usidhani nyongo sina ewe swahiba pulika , utendayo nayaona lakini nayalimbika. iko siku iso jina zamu yako itafika.Siku yako iko mwanagutu nimekuwekea utapogeuka upepo usije kulia(cry not right) Siku hiyo utanuna kama hujapatacheka , na mafunda kukutuna lau kama utapasuka, mito(pillows not rivers) utaitafuna uzirarue na shuka. back to chorus
"Mwanagutu" is a colloquial way to talk about someone without mentioning their name, especially in conflict(kupiga vijembe). Although in fact they know you are talking about them. It leaves you with a bit of a defense to say "oh I wasn't talking about you" if things escalates.🙃
yaani kwa kweli inaleta raha na ukumbusho bila ya kusahau kwamba, wasanii wa enzi hizo kweli walikuwa wanavipaji na walikuwa na maana ktk yale yote waloyaimba.pia hata wasikilizaji wananasihika pasi na shaka
Ahsante sana, MEMORIES lakini Jina naamini ni "SIKU YAKO IKO MWANAGUTU". Yaani kumsema mtu bila ya kumtaja jina ingawa anajua kwamba ujumbe unamhusu yeye
Lyrics, usidhani nyongo sina ewe swahiba pulika, usidhani nyongo sina ewe swahiba pulika.utendayo nayaona lakini nayalimbika,. Iko siku iso(isio) jina zamu yangu itafika. Mito(pillows) utaitafuna uziraruwe na shuka. Siku yako iko "MWANAGUTU" nimekuwkea utapo(utakapo) geuka upepo usije kulia. Shukran...!
Makutano bar uzuri. Baa ya mzee Gazabu
Daah asema siku yako ipo, wadau zingatieni maneno hayo, msiyafanyie masihara hata kidogo
Mwanaviwe jumaa nyanya wa farheen&Faisal au bi urusula Allah akurehemu
usidhani nyongo sina ewe swahiba pulika , utendayo nayaona lakini nayalimbika. iko siku iso jina zamu yako itafika.Siku yako iko mwanagutu nimekuwekea utapogeuka upepo usije kulia(cry not right)
Siku hiyo utanuna kama hujapatacheka , na mafunda kukutuna lau kama utapasuka, mito(pillows not rivers) utaitafuna uzirarue na shuka. back to chorus
Nilifikiri ni " siku yako iko mwanangu" kumbe ni "mwanagutu" mwanagutu ndo nini?
"Mwanagutu" is a colloquial way to talk about someone without mentioning their name, especially in conflict(kupiga vijembe). Although in fact they know you are talking about them. It leaves you with a bit of a defense to say "oh I wasn't talking about you" if things escalates.🙃
Hi nyimbo naipenda jmn siosiri kwakweli
Eidd bado mwbo mmoja unaitw ni moja katka dhiki
Nice taarab
mashallah...
Wow nice song 💐🙏
Shukran kaka Eddie, naomba unitafutie mwimbo wa "asiekula nanasi hajala kitu kitamu"
Hamira ukitia sana uwandazi utachusha maneno makali yana maana.Hongereni wahenga.
Ahsante umenikosha imfikie
Asnteaaaa
ni kweli wasanii wa zama hizo walikuwa wasanii, maana mpaka sasa vitu vyao bado vinaleta maana na vizuri pia hat a kwa kuvisikia
Daaah!! Kitu cha ajabu huyu ni bibi yangu mzaa bab lakin huu wimboi sikuwa nao kabsa nausikiliza leo 2021
Huyu muimbaji wa wimbo huu tuliishi nae Tanga Bara bara 6 anaitwa Bi lolita
Eddie Nassor, asante kwa hii, nimeutafuta sana huu wimbo, jina lake unaitwa Mwanagutu
Kumbe kaka upo hata huku pia?
Leo nimeusikiliza tena huu wimbo ndipo nimelisikia neno Mwanagutu. Asante tena na tena
asanteeh!
yaani kwa kweli inaleta raha na ukumbusho bila ya kusahau kwamba, wasanii wa enzi hizo kweli walikuwa wanavipaji na walikuwa na maana ktk yale yote waloyaimba.pia hata wasikilizaji wananasihika pasi na shaka
Haya ndo mambo bhana, ahsante sana kaka Eddie
Is mwanagutu!!
siku hazigandi kaka eddie
Mashalaah old is gold
Jamani Nani anajua ile taraab jina yake . Naona mambo yako huku tarabu imu weh utaumiza roho yakoo ???
Dah!!!
Zainabu wajua vizuri vya taarab,wakale wanajua
Ahsante sana, MEMORIES lakini Jina naamini ni "SIKU YAKO IKO MWANAGUTU". Yaani kumsema mtu bila ya kumtaja jina ingawa anajua kwamba ujumbe unamhusu yeye
Lyrics, usidhani nyongo sina ewe swahiba pulika, usidhani nyongo sina ewe swahiba pulika.utendayo nayaona lakini nayalimbika,. Iko siku iso(isio) jina zamu yangu itafika. Mito(pillows) utaitafuna uziraruwe na shuka. Siku yako iko "MWANAGUTU" nimekuwkea utapo(utakapo) geuka upepo usije kulia. Shukran...!
mashallah za kale tam
Asante kaka Eddie
Kumbe na huku upo kaka?:) Hahahaa
Eddie Nassor
Nipo kote kaka burudani za zamani zilikuwa zimepangiliwa sana
penda sana