja sana
Juma mwanangu humeongea hukweri kbsaaa sisi wanawake hatupendan ni wanafki sana wenyewe kwa wenyewe hatupendan😘
WCBforlife
Wengine wapo tu
Jmn we juma mungu anakuona we
Ila juma mtu mzima sana umekomaa uso Kwa sababu ya umbeya 🤣🤣🤣🤣
Kazeeka
Who's kajala, this man ni boya sana😂😂🤣🤣
Juma mm diyo nakupenda hujuwe kusima kusima urongo
Pole 👋
Yemwenywe sinimke juma..sahii amesema amjui kajala mara amerudi anasema paula anaishi nyumba ya kajala..huyu chakula tuu
Dah yani nimecheka sana ety jumalokole amjui kaja dah😂😂😂
Kila kitu kinaenda bien naipenda hiyo😂🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩❤
Ni Air Hostess Juma Sio Hair hostel 🤣🤣
nimecheka hata sijafika hapo 🤣🤣🤣
Asante juma
Mpumbafu mukubwa,ulisha wai kuzungumuzia mwenyi hujui???? Wivu😄😄😄
Juma nyoko kweri😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
Mungu wangu eti amfaamu kajala
Nyie ndo mnochocheya zinaa
Sasa kuolewa kwa uganga si sawa na kubaka jamani?!!
Haki nmechekaa eti meno ya Kajala ya mbele yote yameng'ooka😂😂
Juma wangu mm sijuwe kuwadika jiswahili vizuri
Pole my
Jamani juma, kweli humujuwi kajala😀😀
ila juma ni mbea hadi raha et huyu si mcheza show wa akudo 😂😂😂🙌🏻
Juma wewe ndio ulisema msemaji wa familia 🤣🤣🤣🤣
Hakulipwa vizuri ndio maana kajivua
Who's kajala
Bro mtangazaj unauliza kwaku nyooka nimeku kubali
Sasa kama umjui kajala, umejuaje kama amekuzidi umri! 😄😀😆🤣
Sababu anamjua Paula mwanae ndo was Rika moja
Lakini juma tu 😁😁who is kajala
pesa ni maua... huyu sahii anayanusa... lakini!! Macho ya dunia mabaya sana!!
FaceTime or first time? Lakini Juma🤣🤣🤣😂😂😂🤣🤣🤣😂😂
kingereza kigumu jmn 😂🤣🤣🤣🤣🤣
Ila nyie Jumaaa🙌🙌😂 kwahiyo kamkana kajala hvhv
Juma utatuuwaaaa hata kwenye picha?? Eti huyu mcheza shoo… nimechekaa leoo
Juma ww una vituko🤣🤣🤣🤣
Kajala simfahamu lakini mwanawe namfahamu😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu Juma Lokole Jamanj,yani humjui Kajala na ulilizungumzia hilo swala awali kwamba Harmonize anajaribu kumchukua Paula kupitia mamake Kajala...and then you are like "who is Kajala"😏😆😆🤭
Juma kichefu chefu kweli wewe. 😆😆😆😆
Tajiri juma huyo
Safi juma mshenzi sana kajala majibu mazuri .hata mimi ningesema simjui
Ume ongee kweli ka bisa❤🇰🇪
kwakweli unanichekesha mvi za puwa
Awa waandishi awjasomea hatakidogo yani wamekaa kuchonganishatu
Kweli juma nimeamini ni shogaa
Mtangazaji una kucha nzuri 😅
Basi Diamond atachelewa mke huyo awaheshimu Wote siyo haki ya mke wote hayo Awaheshimu mkwe OK na Mashemengi pia waweke heshima kwa mke wa ndugu yao..na mawifi pia hapo kutakuwa ni kuheshimiyana... ndio inavyo takiwa....
Waacheni watu na maisha yaooo
Ila Juma🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂juma umetushinda tabia wallah eti humujui kajala😂😂
Juma kazi ya air hostess hailipi pesa ya maana. Jameni waulize wanaokaa majuu. Pia training unapata as you work kama kondakta wa basi. Weee
Huyu juma jaman kah c kwamineno hyo 😀😀😀
Kwa hivyo Juma hutudanganya mambo mengi😅. Ati who is Kajala🤣🤣🤣.
Yani juma.. Ati pia wewe unaeza kumlipia ada 😂😂😂
🤣🤣😜😜😜😅😅Akakae ukweni
Juma tuache kidogo who is kajala 🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂et hamfaham kajara juma😂😂🙌
Umeumbika juma roho yako chafu ulilolikusudia hukulipata unaona haya leo unasema humjui kajala
Juma dah! 😂😂😂👍
Kwa iyo asioe kisa kupeperusha bendera ya Tanzania hapo umetudanganya juma
Jumaaa amesahau yeye alikua mcheza show wa FM Academia
Halafu Paula na hilo shepu awe air hostess ??? 🤣🤣🤣Heri arudi Kwa udaktari ataweza,,,halafu Juma sio AIR HOSTEL ni AIR HOSTESS 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣
Khaaaa😂😂😂 juma weee🤣 eti hamfahamu mama mtoto ila mtoto anamjua🤣… we mnafki sanaa😂
Akitaka kusema uongo atasema na akiwa hataki loooh atarusha hukoo... Anaogopa wavamiwa na Tembo...
Hapo kwenye lilia bahati sio uzuri ni ukweli kabisa, tena tasmini ya dini wanawake wembamba wasio na matako makubwa ya uturuki ndio wanaongoza kwa kuolewa na wanaume matajiri kupita maelezo, lakin hapo kwenye kajala humjui 😀😀😀 mmmm! juma lokole utafika mbinguni umechoka sana walai 🤣 🤣 🤣🤣
Juma hamjui K ..🤣🤣🤣🤣🤣
Juma huna akili 😃 zuchu anaparamia friji 😃😃😃
ila juma🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂YAANI JUMA LOKOLE SIJAWAHI KUCHEKA KAMA LEO MAANA HUPINDISHI YAANII DUUUUUH UTASEMA UMEYAPAGILIA
Eti who is kajala 😂😁😂😁😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣aki wewe juma,,,
Ati who is kajala,for real u are not serious 🤣
Ww humjui alafu unamuongelea
Kumbe unamjua!!!
Mataira ni wengi nchi hii duh
haha eti bwana comando kikofia🤣🤣🤣
Mtangazaji Ataitwa Chibabu" akiwa na Wema sepetu 🤣🤣🤣🤣🤣
We kilaza sio air hostel! Ni air hostess
🤣🤣🤣🤣🤣Juma hamjui kajala etii 🤣🤣🤣
Juma mjingaaa
Eti reo hi juma hamfamu kajara aisee mji hunamambo huu yupo siriasi
ivi munajua kama PAULA NI MCHEPUKO WA DIAMOND PLATNUMZ? WANAO JUWA ILO ANGUSHENI IZO LIKE NA COMMENT. HII GAME YA TZ NOMA SAAAAANA, NI ROHO NGUMU.😂😂🔥🔥
Kwani huyu jumaa kwanini hataki kujifanyia sajali?
Mwanaume na ice cream,
Mwanaume bwege tuuu
Jamani me nauliza huyu Juma mtoto yaani naona anangea kama sio mzima eti hanfamu kajala ndio mana wantazania hatuendi mbali kwa jealous na uongo juma huna haya usema uongo mbele ya television tena unahisi kawaida me naona me niko Uk pia namjua kajala wacha ujinga ongea kweli.
Juma acha undezi unafanya watu watoto. Mpuuzi si umesema humjui wewe mbona unamwagika sasa.
Whu is kajala anafanya nn
Yani asipo owa ndo muziki unasonga mbele ?kwani davido na wengine wakina adekule siwameowa nawako juu! Diamond fala msenge ndo conditions frimason kamupa atowayi kuishi namwanamuke nikubadilisha kila mara
Yule diamond hana freemason wala nini 😂ni mwizi wa views na subscribers feki anaboost views wengiiii karibu views 50,000000 kila video na wasanii wake anawabostia 20,000000 na hizo views humpelekea apate nomination kwenye awards za nje ya nchi na kualikwa kwenye vile vitamasha lkn shows zake huko London or marekani anaparfome kwenye kitchen party kama harmonize 😂
Juma are you serious? As aty who is kajala😁😁
Kujifanya mtoto kila siku kenge wee, kajala hamjapishana sana na wewe unaonekana umekomaaa
Sasa umesema.humjui mamake saii unajua alikua akiishi wapi kuma sna wewe
Umbea atautoa vp akiendelea kusema hamjui🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hhhhh juma bna
Ok
Uyu jumalokole unajuwakujizima data kumaninazako
Juma bana ahhha "Camon" ahhhahha
Wewe mjinga sana hujitambui sana tu
Juma jamani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🇰🇪
Ila juma🤣🤣🤣
Is this the same man who was insulting Tanasha .Hypocrites