BWANA HARUSI AGOMA KUINGIA UKUMBINI,KISA HIKI HAPA...!!
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024
- Kutoka kawe ukwamani ndipo tukio hili lilipotokea ambapo kuna bwana harusi aligoma katakat kuingia ukumbini kwa sababu anazozijua mwenyewe..!Tizama hapa kisa kizima
#Hekaheka #Geahhabibu #GeahTv
wangapi waliomuona huyo mwenyekiti walijua ni bwana harusi😁😁😁😁😁
au mm tuuuuuuu
Elida Simon me mwenyewe nlijua ndio bwana harusi
Na mm pia
✋
Mm pia
Me too 😜😂😂
Huyo Bwana Mke wake huyo, Alitakiwa Amwache kanisani Angojee Mungu ampe Mume mwingine. Yaani Ugomvi siku ya kwanza!
Thobias Marandu ahahahhahaa mapensiiii
@@jescahkaaya1743 🤣😂ayo siyo mapenzi
matatizo ya kuishi pamoja miaka 10 kisha kufunga ndoa, ugomvi haukosekani
Wanaume wa ivi mwisho wasiku ndotunaishia kuchomwa namagunia mawili ya mkaa
Happy Mericho hahahaaaaa yan we acha tu
Hahaaaa kabisa gubu gani hilo habembelezeki
😂😂😂
Uwiiiiiii hahahaha happy ww una kituko
Mm pia
Dada angu Geah Ahsante kwa kutuburudisha, yaan kwa upande wangu naona kama Dunia ya sasa imevaa koti ndoa nyingi maigizo enzi ya Mabibi na mababu ndoa zao zilidumu. Yaan mitihani sana
Ntawaalika mmoja mmoja mje kula nyumban kwangu🤣🤣🤣🤣km unaamin bw haruc nimchaga gonga like yanguvu
Bwana harusi anaanza ukorofi mapama, ila Bibi harusi jifunze kitu hapa 😂😂 Nacheka kwa uchungu wallah.
Siyo ladhima jamani ukumbini biharus angefanya kitchen party yake apewe zawad kivake km bwana alikuwa hatak cyo wote wanapenda mambo mengi wengine hawapendi mambo mengi
Mbona ameanza ukorofi mapema bwana harusi?
YAANI NINGEKULA ,MINGEKUNYA, NINGECHUKUWA ZAWADI ZANGU NA NDOA INGEKUFIA HAPO
Uyo mwanaume angenifaa sipendi mambo ya sherehe bora tufunge church twende nyumban
Hata Mimi sipendi Mambo ya sherehe
😂😂😂😂😂😂 huyu mwanaume kaanza vituko mapema. Kua makini dada
Mimi ningemgomea mapema kabla ya shali
😅😅😅
Khaaaaaaaaa mie ningekataa,bwana harusi mjanja Kweli 😂😂😂😂😂😂😂makufuri kabana kila Kona 😂😂😂😂👏👏
Duh Masikini huyo bibi harusi Mngoni mwenzangu namuonea huruma maana vitimbwi vimeanza mapema duh huyo shemeji ana nongwa na gubu juu
Pole yake kwakwel huko aendako atajuta maana huyo mwanaume anaonekana hana mswalie kabisa 😂😂😂
Mtihani jamani
Hataki kuoa
Kumbe Wa kunyumba
@@husnasimba5357 kabisa
Yan mm ningekula ningeshiba ningechukua zawad zang alaf narud kwetu ndoa ctak tena
ahahaha wala usingefanya hvyo c kwa maumiv hayo
ww n kam mm kabsaa hahaha
hahahahah
Yani mim baada ya zawadi tu ningeenda kwetu ningevunja ndoa palepale
😂😂Mbavu zangu mie huyo bwana harusi kiburi jeuri htr
😀😀😀😀 jaman huyo mwanaume anamichepuko mingi aliogopa kugonganisha bajaji kwa fuso
Hahahaha we nawe una mambo
Dalili chafu hizi ... wanaume wa hivi hawachelewi kufanya maajabu ya kuchomana 🔥
QUBY ACKIM kabisa
Kabisa
Kupatwa kwa harusi ila harusi za kikristo zina gharama sna ujipange kweli kweli
Achaa udini nawwe harusi kuwa na gharama ni mapenzi ya walengwa tuuu mbn harus nying tu za kiislamu znakuwa na gharama piaa
Asia Zuberi uwiii hujashuhudia harusi za kisilamu zanzibar,
Hawana ubahili
@@josephpaul4986 bythewy nimekuelewa haruc zagarama nikujitakia pande zote mbili
Njoo zanzibar uone harusi za kiislam na za gharama kuliko izo .....
Hyo Dada jaman aangalie asije kwenda kucho tena na magunia ya mikaa tena jaman mbonaaaaa!!!!
Hiyo ndoa sio mpango wa mungu!!!!!!!
Kweli kabisa iyo ndoa c mpango wa mungu kwani wao hawakufanya mafundisho yanayo usu ndoa?
wengine mnfos ndoa mpka mnaroga wanaume madaw yana mwisho wake
Paulo Mwalimu 5
Duuh ingekuwa mimi Ningekataa alipo nifata,Yani Pete ndogo,then ukumbini amejam.Basi mbona.
Uyo bibi harusi anamoyo sana 🥺😂ningeondoka ndoa iishe tu
😂😂😂bwana harusi alikuwa anataka apewe tu hela hizo akaanzie maisha yako
yah
Jamani Pete ndogo!! bwana harusi huyu veepe😂😂😂😂😂😂
Kama una Amini huyo Bwana Harusi ndo wale magunia 2 ya mkaa Gonga like hapa
Maajabu haya. MC mwenye hekima.
We mume wangu popote ulipo olewako uje ukatae kuja ukumbin utanitambua
Haaaaaaaa 🤣🤣🤣🤣
Kaole nachizi
kazi kwl
😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣 hta me atanitambua asee
Yaani bwana harusi kaonyesha tabia zake mapema kabla ya cku yaan ningekua ndo mm bibi harusi mh kwakwer cjui ingekuaje.
Nakukubali Geah unatupa habari motomoto
Helena Mwaipopo yani yetu inakua ni macho na masikio tu hahahaha
Mimi Sitaki kwenda kuchomwa moto akha ngunia mbili za mkaa siyo mchezo unaanza kuunguzwa dunia sipendi
Daa umenichekesha wewe
🤣🤣🤣🤣🤣
Rukia Salim ha ha ha ha teh kumbe dawayako hyo rukia
Rukia Salim 😂😂😂
Rukia Salim
Hiyo ndio faida ya mapenzi ya kuloga😁😁😁 unamloga mwanaume akuoe wakat akupendi....mwanaume anayekupenda atakuwa yuko radhi kufanya chochote
Zuley Vendor umeonaee ndoa cha uchawini ugangani izo
Zuley Vendor 😁😁😁😁😁
Ha ha ha
kabisa wanawk wng wanarog san il wapndw matokeo yk n hyo
Hujaelewa yy alikuwa nataka achangiwe pesa nyingi sio uchawi
daaah ahahahahaahah siyo yakucheka lakini daaah huyo jamaa atakuwa ana shida au kuna mwanamke kamchezesha akili baada ya kusikia anaoa
Jaman uyu baba nimenpenda buree dada geah nigee namba zake😁🤗🤗
Hahahaaaaaaaaaaaaa uwiiiiiiiiiiiii
Kiukweli wana wake ni wavumilivu sanaaa!!!!
Na Mimi nisingetokea kanisani ctakagi ujinga😂😂😂 bibi harusi ana kazi
Uyo bwana harusi mbishi ivo Kama mchumba Wang🤣🤣🤣
Kumbe tuko wengi wenye hivi vimeo 😁😁😁hadi natamani kuachia ngazi.Mtu kiburiii mbayaa
😂😂😂😂😂😂😂
Kamawa kwangu
Nimbishi afu anajifanya anajua kilakitu😕😕😕
@@khadijajuma7142 hahaha piga chini
@@florabaruti8032 Soon 😁😁😁
@@khadijajuma7142 kama hujajipanga utakujakulia watu wa aina hiyo hua hawarekebishiki
Jamani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 acha tu nicheke watu wamechanganyikiwa. Pole bibie apo ukitakakuishi na huyo babu mwenye gubu lake maombi kwa sana tena yahaja 😱😂
aisha ndayishimiye hahaaaaa
Bwana harusi mkorofi
Mwanaume ana gubu huyo🤣🤣🤣pole kwa bi harusi
😂😂😂😂😂😂😂Eti bwana harusi ni muajiriwa wa serekali haki nimechekaaa😛
Hahahaaa makubwa
😂😂😂😂wametumia hekima ya jabusana hadini meipenda😜😜😜😜😜
Mhhh nimeshtuka sana nikadhni uncle wangu(mwenyekiti) ndo anafunga ndoa Mara ya pili
yan nimecheka kifala sana eti nitawaalika kwa wakati wangu
Hatar sana
Duuu hii ya mwaka ,mwanamke mwezangu mume kaonyeshaa kabisaaa hakutaki mbele za familia yako. Halafu unaenda tu, hadharani kakataa bila aibu kwenda na wewe hata ukumbini huko ndani mkiwa wawili utakuwa salama kweli??? Mmmh Mungu akulinde!
Agness Lyatuu kweli Agnes mwezangu mmh nishida
Uyo alitaka apewe ela nasimke, maana angeomba msaada hasingepewa bora michango ili afanye yake apo nymbn ni tembele na kisamvu mwaka mzima
Agness Lyatuu.
Uyu bwana harusi mwehu hazimtoshi
Bibi harusi muungwana sana, iyo ndoa itadum
Ukigundua mbwembwe za mwenzio kabla hujaingia kwake pandisha mikono angalia juu sema asante Mungu baba kunionyesha tabia ya huyu mwezangu mapena na mwache aende zake 😏😏😏
Kweli kbsa
😊😊😊😊 tuangaliage na mwanaume wenyewe
Afadhar ndoa zetu sie chai na mkate no stress
Deograsias Msolwa maamuzi tyu hata ss unaweza ukafanya hivyohivyo mkaenda kanisani na mashaidi makaludi nyumbani makala hata ugali basi
Naomba kujua bwana harusi kabila gani? chonde da Gea nataka tuu kujua.
Uwiiii Yesu, cjui huko ndan anaishi kwa style gn wanawake tunaweza tunakazi hii nayo kazi kwel
We unayehojiwa umenifuraisha sanaa safi sanaa zawad apeleke kwao
Nmecheka kwa sauti mwee bwana harusi anavituko kwakweli
😁😁😁
Huyu bwana arusi kiboko hapo ndoa ukiingia ndani ni shida
Kuna wanaume waroho. ...!..Tamaa! nikiwa mie siwezi rudi kwake. .... mitiahani kabla ndoa. .. hapo hakuna ndoa. ... mmmh tisha sana. ..
Alisema mapema jamani hawakutaka kusikia. Mimi mwanamke sikupenda mambo ya ukumbini ilinilazimu tu kufurahisha ndugu na jamaa..... kwa hiyo namuelewa kwa kias flan.
ka kachi
Safi sana, bwana Harusi tendo la Mungu ndio muhimu,yaliyobaki ni anasa tu
Kama mm siendi mbaka aseme ssbabu yeye msenge anategemea pesa za mchango mkundu wake
Wa pili kukoment leo😂 gonga like apa
Kunywa nasoda 😋
Daaa
😂😂😂dah
@@ladytatu2139 Asante mumy 😘
@Home of Delight 😂😂😂 nashanga
jamani michepuko ina nguvu sana😀
Hahahhahaha
😂😂😂😂x wang nakuombea haya yakukute.
😃😃😂😂
Aaaaaaaaaaaaaa
Clara Emmanuel hahahaha hatar san
Hata mm natamani yamkute yaani
Clara mbuz wewe
Duuhh huyo mke awe makini jmn asije yakamkuta ya Naomi yagunia mbil za mkaa
Umeonaeee😂😂😂😂😂😂😂😂hatareeeee!!!!
Mmh alitaka pesa huyo kwa wale mnaotaka ndoa muanze pimana akili kwanza
Neema Kilomoni 😂 😂 😂 kwaiyo anaweza akawa chizi kidogo
Kweli tena
Badala WACHUNGAJI kuwakimbiza kupima afya
Kuna haja wakaagiza wawe wanaenda mirembe kwanza wapewe cheti Cha afya ya akili ndo NDOA ZIWE ZINAFUNGWA 😆😆😆😆
Aibu kwl watu wamejikusanya pamoja kushuhudia jambo la heri,Jmn hili tukio si lakucheka wenzangu inatia huruma Bibi harus Kajianda vzr kufuraia ndoa yake alaf yanatokea ayo Atujui bwana harusi anamatatizo gn ni jmbo lakustahajab au uenda alifosiwa kumuoa uyo bint.
Uyo mc anakipaji genious
@@godfreymushi13 👍
Ni kweli kabisa watu watajitoa iwapo na wewe ulijitoa
Hata hivyo huyo mwanaume alioa sababu ya kutimiza hilo tendo ila hakumpenda huyo mkewe
Haki hiyo njemba itakuwa inamke mwingine. Kaona kanisani dakika sifuri. Ukumbini lazima angetafutwa. Siku mtasikia.
Changa uchangiwe😀😀😀😀 ningekuwa huyo mdada nami ningemaliza shelehe na kwenda nyumbani kwetu sio kwa mume tena
Daah huyo bwana harusi ameshindwa kuwasikiliza hata watumishi wa MUNGU
daah huyo dada ajipange kabisa maana huyo mwanaume
Mh mwanaume kaonyesha gubu mapema biharusi ataisoma me ningekataa ndoa tyu yaishe ..nafunga ndoa alfu narudi kwetu mpka ck3 makubwaaa
😃😃😃😃
Mi siwezi nifunge ndoa harafu nirudi kwa wazazi wangu uyo Mwanaume huo hampendi
Hii ndoa vepeee bado ipo hai🤣
Inaitwa sononeko hilo lilimpata Bwana Harusi
Bwana harusi alitaka ela ya mchango iwe ela ya kuanzia maisha ya ndoa
Mungu amlinde Huyo bi haruc
Haya biharusi jiandae gunia mbili za mkaaa
😀😀
Nuru issa hujayulia wewe umenifanya nicheke kwa sauti.
kwakwel
Hata mm nilijua ni bwana harusi jaman
Kaaaah yani huyo mume ni shida kabisa yani kaonyesha makucha mapemaa jamn ,,,aibu kama hii isinikutee jmn wanaumee hatar,,,kwa kweli sisi wanawake wavumilivu mm nisinge olewa kabisaa
Eva Chriss huyo ningelikua mm ningemuacha sio mume hafai
Ppppppppppppppollllllllll
🤣🤣🤣🤣🤣🤣upumbavu mtupu huyo Dada ni mjinga sana kwa nini aende kuishi na huyo chizi 🤣🤣🤣🤣🤣
Haswa
ndo hapo unapoenda kuuliwa
@@celebratingunited4064 hivi kaenda kufata nini kama sio kuchinjwa
Sophia Mose kupenda
Dudu la yuyu
Jmn kweli hekahela
Huyu mwanaume ndio wale wamagunia mawili ya mkaa 😂😂
Kwakweliii
Hahaha na kweli
Umeonaeeee
Asia Zuberi hahahaaaa
Asia Zuberi eti wa mangunia mawili
Aabarikiwe bibi harusi....mc mjanja sana nimempenda
😂😂😂😂😂
Mpaka magufuli katajwa 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyo bibi Harusi arudi kwao aache hiyo NDOA asepe zake,bado tuna simanzi na yale magunia mawili yaliyomkuta mwenzetu.Afu unakubalije kufunga NDOA mtu anaonesha jeuri kwa watu wazima na hataki kuwasikiliza hupati pic ww itakuaje huko ndani mweeeh
Duuuh,tuangaliage na wanaume wa kuolewa mimi bado nipo nipo
Da mimi nataman kuolewa jamani Mungu nisaidie nipate mme mwenye hofu ya Mungu
Big up MC👏👏👏👏
Uyo bwana harusi atakua kasusa labla mtonyo ulivyo patikana mdogo
Hata mie jmn nilijua ni bwana harusi.
Kwani ndoa za miaka hii zimepatwa na nini jamani 😌😌😌😌😌
Mmh mitihani kweli huyo mume majanga
@@sharifaabdullah6825 nimecheka eti hela apewe akaanzie maisha 😂😂
Zimepatwa na janga la upepo wa magu 🤣🤣🤣🤣
Tatizo wanakurupuka Sana wanakuwa hawajajipanga
@@gabrielmurro7134 inashangaza pale anaposema eti hela za michango apewe akaanzie maisha 😀😀😀😀😀
ukisikia gubu La baba harus ndo hili, wallah bibi harus ujipange cyo kwa mume huyo jaman khaa.
Grace Gilbert unaogopa nini tena Grace
Amma kweli huu ni mwisho wa dunia Mimi ningemwambia Padre au mchungaji avunje ndoa aaaaaa
Mh nomaa
Ingekuwa mm ningevunja uchumba tangu huyo mwanaume ameanza mauza uza yake mana anaonekana ana shida ni mkorofi pia. Na uskute ana mke mwingine huyo mwanaume so hakutaka mapicha picha
ivi mwanamke kisa ndoa still unaona matukio hata kabla ya ndoa unaona mwanaume mshenzi still unafunga nae ndoa mburaaaa mbona iyo siku ningegahiri iyo ndoa
dada kalazimisha ndoa kiukwel vitimbwi mapema hvyo still bado anafunga ndoa
Yesu ruwa ko Mangi, khaa! Hapana
Watu wengine hawapendi mambo yakuimbiana anamelemeta 🤣🤣🤣
Hakuna mume hapo aiseee ningemvulia Pete hapo kanisani woooi
Ningeenda mwenyewe ningekulaaaaaaa n ndugu zangu ingekuwa bridal shower hiyo baada ya hapo ningeenda kwetu
Huyu baba kuna jambo alilojua la bibi arusi na hataki kusema."jipange mama mapema kabla kiumane"
Mmhhh nahyuyo mke kampata mvumilivu kweli loo mie nisinge weza hata kwa nukta
Nalijua mbishi kweli mmmh muuzanguo kawr
Duh! jmn wanaume wengine buana 😏 kiukweli ingawa mim ndo mama harusi naairisha Ndoa kbs harusi kuisha moja kwamoja narudi kwetu maana sio kwa vitimbwi hivyo 😂😂😂 Pole san Mama harusi
Mmh mie sijui ingekuwaje,maan aibu 🤣🤣ila bwana harusi anavituko 😂😂
Hiyo Kali!
Tena so kidogo
Huyo mwanamke si angejitoa tu mbona anang'ang'ania ili apate ndoa tu? Cha muhimu baada ya harusi angeelekea nyumbani kwao tu!
Yesu ingekuwa mmi ningeliaaa mpk lkn ningetok hapo ningeenda kwe2
Kha uyo bwana harusi kichefuchefu jaman duuu mhhhhh
Huyo bwana ni hewa ningekuwa mie mwanamke baada ya harusi narudi kwetu tayari kashaa kuonyesha mbwembwe mwanzp baadae je? Ndoa hiyo itakuwa ya baraka kweli kila mmoja kimpango wake
Asante mc uko vizuri
Maneno ya. Kuambiwa. Epsode 57