Haki huinua taifa baba. Mungu akubariki sana sana sana. Kama hujakutana na masaibu ya mahakamani na gerezani sio rahisi kujua moyo alionao mchungaji huyu tena bora unyamaze kuliko kumkejeli.
Tatizo la hii nchi ni katiba tu wakiongea chadema tunawaona kama wanachuki binafsi, ikirekebishwa katiba basi mambo mengi yatakuwa sawa,,,,but hongera mtumishi kwa kujilipua
Ahsante sana Mtumishi wa MUNGU kwa kuwatetea wafungwa na maabusu, Hivyo ninakuomba mh.Rais Samia pamoja na serikali yako msikikilize kilio hicho cha Mtumishi wa MUNGU nanyi mkitendee kazi kwa harakaka....,MUNGU atawabariki.
Mbarikiwa ndio maana ulifungwa si kwa kukuonea kivile ni Mpango wa Mungu uhende uko huone yanayotendeka Magerezani Sio hiyo tu ya Mbeya ni kote Tanzania .Kwa ujumla Magereza yote ya Dunia ya tatu ni mbaya zaidi. Wamekuomba uwasemee kwa kuwa wewe umeshuhudia huozo wa Maabusu.Mungu anakuona unavyo sema kwa uchungu jinsi wafungwa wanavyofanyiwa. Lakini wanasahau kuwa Mungu atawalipa kwa kazi zao.Mungu alali watalipwa.Ubarikiwe sana.Yesu alisema kipimo kile kile mnacho mpimia mtu Mtalipwa vile vile
Dah kwakweli Mchungaji Mungu akubariki sana ni roho ya pekee kuwajali wengine hakika ni wachache sana hapa dunian tunaomba mfanyie kazi ujumbe huu hakika tunaamin 😢
Hakika hii ni sauti ya mtu aliaye nyikani....😭😭😭😭😭 Utumwa bado upoo hatujawa huru bado Africa ,,,,.Mbarikiwa Siku akifa Nchi itazizima,,,, Bwana Yesu azidi kukupa uzima Baba Yetu...
Pastor nimekuota unanisimamia mitihani yangu ya chuo (japo nilishamalizaga chuo pale IFM toka 2019), halafu nikaaga kwenda washroom, ile natoka nikakuta mtihan wangu umeibiwa😢, haupo, nikakufata kukuelezea kwamba sion mtihani wangu, ukanijibu USIJALI mwanangu, mm namjua mama yako anamtumikia Mungu, utafauru haijarishi 😊
Cha Kufanya Ufanye Maombi Aje Kuwa Raisi Kwasababu Yeye Anafanya Kazi Ndani Ya Mkoa Lakini Ndani Ya Mkoa Nilazima Iko Mipaka Kwenye Baazi Ya Mambo Cha Kufanya Wewe Kama Mwana Maombi Muombee Na Mungu Kama Atajibu Maombi Yake Basi Makonda Awe Raisi Akiwa Raisi Apo Sasa Afya Za Watu Zitasimama Na Akili Zitakua Imara Pia
aiii jmni mtu huyu amelilialia mno jmni kuhusu wafungwa. jmni serikali yetu nzuri hebu mumsikiize mukande huko magerezani kuskia kero za watu wetu. maana kuna watu huko wanamiaka na miaka mpaka wamekosa matumani. hebu jmni basi mkasuluishe kwa haraka kawasaidieni na vilio vyao tafadhalini
Sasa nimejua kilicho kupeleka gerezani kweli TUNAPASWA KUMKIRI MUNGU wakati wote. Akili zake sio akili zetu uwezo wake upo juu sana. Sifa na utukufu ni zako wewe MUNGu. Tunaomba utusaidie kuishi Kwa haki ndani ya taifa letu.
Nimesikitika nilivyosikia mtu anazomewa kuwa ni chizi kumbe anaakili timamu nilisikia stori kama hiyo huyo dada alikuwa anaombewa wakusema ni chizi Kila akijaribu kusema mm ni mzima wanakemea mpaka dada Kawa chizi kweli hii sio nzuri
.NENO LIKIRUHUSU MIMI MWANA MFALME WA UFALME WA TETE MIMI MTU MWEMA NENO LIKIRUHUSU VILEVILE MTU ASIYE FAHAMU CHOCHOTE KUHUSU TETE (BABA) ANA HATALI KUBWA SANA AKIKUSIKILIZA VILEVILE AKIKUTAZAMA#UTU UKO JUU YA SHERIA
Hao wafungwa hawana hatia hao vuongonzi wa CCM ndio walitakiwa kuwa gerezani Magufuli alicho kosea ni kuto kuwafunga hao wezi wanao iba mali za wana Nchi. Ndo walio muuwa ili waendelea kuiba.
Alafu aya magereza tulijengewa cc wanyonge maana waliopo magerezani ni masikini tu hawa wanaoiba mabilioni yetu kodi zetu wanateteana kwa nguvu zote kusema kweli sio poa
Katika hili ,,kama mungu aishivyo Israel na iseme SASA,,, Hapa nauona ulokole original,,namuona Roho mtakatifu original,, nauona wito,Naiona sauti ya MTU aliaye nyikani,,,,
Wewe hujasikiliza hata UJUMBE ILA UPO KWA AJILI YA KUONA SURA YAKE? KWA KWELI HII DUNIA WANYONGE NDIO WENYE MAUMIVU. UNAMALIZA MB ZAKO KWA AJILI YA KUANGALIA MIKONO YA MCHUNGAJI? DUUUUUUUH INASIKITISHA SANAAAAAA
Sasa wewe ndugu unashida ganj kichwani??, mbarikiwa kakosea nini hapo, kutetea watu amekosea, naamini bado upo duniani, utakuja kuelewa umaana wa anachokisema.
Jitokeze wewe MTU BASI TUKUONE!!! IVI MTU NI NANI? Ivi kati yako wewe na HUYO unaesema SIO MTU nani ni mtu KAMILI? KWA SISI WAJINGA TUNAONA HUYU NDIYE BINADAMU KAMILI.
Haki huinua taifa baba. Mungu akubariki sana sana sana.
Kama hujakutana na masaibu ya mahakamani na gerezani sio rahisi kujua moyo alionao mchungaji huyu tena bora unyamaze kuliko kumkejeli.
Tatizo la hii nchi ni katiba tu wakiongea chadema tunawaona kama wanachuki binafsi, ikirekebishwa katiba basi mambo mengi yatakuwa sawa,,,,but hongera mtumishi kwa kujilipua
Ubarikiwe sana Mtumishi! Neno lako ni jema kabisa!
Mungu azidi kukulinda kaka maana kiukweli inauma maana uwonefu nimwengi kuliko haki
Ahsante sana Mtumishi wa MUNGU kwa kuwatetea wafungwa na maabusu,
Hivyo ninakuomba mh.Rais Samia pamoja na serikali yako msikikilize kilio hicho cha Mtumishi wa MUNGU nanyi mkitendee kazi kwa harakaka....,MUNGU atawabariki.
Kwa hili umenena vyema pastor...Mwenye masikio nadhani wamesikia
Ubarikiwe sana toka nikusikie Leo umenena vyema sana Mungu akutiye nguvu sana
Ujumbe mzito mno, waswahili wanasema ukweli unauma lakini niwaambie kusingiziwa kunauma hatari Mbarikiwa nimekuelewa
Mbarikiwa ndio maana ulifungwa si kwa kukuonea kivile ni Mpango wa Mungu uhende uko huone yanayotendeka Magerezani Sio hiyo tu ya Mbeya ni kote Tanzania .Kwa ujumla Magereza yote ya Dunia ya tatu ni mbaya zaidi.
Wamekuomba uwasemee kwa kuwa wewe umeshuhudia huozo wa Maabusu.Mungu anakuona unavyo sema kwa uchungu jinsi wafungwa wanavyofanyiwa. Lakini wanasahau kuwa Mungu atawalipa kwa kazi zao.Mungu alali watalipwa.Ubarikiwe sana.Yesu alisema kipimo kile kile mnacho mpimia mtu Mtalipwa vile vile
Dah kwakweli Mchungaji Mungu akubariki sana ni roho ya pekee kuwajali wengine hakika ni wachache sana hapa dunian tunaomba mfanyie kazi ujumbe huu hakika tunaamin 😢
Hakika hii ni sauti ya mtu aliaye nyikani....😭😭😭😭😭 Utumwa bado upoo hatujawa huru bado Africa ,,,,.Mbarikiwa Siku akifa Nchi itazizima,,,, Bwana Yesu azidi kukupa uzima Baba Yetu...
Daaaaaah 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Wacha watese kwa zamu nao hawata songea sana katika Dunia Mungu yupo!!!elewa tu hivo
Pastor nimekuota unanisimamia mitihani yangu ya chuo (japo nilishamalizaga chuo pale IFM toka 2019), halafu nikaaga kwenda washroom, ile natoka nikakuta mtihan wangu umeibiwa😢, haupo, nikakufata kukuelezea kwamba sion mtihani wangu, ukanijibu USIJALI mwanangu, mm namjua mama yako anamtumikia Mungu, utafauru haijarishi 😊
Nikweli unayo yasemaaa
Jane
Cha Kufanya Ufanye Maombi Aje Kuwa Raisi Kwasababu Yeye Anafanya Kazi Ndani Ya Mkoa Lakini Ndani Ya Mkoa Nilazima Iko Mipaka Kwenye Baazi Ya Mambo Cha Kufanya Wewe Kama Mwana Maombi Muombee Na Mungu Kama Atajibu Maombi Yake Basi Makonda Awe Raisi Akiwa Raisi Apo Sasa Afya Za Watu Zitasimama Na Akili Zitakua Imara Pia
Kwakwel mpaka machozi mungu akutie nguvu
nisamehe baba mwanna mpotevu nami yalinikuta nakuja nimesaidika sana unayoongea ni kweli baba mama wa shinyanga
Da! Umenigusa sana. Ubarukiwe Mbarikiwa
Asante sana Mtumishi kwa kujitoa mhanga kutetea wanaoonewa🙏
Ww una ujasir akina Daniel mungu akubark sn
Makonda saidia kweli magereza hiyo ni sauti ya Mungu.
Ubarikiwe mchungaji hata Kwa kujitokeza hazalani
Nimeumia nawaza asingejilipua tungejuaje ndugu zangu tuombe kwaajili ya wenzetu
Ameeen baba nadhani sauti hii imefika
aiii jmni mtu huyu amelilialia mno jmni kuhusu wafungwa. jmni serikali yetu nzuri hebu mumsikiize mukande huko magerezani kuskia kero za watu wetu. maana kuna watu huko wanamiaka na miaka mpaka wamekosa matumani. hebu jmni basi mkasuluishe kwa haraka kawasaidieni na vilio vyao tafadhalini
Mungu atusaidie Baba katika haya !
Naimn kaka umesikia iki mimi pia nilifanyiWa fitina nikafungwa naomb mdikilize uyu baba
Mchungaji naamini unaemuomba ww akusaidie au awasaidie wengine ni mwanadamu,nakushauri muombe Mungu afanye jambo hilo,mlilie Mungu tu
Sasa nimejua kilicho kupeleka gerezani kweli TUNAPASWA KUMKIRI MUNGU wakati wote. Akili zake sio akili zetu uwezo wake upo juu sana. Sifa na utukufu ni zako wewe MUNGu. Tunaomba utusaidie kuishi Kwa haki ndani ya taifa letu.
Mungu akubariki kamanda
kweli Makonda yuko safi
Amina mtumishi
Barikiwa sana kaka
Sina lugha ya kusema but wewe ni kinywa cha Mungu ole wa Tanzania isiposikia haya na kukutendea kazi laana itaitafuna Tanzania.
Makonda ckia kilio Cha mtumishi huyu wa mungu makonda makonda makonda ckia kilio hiki
😢 mtetezi WA wenye Haki , wewe yesu KRISTO BWANA wetu , sifa NI unastahili
Ameen baba na iwe hivyo!! umfikie ujumbe huu!
Tatzo ni la mifumo ya nchi yaan watu wakiwa serikalini bas wanakua kama miungu watu😮
Nimesikitika nilivyosikia mtu anazomewa kuwa ni chizi kumbe anaakili timamu nilisikia stori kama hiyo huyo dada alikuwa anaombewa wakusema ni chizi Kila akijaribu kusema mm ni mzima wanakemea mpaka dada Kawa chizi kweli hii sio nzuri
Nakukubar sana mbalikiwa
Mungu hii sautii isikike tz nzima
Wazee wetu walikosea kuwafukuza wakoloni watu wanabambikizwa kesi
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu Mwakipesile
Ubalikiwe sana mmbalikiwa kweli umebalikuwa kweli nakweli mahakama hazifanyi kazi kiukweli wapo kimasilai wakipigwa na Hela wanaachiwa
Nakukubaliii sanaaaa
Unaloliongea pengne baazi waskuelewa ila mm nakuelewa mana nilkuwa huko Ubarikiwe
Mtumishi wa Mungu Mungu akutie nguvu sana na nakupenda sana mtumishi
Mpaka nimelia jamani uwiiii Makonda Makonda mtete,zi
Bwana Yesu 😢😢
NAAMIN NAAMIN WALA SINA SHAKA MUESHIMIWA AKIION HII CLIP NAAAMI ATAKUJA ON THE SPOT
Mahakimu Mahakimu Mahakimu....nimewaita Mala 3 Mnatumia Nafasi zenu vibaya Malipo Yenu yapo yanawasubili
.NENO LIKIRUHUSU MIMI MWANA MFALME WA UFALME WA TETE MIMI MTU MWEMA NENO LIKIRUHUSU VILEVILE MTU ASIYE FAHAMU CHOCHOTE KUHUSU TETE (BABA) ANA HATALI KUBWA SANA AKIKUSIKILIZA VILEVILE AKIKUTAZAMA#UTU UKO JUU YA SHERIA
Amen 👏 🙏 👏
Hao wafungwa hawana hatia hao vuongonzi wa CCM ndio walitakiwa kuwa gerezani Magufuli alicho kosea ni kuto kuwafunga hao wezi wanao iba mali za wana Nchi. Ndo walio muuwa ili waendelea kuiba.
Duuuuu! Mungu anamaMIAMBA, nani anayeweza kuyasema haya, wengi walioingia huko walitoka na wakawa kimyaaaaaa, ila huyu mwamba mmmmmm!.
HAKIKAAAAA! Umenena VYEMA MUNGU AKUTIE NGUVU TU BABA YETU ULILETWA DUNIANI KWA KAZI HII YA KULETA UTU NA HAKI DUNIANI.
Ni kweli mahakama kwenye haki pawepo na ngazi nyingine zaidi yao.
Safi
Makondo huu ni ujumbe uliotoka kw mungu
Mchungaji Mbarikiwa umenitoa machozi......!!!
Ameen
Amanaloli mputii uchala akulidee
Sasa mbarikiwa unaanza kuwa mchungaji, naomba hicho kitabu
Nitaomba kupata kitabu chako,nina kitabu kingine cha mtumishi kama wewe cha siku 1888 gerezani.kuna mambo ya ajabu sana.
🎉🎉
Hii nchii ngumu sana
Kwann hukusema wakati ulipitoka ??? maana Makonda kipindi hicho alikuwa bado ni Katibu Mwenezi CCM.
Alafu aya magereza tulijengewa cc wanyonge maana waliopo magerezani ni masikini tu hawa wanaoiba mabilioni yetu kodi zetu wanateteana kwa nguvu zote kusema kweli sio poa
Tupate soft copy ya kitabu hicho baba mchungaji kwa sababu umegusa penyewe
Umeongea fact
NAKUOMBA SANA NDG MAKONDA MUNGU HUYU AKULINDE UTOKAPO NA UINGIAPO,
Katika hili ,,kama mungu aishivyo Israel na iseme SASA,,,
Hapa nauona ulokole original,,namuona Roho mtakatifu original,, nauona wito,Naiona sauti ya MTU aliaye nyikani,,,,
Mchungaji naomba share hii video kwa mamlaka husika💔💔💔🙏🙏🙏
duh ebn ww mchungaji kweli Noma Bado unaongea tena huogopi hahaaaaaaa dah ningekua mimi ninge kaakimya
Ni kweli kabisa kwa WEWE USIYEJALI MAUMIVU YA BINADAMU MWINGINE DUUUUUUUUH INASIKITISHA SANA. ETI ANYAMAZE!!!!!!!!! KWA KWELI UTU UMEONDOKA DUNIANI
Ww uwwzi uyu mwanaume anaweza
Kuna ktu kkubwa nyuma ya 41:13 mateso ya mbarikiwa, mwe 😢😢😢!!
Mbona mchungaji anajistukia nani kamzua kuongea
Aliyemuua mtoto wake na kisha kumfunga gerezani
Wewe mungu sianakusikia zaidi ya makonda baba mweleze bwana atafanya tu
ni kweli watu wengi hawana hatia
Correct
Acha ushetani
We nimalaya et siutafuta mashoga wenzio mzungumze uyu baba anatoa shida zawatu alafu unaingiza ushetani we ni choko nini
Nisibrieni niwe rais mm kitaereweka kwa wanyonyaji makafiri hawa
Haya maneno ndo ninayo yapenda mbalikiwa wanakushambulia sn ila mm nakuelewa sn uwa unapenda sn haki bro ila viongozi wetu walio wengi ni shida sn
Mwe umwe, Kyala mwe😢
Ndio maana Uliitwa ULIYEBARIKIWA
Kweli Mh Makonda Mungu anakusudi na ww
Pambana makonda
Tunawakusanya watetezi WA wenye Haki...RC makonda yesu akutie ujasiri ingia kwenye time ya BWANA yesu kutetea walioonewa
Utetezi wa mazingaombwe
Mungu hadhihakiwi utakipata unachokitafuta huwezi mjibu hivyo mtu anafumbua@@eliajimmy95 uovu jambazi mkubwa wee
@eliajimmy 😂😂😂 acha wivu ww
@@eliajimmy95 ina maana wewe ni mzingaombwe au unakataa wewe si mtetea Haki?
Unafiki ndo umekujaa! Hao Nyumbu zenu walishamtetea nani?@@eliajimmy95
Mbon kama anasug mikonon kama anajichubua
Ndugu kwani lazima ukomment?
Wewe hujasikiliza hata UJUMBE ILA UPO KWA AJILI YA KUONA SURA YAKE? KWA KWELI HII DUNIA WANYONGE NDIO WENYE MAUMIVU. UNAMALIZA MB ZAKO KWA AJILI YA KUANGALIA MIKONO YA MCHUNGAJI? DUUUUUUUH INASIKITISHA SANAAAAAA
Wee nae comedy, muda wrote leo ndio unasema, Acha comedy
Mmm pole
Kila jambo na wakati wake.
kila jambo na wakati wake haukurupuki kila jambo latokea kwa wakati
Mbona umechelewa kutowa salamu
Nahisi Mbarikiwa kama hauko sawa
Acha kupayuka kwa usiyoyajua
Mungu atakurekebsh tuu
Kwa lipi?
Kwa lipi mtu wa Mungu!mbona haujaongea kutetea mtu
Sasa wewe ndugu unashida ganj kichwani??, mbarikiwa kakosea nini hapo, kutetea watu amekosea, naamini bado upo duniani, utakuja kuelewa umaana wa anachokisema.
Hamna mtu hapo
Unaelewa unachokifanya?,,
Mambo hayo yanaweza kukupata hata wewe ilimaadam upo hai, usibeze Kila kitu ndg.
Jitokeze wewe MTU BASI TUKUONE!!! IVI MTU NI NANI? Ivi kati yako wewe na HUYO unaesema SIO MTU nani ni mtu KAMILI? KWA SISI WAJINGA TUNAONA HUYU NDIYE BINADAMU KAMILI.
Achen makasiriko hamna mtu hapo Kama! We unamuabudu ni ww
@@davidmalisa8043 Unahitilafu kwenye akili, Pole sana.
Wacha watese kwa zamu nao hawata songea sana katika Dunia Mungu yupo!!!elewa tu hivo