Saw mm ni Yanga lkn hoja ya magoma na sehem ya kumshind ni RITA... Je hio ktb ipo Rita au ? Ili kumshinda hio ktb inbd isajiliwe Rita , hp magoma hawez chomok Rita ndy uthibitisho tosha
Magoma anatumika na simba wala siyo yanga ,simba walikuwa wameparanganyika kwa sass wamejikusanya wanataka walete choko choko yanga ili waonekane wamefanikiwa mwakani ,kwani wanajuwa kuwa kama yanga wako watulivu na mwakani hakuna kitu na usajili wao
Wazee wa yanga ndio hao❤
uko vizuri baba ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hawa ndiyo wazee tunaowajua
Hawa ndo wazee wa Yanga tunaowajua huyo mwingine ni kibalaka hongera sana mzee 🎉🎉
Huyu ndo Mzee wa Yanga sasa huyu Magoma akae kimya
Salute mzee wetu ✔️✔️💚
HAWA NDIO WAZEE WA YANGA... Yule magoma mhuni tu
Yes
❤
Simba ndio wanaoleta chokochoko
Uyukashapewaeraa😂😂😂
Huna kazi www mnaa njaaa tu lakini mnachokitaka mtakipata
Badala ya kujenga hoja unaleta kadi
Njooeni na hoja zenu ilikupangua hoja zake ..sasa hapo umefanya nini sasa
Magoma watu wamemkalia kooni😂😂😂
Mimi. Kama. Mwanachama. Wa. YANGA. Naomba. Viongozi. Waloko. Madarakani. Waangalie. Sana. Magoma. Anapata. Nguvu. Kutoka. Kwa. Baadhi. Ya. Viongozi. Mamuluki. Humo. Humo. Kati. Yenu. Na. Ndo. Maana. Anavimba. Kichwa. Niaminini. Hayo. Ninayoyasema
Saw mm ni Yanga lkn hoja ya magoma na sehem ya kumshind ni RITA... Je hio ktb ipo Rita au ? Ili kumshinda hio ktb inbd isajiliwe Rita , hp magoma hawez chomok Rita ndy uthibitisho tosha
Magoma oyeeee, jeshi la mtu mmoja, ila kuna siku mtamuelewa
Wana tuchanganya hao wazee wababaishaj tu
Kila mmoja analilia ubwabwa wake😂😂😂 ila mzee magoma jeshi la m2 mmoja😂
Na akunagaa mafanikio ya mtu 1 😂😂😂😂
Sasa huko mahakamani mmeshindwaje
Hakusema kama haikurudi
Ila kasema ilirudi ikiwa tayar imeshagongwa muhuri yaani imesajiliwa tayari
Sasa alitaka afatwe kakwee ye kama nani jambo limefanyika wazi jangwan
Ina maana mahakama ilihukumu vipi
Na huyo Kasonso nae mzee tangu lini hao wengine sawa lkn yeye hapana
78 mwaka mmoja kabla sijazaliwa
Kadi nyingi za yanga umetunza 😂😂😂halafu hela huna
Eeeeeee Mwenyezi Mungu
Tunakuomba uondoe huu mtafaruku
mwandishi ulitakiwa utusomee hiyo kadi ni mali harali upande gani sio unakusanya tu
Km dar wanakodisha watu kwaajili ya kulia msibani je, hawa wa sasa hawajakodishwa kweli 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂ilo nalo neno
🤣huyu magoma mkundu unamwasha pakaa hana analilia timu hivi ataweza ata kumlipa kibwana shomari tu akipewa
Awa sasa ndo wazee tunao wajua sio kire kirus kinacho jiita ngoma kwanza kikatafute tim yakushabikia sisi yanga atumtambui mangoma
Hawa ni wazee wa gsm bwana wanakula mshahala
hata kama Wana kula msha hara shida yetu ni furaha na ina patikana
Yan nyinyi wote mna upungufu sasa kama mna ushahid angeshindaje yule mzee hapo ni mahakamani?
Wanakurupuka tu ili wale pesa za GSM
NYIE PAMBENI JENEZA LKN JUENI NDANI KUNA MZOGA .MAGOMA KAWASHIKA NDIPO
Munguwangu wazee mkipewa posho amtetei maslai yayanga,mzeemagomayukosahihi lazimaklabu iwenamwenyekiti,Sasa wanachama wanaenda kusaemea wap
Wakati wa kugombea uraisi ulikuwa wapi au ulikuwa hujapata wakukutuma
Magoma anatumika na simba wala siyo yanga ,simba walikuwa wameparanganyika kwa sass wamejikusanya wanataka walete choko choko yanga ili waonekane wamefanikiwa mwakani ,kwani wanajuwa kuwa kama yanga wako watulivu na mwakani hakuna kitu na usajili wao
Anachuki binafsi.
Wamekodishwa kwenye msiba wa familia yako?.
Wazee mnahangaikanini wakati mahakama imeshatoahukumu ni vyema mrudi mahakamani mkaterufaa
Kwani Yanga imefanya je ! Au bando linakusumbua!?
Ujinga tu hii nchi ngumu sana
Yanga tumieni akiri...Magoma hajaenda kwenye Media..kaenda mahakamani... Nendeni mahakamani huko ndio kwny haki
Baada ya kupeleka mahakamani vielelezo unapelekea studio 😂😂😂😂 akili kisoda
Kwan yy ndo mshtakiwa???
Magoma ana hoja kweli wanakurukupa wanashindwa hoja wanaropoka tu katiba aijasajiliwa hiyo ndio oja
Kama haijasajiliwa iweje bmc na tff wa ukubali uongoz?
@@briangodfrey5621mahakama ndiyo iliyosema kwa mujibu wa RITA. Sasa wakathibitishe mahakamani