mimi nishabiki wa coastal union kindakindaki ila kwa lameki lawi tusishawishiwe tukaingia kwenye mgogoro kisheria tutashindwa tusiingie kwenye huu mtego
Viongozi wa coast njaa inawasumbua na haya mambo ya kutumiwq na watu wengine ni mabaya sana wait wamevurunda sasa wanatafuta na wengine wawavuruge lakini sio simba
Wameingia tamaa ya mlungula mrefu😂 Nawashauri wafuate makubaliona ya kimkataba. Laa sivyo watafilisika muda si mrefu. Mungu awajaalie salama wasifikie huko.
Rudisha mchezaji wa watu hata mgunda mlimwiba nyinyi majambazi TU wote watoto wa mudi na mudi mwenyewe aibu kweli mpaka costal mnampiga kweli kama kufulia ndo kwishilia mbali kabisa
Hujui Soka na unaongea kiushabiki. Wenzio wametoa hoja na ufafanuzi. Wewe upo na maneno na hisia zako. HUJAELEWA ufafanuzi au ??. Ikiwa hamriziki. Nendeni FIFA. Mpira Ni wa FIFA sio wa Simba au COASTAL. Mbona kaeleza vzr .
Kama Simba Ni matapeli, nendeni FIFA mkashtaki . Lkn kiukweli LAWI Ni Mchezaji halali wa Simba s. c. Acheni kupngea kinyuma mwiko bila hoja. Umeshasahau mlilialia kwa MORRISON na tukawashinda Hadi FIFA ??.. utaitaje Utapeli Watu wanafafanua Hadi vifungu na kanuni. NYIE mns uholela ndio maana mnafungiwa hata kusajili . SIMBA wapo smart. Acha kuongea usivyovojua. Sikiliza hoja
Mwamba mwenyewe Magoli Hadi moyo wangu sahiz unapumua kwakurud mzigoni watu wakazi nafarujika sana
mimi nishabiki wa coastal union kindakindaki ila kwa lameki lawi tusishawishiwe tukaingia kwenye mgogoro kisheria tutashindwa tusiingie kwenye huu mtego
Mambo ya kishamba ayo toa hela chukua mchezaji
Shida yako hapo ni uelewa
Sio zabibu hizi. Acha ushamba mgogo wewe kaweke ndonya.
Yanga ninyi mwaka huu mnakazi kubwa tajiri amerudi mnalo
Jasusi la mpira linaungurumaaaa😂😂
Kwani Mbona Wanatamaa
Simba niwakimataifa wako makini siyojanjajanja
Viongozi wa coast njaa inawasumbua na haya mambo ya kutumiwq na watu wengine ni mabaya sana wait wamevurunda sasa wanatafuta na wengine wawavuruge lakini sio simba
Cost Si wapereke ofa kwa simba iwauzie tena
Coast U acheni utoto!
Wameingia tamaa ya mlungula mrefu😂
Nawashauri wafuate makubaliona ya kimkataba.
Laa sivyo watafilisika muda si mrefu.
Mungu awajaalie salama wasifikie huko.
Costi wababaishaji hawana sela
COASTAL WAMEINGIA TAMAA
MWAMBA anatema madini🤣🤣💪💪
Hakuna raha kama kujua sheria
Jane Huu mpira Sio Danguro. Mjini Moto Zanzibar kabiriti. Iweke kwenye pochi.
Simba siyonwababaisha kama wengine costal msalimu amri kabla hajafilisiwa
Simba ina viongozi wasomi sana hapa Tanzania kwa hiyo hizo ni inshu ndogo sana kwao
Viongozi wa Coastal Union wapewe mafunzo ya kanuni za usajili naona wanaanza kuvimba vichwa
Coastal viongozi wao wacheni tamaa na ulafi
Rudisha mchezaji wa watu hata mgunda mlimwiba nyinyi majambazi TU wote watoto wa mudi na mudi mwenyewe aibu kweli mpaka costal mnampiga kweli kama kufulia ndo kwishilia mbali kabisa
Hujui Soka na unaongea kiushabiki. Wenzio wametoa hoja na ufafanuzi. Wewe upo na maneno na hisia zako. HUJAELEWA ufafanuzi au ??. Ikiwa hamriziki. Nendeni FIFA. Mpira Ni wa FIFA sio wa Simba au COASTAL. Mbona kaeleza vzr .
huyu jamaa hata ajui watu wanaongea nini kisa kashika kicm chake cha kutachi bas kamsliza ongea vitu vya msingi bro
Kakojoe ulale maana unatoa Povu hataa Unachoongea hujui
Mwenye simba yake ameshaanza mambo yake
Awa kost niwajingasana
Coastal Union wanatumiwa na upande wa 2. Viongozi wa Coastal wameahidiwa pesa ndefu na mfadhili wa upande wa 2.
Nyuma yao yanga yupooo washindwe nawalegeee simba nguvu moja
Nguvu 1.
Yànga mnashida
Hawa coast washamba sanaa!
Coast sio waelewa
Wakawaulize yanga na morisoni
Simba inalazimisha tu
Inalazimisha nini?
Acha uongo
Weka ukwel bas ili tuamin kama ni uongo
Ukweli ukoje?
SIMBA ACHENI UTAPELI
Matapeli wazidi yanga ?
Kama Simba Ni matapeli, nendeni FIFA mkashtaki . Lkn kiukweli LAWI Ni Mchezaji halali wa Simba s. c. Acheni kupngea kinyuma mwiko bila hoja. Umeshasahau mlilialia kwa MORRISON na tukawashinda Hadi FIFA ??.. utaitaje Utapeli Watu wanafafanua Hadi vifungu na kanuni. NYIE mns uholela ndio maana mnafungiwa hata kusajili . SIMBA wapo smart. Acha kuongea usivyovojua. Sikiliza hoja