ATENGENEZA TRANSFORMER NDOGO INATUMIA BETRI YA PIKIPIKI, INAWASHA TV NA TAA 6 'KIJIJINI INAFAA'

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ส.ค. 2024
  • #AyoTVKigoma

ความคิดเห็น • 49

  • @trysteward5508
    @trysteward5508 4 ปีที่แล้ว +5

    Nipeni like jaman wanao kubali kigoma mkoa wa vipaji

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 4 ปีที่แล้ว +2

    lazima Mungu wetu alete watu wenye akiri Tanzania na Africa yote sisi tunaakili sema tyuu wakati ulikuwa bado huja fika sasa niwakati umefika siyo tyuu mataifa ya mbali ndiyo wana akiri ata sisi tuna akiri saanaa.tz and JPM.

  • @msamgunda7684
    @msamgunda7684 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu dogo ni mjanja sana,anajua jins ya kuwavutia watu.saf sana

  • @mrholela7906
    @mrholela7906 4 ปีที่แล้ว +2

    Eeeh bwanaee Kigoma noumah

  • @MwlGano
    @MwlGano 2 ปีที่แล้ว +1

    Hiyo inaitwa inverter. Anaconvert dc kuwa AC

  • @MelkisedekiSamson-kd7gw
    @MelkisedekiSamson-kd7gw 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa vijana ili walete mantiki kwenye mataifa yetu lazima tuwatumie vizur,mfano huyu kwa uwezo wake inabidi aongeze maarifa yanayohusu kipaji chake,alafu atunzwe na serikali,na watafutwe watu wa Kariba yake wasome hata miaka mingi tu kisha wakiwa vizuri wakija nchini watengenezewe miundo mbinu yote,kisha wao ndio wawe wakufunzi ili kuleta mapinduzi ya viwanda la sivyo tutazikwa masikini na utajiri tunao mfukoni

    • @msamgunda7684
      @msamgunda7684 2 หลายเดือนก่อน

      Hilo halitatokea.kwan waafrika hawatakiwi kumiliki kiwanda.na viongoz wetu wanatumika kulifanikisha hilo🤣

  • @faustinanyamtengera3776
    @faustinanyamtengera3776 4 ปีที่แล้ว +1

    Mungu awainue wengi na Vipaji hivi viendelezwe.

  • @hysometyga988
    @hysometyga988 4 ปีที่แล้ว +2

    Big up 👊👊

  • @maikosamila7187
    @maikosamila7187 4 ปีที่แล้ว

    Important man , to the industry

  • @venancephilbert9397
    @venancephilbert9397 4 ปีที่แล้ว +1

    great

  • @Mastermind25491
    @Mastermind25491 4 ปีที่แล้ว +2

    Una akili sana dogo !? Tanesco wakakusomeshe nje ya nchi

  • @kitengo1
    @kitengo1 2 ปีที่แล้ว

    Katengeneza inveter ya kawaida tu ila kaleta mbwembwe hionekane kama kitu cha tofauti

  • @abdukadiliissa8076
    @abdukadiliissa8076 4 ปีที่แล้ว

    Talent

  • @abdallahsaid8157
    @abdallahsaid8157 3 ปีที่แล้ว

    MashaAllah!

    • @rayanwade8331
      @rayanwade8331 3 ปีที่แล้ว

      You prolly dont give a shit but does someone know of a trick to get back into an Instagram account?
      I stupidly lost my login password. I would appreciate any assistance you can give me

  • @hallin9561
    @hallin9561 4 ปีที่แล้ว

    Viongoz wa Waafrica badala wawapeleke hawa watu wakapatr taaluma za juu zaid kuja kubadili nchi zetu lakin wanawapotezea.
    Watu kama akina castro walipoona watu wanaweza kufanya maajabu ya hivi wakawapeleka ulaya kujifua zaid na kurud nchini mwao na kufanya mambo makubwa ata kwa china ilikuwa ivyo

  • @isejemedia6760
    @isejemedia6760 ปีที่แล้ว

    Sasa hiyo c ni Inveta

  • @peterrichman6075
    @peterrichman6075 2 ปีที่แล้ว

    Irf inafanya kazi gani

  • @khamisiddi5961
    @khamisiddi5961 ปีที่แล้ว

    Hiyo ni inverter acha ushamba ww

  • @benjamininyambaso5041
    @benjamininyambaso5041 4 ปีที่แล้ว +1

    daaaah

  • @prospermoviesseries7352
    @prospermoviesseries7352 4 ปีที่แล้ว

    SAFIII. TENGENEZA ULETEE WATOTO WETU WACHEZEE

  • @faraolion6822
    @faraolion6822 4 ปีที่แล้ว

    Sawwa engineering

  • @mgedzirpm1541
    @mgedzirpm1541 3 ปีที่แล้ว +1

    Hiyo ni inverter broo! Hakuna ubunifu hapo,

    • @dullahtechtz3422
      @dullahtechtz3422 3 ปีที่แล้ว

      Kweli kaka

    • @frdchannel6189
      @frdchannel6189 3 ปีที่แล้ว

      Jamaa kawawez ni inverter..hii..ndomana alivyoulizwa umetengenezea nini transformer akaliruka swali.

  • @mashapromise3364
    @mashapromise3364 ปีที่แล้ว

    Anaye piga uyu dogo anitengenezee baskeli tu basi ata ubunifu ndogo naho nishida kuunga mpe sapoti yake alafu tuhone mafanikiyo

  • @meshackmedanny8483
    @meshackmedanny8483 4 ปีที่แล้ว

    Bob na wew yuo tube uta toboa baba

  • @husseinlatifa1443
    @husseinlatifa1443 4 ปีที่แล้ว

    Bongo bahati mbaya

  • @jsmfarms71263
    @jsmfarms71263 4 ปีที่แล้ว +1

    Vitu vya kawaida kwenye umeme, walio soma physics na electronic mtanisaidia hapa , wa Tz wasije sema nini wivu

    • @hajilipotha9658
      @hajilipotha9658 4 ปีที่แล้ว +1

      Hebu fanya ww tuone na physics yako

    • @jsmfarms71263
      @jsmfarms71263 4 ปีที่แล้ว

      @@hajilipotha9658 watu wenye mawazo kama yako ndo nilikua siwataki kwenye comment yangu, hiyo kitu ni inafanyika sana na kitu alicho Fanya kwenye solar power hua tunafunga inverter kutokana na ghalama , then hizo transformer chocheo na pozo kwa Tz ni Mali ya shilika la TAnesco huruhusiwi kumiliki hiyo kitu, badilika acha kugandisha akili yako

    • @immslucas
      @immslucas 4 ปีที่แล้ว +1

      Fanya na wewe tuone Kama ni kawaida

    • @experiusmrefu1003
      @experiusmrefu1003 2 ปีที่แล้ว

      Wivu tuu.

    • @kitengo1
      @kitengo1 2 ปีที่แล้ว

      Kawaida sana hapo hakuna maajabu

  • @habibujuma2470
    @habibujuma2470 4 ปีที่แล้ว +1

    Mimi kwa maoni yangu serekali yetu yatanzania ingefanya namna watu wenye uwezo kama hawa ingewasomesha badae wafanye kazi za serikali serikali siingeingiza hela hapa hapa kwa wananchi wake kuliko kusubiri wataalam nnje

  • @Commentsplus
    @Commentsplus 3 ปีที่แล้ว

    Saketi gani umebuni huo ni mfumo wa iveta bhana acheni ujinga

  • @Commentsplus
    @Commentsplus 3 ปีที่แล้ว +1

    Unapoteza muda bhna kawe kunamtu anatengeneza umeme wa sumaku afu wewe unatuletea maswala ya sola

    • @novathpanga8216
      @novathpanga8216 3 ปีที่แล้ว

      Ndogo san hainatofauti inveter hyo

  • @davidmacha9215
    @davidmacha9215 4 ปีที่แล้ว

    Kwa level yake kajitahid sana ila syo ety apelekwe china kusoma aje asaidie nchi hapo si sawa ,dogo asome afaulu vizur akajiunge na vyuo vy ufundi kwa level zingine then ata gundua mengi zaid kwa utindu wake

    • @jsmfarms71263
      @jsmfarms71263 4 ปีที่แล้ว

      Bora wewe ndugu ulie gundua kwa level yake, hivi vitu vipo vyote kwenye physics na sio uvumbuzi , wahandisi waje hapa hivi ni vipo na sioaajabu labda kwa level yake , huezi sema huyo ni wakusaidia nchi serkali iliyo waajiri kusimamia miradi ya umeme ni ma Dr. Wahandisi kwenye electronics na hako aliko Fanya huyo ni ka part kadogo sana hata ukisoma introduction to electronics unakafanya

  • @Commentsplus
    @Commentsplus 3 ปีที่แล้ว +1

    Yani wewe nae unahoji vilaza sasa hapo ubunifu ni nini!!?

  • @Seleleko
    @Seleleko ปีที่แล้ว

    Millard Ayo Mimi huwa na shida na huyu mzee
    th-cam.com/video/93NXHr3fxpo/w-d-xo.html

  • @wizydeko1496
    @wizydeko1496 4 ปีที่แล้ว

    th-cam.com/video/8Y1799da_1U/w-d-xo.html hili balaa tazama

  • @ffrenktv5576
    @ffrenktv5576 4 ปีที่แล้ว

    Atakae dislike kwel sômtanzania