ACHENI CHOYO WALE WENYE CHOYO LEO M LIKE,M COMMENT,M.SHARE NA M SUBSCRIBE NASI TUENDELEE KUPATA MOYO NA NGUVU WAKUWALETEA VITU VIZURI NA VYENYE MAUDHUI MAKUBWA KAMA HIVI
Naiomba nikushauri mponji upon vizuri sana ila unapoanza episode nyingine usianzie mbali unaanza mbali sana mliishia ulipokuwa unapiga kelele ila umeanza tangu wanavutana tena gesti unapoteza muda lifanyie kazi
Mponji jameni akuna siku utakuwa n furaha duuh pole sana kaka hila jikaze kiume mmbo yako jiani mazito sasa y ukweli kbsa leta next plz jioni 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉hii n 🔥 fire 🔥 gonga like apo twende nalo❤❤❤❤❤❤
Wow pamoto 🔥🔥🔥sasa 👌👌👌🦸🦹💃🕺 I'm very interested with this movie from Kenya 🇰🇪 currently Qatar team kukaribisha ndowa oyeeeeeerr nipeni ata laki jamani 😂😂😂
Jamani hongereni washiriki wote kwenye hii movie mage hongera hebu tuwe na moyo kama wa mage basi haya tuko pamoja nanyi japo tupo mbali kidogo pande za USA salamu sana
Leo Mponji kawa mbogo safi sana ua huyo kabisa piga huyo 😂😂😂😂😂Mponji ana hasira kumbe alijifanya mpole tu ila kwa Shadya kuwa sio mtoto wake kawasha moto
ACHENI CHOYO WALE WENYE CHOYO LEO M LIKE,M COMMENT,M.SHARE NA M SUBSCRIBE NASI TUENDELEE KUPATA MOYO NA NGUVU WAKUWALETEA VITU VIZURI NA VYENYE MAUDHUI MAKUBWA KAMA HIVI
Kazi zako Mponji ni nzuri sana Mshukuru sana Mungu kwa kipaji alichokujalia
Ni kweli kabisa Mponji wangu ❤❤❤❤
Dah! Hongera sana mponj mungu akubarrk ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Tutolee kesho mponj dah! Kimeumana❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Naiomba nikushauri mponji upon vizuri sana ila unapoanza episode nyingine usianzie mbali unaanza mbali sana mliishia ulipokuwa unapiga kelele ila umeanza tangu wanavutana tena gesti unapoteza muda lifanyie kazi
Mponji kila siku unapatana na mapya hila huo mtiani tu utaupita be strong 💪 💪💪💪from Kenya 🇰🇪 like zenu hapa jamani
Hajira kweli hakun kitu twajifunz kutoka kwako unashidwa kujifunza inga mange anavyoshi mauwa kw mange🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Wow kazi zuri sana tuna wapedasana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉ajira kinaedakumuramba sumufukuze jamani uyosio mwana mke
Mponji jameni akuna siku utakuwa n furaha duuh pole sana kaka hila jikaze kiume mmbo yako jiani mazito sasa y ukweli kbsa leta next plz jioni 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉hii n 🔥 fire 🔥 gonga like apo twende nalo❤❤❤❤❤❤
Teem strong wapi like za mponji🎉🎉🎉
Ak Mponji pole.Mage aki wewe ni mwanamke na nusu.Mama Shadya we ni mpuzi sana.Umetaka vyote ukakosa vyote.Congratulations to you all.❤
Jmn mbn hii move moto sana usichezee hasira zamtu.mpole atakuuwa hajra dada kubali matokeo mipango yote imefeli
Nimechelewa ilinimefika..hongeren saana kwa kaz nzur nakujali mashabik zenu.mwenyez mungu azid kuwapa marifa zaid maana siorahis
Kwa kazi yenu ni nzuri sana nimeipenda yaani iko so mwaaaa ila mama Shadya ni hatari hafai hata kwa kafara duuu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mponjo kawaka whaaa 😂😂😂😂😂ajira nae kila kitu unaumbuka ssa hitakuaje kali sana leo
Hii leo nimoto nawapenda bure mwaaaa❤❤❤
Waaa leo ni kubaya mponji pole🎉🎉🎉🎉from Kenya 🇰🇪 😍
😂😂😂hajra wasema kimeumana leo😮😮😮mashaallah ❤ 😍only
Maggie ungemuacha mponji amfunze anjera adabu. Aq leo nimefurahia sana walai ❤❤ hongera mponji🎉❤❤🎉🎉❤
Mwanzoni nirisema kua Mponji kazmia nasiku muona kumbe kweri Pole sana Kaka Mponji kwaja libu kutoka kwa Mtalakia Mama Shadia
Jaman huyu make shadhy ni zaidi ya muchawi. Pole sana mponji kwa majaribu unayo pitia.
❤❤❤😂😂😂 next plz
Pole sana mbonji
Mponji ❤❤❤❤ hongera sana yaani unakaa unaangalia movie unaelimika na unaburudika vyakutosha
Baraka friji lako harigandishi
Baraka hushauri mzuri kwa mponji
Kazi nzuri ongeleni Sana mungu awatie nguvu twende chapu
Amina.
Kaz nzuri sana kazi imetulia haina mbamba 🎉🎉🎉🎉❤
Nimeipenda sana wee baba shaja
Mange nimwana mke muzuri sana 🎉🎉🎉🎉
Yaleo motomoto kumbe mupochi mukali hivoo vigana bwana nimependa mimi😊
pole sana mponji from zanzibar
Ukifuga nyani utavuna mabuwa naomba like zangu hapa chini from Mozambique 🇲🇿
Tajiri mponji hahahaaaa kapandisha mori,,,na wewe mama shady hakuna hata mwanamke mwenye hizo tabia zako chefuuuu
Duuu amakwel ili ni funzo kwel mungu awabarik san mufike mbal muzid kutuelimisha
😂😂😂😂😂jamni
Leo mponji ametoa sura yake ya pili aisei wee noma sana
Pole san Mponji Na yalio kukuta Léo maana yamezid zingine Siku zote Ila usijali yatakwisha.Umeaanza vibaya InshaAllah utamalizia vizuli 🥰
😂😂😂mashyad
Kazi tamu hadi utamani iishe jmn hongereni sana
Nampenda mage💕💞💞
Mama shadya umekiramba Leo jamani 😂😂😂😂😂
Mama chadia leo umeyakanyaga kiukweli😂😂😂😂 amekupiga kidogo k1bisa angeongeza 😂😂😂ivi hati hupati tena watakufukza namutoto wako bila kitu pole😂😂
Tamu sana🎉🎉🎉
Ninoma sana jamaa wanajuwa sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Wakwanza leo jamani from Kenya 🇰🇪 🎉🎉🎉🎉
mashallah kaz nzur allha awatangulizie kwa kila jambo leno
Amiin Inshaallah
Mponji hana nguvuuu😂😂😂😂😂
Nzuri sana ❤❤
Nice
😂😂😂ila magge ananguvu 😂😂😂
Nku moto leo😊
Da hajira kaingiaa mtumbwi wavibwengo daaa 😂😂 kimemlamba ilaa mponjii pole sanaa yatapita tu hayoooo😢😢😢
Leo mambo moto nimecheka wallah mpaka bas mage ulikuwa umuache ajira leo akione chamtema kuni kidg 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mponji leo ungeniuwa
Kwa kazi bora tu za filamu hapa tz dar zone sina shaka kabisa kazi nzuri mno hakuna kuzungushana sana inaenda kwenye point
Mama shadya leo kimekulamba, mponji pokea maua yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nimewafatilia tangu mwanzo Hadi Sasa hivi,,,,,nimeenda hiki kipindi natokea Kenya 🇰🇪 na subiri 28 ikuje kwa mupigo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Eti mama Shadya njoooo wee aje kwenye kipigo😂😂😂
Weeee hii ya leo ni kali mnoooooo 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Pole sana mponji ila Leo khajira ameyakanyaga😢😢😢
Tunawapenda sana kutoka Kenya 🎉🎉🎉
Hongera mponji hua nasubiri kwa hamu sana kazi nzuri sana
Like from Uk
😂😂😂😂 congratulations mponji ushapevuka saii etii
❤❤❤
Wow pamoto 🔥🔥🔥sasa 👌👌👌🦸🦹💃🕺 I'm very interested with this movie from Kenya 🇰🇪 currently Qatar team kukaribisha ndowa oyeeeeeerr nipeni ata laki jamani 😂😂😂
😂😂😂Kimenuka leoo😄😄😄
Mponji pole sana
Ila Leo mmenifurahisha
Congratulations 🎉🎉🎉🎉🎉 Mee naendeleaaa kujifunzaa ❤❤❤❤ kazii nzuriii 💞 sanaa mbarikiweeeeeww
Pole sana kaka Aya nimapito ata mimi nikipata mwanaume mwenye roho hiyo naolewa natulia ❤
Naombeni like zang leo nimekuwa wakwanza😅
Daah 🤔 true color ya Mponji imejitokeza,,,hii inauma sana,,kulea mtoto halaf uje uambiwe sio wako🤔
❤❤munaweza😘
Mkovizuri saaana❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Allah akufanyie wepesi
💥💥💥🔥🔥💥💥💥
😂😂😂😂😂😂😂 leo hajra ame patikana
Nikunoma leo😂😂😂😂😂
Mponji ungempiga na mage kofi ili akuachie 😂😂 piga uyo hajra hasira ziishe😂
Kimeumana😂😂😂😂❤❤❤
Pole sana mponji 😢😢
Weee Leo nikumoto ma shadya na mashoga wake wameyakanyanga😅😅😅😅😅😂😂😂 weee mpoji umefanya nikaogopa wanaume dah😢😢😢😢
Waau inabamba😂
Mhhhh. Hajra yamekukuta uliyoyatafuta
Niku moto sana😊
Waaaah kimeumana
Jamani hongereni washiriki wote kwenye hii movie mage hongera hebu tuwe na moyo kama wa mage basi haya tuko pamoja nanyi japo tupo mbali kidogo pande za USA salamu sana
Nimewsi leo
Yaan mwanamke mbaya huyu😢😢
Haha patamu hapo
Maggy ananguvu kwel😂😂😂😂
Nc yani nzuri sana
Hii ni moto jaman kumbe mag ako na nguvu ivi
Kakweli mnaweza❤
Pole Baba. Shadia
Nimeipenda hongereni sana
❤❤❤❤ Mm mwenyewe nimewahiiiiii
Leo mage kang'ara kweli kweli amependeza🥰🥰🥰🥰
Leo Mponji kawa mbogo safi sana ua huyo kabisa piga huyo 😂😂😂😂😂Mponji ana hasira kumbe alijifanya mpole tu ila kwa Shadya kuwa sio mtoto wake kawasha moto
😂😂😂kala pilipili
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mamashadiya leo umeyakanyaga😂😂😂😂😂
Pigaaaaa huyo ashike adabu
Waaaa Mponji leo kawaka moto😂😂😂😂
Wapendwa kumbe mponji ni Moto eee