"HATUWATISHI TFF, WAKIIFUNGIA YANGA, MPIRA HAKUNA TZ" - MZEE YANGA...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 13 มิ.ย. 2021
- "HATUWATISHI TFF, WAKIIFUNGIA YANGA, MPIRA HAKUNA TZ" - MZEE YANGA...
WAZEE wa klabu ya Yanga, leo Juni 14, wametangaza rasmi kwamba hawatacheza mechi ya Debry ya Kariakoo kati ya Simba vs Yanga, iliyopangwa kurudiwa Julai 03, katika dimba la Mkapa jijini Dar.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline - กีฬา
Bismillah katika ujinga! Eti dar ni mali yangu,,,dah!
HUWA wazee hawaonagi vizuri sanaaaa usiku napia Muda huo HUWA wameshalala ,,Hawawezi Mwenda Kwa Lupaso
Labda kama nimemuelewa,,,,But according to our Technology it's not issue.💪💪💪
WALA HATUWASHANGAI KAMA MTAPINGANA NA TFF KUMBUKENI HATA KILE SIMBA WALIPOBEBE KOMBE MARA NNE TULIWASIKIA WAKISEMA KAMA SIMBA WATACHUKIA TENA KOMBE BASI WATAANDAMANA HADI IKULU. NYIE YANGA MNA MAMBO NYIE YAANI MMEWEKWA KIDOLE CHA NCHANI TU MIKOJO HIYOO POLENI ❤❤❤❤❤
👏👏👏 huyu mzee aliongea maneno mazito kweli,Tff ,hii raana mtatembea nayo mtake,msitake
Asante Baba💪
Sana mzee
Hivi hii tarehe 3 inaogopwa kwa nn jaman?
Au ndo ile 3-3-3-3- mpaka tarehe 3????
SASA MNATAKAJE HAKI IWE BATILI CCM MBELE KWA MBELE SIO KAMA YUPO SAWA APEWE HAKI YAKE ILA KAMA KAKUSUDIA VURUGU BASI MUADABISHENI.❤❤❤❤❤❤
Kwani Mzee kaona Nini hiyo tarehe 3 au ndio wamesha chungulia?
Kama mpo vzr wazee lipeni mshahar wachezaji
Mzee zama zimebadilika zamani haikuwepo kwa mkapa stadium
😀😀😀😀 NIMEGUNDUA UTOPOLO MNA HAKI YA KUKOSA MWELEKEO KAMA WAZEE WENU WENYEWE NDIO BUSARA ZAO HIZO MWAKALEBELA ATAKUAJE 😀😀😀😀
Wewe ndo utoporo chenzi chana wewe
Huyo ndie Mzee anaejitambua sio kama chuki za leo zimejaa kila pahala kwa mpira
Sema nini wazee kuwa elewa mpaka uwe na uwezo wa kufikilia kwa kina na akili Sanaa lakini Kuna Jambo naliona
We mjanja bro chazamani zahabu .... Wazee wanakitu chaziada mjinga hawezi kujua
Dah mambo ya wazee ni mambo ya kizamani sana😀😀 enzi zileeeeeeeeeeeee
Pole
Usually mzzee akapimwe akiĺi Sawa sawa😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Dah! Mzee Utopolo kwa historia sio mchezo
Hii mizee ndo inaharibu Mpira wa Tz
Xx hili zee linaongea utopolo gani xx
Hahahhahaa
We mzee acha ubinafsi wa kikabila acha mzee kutishia watu mkienda hovyo mnafungiwa tu
Kwani hii niyalini?
Hivi huu mpira unaendeshwaje? Inakuwaje watu wapuuzi wanaingia kwenye football? Kuna haja gani watu kuitishia Taasisi?
Hakuna la maan hapo ulichokisema zama zimebadilika ndiooooo maan usiforce
mi ni yanga lakini...kama watu wanaotuongoza ndio wanafikiria hivi...there is no hope....ukweli ni kwamba simba wako organized kiuongozi...naona tushushwe tu daraja ndio tutaacha mambo ya kusema ETI hii nchi ni yetu yanga....yaani wanao strategize yanga ni wazee wa yanga duh....
Yaan haya mazee tatizo yakizamani sana kuchezwa mpira usiku ni technology imekuwa sasa bado mnataka mambo yakizaman
Kwa hiyo anachosema Mzee wa Yanga hii nchi ni ya kwao kwa hiyo hata wakifanya makosa wasiadhibiwe kwa kuwa nchi yao. Kwani kwenye ligi kuna timu ambayo si ya Tanzania, Timu zote ni za Tanzania na zote zina haki sawa bila kujali ilianza lini na ina washabiki wangapi Wazee wa Yanga acheni mikwara hayo mambo yamepitwa na wakati. Kama unataka raha Sajili wachezaji wazuri na chagua viongozi wazuri hakuna short cut.
Ukweli makini wazee. Simba ni makatili. Wamekusudia kutufunga mbao nyingi sana. Tusipeleke timu. Watatuuuwa
Hii mizee haitakiwi kwenye timu Mimi nisimba lakin haya mazee yakitoka kwenye timu ya yanga itafanya vizuri lakini ikibaki miongeaji hivi hakuna yanga
Sasa kama wewe ni simba unatoka wapi humu. Kenge kwenye kundi la mamba.
Uyu Mzee ana raanah TU ata ivyo n mzalamo
Mzee anaijua yanga kuliko ata uko wake😅😅
Kashaanza kupoteza kumbukumbu wadau tujitahid kujizuia kucoment koment za kibabe ana mpya uyu mzee aliyemtuma kafeli life
Manara ajaongopa kwamba yanga wenyeaakili ni wawili tu ajaongopa
Wasipoangalia mpila watanzania utakuwa kama zanzibari ligi imekosa laza kisa siasa wajiangalie tff
kweli
We Mzee wakuongozwa tu
Karia unachokitafuta utakipata endelea kutumika vibaya mwisho wako utakua mbaya sana
Sie wote watanzania atuwez pigana kwa sabab ya mpira,mpira furaha,utani ni asili ,lazima rutii viongozi
Waifungie Simba kwa kufika uwanjani saa 7 pm.
YANGA kweli kituko. Mnaitisha hadi serikali???? Basi tafuteni wimbo wengu wa Taifa kwa ajili ya mashindano ya kimataifa mtakayoshiriki mwakani.
Simba ni wajanja waliona wazee wa Yanga hamnazo ndo wakaunda timu ya simbaaaaaa
Mbona hamlipi mshahara wachezaji?
Ukubwa wote huo mzee wangu mnaokopa nini maneno mengiìi mpaka mnawatisha watu sasa
Hapo nimeelewa sisi Kama tuna elimu na akiri tuanzishe vyetu tuwaachie vyao wao
Foreigners! Majambazi! ,,,,,si kauli ya mtu muungwana!!!!
🤣🤣🤣🤣
Uwoga ni mzigo
Huyunae kavulungwa Sasa mambo ya usiku yanini tena kwa magoma
Hhhhhhhhhh Jamani wazee wapewe timu yao!!! Asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Mzee akikuna nazi basi Yanga ushindi sahawanini.
Ingizine timu acheni uwoga simba baba laooo
Hivi kwanini hivi vilabu vya mpira vimekua kama vyama vya siasa
Msipeleke team muone moto,kachezeni mnakimbia Nini? Mpira naupwleka wapi yanga
Nendeni mkacheze huko Zanzibar ,,,mzee kaote moto mpira tuachie simba ,,,simba ndo timu tz inayofahamika kwa sasa tz na east Africa so ninyi kujitoa hamna shifa
kumbua ata ww utaitwa mzee
Ubongo wake ushajaa maji
awa ndoo wazee wayanga
Busara zitumike. Kabla ya mechi kiitishwe kikao cha upatanishi. Hawa wazee waitwe wasikilizwe wana hoja. Kikao kiongozwe kwa hekima jazba ziwekwe pembeni. Mpira Ni burudani, amani na upendo
Mzee hata kujikuna hamuwezi ,,sijui mnalotaka nini
Kama timu ya kipuuuz
Ifungiwe tu timu jinga umbeya kuanzia watoto mpaka vizee
Mizee ya yanga bn
Yan mukifungiwa UTOPOLO bs mpira usiwepo nyny kama nan na munawatisha wakina nan
Mawaze ya kizee hayo, ni lazima tukubaliane ukizeeka akili ni lazima yawe hafifu, eti kucheza usiku watu watauana😆😆
Pia Simba ikiwa inacheza uwanjani hasa taifa yanga wasienda nakama yanga wanacheza Simba wasienda sababu baadae hapo Kuna leta shida ombi langu jama ni maana tumekuwa na uhasama sana Simba nayanga
Duuuuh !
Wemze umechanganyikiwa
Nyie wenye akili mmeunda nini kimpya 😂😂😂😂😂😂😂babu kanikosha hatar
Viongozi wa yanga wakipeleka timu alafu ikafungwa atalogwa mtu hapa
Kumbe Yanga ndio akili Zao!
ndg yang niwachaw balaa haw wot wa yang nikibok ata simb inapo cheza nje wao ndy uwang wanawafung wachezaji wakifika uwanjan wanakuwag kam mazwomama yan ukiwa na ndg yako mchaw ujuwe umeisha ndiy hay ya simb ndg yake yang myika yote yey ndiy anay mchezea uchafu uyo
Kwan,lazima,uongee,
Wa sasa wameunda neno buku ni la kisasa
Wewe ni mzee lakini hauna maadili mema
😂😂😂😂😂😂kwaiyo.wazee yanga ikishinda isirudi hp tn..au.?
Yote haya yameletwa na tar,3
Hawa ndo wasiotaka mabadiliko,wanadunisha mpira.
Njaa.zita.wauwa.wazee..maneno.mengi..mpila..pesa..acheni.uswairi
Wazee mnachelewa mnyakuekaliauyo
Mzee katundu funguka Ili tupate historia ya nchi hii maana hatujui chochote juu ya uongozi
Achazipigweeeeeeeeee
Hamfungiwi na Tff mnafungiwa na FIFA. Mzee mzima ovyo mnakosa kuungana mkono na Mzee Magoma kuikomboa timu yenu isiuzwe ninyi mumelemaa mumepumbazwa na gsm. Mtakuja kumkumbuka Mzee Magoma. Anawatetea ninyi hamuelewi.
Kwan wazee mjini wanatoka wp babu nenda nyumban ukacheze na wajukuu au huna wajukuu
Kwanza kavimba uso kama mbulika
Yanga hamuoni usiku? Mbona hamtaki kucheza usiku
Safi sana mzee, hakuna mechi tarehe 3 ole wake msola ajichanganye atakiona, mikia ni wasengerema sana manunu
🤣😂🤣🤣
Hayo maneno2 ya watoto wakike ndonlivyo unazalishwa lakini ukitokahapo utasikia mwanaumegani wewe lakini unamimba hahahahaha tunakujua wewe mwanamke wapuza ila tem itakuja2 labda usijewewe
Hayo maneno2 ya watoto wakike ndonlivyo unazalishwa lakini ukitokahapo utasikia mwanaumegani wewe lakini unamimba hahahahaha tunakujua wewe mwanamke wapuza ila tem itakuja2 labda usijewewe
@@theodorycharles4959 kakuma kanakuwasha eti
Wee muzee Dunia tuliyo nayo siyo hiyo uliyo nayo wwe peleka UZEE wako hukooo
We Mzee ujielew au ni mchawi ww
Gomaneni sn mkuja kuxhituka tutakua tumetwaa taji mara 10 mfululizo
Kila jambo Jambo nawakati wake, kuna wakati kukusanya Mawe na wakati wakutupa Mawe,wakati wa kucheka na wakati wakulia,Hivyo wazee watambue kwamba nyakati na majira zinatulazimisha kubadilika na kwenda katika soka la kisasa.histori hazitusaidii Kwa nyakati hizi,Simba Nguvu moja.
Katika watu wapumbavu wajinga hakuna kama wewe. Sijui kama umesoma kila kitu kina historia yake. Wewe mwenyewe una historia yako na family yako. Kama inakuudhi nyamaza wacha watu waseme. Leo waziri mkuu kaingilia mpira pia itaingia kwenye history.History ya hizi timu zitabaki na history zao
Huna jipya we mzee kanywe kahawa uko
yani mpira wa nyanga ni uchawi tu mpira yanga hawawezi kucheza atakidg bila ndmb yoyooo maan yanga hawawai kufika mbali wala kuiletea tz kitu cha maana kwa vile mpira hawachez kwa kujua ila wanatumua nguv nyiny za uchaw ukweli ndiy uyo wakatey wabishe ila ndiyo ivyo
3:40
UPO SAWA❤❤
Utoporo waoga.leten timu uwanjan
Kaloge,usitutishe
Babu umejuaje watu watauwana usiku.
Nyie Waze musitulete silipendwa
Uko sahihi mzee wangu
Kadogo babu ,acha upambafuuuu
Mh
Vitu gani vitamu vilivyo tengenezwa na UTOPOLO
Hhhh
Hawa wazee wanaongea vitu vya maana sana.Anaeweza kuwaelewa ni mtu mwenye ufahamu sana.
Pumba tu!
Towa uzee wako kalale
Wazee kama hawana hawafai kupewa long air time wanaturudisha wapi? Wenzake wamtanguliza chambo hana ajualo mbumbumbu wa Mungu, Tz ya Leo wajinaki na Uzaramo na Undengereko kwani twapunga mashetani hapa ,Utopolo tahadharini na vijizee kama hivi
Azisha chako wewe wa Tanzania ya Sasa wao walioanzisha vyao wanataka vibaki vyao
Musiende tupate alama 3 muhim tuombe tukutane kulee azam
Eti majambazi. Makubwa
Mzee kachafukwa sio poa