ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
jina jingine La uwatu
Halafu ninaswali ninaweza kutumia uwatu pia ninapo ingia kwenye siku zangu naweza kutumia tangawizi na asali pamoja na uwatu?
Uwo uwatu unapatikana wapi
Na je unaweza kuchemsha ukaweka kwenye chupa ya chai ukanywa kidogodogo
Ndio unaweza
Je mjamzito mweny uvimbe anaweza kutumia
Hapana mjamzito usitumie mpaka utakapojifungua
Mimi niko na uvimbe kwenye kizazi kinapima 7cm , sasa nifanje
Explain in English
She says that fenugreek helps to heal fibroids in the uterus.
Hii nikweli jaman?? Maana Uvimbe wanitesa jamani si masihara
Ndio. Una uvimbe gani ?Uvimbe maji Na ni saizi gani?
Na mm nna uvmbe maji c mkubwa San 2.4
@@doreenraymond8574 Tumia Tangawizi na asali . Pindi unapoingia kwenye hedhi mpaka unapomaliza hedhi yako.
@@doreenraymond8574 Angalia hii 👇th-cam.com/video/vJ3QdVky-H8/w-d-xo.htmlsi=Cf9ARWtiKIfzWN-9
Uwatu ni ngano ama nn
Kwa muda gan mamy unatumia hyo dawa yan ck ngap?
Mpaka utakapopona
Hv madam ukinywa hyo dawa 2mbo lnauma
Hii ni ngano maana mmenichanganya
Huo ni uwatu. Uwatu ni Moja ya viungo vya jikoni. Kama vile ukisema pilipilmanga ,iliki .
Uwatu nini?
Uwatu ni Moja ya viungo vya jikoni. Kama vile ukisema pilipilmanga ,Hiliki .
Mimi ninauvimbe size 4 je naweza tumia hii na nikapona kabisa
Uwatu naweza kutumia wa UNGA
Xamahau uwatu unapatkana xokon au
jina jingine La uwatu
Halafu ninaswali ninaweza kutumia uwatu pia ninapo ingia kwenye siku zangu naweza kutumia tangawizi na asali pamoja na uwatu?
Uwo uwatu unapatikana wapi
Na je unaweza kuchemsha ukaweka kwenye chupa ya chai ukanywa kidogodogo
Ndio unaweza
Je mjamzito mweny uvimbe anaweza kutumia
Hapana mjamzito usitumie mpaka utakapojifungua
Mimi niko na uvimbe kwenye kizazi kinapima 7cm , sasa nifanje
Explain in English
She says that fenugreek helps to heal fibroids in the uterus.
Hii nikweli jaman?? Maana Uvimbe wanitesa jamani si masihara
Ndio. Una uvimbe gani ?Uvimbe maji Na ni saizi gani?
Na mm nna uvmbe maji c mkubwa San 2.4
@@doreenraymond8574 Tumia Tangawizi na asali . Pindi unapoingia kwenye hedhi mpaka unapomaliza hedhi yako.
@@doreenraymond8574 Angalia hii 👇
th-cam.com/video/vJ3QdVky-H8/w-d-xo.htmlsi=Cf9ARWtiKIfzWN-9
Uwatu ni ngano ama nn
Kwa muda gan mamy unatumia hyo dawa yan ck ngap?
Mpaka utakapopona
Hv madam ukinywa hyo dawa 2mbo lnauma
Hii ni ngano maana mmenichanganya
Huo ni uwatu. Uwatu ni Moja ya viungo vya jikoni. Kama vile ukisema pilipilmanga ,iliki .
Uwatu nini?
Uwatu ni Moja ya viungo vya jikoni. Kama vile ukisema pilipilmanga ,Hiliki .
Mimi ninauvimbe size 4 je naweza tumia hii na nikapona kabisa
Uwatu naweza kutumia wa UNGA
Xamahau uwatu unapatkana xokon au
Halafu ninaswali ninaweza kutumia uwatu pia ninapo ingia kwenye siku zangu naweza kutumia tangawizi na asali pamoja na uwatu?
Halafu ninaswali ninaweza kutumia uwatu pia ninapo ingia kwenye siku zangu naweza kutumia tangawizi na asali pamoja na uwatu?
Halafu ninaswali ninaweza kutumia uwatu pia ninapo ingia kwenye siku zangu naweza kutumia tangawizi na asali pamoja na uwatu?
Halafu ninaswali ninaweza kutumia uwatu pia ninapo ingia kwenye siku zangu naweza kutumia tangawizi na asali pamoja na uwatu?