Hakuna Kitu kinanipa Hisia kali Kama NATIONAL ANTHEM ani nikiusikiaga huo Wimbo huwa Nafeel Utanzania wangu mpaka kwenye Blood Vessels. Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika..
Viva le Great Tanzanian President Dr. John Joseph Pombe Magufuli. Your the most peculiar genius President ever to be in a millennium ago. Watanzania wazalendo na wasema kweli wenye kuona uliyoyafanya tuko nyuma yako... Mungu akutunze na akulinde kwa faida ya wanyonge.. We love youuuuuu
Hawa wajomba walonyuka Vyutii wanavotoa maelezoo nimewaelewaaa... Afu kuna mmoja nimemuona hapo anajifanyaga hana kazi anauzaga Matundaa Mtaani kweetyuu daaah maisha hayaaa
Gwaride safi kabisaaa, Ila pia ujue ukiwa na mtaji mdogo na hujui ufanye biashara gani ikutoe njoo upate mbinu mbalimbali kujikwamua kiuchumi, Karibu sana sana Follow me insta @mapishi_zona @mapishi_zona
Hakuna lolote kama anapedwa sana mbona ulinzi mara tatu ya ulinzi wa Mwinyi, Mkapa, na Kikwete. Watu hawajionyeshi maana ukijulikana Tanzania humpendi Magufuli lazima akuue tu kwa kuwatumia Polisi. Katika Rais hapedwi kabisa Tanzania ni Magufuli na kama hamuamini mwaka huu inabidi CCM waibe kura kuliko Mwaka 2015. Sababu kubwa zinamfanya asipendwe kabisa ni hizi zifuatazo. Kwanza aliwafukuza wafanyakazi 15,008 bila kuwalipa stahiki zao. Pili aliwatumbua wakuu mbali mbali wa nchi kwa visingizio mbali mbali. Tatu aliwafilisi Matajiri wengi sana ambao walilazimika kufukuza pia wafanyakazi wao. Nnne alikamata fedha za watu walizokuwa wamewekeza kwenye maduka ya kubadili fedha za kigeni. Hawa wote pamoja na familia zao, Wafanyakazi wao, na Marafiki zao hawatampigia kura Magufuli. Lazima CCM mjipange sana kuiba kura vinginevyo Magufuli hapiti uchaguzi mkuu 2020. Anao viongozi wa upinzani wenye sifa sana akiwepo Mbatia, Tundu Lisu, na pengine Nyalandu. Wapinzani wote hawa wanajua sana madhaifu ya Magufuli tangia akiwa Waziri wa ujenzi kwa miaka 20. Magufuli amefanya manunuzi na baadhi ya Mikataba ya ujenzi bila kuhusicha Bunge. Hapa kuna upotevu mkubwa sana wa fedha na ndio maana unamkuta kwenye misafara yake anazo fedha kwenye mikoba za kuwapa hovyo Watanzania wanaomlilia shida. Hizi fedha anazowapa watu zinaandikwa wapi au mnataka kutudanganya kuwa ni fedha za mshahara wake. Hizi ni fedha za walipa kodi lazima zijulikane zinatoka kwenye Wizara ipi. Madhaifu yake yote yatawekwa hadharani na Wapinzani wakati wa Kampeni.
Duuh wa makelele wamsha potea
mungu alimpenda atumkie mbinguni.
Hili ni jeshi tu,la Rais.Watu macho yote kwao,sasa,kuna jeshi la mbinguni,sijui itakuwaje siku hiyo.Hongera JPM.Tumenyooka.
😂😂😂😂 motio utawaakaa🔥🔥🔥
Hakuna Kitu kinanipa Hisia kali Kama NATIONAL ANTHEM ani nikiusikiaga huo Wimbo huwa Nafeel Utanzania wangu mpaka kwenye Blood Vessels.
Mungu Ibariki Tanzania,
Mungu Ibariki Afrika..
Huyo cameraman anamakusudi sana. Eti anamvuta yule mrembo 😂😂😂
Ssp Mwangosi daaaa nice!💪
I love you mama Tanzania. .may the Lord expand your boundaries in all aspects. Viva my president Dr JPM
Magufuli has changed Tanzania in so many ways. A true Leader. We pray for you our President
Mwangos ssp we love you
Remind me of my days 😂😂
Vivaa JPM
Vivaa Tanzania 👍🇹🇿
Leo nchi ipo idodomia heko Rais wetu naiona Tanzania mpyaaaa 🇹🇿
0:41 kuna wamama wanacheza wimbo wa band ya Polisi 😀😀😀
Viva le Great Tanzanian President Dr. John Joseph Pombe Magufuli. Your the most peculiar genius President ever to be in a millennium ago. Watanzania wazalendo na wasema kweli wenye kuona uliyoyafanya tuko nyuma yako... Mungu akutunze na akulinde kwa faida ya wanyonge.. We love youuuuuu
MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU MMBARIKI RAIS WETU MPENDWA
Hicho kimlio cha bendi tu no hatar
Wataweza kweéeeeeliii
Awapi hata wakiungana
Raha ya paredy wanaoifaham ni watazamaji ila inakufanya uringe ukiwa unatembea isee heko vijana
Mr presida be blessed
indeed
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Huyu ndiye kiongozi wetu mpendwa was Taifa letu la Tanzania. Nae ni Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
Simba wa nyika Magufuli baba lao
Masha Allah
Good job makamanda wetu
Nimeona wp hapo daaa safi sana
Kamaulaya yan
Hawa wajomba walonyuka Vyutii wanavotoa maelezoo nimewaelewaaa... Afu kuna mmoja nimemuona hapo anajifanyaga hana kazi anauzaga Matundaa Mtaani kweetyuu daaah maisha hayaaa
Ha ha haaa🤣🤣🤣unanivunja mbavu
Shozy Lamparboom hey
Dah asee kumbe umenikumbuka! Una macho makali sana
@@harunabakarimagongo5567 oyaa adjeee
MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU MBARIKI RAIS WETU NA UMLINDE RAIS WETU SIKU ZOTE inshaalah
J P M anaingia
Alhamdulillah Allah kareem siku zote GOD BLESS U RAIS WETU JPM AMEEN
Mr.president
Gwaride safi kabisaaa, Ila pia ujue ukiwa na mtaji mdogo na hujui ufanye biashara gani
ikutoe njoo upate mbinu mbalimbali kujikwamua kiuchumi, Karibu sana sana
Follow me insta @mapishi_zona @mapishi_zona
Hakuna lolote kama anapedwa sana mbona ulinzi mara tatu ya ulinzi wa Mwinyi, Mkapa, na Kikwete. Watu hawajionyeshi maana ukijulikana Tanzania humpendi Magufuli lazima akuue tu kwa kuwatumia Polisi. Katika Rais hapedwi kabisa Tanzania ni Magufuli na kama hamuamini mwaka huu inabidi CCM waibe kura kuliko Mwaka 2015. Sababu kubwa zinamfanya asipendwe kabisa ni hizi zifuatazo. Kwanza aliwafukuza wafanyakazi 15,008 bila kuwalipa stahiki zao. Pili aliwatumbua wakuu mbali mbali wa nchi kwa visingizio mbali mbali. Tatu aliwafilisi Matajiri wengi sana ambao walilazimika kufukuza pia wafanyakazi wao. Nnne alikamata fedha za watu walizokuwa wamewekeza kwenye maduka ya kubadili fedha za kigeni. Hawa wote pamoja na familia zao, Wafanyakazi wao, na Marafiki zao hawatampigia kura Magufuli. Lazima CCM mjipange sana kuiba kura vinginevyo Magufuli hapiti uchaguzi mkuu 2020. Anao viongozi wa upinzani wenye sifa sana akiwepo Mbatia, Tundu Lisu, na pengine Nyalandu. Wapinzani wote hawa wanajua sana madhaifu ya Magufuli tangia akiwa Waziri wa ujenzi kwa miaka 20. Magufuli amefanya manunuzi na baadhi ya Mikataba ya ujenzi bila kuhusicha Bunge. Hapa kuna upotevu mkubwa sana wa fedha na ndio maana unamkuta kwenye misafara yake anazo fedha kwenye mikoba za kuwapa hovyo Watanzania wanaomlilia shida. Hizi fedha anazowapa watu zinaandikwa wapi au mnataka kutudanganya kuwa ni fedha za mshahara wake. Hizi ni fedha za walipa kodi lazima zijulikane zinatoka kwenye Wizara ipi. Madhaifu yake yote yatawekwa hadharani na Wapinzani wakati wa Kampeni.
Kwa hiyo analindwa sana ili wapinzani wasilipize kisasi au? Umechemka ulikuwa unaingia na kutoka katika mada 3 tofauti be specific