MAGORI ASEMA SIMBA ITAISHTAKI FIFA COASTAL UNION KUHUSU MCHEZAJI LAWI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 44

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 3 หลายเดือนก่อน +5

    Mwamba mwenyewe Magoli Hadi moyo wangu sahiz unapumua kwakurud mzigoni watu wakazi nafarujika sana

  • @muddsaid-kn2dq
    @muddsaid-kn2dq 3 หลายเดือนก่อน

    mimi nishabiki wa coastal union kindakindaki ila kwa lameki lawi tusishawishiwe tukaingia kwenye mgogoro kisheria tutashindwa tusiingie kwenye huu mtego

  • @mazengojohn2090
    @mazengojohn2090 3 หลายเดือนก่อน

    Mambo ya kishamba ayo toa hela chukua mchezaji

    • @a.msanga1621
      @a.msanga1621 3 หลายเดือนก่อน

      Shida yako hapo ni uelewa

    • @MrishoMindu-zq7mz
      @MrishoMindu-zq7mz 3 หลายเดือนก่อน

      Sio zabibu hizi. Acha ushamba mgogo wewe kaweke ndonya.

  • @DeusiMorisi
    @DeusiMorisi 3 หลายเดือนก่อน +3

    Yanga ninyi mwaka huu mnakazi kubwa tajiri amerudi mnalo

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 3 หลายเดือนก่อน +3

    Jasusi la mpira linaungurumaaaa😂😂

  • @AnnaNdoss
    @AnnaNdoss 2 หลายเดือนก่อน

    Kwani Mbona Wanatamaa

  • @CharlesLutandula-y3c
    @CharlesLutandula-y3c 3 หลายเดือนก่อน +1

    Simba niwakimataifa wako makini siyojanjajanja

  • @makamelila
    @makamelila 3 หลายเดือนก่อน +1

    Viongozi wa coast njaa inawasumbua na haya mambo ya kutumiwq na watu wengine ni mabaya sana wait wamevurunda sasa wanatafuta na wengine wawavuruge lakini sio simba

    • @angazatv2050
      @angazatv2050 3 หลายเดือนก่อน

      Cost Si wapereke ofa kwa simba iwauzie tena

  • @claudsaprapasen9068
    @claudsaprapasen9068 2 หลายเดือนก่อน

    Coast U acheni utoto!

  • @mswakisaid2320
    @mswakisaid2320 3 หลายเดือนก่อน

    Wameingia tamaa ya mlungula mrefu😂
    Nawashauri wafuate makubaliona ya kimkataba.
    Laa sivyo watafilisika muda si mrefu.
    Mungu awajaalie salama wasifikie huko.

  • @ZuberyAlly-m2n
    @ZuberyAlly-m2n 3 หลายเดือนก่อน +1

    Costi wababaishaji hawana sela

  • @mmsfuzzsba3816
    @mmsfuzzsba3816 3 หลายเดือนก่อน +1

    COASTAL WAMEINGIA TAMAA

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 3 หลายเดือนก่อน +2

    MWAMBA anatema madini🤣🤣💪💪

  • @CharlesAlly-jp1ms
    @CharlesAlly-jp1ms 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hakuna raha kama kujua sheria

  • @MrishoMindu-zq7mz
    @MrishoMindu-zq7mz 3 หลายเดือนก่อน

    Jane Huu mpira Sio Danguro. Mjini Moto Zanzibar kabiriti. Iweke kwenye pochi.

  • @DeusiMorisi
    @DeusiMorisi 3 หลายเดือนก่อน

    Simba siyonwababaisha kama wengine costal msalimu amri kabla hajafilisiwa

  • @hamisimwakatobe706
    @hamisimwakatobe706 3 หลายเดือนก่อน

    Simba ina viongozi wasomi sana hapa Tanzania kwa hiyo hizo ni inshu ndogo sana kwao

  • @AbdulrahmanMiraji
    @AbdulrahmanMiraji 3 หลายเดือนก่อน

    Viongozi wa Coastal Union wapewe mafunzo ya kanuni za usajili naona wanaanza kuvimba vichwa

  • @JobnManase-gh2fp
    @JobnManase-gh2fp 3 หลายเดือนก่อน

    Coastal viongozi wao wacheni tamaa na ulafi

  • @JuhudiKasanga-yq5ks
    @JuhudiKasanga-yq5ks 3 หลายเดือนก่อน

    Rudisha mchezaji wa watu hata mgunda mlimwiba nyinyi majambazi TU wote watoto wa mudi na mudi mwenyewe aibu kweli mpaka costal mnampiga kweli kama kufulia ndo kwishilia mbali kabisa

    • @monelayongola419
      @monelayongola419 3 หลายเดือนก่อน

      Hujui Soka na unaongea kiushabiki. Wenzio wametoa hoja na ufafanuzi. Wewe upo na maneno na hisia zako. HUJAELEWA ufafanuzi au ??. Ikiwa hamriziki. Nendeni FIFA. Mpira Ni wa FIFA sio wa Simba au COASTAL. Mbona kaeleza vzr .

    • @muddsaid-kn2dq
      @muddsaid-kn2dq 3 หลายเดือนก่อน

      huyu jamaa hata ajui watu wanaongea nini kisa kashika kicm chake cha kutachi bas kamsliza ongea vitu vya msingi bro

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu 2 หลายเดือนก่อน

      Kakojoe ulale maana unatoa Povu hataa Unachoongea hujui

  • @ambakisyemwanjemba5787
    @ambakisyemwanjemba5787 3 หลายเดือนก่อน

    Mwenye simba yake ameshaanza mambo yake

  • @KakeSimba
    @KakeSimba 3 หลายเดือนก่อน

    Awa kost niwajingasana

  • @msangazimsangazipapaandomb8761
    @msangazimsangazipapaandomb8761 3 หลายเดือนก่อน +1

    Coastal Union wanatumiwa na upande wa 2. Viongozi wa Coastal wameahidiwa pesa ndefu na mfadhili wa upande wa 2.

  • @CharlesLutandula-y3c
    @CharlesLutandula-y3c 3 หลายเดือนก่อน

    Nyuma yao yanga yupooo washindwe nawalegeee simba nguvu moja

    • @KakeSimba
      @KakeSimba 3 หลายเดือนก่อน

      Nguvu 1.

  • @DeogratiusMponda
    @DeogratiusMponda 3 หลายเดือนก่อน

    Yànga mnashida

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838 3 หลายเดือนก่อน

    Hawa coast washamba sanaa!

  • @LorynNila
    @LorynNila 3 หลายเดือนก่อน

    Coast sio waelewa

  • @drvaxminja2133
    @drvaxminja2133 3 หลายเดือนก่อน

    Simba inalazimisha tu

    • @madukaj.j.6999
      @madukaj.j.6999 3 หลายเดือนก่อน

      Inalazimisha nini?

  • @janeemmanuel3615
    @janeemmanuel3615 3 หลายเดือนก่อน +1

    Acha uongo

    • @deuckuligwa3645
      @deuckuligwa3645 3 หลายเดือนก่อน +1

      Weka ukwel bas ili tuamin kama ni uongo

    • @madukaj.j.6999
      @madukaj.j.6999 3 หลายเดือนก่อน

      Ukweli ukoje?

  • @LinusKyando
    @LinusKyando 3 หลายเดือนก่อน

    SIMBA ACHENI UTAPELI

    • @januarysungura8119
      @januarysungura8119 3 หลายเดือนก่อน

      Matapeli wazidi yanga ?

    • @monelayongola419
      @monelayongola419 3 หลายเดือนก่อน

      Kama Simba Ni matapeli, nendeni FIFA mkashtaki . Lkn kiukweli LAWI Ni Mchezaji halali wa Simba s. c. Acheni kupngea kinyuma mwiko bila hoja. Umeshasahau mlilialia kwa MORRISON na tukawashinda Hadi FIFA ??.. utaitaje Utapeli Watu wanafafanua Hadi vifungu na kanuni. NYIE mns uholela ndio maana mnafungiwa hata kusajili . SIMBA wapo smart. Acha kuongea usivyovojua. Sikiliza hoja