marefa wanazingua mm nilikua uwanjani nilikua uwanjani lile goli la yanga ilikua ni hofsaid ya wazi balked alizidi wakati beki anaokoa baleke alizidi kabisa
Na nyie marefa hv kwann mnaharibu mpira? Nyie marefa ndy maana huwa hamchukuliwe kwenda kuchezesha michezo ya Caf. Marefa mnakataa magoli ambayo ni sahihi. Kayoko alilikataa goli la Kibu D. Na penati za Simba.
Ata nyinyi mnaona team zinanyimwa matokeo zinakatiliwa lazima asa unahis nn Kama sio yanga wapewe ubingwa mpira ni mchezo wa wazi zulma inaonekana wazi
Haya makosa makubwa sana wanayofanya waamuzi wa michezo ni kweli kabisa kuwa awa marefarii wanaharibu michezo ya ligi. Tafadhali waambieni TFF na Bodi ya Ligi waanze haraka sana kutumia VAR kwenye michezo mingi mikubwa ya Tanzania Premier League. Kuendelea kujadiliana mitandaoni haisaidii kabisa. Kinachohitajika hapa tu ni serious action plan ya TFF na bodi ya ligi kutekelezwa haraka. Msipofanya hivyo, basi ni kuwa hii timu inayobebwa siku zote na marefarii itapenda sana kuendelea kuzidharau timu nyingine katika ligi.
Utopolo 🎉 bila mbeleko hamna kitu
Safi sana GB 64 waambia hawa vilaza
marefa wanazingua mm nilikua uwanjani nilikua uwanjani lile goli la yanga ilikua ni hofsaid ya wazi balked alizidi wakati beki anaokoa baleke alizidi kabisa
Marefa wengne wa Bongo bhna daaaah
Hawa wameshaishiwa imebaki kudili na marefa tuu""
Acha ushabiki ile offside tatzo marefa
Jibu swali ni offside au cyo offiside
Na nyie marefa hv kwann mnaharibu mpira? Nyie marefa ndy maana huwa hamchukuliwe kwenda kuchezesha michezo ya Caf. Marefa mnakataa magoli ambayo ni sahihi. Kayoko alilikataa goli la Kibu D. Na penati za Simba.
Yanga saivi wakawaida sana kachoka wanambebatu abebe ubingwa
Makolo mnateseka sababu ninyi mlidroo tena Kwa mbinde🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣💚💛💚💛💚💚💚
Ongea Kiswahili tu ndugu yangu,Kimalkia kinakusumbua sana
Ata nyinyi mnaona team zinanyimwa matokeo zinakatiliwa lazima asa unahis nn Kama sio yanga wapewe ubingwa mpira ni mchezo wa wazi zulma inaonekana wazi
Punguza makasiriko 😂
Eee ila yanga mnabebwa sana hamna timu hapo ni msaada wa refa kwa kwenda mbele MUNGU atawalipa
Shida mishaala yamalefalii inalipwa na GSM syo TFF sasa apo 2
64gb hutumi akili za mpira unatumiahasira pambana
Mtakufa mwaka huu kolo.bingwa yanga tena bd hamjasema
Waamzi wanarogwa ninyi fuatilieni ohoo
Yani yanga niwezi sana kwa System GSM ndio yanga
Hamnazo hyooo kdg hta ya simba ilikuwa droo
Mechi ya simba na jiji, mechi ya simba natz prison, mechi ya simba coastal hamkumbuki nyie makolo?. Sasa hivi kila mtu ni mzalamo?.
Nani mwingine kaskia never you get get it
Kwani simba na Azam amani complex
Wazee wa maandamano & na malalamiko fc
Gb leo kaamua kuongea kisambaa eka ni mbui mghoshi gb 128
Bado amjqsema na mtasema sana umbwa nyie😅
Mvie 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Yako uyaoni
Zungumzia timu yako simba
Sasa GB ongelea timu yetu unawaamsha hao utoo
Xaw muach aijeng yang lkn kiukwel yang wamechk ten kwny xaf ya uxhambuliaj hamn kit
Hawa vichaa wataendelea kutesska hadi yanga achukue ubingwa. Ndipo wapate nafuu.
Hebu jiheshimu GB,UNA ROHO MBAYA SANA WEWE.
ila kweli jamani. Goal la offside kabisa linawekwa kati, la alali linakataliwa mchana kweupee.. haki ya Mungu 🙌🏽🙌🏽😅
😂😂😂😂😂 GB 64 kuvurugwa msimu huu walisema ubaya ubwela wataongea mpaka ligi inaisha YANGA BINGWA
Kiukwer tz hatuna wamzi kwamtu yeyote anaefahamu mpira kama mwamuzi Waleo Kazingua sana baka alipewakadi kwalipi Aya mudasir
mwambieni uyu jamaa awe anazungumzia mpila aache kuongea ujinga anaaribu rigi yetu
kichwa kibovu mawazo mgando
Acha ushabiki wew tengeneza timu yenu mbovu na bdo utalia mno boya ww
Yani unatupangia wachezaji wa kusajili?. Subiri shirikisho mtanyolewa bila maji mtaishia robo fainali kama kawaida yenu.
Bora sisi tunaoishia robo lkn kwenye ligi ya mabingwa kuliko mtu aliyekaa miaka 30 eti anakuja Tena kuingia makundi CCL😂 😂😂😂😂
YANGA SI MMESHACHEZA NAYO ?
Kwendaaaa kolo wewe akili fupi
Anakutesa unamfatilia chura 🐸
Haya makosa makubwa sana wanayofanya waamuzi wa michezo ni kweli kabisa kuwa awa marefarii wanaharibu michezo ya ligi.
Tafadhali waambieni TFF na Bodi ya Ligi waanze haraka sana kutumia VAR kwenye michezo mingi mikubwa ya Tanzania Premier League. Kuendelea kujadiliana mitandaoni haisaidii kabisa. Kinachohitajika hapa tu ni serious action plan ya TFF na bodi ya ligi kutekelezwa haraka.
Msipofanya hivyo, basi ni kuwa hii timu inayobebwa siku zote na marefarii itapenda sana kuendelea kuzidharau timu nyingine katika ligi.
Hujui mpira wewe mihemko tu. Mchezaji wa Coastal kabla hajapiga mpira raiseman alikuwa ameisha nyanyua kibendera kitambo.
Uyu nae kenge tu kama kenge wengine maviiiiioii
Ukisema ivyo ndo waijenga sana Yanga tengeneza Simba yetu tuu