KIFO cha KUTATANISHA - BINTI wa KITANZANIA ALIYEANGUKA KWENYE CHEMBA OMAN na KUFARIKI -ALETWA NCHINI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 280

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  19 วันที่ผ่านมา +14

    JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...

    • @ShemsaKiobya-x8h
      @ShemsaKiobya-x8h 19 วันที่ผ่านมา

      Hilo karoo la choo linakaaga wazi, hao kuna kitu wamefanya mungu atalipa tu waarabu sio wazuri

    • @ZakiaZakianoman
      @ZakiaZakianoman 19 วันที่ผ่านมา

      Haliingiliki mbona group au limejaa😢

    • @Farhani-gd5zi
      @Farhani-gd5zi 18 วันที่ผ่านมา

      Mungu ndio anaye JUA yote ya gizani na Yanayokuwa kwenye uwazi njia nimoja2

  • @Fathasssane-vs2th
    @Fathasssane-vs2th 19 วันที่ผ่านมา +30

    Hatuna budi watafutaji wenzangu kusema alhamdulillah 😢😢😢kwa sababu hatuna la kufanya ktk inch za watu na tumekuja kutafuta halali😢😢😢

  • @sherryx.7897
    @sherryx.7897 19 วันที่ผ่านมา +11

    Poleni sana na msiba.. ushauri naomba mufatilie zaidi kuhusu sababu ya kifo chake..ubalozi wa tanzania wazidi kufanya uchunguzi ..kwanini boss aseme kaanguka kwenye chemba na Doctor andike kwa moyo..?

  • @RitbayRitbay
    @RitbayRitbay 19 วันที่ผ่านมา +11

    Allah amjaalie nuru ya kaburi amjaalie kher ya kubur na amjaalie kaburi lke liwe miongoni mwa bustani za peponi biidhnillah na Allah awape subra wazaz wke na watoto wke awajaalie faraja ya moyo ndio hali ya dunia hakuna hila ila billah كل نفس ذائقه الموت.

    • @HajiMwadin-t9l
      @HajiMwadin-t9l 19 วันที่ผ่านมา

      Amin

    • @MonaEd-o4z
      @MonaEd-o4z 19 วันที่ผ่านมา

      Amin thumma amin inshaallah

  • @OmanOman-ru4eu
    @OmanOman-ru4eu 19 วันที่ผ่านมา +44

    Tuliko oman tunazijua chemba za oman jinsi zilivyo jmn ngoja tuniyamaze allah akupe kauli thabit habibty mpambanaji mwenzetu

    • @aishajuma18
      @aishajuma18 19 วันที่ผ่านมา +7

      Kukaa kwangu kote Oman sijawah kuona chemba kama Ile 🙄😢

    • @JemmyMakao
      @JemmyMakao 19 วันที่ผ่านมา +4

      Hakuna chemba ya kuingia mpaka ufe

    • @SalamaMohammade
      @SalamaMohammade 19 วันที่ผ่านมา +2

      Allah amsamehe makosa yake

    • @sofiajumaa4538
      @sofiajumaa4538 19 วันที่ผ่านมา +1

      Naam allah amsamehe dadatu 😭😭😭

    • @MonaJuma-cp3jg
      @MonaJuma-cp3jg 19 วันที่ผ่านมา

      ​@aishajuma18 nikweli my iyochemba mm sijaiyo ila hatashimo lachoo huku oman wanachimba futi 5 tu kwenda chini naupana wake km chumba

  • @miriummbisse2278
    @miriummbisse2278 19 วันที่ผ่านมา +6

    Mwenyezi mungu awatie nguvu poleni sana pia msafiri salama

  • @OmaryLupange-yd3cw
    @OmaryLupange-yd3cw 19 วันที่ผ่านมา +23

    Mungu tusimamiee turudi home salama,, tunayopitia ni Mungu TU kimbilio letu😭

    • @Safinamfinanga
      @Safinamfinanga 19 วันที่ผ่านมา +1

      Mungu atutangulie mdogo wangu😢😢😢

    • @nismaali2982
      @nismaali2982 19 วันที่ผ่านมา +1

      Kweli

    • @لونارووم
      @لونارووم 19 วันที่ผ่านมา +1

      Amiin

    • @DIVINEPROMISE-c1n
      @DIVINEPROMISE-c1n 19 วันที่ผ่านมา

      Mungu atawarudisha salama

    • @MonaEd-o4z
      @MonaEd-o4z 19 วันที่ผ่านมา

      Amin 😢😢😢😢😢 my ni kweli ata cyo uwongo

  • @AminaJuma-r4y
    @AminaJuma-r4y 19 วันที่ผ่านมา +7

    Mwenzetu katuacha 😭😭😭😭😭mpambanaji mwenzetu kipenzi chetu kapumzike kwa amani supawomani 💪🏻💪🏻💪🏻kipenzi cheku sisi bado tunapambana uku oman

    • @MonaEd-o4z
      @MonaEd-o4z 19 วันที่ผ่านมา

      Allah atatulinda na kila baya na husda

    • @EmmanuelMlowe-u1v
      @EmmanuelMlowe-u1v 19 วันที่ผ่านมา

      Kazi gani wanafanya Oman maana tunasikia dah

    • @MonaEd-o4z
      @MonaEd-o4z 19 วันที่ผ่านมา

      @EmmanuelMlowe-u1v za ndani tuu my

    • @EmmanuelMlowe-u1v
      @EmmanuelMlowe-u1v 19 วันที่ผ่านมา

      @MonaEd-o4z nasikia unaweza kuhudumia watu hata mbwabkimapenzi

    • @SalmaBadru-k2f
      @SalmaBadru-k2f 19 วันที่ผ่านมา

      Inalilah wainaillahi rajioun,hatuna budi kuridhika na mole amrisho aliloliamrisha baada ya mja wake kutangulia, kma Kuna chochote kibaya kilikukuta mpambanaji mwenzetu ukipigania. Uhalali wa rizki na familia yko, Allah ndio mlipaji, na kama nikazi yke mola bc Haina makosa . Wapambanaji wenzako tunakuombea Dua Allah akupokee Hali ya kuwa amekuridhia kipenzi chetu😢😢😢😢😢

  • @RitbayRitbay
    @RitbayRitbay 19 วันที่ผ่านมา +13

    يا عبادي الذين امنوا ان ارضي واسعه فاياي فاعبدون كل نفس ذائقه الموت ثم الينا ترجعون.

  • @Niabebewamor413
    @Niabebewamor413 19 วันที่ผ่านมา

    😢😢😢😭😭😭😭Allah akupe kaur thabit dada mwanamvua Allah ndo shahidi wa kifo chako na mungu atalipa tu team strong 💪 tuendelee kupambana omni ni pagumu sana Allah ndo kimbilio letu
    Allah atuludishe salama majumbani kwetu 🙏tukaone familia zetu

  • @MsFadhila
    @MsFadhila 19 วันที่ผ่านมา +5

    Da mwili unanisisimka mungu tujaalie turudi kwetu salama nawapenda wazazi wangu pamoja na ndugu zetu watanzani uku pagumu

    • @MonaEd-o4z
      @MonaEd-o4z 19 วันที่ผ่านมา

      Sana ata cyo uwongo kikubwa ni subra na dua tuuu Mungu atufanyiy wepesi inshaallah

    • @JacklneManonga
      @JacklneManonga 19 วันที่ผ่านมา

      Kweli kbs

    • @vanessalaizer4363
      @vanessalaizer4363 19 วันที่ผ่านมา

      Rudi nyumbani soon dear kama ushapata cha kupata

  • @RehemazuberBundallah
    @RehemazuberBundallah 19 วันที่ผ่านมา +10

    ALLAH Atuhifadhi wallah watanzania wote tuliopo Oman

    • @Mona-i9f
      @Mona-i9f 19 วันที่ผ่านมา

      😢😢😢Amen

    • @lilianndeka1893
      @lilianndeka1893 19 วันที่ผ่านมา

      Amen dear 🙏

    • @SalmaSalma-x2b8h
      @SalmaSalma-x2b8h 19 วันที่ผ่านมา

      Amiin inshallah

    • @MonaEd-o4z
      @MonaEd-o4z 19 วันที่ผ่านมา

      Amin thumma amin inshaallah na wewe piya

    • @UserOnline-c4f
      @UserOnline-c4f 19 วันที่ผ่านมา

      Amen

  • @husnasalim9614
    @husnasalim9614 19 วันที่ผ่านมา +8

    Sisi tunamuachia mungu alhamdulillah ndugu yetu kuwasilishwa nyumbani Tanzanian

    • @nismaali2982
      @nismaali2982 19 วันที่ผ่านมา

      😢😢🤲🤲🤲🤲

  • @FghgRyy
    @FghgRyy 18 วันที่ผ่านมา

    Innalillah wainna ilayh raji'un pole sana familia Subhana Allah hii inatuumiza sana team Strong Allah atupe nguvu subra na Uvumilivu Allahumma Aamiyn 😭😭

  • @نجاةالعبري
    @نجاةالعبري 19 วันที่ผ่านมา

    Inalilah wainalilah rajiuun mweny zimungu akupe kaul thabiti team strong mwenzetu 😭😭! Inauma sana hak ya mungu jmn kaaah mungu azidi kutu simamia wapambanaj wote

  • @AminaJuma-r4y
    @AminaJuma-r4y 19 วันที่ผ่านมา +7

    Waarabu nyinyi mungu hanawaona 😢😢😢😢😢 japo tupo kwenye inchi yenu ila nyie niwashezi sana waarabu hovyo sana

    • @MahmoodAlghefeili
      @MahmoodAlghefeili 19 วันที่ผ่านมา

      Kam ni dhulma Kesho mbel ya haki atasimama nao

    • @shariffsagaf2305
      @shariffsagaf2305 17 วันที่ผ่านมา

      Chunga kauli ya kutukana waarabu.

  • @sapnaarjun2175
    @sapnaarjun2175 18 วันที่ผ่านมา

    Daah Ina Lilah waina lilai raajun 😢

  • @ashaomani5865
    @ashaomani5865 17 วันที่ผ่านมา

    innalillah wainnaillah rajiun Allah akupe kauli thabiti dada yetu acha tumkabidhi allah japo inauma sana😢😢🤲🏼🤲🏼

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 19 วันที่ผ่านมา

    Mwenyezimungu msamehe pale alipo kukosea muhurumia muhifadhi na wenzetu wote walotangulia wajaalie nuru makabry yao uwastry uwavue wafiwa chamuhimu kumuombea duaa rabii amjaalie janna rayabii laalamina

  • @Aminahlamranl420-hw2ie
    @Aminahlamranl420-hw2ie 19 วันที่ผ่านมา +1

    Innalillah wainna illah rajioun Allah ampe kaul thabit, Allah ndie hakim wa mahakim, hakuna atakae baki😢😢😢😢

  • @nanyangeclara2222
    @nanyangeclara2222 19 วันที่ผ่านมา +3

    Daaah! Inaumiza Mungu awasimamie ktk kipindi hiki kigumu 😭😭

  • @ngomamohamedi8178
    @ngomamohamedi8178 19 วันที่ผ่านมา +2

    EWE MUNGU wetu sisi waja wako tusisimie maana hii ni safali yetu wote lakini mungu kama kuna kinyume baasi tunaomba hukumu yako poleni sana ndugu zetu

  • @shakilasharifa9
    @shakilasharifa9 18 วันที่ผ่านมา

    Inalilah wainaillah rajiona Allah ampe kauli thabit 😢😢

  • @Sofi99-u6o
    @Sofi99-u6o 19 วันที่ผ่านมา +2

    Tuache Lawama mungu ndiye mjuzi na ck ya Ukumu itafika ukweli utajulikana...mola wetu mlezi ndy mjuzi...tumwombe Aturudishe shalama sie ambao bado tuko huku

    • @vanessalaizer4363
      @vanessalaizer4363 19 วันที่ผ่านมา

      Ni Mungu sio mungu capital letter plz

  • @hawaalihassan3932
    @hawaalihassan3932 18 วันที่ผ่านมา

    Allah awape subra njema hakuna anotaka kuwa dada wa kazi ni shida tu inasikitisha kwa kweli 😀😀

  • @AishaMnandi
    @AishaMnandi 19 วันที่ผ่านมา

    Inalinlah wainailah rajiun.M.Mungu aiweke roho yake mahala pema peponi

  • @jarajara7859
    @jarajara7859 19 วันที่ผ่านมา

    Innaliallahii wainna ilihii rajiuon mbele yake nyuma ytu inshaallah allah amjalie jannt firdhus amuepushe na adhabu ya kabri

  • @OmanBahla-ow8px
    @OmanBahla-ow8px 18 วันที่ผ่านมา

    Wana trong wenzake tunamuombea Allah aipokee roho yake 🤲🤲

  • @SamouOman
    @SamouOman 18 วันที่ผ่านมา

    Duh moyo unaniuma sana ee mungu tulinde waja wako mana hatuna kimbilio lingine zaid yako mana huku ukilud salam ni kushukur mungu

  • @nadiahassan1359
    @nadiahassan1359 19 วันที่ผ่านมา

    Inallilah Wainna illah rajiun M.Mungu ampe kauli dhabiti Mja wale Wazazi wamuachie Mungu ndio hakimu wetu kama wamemdhuru basi InshaAllah hukumu ya Allah haitawaacha InshaAllah

  • @nismaali2982
    @nismaali2982 19 วันที่ผ่านมา

    Allah akupe kauli thabiti kipenzi mbele yetu nyuma yenu yarrab tujalie mwisho inshallah 😢😢🤲🤲

  • @fidelitekarigirwamuyangwa973
    @fidelitekarigirwamuyangwa973 19 วันที่ผ่านมา +1

    Inauma saana poleni saana mungu awepe nguvu musome duuua kwajiri yamungu atalipa

  • @NoorynMody
    @NoorynMody 19 วันที่ผ่านมา

    Mwenyez Mungu akurehem mwanamvua nashindwa Cha kuandika hila namuomba Allah atulinde na sisi tulio uku Oman 😢

  • @AishaHuseni-h1p
    @AishaHuseni-h1p 18 วันที่ผ่านมา

    Kazi izi umaxkini ,nikazi tunahangaika na maisha du pole xana kaluinalilah

  • @rizikimohamed2449
    @rizikimohamed2449 18 วันที่ผ่านมา

    Poleni sana mwanafamiliy Allah awape subra

  • @ekiliangoliga644
    @ekiliangoliga644 19 วันที่ผ่านมา

    Mwenyezi Mungu naomba atujaalie mwisho mwema, eee Mungu tusaidie turudi makwetu salama

  • @RedmiA3-g8w
    @RedmiA3-g8w 19 วันที่ผ่านมา +2

    Innalillaa wainna ilayhi rajiun polen sana ndugu zetu Kwa kipindi hiki kigumu

  • @Sakina-j2b
    @Sakina-j2b 19 วันที่ผ่านมา

    Allah Akbar atujalie mwisho mwema Inshallah Allah aweke roho yake Mahali Pema peponi Inshallah

  • @QasimShabaan
    @QasimShabaan 19 วันที่ผ่านมา +1

    Innalillahi wahinaillahi rajiun Allah amjaalie kauli thabit na atujaalie na sisi tuliobaki mwisho mwema kwani sote njia yetu ni moja

  • @halimaoman8726
    @halimaoman8726 19 วันที่ผ่านมา

    Poleni sana wana familia wote baba mama na ndugu wote mungu yupo nanyi waalh inaniuma sana lkni yote na yote tumuachie mungu

  • @Sakina-j2b
    @Sakina-j2b 19 วันที่ผ่านมา

    Allah Akbar atujalie mwisho mwema Inshallah Na dada yetu Allah akueke Pema peponi Inshallah

  • @hidayamanda-gk7nf
    @hidayamanda-gk7nf 19 วันที่ผ่านมา

    Mungu atujaaliye tuludi kwetu Salama innallilah wainnailahi rajiun mbele yake nyuma yetu

  • @DaheerK
    @DaheerK 18 วันที่ผ่านมา

    Mwanamvua alivyo mnene shimo lile anaweza kutoka kweli mmh ngoja tumeachie mungu

  • @JovinahAntony
    @JovinahAntony 17 วันที่ผ่านมา

    Mungu atusaidie jmn

  • @Mona-i9f
    @Mona-i9f 19 วันที่ผ่านมา +3

    Pole kwa familia 😢😢😢😢

  • @NeemaMacheni
    @NeemaMacheni 19 วันที่ผ่านมา

    Pumzika kwa amani ndugu yetu team strong tunakuombea 😭😭😭😭😭😭😭😭inauma sana

  • @SashaRamadhani-uu1wv
    @SashaRamadhani-uu1wv 18 วันที่ผ่านมา

    Duh inaumiza sana jamani MUNGU MWENYEZI amrehemu kuna kitu kilichojificha

  • @ChristineElias-bn4dw
    @ChristineElias-bn4dw 19 วันที่ผ่านมา +2

    Inauma xnaaaa poleni xnaaaa wanafamilia daah 😢😢😢

  • @SaumuSalimu-q7w
    @SaumuSalimu-q7w 19 วันที่ผ่านมา +1

    Duuh inauma sana jmn mungu tulinde sisi tuliokua uku

  • @RahmaRahma-xp9jr
    @RahmaRahma-xp9jr 19 วันที่ผ่านมา

    inalilah waina Lilah rajuun poleni sana famiria 😭

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr 19 วันที่ผ่านมา

    Inna lillah wainahyllah rajioun poleni sana Allah awape subra wafiwa ampe kauli thabit marehemu
    Mbele yake nyuma yetu

  • @Zenah-p4s
    @Zenah-p4s 19 วันที่ผ่านมา +1

    Jaman nwenyenz mungu aturudishe salama kwetu.

  • @JescaEmanuely
    @JescaEmanuely 19 วันที่ผ่านมา

    Imeniuma San dada yetu kumbe tulikua sehem Moja nami jamani tuombeeni eee mungu tujalie wanao tumeacha familia nawatoto tunatafuta maisha pumzika dada yetu😭😭😭😭😭🙏🙏😥

  • @Noor-o4i
    @Noor-o4i 19 วันที่ผ่านมา

    Innallilah wainalilah rajiuni ! Tuna muachia Allah ! Na Allah ndio anajua yote tunakuombea xn mwna 😭😭😭😭😭😭

  • @SsSa-r2r
    @SsSa-r2r 19 วันที่ผ่านมา

    Allah amsamehe madhambi yake naatusaidie nasisi tulioko huku oman mpambanaji mwenzetu umetuumiza sana

  • @khdj-x3w
    @khdj-x3w 19 วันที่ผ่านมา

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢mwenyezi mungu atamlipa mpambanaji mwenzetu inauma sana kuondoka mzima unarudi kama mzigo inaumza sana mungu msimamoe mjawako wewe ni unajua kutenda haki kwakila jambo pia tunakushukuru mungu wetu kwakuwezesha mwili wa marehemu ndugu yetu mpambnaji mwenzetu kufika kwnye mikono ya familia yake

    • @vanessalaizer4363
      @vanessalaizer4363 19 วันที่ผ่านมา

      Why writing Mungu kwa herufi ndogo?

  • @AsahSalah
    @AsahSalah 19 วันที่ผ่านมา

    Allah awape subira family na dada yetu allah ampe kauli sabit😢😢

  • @OmAn-y2h
    @OmAn-y2h 19 วันที่ผ่านมา

    Pole sana wanafamilia mungu awatieguvu

  • @ZainabLol-wx7xf
    @ZainabLol-wx7xf 19 วันที่ผ่านมา

    MWANA POLE MAMA,😢😢TUNAKUIMBEA

  • @HGvv-bh1ig
    @HGvv-bh1ig 19 วันที่ผ่านมา +8

    Dada zari kweny matukioo kama hyoo ya misiba jitahid kujistiri tunakupnd san tunkuombea kwa mungu atupe mwishoo mwema

    • @MonaEd-o4z
      @MonaEd-o4z 19 วันที่ผ่านมา +1

      Amin thumma amin kwa sote my

  • @FatumaMtwana-h6h
    @FatumaMtwana-h6h 19 วันที่ผ่านมา +3

    Kiukweli inauma sana jamani daah😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @HadijaOman
    @HadijaOman 18 วันที่ผ่านมา

    Mm hata lakusema Sina Mungu atusaidie kwakweli hii hali inatisha

  • @MariamAaaa-s4b
    @MariamAaaa-s4b 19 วันที่ผ่านมา

    😢😢😢😢Yarrabi tunakuomba umsamehe ndugu yetu mwanavu mpambanaji mwenzetu alipokosea kipenzi cha uhai wake na umlaze pema peponi na Yarrabi tunajikabizi kwako sisi pekee yetu hat uwezo kujilinda na Mwisho Mwemaa tunakuomba uturuzuku yarrabi

  • @SakinaJuma-n8u
    @SakinaJuma-n8u 19 วันที่ผ่านมา

    Allah amrehemu mpamba naji nwenzetu mungu tulinde na sisi turudi salama

  • @MacyMacy-xb1ex
    @MacyMacy-xb1ex 18 วันที่ผ่านมา

    Pole ni

  • @amenaameeena3317
    @amenaameeena3317 19 วันที่ผ่านมา

    Mungu atusaidie tulio Oman turudi kwetu salama

  • @OmanShinas-w4k
    @OmanShinas-w4k 19 วันที่ผ่านมา

    INNALILLAH WAINNAILAIH RANJUUN 😢😢 ALLAH AKUSAMEHE MAKOSA YAKO MPAMBANAJI MWENZETU😢😢😢😢😢😢😢

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania 19 วันที่ผ่านมา

    Kiukweli wanatuweza sana hawa watu mwamvua watakutana kwa mwenyezi mungu

  • @halimamsafiri288
    @halimamsafiri288 19 วันที่ผ่านมา

    Inna lillah wainna ilah rajuun mwenyezi Mungu msamehe makosa yake Amrehemu 😢😢😢😢

  • @JeannetteManirambona-o6m
    @JeannetteManirambona-o6m 19 วันที่ผ่านมา

    😢😢😢😢😢mwenyezi mungu amsamehe zambi zake

  • @MAPETEE
    @MAPETEE 19 วันที่ผ่านมา +1

    Ww mtangazaji jihishim unakaa uchi wacha ujinga km ww ni muislam vaa nguo ya hishima

  • @TeddyAugustino-g7r
    @TeddyAugustino-g7r 18 วันที่ผ่านมา

    Mbele yake nyuma yetu 😢😢😢😢😢

  • @zainab8251
    @zainab8251 19 วันที่ผ่านมา

    Pole sana wafiwa

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 19 วันที่ผ่านมา

    Mungu ampe mwisho mwema mmpambanaji mwenzetu wabikul qaul thabit

  • @BisharaAbdallah-n4i
    @BisharaAbdallah-n4i 19 วันที่ผ่านมา

    Innalillaah wainna ilayh rajiuun, Allah amrehemu na amsamehe makosa yake na sie tuliokuwa huku Allah atujaalie turudi salama

  • @irenemichael
    @irenemichael 19 วันที่ผ่านมา

    Pole wanafamilia

  • @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج
    @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج 19 วันที่ผ่านมา

    😢😢😢😢dahhh ndg,,yng kumbe,,anapelekwa mwakizaro siyo mwakizero,,,,af wanaenda mzika geza. Safar ndefu 😢😢😢😢 yaan nilijua tuu wamemuua. Siyo kwel aingie kwny chemba.

  • @Zahra1-wf4kj
    @Zahra1-wf4kj 19 วันที่ผ่านมา

    Inalilahi wainalilahi rajuna polen sana wanafamilia

  • @NemaAli-zh6hr
    @NemaAli-zh6hr 19 วันที่ผ่านมา +1

    Daaaaaaah jamani.😢😢😢😢

  • @OliverOden-n2g
    @OliverOden-n2g 19 วันที่ผ่านมา

    Mdogo etu juzi karudishwa akiwa chizi kafungwa kamba, Mungu awatie nguvu mnaofanya kazi Oman 🥹

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 19 วันที่ผ่านมา

      Wanafanyiwa nini?

    • @OliverOden-n2g
      @OliverOden-n2g 19 วันที่ผ่านมา

      @ sijui hata sahv tunakesha kwenye maombi mtt hafai kama wamemchukua hivi

    • @HusseinHassani-r6c
      @HusseinHassani-r6c 19 วันที่ผ่านมา

      ​@@OliverOden-n2g taften njia sahihi ya kumtibu mapema atakaa sawa tu kwa uwezo wa mungu

    • @نجاةالعبري
      @نجاةالعبري 19 วันที่ผ่านมา

      Amina 🙏🙏 yan mwili wote una ssimka hak ya mungu 😭😭

  • @MaryMassawe-z5b
    @MaryMassawe-z5b 19 วันที่ผ่านมา

    Jamanimbona kila siku Ni matukio tu Tena wanafia huko omani 😢😢Ni huzuni kwa kweli 😭😭😭😭

  • @ShaniJuma-s1m
    @ShaniJuma-s1m 19 วันที่ผ่านมา

    Daaaah inauma lkn hakuna jins...
    Inalilah wainailaih rajioon mng akupe pumziko nzur la milele

  • @HachinaHachina-je5es
    @HachinaHachina-je5es 19 วันที่ผ่านมา

    Polen sana wana familia mungu atatoa hukumu kama walichomtendea ni haki mara kwenye chemba tena moyo mungu watie nguvu wazazi wake

    • @samwa9496
      @samwa9496 19 วันที่ผ่านมา

      Inawezekana moyo ukapelekea kuanguka

  • @zainabumikidadi9148
    @zainabumikidadi9148 19 วันที่ผ่านมา

    Sasa tena ugonjwa wa moyo mbona mnatuogopesha jmn doh😢

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 19 วันที่ผ่านมา

    polen sn ndugu jaman

  • @AsiaBakari-rb2ok
    @AsiaBakari-rb2ok 19 วันที่ผ่านมา

    Pole sana ndg jamaa na mafiki

  • @teddyaloyce8218
    @teddyaloyce8218 19 วันที่ผ่านมา

    😭😭😭😭da ameniumiza sana da mwana niliongea nae miezi michache da tukapeana moyo tupambane

  • @JosephKingwere
    @JosephKingwere 19 วันที่ผ่านมา

    Inauma jamn Mungu atusaidie sana inauma mimi juzi nimemwambia bos nirudishe kama umenichoka yuko kmy sjui anawaza nini mpka sasa jamn mhmh

    • @mamialsawafi8020
      @mamialsawafi8020 19 วันที่ผ่านมา

      Mlipe gharama alokulipia uone kama ataacha kukusafirisha mnatia hasara watu mnadhani wanaokota pesa hata wao makazini wanatoka jasho pesa yakukuleta mpk ufike sio ndogo ww mlipe uondoke

  • @KidoaSammy
    @KidoaSammy 19 วันที่ผ่านมา

    Allah akupe kauli thabiti 😢😢😢😢😢mpenzi

  • @khamoshmikidadi618
    @khamoshmikidadi618 19 วันที่ผ่านมา

    Yaa rabbi turudishe salam kweny nchi zetu😢

  • @sheilaayubu
    @sheilaayubu 19 วันที่ผ่านมา

    tatizo watanzania hata wateseke vipi huko uarabuni wameng'ang'ana tu kisa tanzania maisha magumu we mpka unafikia umri wa kuzaa hujazoe tu maisha ya kwenu😢 Ndio mana waarabu wanawaua kwakuendekeza dhiki😢😢

    • @ayshaali1384
      @ayshaali1384 19 วันที่ผ่านมา +1

      Ukiona huna chaku kometi nyamaza

    • @Safinamfinanga
      @Safinamfinanga 19 วันที่ผ่านมา

      Achana na ss tim strong 💪 maisha popote kifo popote Mungu nd ajue kifo cha kila mmoja wetu

    • @ayshaali1384
      @ayshaali1384 19 วันที่ผ่านมา

      @@Safinamfinangakweli may

  • @LoipllOnhye.Mama.Claudi
    @LoipllOnhye.Mama.Claudi 19 วันที่ผ่านมา

    Hamna chemba ni mdogo Sana hawez kuingiamo huyo dada maana alikuwaga munene😢😢😢😢

  • @HusnaMTITIKO-w3p
    @HusnaMTITIKO-w3p 19 วันที่ผ่านมา

    Marehem alikuwa anafanana na baba yake hadi urefu na mwil pole sana baba... hakika mwanao alikuwa anakupenda sana haipit siku bila kumpost baba yake 😢😢 Innalilah wainnaillah rajiuun

  • @NasraIbrahimu-n1y
    @NasraIbrahimu-n1y 19 วันที่ผ่านมา

    Inalilah inalilah rajirun mung mpokee moambanaj mwenzetu inaumiza san 😢😢

  • @OmanJalan-g9j
    @OmanJalan-g9j 19 วันที่ผ่านมา

    Inauma sana 😭😭😭😭😭😭😭

  • @rehemashabaniameen
    @rehemashabaniameen 19 วันที่ผ่านมา

    Nimeumia sana kwa kumpoteza mtanzania mwenzangu,ila namuomba Raisi wetu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania atoe tamko kali watanzania wasingie tena Oman kwani huyu mwenzetu ameuliwa bila kupepesa macho,wenzetu wa Ethiopia hawaingii Oman kwa sababu aliuliwa mfanyakazi wa Ethiopia,Raisi wangu please toa tamko tuwachie nchi zao

  • @PesaPesa-sq3pd
    @PesaPesa-sq3pd 19 วันที่ผ่านมา

    Mwakizaro 😢😢😢

  • @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج
    @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج 19 วันที่ผ่านมา

    Mungu atustiri nasisi tulio baki uku arabun turud salama yaan hawa raia tunaishi nao kimungu mungu tuu ila wanaroho kubwa mno dk mbil mbele mtu anakubadilikia rangi.

  • @AsiaAsia-sv6ok
    @AsiaAsia-sv6ok 19 วันที่ผ่านมา

    Kama kuna mtu alihusika na kifo chake ALLAH asimuachi salama

  • @pilishazycounterog8200
    @pilishazycounterog8200 19 วันที่ผ่านมา

    😢😢😢 innalillah wainalillah raujun