PATA TV INCHI 24 ILIYO NA KING'AMUZI | SIMU 4G SMART | 40 W SOLA PANELI KWA TSH 139,900/=

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2024
  • TREND SOLAR INAKUBADILISHIA MAISHA...............
    MAONYESHO YA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI MEI 31,2018 VIWANJA VYA MNAZI MMOJA.
    ..........................
    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameziagiza Wizara, mashirika na taasisi zote za Serikali na binafsi zianze kutumia nishati mbadala ili kuondoa kabisa matumizi ya kuni na mkaa.

    Wizara, taasisi na mashirika yote ya Serikali na binafsi pamoja na vikundi vya uzalishaji wanaotumia nishati ya kuni na mkaa kwa ajili ya kupikia au shughuli za uzalishaji waanze kutumia nishati mbadala ili matumizi ya mkaa yaishe na ikiwezekana yatoweke kabisa,” amesema.
    Ametoa agizo hilo leo (Alhamisi,Mei 31, 2018) wakati akizungumza na mamia ya wananchi na viongozi wa mkoa wa Dar es Salaam walioshiriki uzinduzi wa maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam. Kaulimbiu ya mwaka huu ni:“Mkaa ni Gharama: Tumia Nishati Mbadala.”
    Waziri Mkuu amesema teknolojia bora ya uzalishaji wa mkaa mbadala ambayo ameiona kwenye maonesho hayo, ikuzwe na kusambazwa kote nchini ili kuwawezesha wananchi walio wengi waachane na matumizi ya mkaa wa kawaida na badala yake watumie mkaa-mbadala
    ......................................
    SUBSCRIBE, LIKE KUPATA HABARI MPYA

ความคิดเห็น • 39