Fahamu zaidi kuhusu YouTube TAX Info | Ulipaji kodi ya YouTube
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
- Mwezi mmoja uliopita Google waliwatumia TH-camrs wote Kupitia Suala jipya la ulipaji kodi kwa kila pesa watakyoikusanya inayotokana na Viewers kutoka taifa la Marekani. Hii inamaanisha inakubidi ujaze taarifa zako za ulipaji kodi ili uanze kukatwa Asilimia fulani iwe kama kodi
FOLLOW ME:
Instagram: / richstartz
Twitter: / richstartz
Facebook: / richstatz
Email: rmaguluko@gmail.com
Nakubali Sana Kaka hili Somo Nimeelewa Sana 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Asante sana
nasisi ambao bado mnatushauri nini I'll tucikie malengo
Nice kaka
Asante sana brother..kupitia wewe tunajifunza vingi sanaaaaa
Nice
Nice bro yaan nakufatiliaga sana nilikuwa naomba video inayokuja uelezeee kilakitu kuhusu Google adsense 💫💫💫💥💢💯
Nilikua naisubiri hii Thanks
🙏🚶
Daah inaumaaa maishahaya mpaka lini si kuibiwa ukoo
Kikubwa uhai
Nilikuwa naitafta sana hii
Kwann usianzishe darasa la kawaida kaka kwamba nikikuhtaji najua wap nakupata napata Maada tofauti na njia hii ya online, mm napenda kuwekeza online lakin njia hii ya kujifunza kwa youtube kunavtu nahc sivpati, nimefuatilia sana vpind vyako ila nimetokea kuvutiwa na kupenda e com ya kuuza music online na graphics napenda sikumoja nifike angalau kufanya biashara ya namna hyo, Ila nataman zaid kama ningeweza kupata nafasi hiyo ya face to face itakuwa ni rahc maana ile garama ya bando nikikuchangia naweza kujua haraka pia kuuliza nakujbiwa kwa wakati. Je ilo linawezekana?
Mambo gani ungetamani niyafanyie ufafanuzi zaidi katika Video zijazo ?
Kaka week hii ndio nime faulu vigezo naomba msada tafadhali
Naomba unijazie nibalansi kodi
Tupo pamoja kaka
Kwa nini mkuu usifanye kabisa namna ya kuijaza hiyo form,,Naona ingekuwa poa sanaaa Kaka
Kaka mimi sina tin ya biashara ila nina nina tin ya leseni ya udereva je naweza kuiitumia
Yes
M naomba kuuliZa goglAdsns unaingiza card ipi ya benk ambayo inatakiwa ufungue?
da me nmeshindwa jinsi ya kusajili channel angu na ninashida kwel
Vipi kama chanel yangu bado haijaingia kwenye mfumo wa malipo, pia nahusika kwenye hilo?
Wanahusika watu wa malipo tu
bro kwa yule youtuber anae anaza itakuaje
𝚂𝚑𝚞𝚔𝚛𝚊𝚗𝚒 𝚔𝚊𝚔𝚊🙏🙏
Asante sana
Naomba namba yako kaka
Ungeleta tutorial ya jinsi ya kujaza
samahi ni software gani itakayo nisaidia kwenda live TH-cam na niweze kuweka graphics zangu vizuri kama logo matangazo maandishi yanayotembea kwa ajili ya nfo
OBS STUDIO
bro mim naitaji namba yako