Waliounlike hii video hawajui kupika keki hata ya nusu😏😏😏 hongera mkubwa wangu ma sha Allah,ma sha Allah..may Allah bless you Kwa kutufunza my love ❣️❣️❣️
Hongera kazi nzur napenda sana ila mi sijuw nakosea wapi nikioka Huwa katikati haiiv haraka na inanisumbua kuiva naomba unisaidie hata Kwa kunielewesha
@@mziwandabakers8297 samahani naona hujanielewa swali langu mimi ndio najifunza ku bake sasa mimi nimezoea kwamba unga nusu utatumia magarine nusu, mayai 6,sukari nusu au utapunguza kidogo sababu sukari haina madhara kwenye vipimo ila nimeangalia hii video nimeona unga wa kilo moja na nusu umetumia margarine 800gm na mayai zaidi ndio nikawa sielewi.
Asante mpendwa unafundisha vzr barikia
Waliounlike hii video hawajui kupika keki hata ya nusu😏😏😏 hongera mkubwa wangu ma sha Allah,ma sha Allah..may Allah bless you Kwa kutufunza my love ❣️❣️❣️
Huenda wanamatashi Yao dear, thank you dear
Naomba namba zako nahitaji mafunzo mpenzi namba zangu mimi 0762292987
@@mziwandabakers8297 blue and umeweka kiasi gani dear?
@@ummuhaula1848 nnfefeffnrnnnnrfn rfnenefenfnnnrnrbnnbrrbbefrefmrrrbrdgerbbfrcrrrbrrefbnrbn nn job x99
Asalam aleikum Oven yako wap umenunua inaitwaje samahan plz
Asante dear barikiwa sana
Kazi nzuri dada,,,
Asante kwa Somo zuri tunajaribu
Habari yk nashukuru sana kwa darasa napenda kukufatilia kl sk
Asante kwa somo 🙏
Ahsante sana had raha
Mashaalah Allah akuzidishie dear asante saana kwa kushare Only Allah atakulipa
Amiin Yaa Rabb 😘😘
🎉🎉🎉 nawakubali sana
Good,, thanks much
hongera kipnz naomba kujua kama unadarasa online nijifunze zaid
Asante mziwanda. Be blessed 🙏
Asante kwa Mafunzo
Hongera 😍
Shukran dear
Pambe my mashaallah nmependa mm pia ntaanza hiyo biashara
Asante mno my ,Allah akulipe
Amiin
Mashaa Allah Mungu akuzidishie kipenz ❤️😋
Kaz nzur der🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Shukran aunt napenda sana
Nimependa sana keki hiyo, nami nitajitahidi kufanya hivyo ninaamini itanitoa.Mungu akubariki,kazi yako ni njema
Asante unafundisha vizuri nimependa 😅
Hahahahaha
Hongera kazi nzur napenda sana ila mi sijuw nakosea wapi nikioka Huwa katikati haiiv haraka na inanisumbua kuiva naomba unisaidie hata Kwa kunielewesha
Hongera nakuja mnapatikana wp nahitaji Namb nijibu
Thanks ❤❤
Shukraan sana izo tin za aluminum tazipataje
Ubarikiwe sana mpenzi kwa kushare ujuzi, nakufatilia mwalimu
🙏🙏
Naomba no zako za simu dear.kazi yako nzr
@@mziwandabakers8297naomba no za simu my.
Nimeipenda dada endelea kutudufundisha sisi ambayo hatujui
Best nimependa unavotengeneza my,ila mie nikitengeneza haichambuki plz nilikuwa naomba ushaur
Hongera safiiiiiiiiiiiii Sana
Ahsante nimejifunza na nitaipika nione
Hongera nimependa
Naomba no yako dada, mimi ni mwanafunzi nipo kigoma ndo najifunza kupika keki
Nakukubali mwalimu
Asante sana my dear
Dada big up uko vizuri
😘🙏
Dada kwanz Asante but kam huo mchanganyko wa kilo na nusu natak kuipk kweny sufuria mbil tyu nitatumia ya inch ngapi ili utosh vzr
Hongeren mpo vzur
Nimependa
Asante naomba kuulize which kipimo kina patikana wapi?
Jamani nami naitaji kujifunza
Nimeipeleka sana hiyo keki kipenz kinacho nikwamisha msingi tu
Napenda kujifunza kupik keki unafundisha kupika na bites
💗🎉 8:51
Asante sana
Napenda Sana nijue my
Dada nimelipenda darasa lako,hongera
Dada habari yako, naomba namba nikutafute kwa upishi zaidi.
Naomba kuuliza je ninaweza nikaoka keki na kuipamba halafu nasafirisha kwa muda wa siku mbili bila kuharibika? Please nisaidie majibu
SoMo zuri .oven hiyo inauzwaje na ni Lita ngapi
Hellow nimependa mafundisho yako nikiitaji zaidi nakupataje
Assalam aleikum warahmatullah wabarakatuh ramadhan Mubarak saum mabrouk inshallah ameen mashaAllah mabrouk cakes bomba
Alayka salaam warhmatullah wabarakatuh....Amiin Yaarabb Amiin
Nifundishe mamy
Nimeipenda uko vizuri natamani nami kufikia hapo ndo kwanza naanza
Nimependaa😍😍
Hongera Sana. Naomba kujua vyombo vyako vya kupikia cake hizo ni bei gani kwa pamoja?
Naomba kufahamu gharama ya vyombo vyote vinavyo hitajika
Kazi nzuri
Aslam alykum nauliza sali mbona me nikipka keki zinafanya kama kurudi inafinyaa
Naomba namba ya CM dada angu
Mko vizuri sana Mimi nataka sufuria tapataje
Real like it... blessed mom
❤
Nashukuru nimejifunza, nifanyeje ili keki iwe nyeupe ndani isiwe na iyo njano ndani
Mchawi sukari dear
Tumia sukari nyeupe
Unapatikana wapi ni nzuri sana
Je nikitumia unga kilo Moja taweka mayai mangapi
Allahu barik
Nimesha jaribu kupamba weeeeee ❤asante my dr🎉
Good
Maziwa kiasi gn
❤
Napata wapi mizani km izo za kupimia. Nipo Zanzibar
Najuwa lakini sio sana nahitaji kujifunza zaidiii hasante mom
Mashallah😊
Nakupenda sana kwa sababu upo kibiashara zaidi unawakwamua wengi ningeomba utufanyie fruit ya biashara nakuomba dada
Keki fruit ama ipi dear,karibu sana
Ina ladha nzuri sana
Dada naomba kuuliza keki unaweka amira
Hizi hazijawekwa hamira ni baking Powder
Me sjui kabisa kupika keki ndo najitunza
Naomba unitumie namba wasapu
MashaAllah gram 800 ni kiasi gn
You are doing fine
Samahani Dada mimi naomba vipimo vya blubandi nusu
Nice job.
Maziwa kiasi gn my dear
Kikombe na nusu dear
@@mziwandabakers8297 dada kikombe cha mls ngap umetumia?
@@mziwandabakers8297 dada kikombe cha mls ngap umetumia?
ASANTE
Well explained thanks
You are welcome
Naomba namba zako dada
Ningependa kujuwa bei ya oven yko tafadhar
Asante Sana Kwa somo zuri.
Mimi ni fan wa recipe zako . Naomba kujua darasa live ni wapi. ?
Kwanini Mimi kila nikipika inapasuka San juu
Expecting more. Good job
🙏
Hivi mfano tin ya mastatili ya inc 12 inaweza beba ujazo wa gram ngapi wa uji wa cake?
Mziwanda kwann nikipika keki in panda juu haiji flati?
Mbona sijaona ukiweka baking powder au sio lazima kuweka?
Ni lazima kuweka imewekwa pia
Maa shaa allah mm naomba no yako kunamambo nahitaji unisaidie please
Nimeipenda ila kama huna maziwa itakuwajee
Upo wao
Naombakuuliza bluband kiasi gani nasukari kiasi ganiunatumia
Naomba kuuliza mbona ratio ya unga na margarine haziendani na mayai ni sahihi?
Ratio yake huwa ipoje, tafadhali
@@mziwandabakers8297 samahani naona hujanielewa swali langu mimi ndio najifunza ku bake sasa mimi nimezoea kwamba unga nusu utatumia magarine nusu, mayai 6,sukari nusu au utapunguza kidogo sababu sukari haina madhara kwenye vipimo ila nimeangalia hii video nimeona unga wa kilo moja na nusu umetumia margarine 800gm na mayai zaidi ndio nikawa sielewi.
Shukran habint kwamfano umetengeza keki nyigi na sehemu ya kuchoma ni dongo zengine zinaweza kusubiri kwa mda ngani?
Zinaweza kusubiri ata lisaa hakuna tabu ila sio vizuri kuzisubirisha
Umewek mot juu na chin au chinii tuu
Juu na chini
Naomba kujua taratibu za darasa Lenu. Asante
0768859358 WhatsApp please
Huwezi kumimina mayai kwa pamoja
asantee my teacher