JINSI ya KUTOKA NJE ya MWILI na kupaa Kwenda popote ULIMWENGUNI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2024
- #kutokanjeyamwili #mafanikio #nguvuzauniverse Fahamu jinsi ya kutoka nje ya mwili na kupaa kwenda popote. Zoezi hili lina faida nyingi sana kiroho, tazama video hii mpaka mwisho uweze kujua ni hatua zipi Unatakiwa kuzifuata ili uweze kutoka nje ya mwili.
Jinsi ya kutoka nje ya mwili
Roho
Mwili
Nguvu ya universe
This is original content created by the owner of this channel @NGUVUZAUNIVERSE
Hongera sana Sister kwa maelezo rahisi na yaliyonyooka kwa wanaoanza,kasoro Chizi tu hapa yoyote anakuelewa vizuri na kumshawishi na kila swali umelipatia Majibu On theSport..Nikupe Maua Yako…🌷💐🌷💐🌷Hili somo nimelifatilia muda mrefu sikuwahi kukutana na Maelezo na Lugha rahisi hv kote lugha ni Ngumu mpk unakata tamaa ya kujaribu.Aisee kama ni Lecture unawashinda hata Wenye PhD na Prof zao wanaokamata watu huko kwa Lugha Ngumu na kusababisha Ugumu wa Kozi
kwa Wahusika.Ila Nahisi hili zoezi linaendana pia na sehemu mtu alipo kwa maana ya utamaduni wa sehemu ile.
Asante sana 🙏 😊karibu
@@NGUVUZAUNIVERSEHivi hakuna uwezekano wa kamba kupotea yenyewe bila ya mwili wako kuhamishwa na ikitokea huoni kamba na mwili upo palepale utaingiaje sasa kwa mwili wako?
@@niymaedwin4297ukishindwa kurudi kwenye mwili wako ndio unakua umekufa hivo
@NGUVUZAUNIVERSE
He eee hiii ciwez kujaribuuuu
Hongera sana dada kwa ufafanuzi huo na kwalugha thabiti tunayoifahamu vema. Mungu azidi kukuongezea marifa dada naomba dada kama inawezekana nipate mawasiliano Yako
Daa nimependa sana hii ya kutoka njeeya mwili, mi nishawai kufanya meditation naomba mawasiliano tafadhali. Asante
Jmn natamani kupata nguvu hizi nayapenda sn maisha ya nguvu za ulimwengu
Tufanyeje my dear tuanzishe chama na mimi napenda sana kumiliki hii nguvu yani wachawi watanikoma
Somo zuri sana mwalimu, huwa natamani lakini sijawahi kufanikiwa, ila meditation huwa nafanya
uwa naona rahisi ukiwa umelala sio kukaa fanya ukiwa ume....relax viungo vyako vyote
Nimependa sana hii lakini inatisha kdg. dada naomba niwe mwanafunzi ili nijue zaidi niwe nafanya hivyo asante sana
asante kwa vidio la leo sasa nakugeuza mawazo kuwa kweli.
Asante universe maana spell ya yai nimesafisha nyota yangu na kufanikiwa
Ahsante sana kwa maelekezo, Naomba niwe miongoni mwa wanafunzi wako.
Karibu Sana
🙏
Naomba niwe mwanzafunzi wako nipend hili somo@@NGUVUZAUNIVERSE
Shukrani sana dada Kwa mafundisho nina imani nitaweza ❤❤❤❤❤❤
Asante sana kipenzi ,sasa ukitoka ukakutana na wachawije hawawezi kukudhuru
Hakuna atakayeweza kukudhuru
Mi cwezi, naweza naogopa sana 😢😢
Dada asanteeeee kw masomo mazuri. Tunaomba utuweke kw group la wasap
Asante sana kudufundisha sasa mimi niliwahi kufanya hivo nikiwa nimelala mwili ukaanza kubadilika nilitegemea sana majini alianza kuongea
Mafudisho mazuri sana dada
Asante dada ubarikiwe mungu akupe san
Amen 🙏 ❤️
Good
🤝❤️
Yes it so good
Asante mwalimu... Nakupenda
Hata mimi nilishafanya zoezi karibiya week tatu sasa lakini nikipata vibration ndo nakwama hapo hapo naomba msaada wako teacher
Mungu akubariki zadi.,
Tuliwahi kuongozwa na mwalimu mmoja tukatembelea future. Je ile ya kutembelea future ni sawa na hii au zina tofauti?
Hii ni kutoka nje ya mwili
Asante sana kwa mafundisho mazuri naomba unisaidie namba yako pia naomba kuwa mwanafunzi wako dada
Mmmh sio kukufuru MUNGU hivi kweri wajameni
Asante mpenzi
Hii kitu kama kinanipitiaga tena udingizini
Aiseee Maya una ufahamu sana
Asante kwasomo
mm naomba unisaidie mazoezi ya kila siku nipate kuweza kujitoa kwa wepeesi
Mmmmmmmh mchezo hatari sanaaaaaaaaaaa huu kuufanya tuendelee na somo lingine mwalimu😅😅😅😅
dada nakukubali sana
samahan dada! Wewe ulitumia muda gani kujiunganisha kiroho, yani kufungua jicho la tatu??
Daah akuna mwanadamu yeyote yule ulimwenguni anaeweza kutoka nje ya mwili ukiona nafsi yako ipo nje ya mwili basi ww ni mfu ww unakua unatawaliwa na majini na ndio unaona upo nje ya mwili
Asante kwasomo zuri ila ninaswali mfano umeshatoka nje ya mwili ukitaka kurudi unasema nataka kurudi kwenye mwili wangu ndio unafuata iyo kamba?
Ndiyo,itakuongoza mpaka mwili wako ulipo
Mbona hii inaogopesha
Astro projection au sio
Mh naogopa sana siwez
Nzuri
Mimi huwa najipata wakati nimefika tu kwa kitanda,,, nahisi hewa inapita juu yangu then boom,,,,naanza ku vibrate an siwezi soga aki....i feel as if my divine me is moving out,,,i once felt it and relaxed then nkiwa tu hivo life but my eyes closed if found my self in an watery vesel high in the air....i looked back and wondered where am i??? Kuwaza hivo nikaogopa i felt something slaming back to my body nikaamka mara moja
hizo faida zote nimezipenda dada sasa tutawasiliana je
Kufanikiwa inatakiwa ufanye kila siku au vipi?
Mara yakwanza nampaka sasa haijanitokea tena nikiwa na umri mdogo nilijikuta nimepaa nikatua mbinguni nikakuta maisha yahuko nafsi huelea juu ya mabustan mazur na mioyo ya furaha isio na kinyongo, na nafsi za mbingunni hutambuana kwa hisia za uwepo wa nafs fulan chini ya mabustan mazur yaliojaa furaha bila mawazo yanayoleta machukizo, bali huwaza nisayari gan nafsi inataka kutua,
Naitaji namba yako kuna swali la praivet naitaji kukuuliza,,
Amina
Duhuuu natamani lakini sielewi jamani
Mimi naomba huo uwezo niende bank kuchukua hela
samahan dada! Wewe ulitumia muda gani kujiunganisha kiroho, yan8 kufungua jicho la tatu??
Mimi sijawahi kufanya hivyo ila nikilala tu kabla sijainzia najiona niko sehem mbalimbali
Wah hii nzuri but nimeogopa
hili nizoezi nzuri sana lakini ni jambo lakufanya usiku sababu muchana unaweza uka hamushwa na unabaki bila kurudi,
mimi nilikuwa nikijaribu zoezi hili nikaishiya kula lakini nitaendeleya kulifanya mara kazaa sababu zina mafaha sana
umeambiwa fanya kwenyew chumba cha pekeako funga na mlango
Niko tayari kupokea Kazi
Hiyo inaitwa meditation kibiblia walio jifunza mafundisha ya maisha ya kiroho inaitwa kukaa ukimya, na tunajifunza sana hilo kuwa ukitaka kujiimalisha zaid na kuwa karb na mungu kiroho meditation n muhim tena muda wa medittion unapata maono makubwa kuliko usivozani, swala la kiroho linahitaji utayari mkubwa
tunaita sala yaukimya
Nimependa Sana naanza kupiga mazoezi
Duh unayosema niyakweli
Niende nje ya mwili
Nilishawahi kufanya hilo zoezi nilifundishwa na mwalimu wangu tena alikua anatufundisha chuo ila anaujuz wa mambo hayo, Inaitwa Astra projection harafu kuna Lucid dream ndoto za maono yani hadi raha sema, iyo astra projection inatakiwa uwe makini sana na uwe sehem tulivu maana matokeo yake ni hapo kwa hapo na ukiwa na nguvu za kiroho ndan yako yaani kama wewe sio mchafu kiriho litafanikiwa vzr na utaona uhalisia wote mimi kabla ya kufanya ivyo mwalimu wangu aliniambia ili nione matokeo vzr na kuthibitisha kabla cjaanza kufanya ninuie nataka kwenda wapi...aiseee nilivyonuia tu dakika tano tu nikatoka aisee,, nilicho kiona yaani uhalisia kabisa...Daaa masomo haya ya kiroho ni mazuri ila uwe na utayari na uthubutu maana hata hawa manabii wanafanya sana mazoezi haya.
Yes Chenye utawaza ukiwa kwa vibration kinatokea mara hio hio....it might huwa naogopa sana hizo vibration but God has helped me overcome...we are more than we think
Mnamaanisha hili zoezi ni la ukweli na linawezekana, kwangu ni Mara ya kwanza kuskia jambo Kama hili kua linaweza fanyika
Asante kwa maoni yako🤝❤️
@@diagaplatel2601 ww nd mim
@diagaplatel2601 yes it's true,,,lakini si kila mtu anawezafanya,,,kwa sababu mm sifanyi meditation lkn vibration hujileta zenyewe nkiwa kwa kitanda
Samahan dear Mimi niliwah kufanya ivi nilipigwa kibao na alie nipiga sioni😭😭😭mpaka sasa naogop
😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂pole😅😅
Nacheka maana 😅😅😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka kwa sautiii mtakufa
Nzuri lakini naogopa
😃Usiogope
Dada naomba no zako plz❤naitaji kua mwanafunz wko
Nakuomba mama itisha mkutano laivu wa wanagrup hili ili utufundishe laivu maana nina maswali mengi lakini nashindwa kuuliza , au naomba namba yako ya simu ili tuongee laivu
Hataree
hapo kwenye kukatika kamba ndio kimbembe..... kwa wale wenye panya ndani mcjarbu ili zoez
😂😂😂
😂😂
🤣🤣🤣🤣panya is typing and dereting😂😂😂
Nimependa somo zuri inakuwaje nikiludi nijiunganishaje
Sikiliza mpaka mwisho
Nimependa natamani nifanye hivyo
Naomba kujua je Kuna madhala ikiwa Nina mke na watoto
Hapana
Sasa hiyo Roho inaenda wapi
Ahsante sana dada kiukwel nimekuelew sana ila ukisha Toka nje ya mwili unarudije??? Na kama ukikosa pumzi kama uyo mwenzetu kwenye comment unairudishaje
Jinsi ya kurudi unafuata silver cord, ndo itakuongoza mpaka Kwenye mwili wako
mm naomba namba zako mana siku nyingi nazitafuta
Mwl wetu kwann hatoi namba za cm Kila anapoombwa??
Nikweli usemayo
Dada samahani hapoutakuwaumefumba macho au
Dada me nataka nifanye hilo zoez mpaka nifanikiwe
Nakutakia Kila la kheri 🤝❤️
Mim sijawahi kufanya hili ziezi lakin mara nyingi huwa natoka nje ya mwili nazunguka sehemu zote nazozitaka halafu narudi kulala lakin pia huwa nakutana na watu naowafahamu wakiwa wanafanya shughuli zao asa sijui kama huwa wananiona
we mwanga sasa
Mimi mwenye atafanikisha aniambie ndo nijaribu😊
M najua wachawi et ndo wan sifa hz
Naendelea kupenda mafundisho yako
Mmmmmh jmn ukitoka kuna kurud kwel😂😂😂😂😂😂
Naomba namba yako Dada nitajifunza mengi kutoka kwako
Hii dunia ina mambo jaman
Naogopa ni atarr
Sorry mi naswali kidogo kuna utofauti gani kati ya kifo na astral projection?
Mana zote ni separation kati ya mwili na nafsi.
Mtu akifa roho hairudi tena kwenye mwili
Hapo umegusa
Kama itakupendeza unipe number zako nina mengi yakukuuliza na pia nimevutiwa na mafundisho yako
nikitaka kurudi narudije Sasa mpendwa?
Kila kitu nimeeleza kwenye video, nisikilize
Nimependa ila naogopa nisije nikazima moja kwa moja
Huwezi kuzima
Dadae naomba unintume namba yaako nakuku bari ukovzuri
Dah kuna watu wana raha,,sister ungekuwa jirani yangu ungenichoka ningejifunza mengi zaid ya haya
🤝❤️ karibu sana
@NGUVUZAUNIVERSE ungenipa ata namba ya Whatsapp ukawa unanifundisha Kwa video call
Samahani naomba kuuliz hap. Kama ukikutana na mtu ambae nae yupo katika mwili wa kiroho. wakati upo nje ya mwili wako. Je anaweza kukata hiy SILVER CODE. yak kutokea katika mwili wako wa kiroho
Sasa mutuhaezikufa
Mimi hua inanitokea yenyew tu hii hali
Je ukiwa nje ya mwiri utawaona wachawi..!! Na ninavyo sikia mchawi akigundua umemuona razima akujaribu..! Hii imekaaje sister
Ndio unawaona na watakuogopa saanaa
Mimi ni wachawi ty nawaonaga na hua nawaambia nimewajua ila wanaficha sura
Chochote utakacho kuona utaona
@@NGUVUZAUNIVERSE aloooo
sester we uliona nini zaidi kilicho kufutia uko nje
Sasa kurudi kwenye mwili nafanyaje? Baada ya kuifata ile kamba
Itakuongoza mpaka mwili wako ulipo
Hii hali ilinitokeaga sana utotoni,kila kitu kinakuwa kizito mwalini basi mimi naogopa akili yangu inaniambia Doreen ndio unakufa sasa,basi huwa napambana sana kutoka Kwa iyo hali paka nikija kuamka naweza tumia lisaa.sikujua Kama maana yake ni hii .
Yemwe yemwe mimi hya nafanikiwa usiku ila nguvu ninayotumia kutoka kule ni kubwa baada ya hapk nitaumwa siku 3😂😂😂😂😂
Naomba kujua ikiwa na hitaji kua na pesa nitafanyaje
Fanya spell ya pesa
Kwahiyo kutoka kwa mwili huwezi ukaenda kama bank ukachukua pesa
😂😂😂😂😂
@@SwaleheChege-ss5lc😂😂😂😂
@@SwaleheChege-ss5lc huo utakuwa ni ujambazi
Mimi hua inanitokea yenyewe hiyo Hali nimewasimulia watu wengi wanasema kuna wachawi ndo wananifanyi
a hivyo
Hili zoezi huwezi fuatiliwa na wachawi kweli 😂
😂😂
hahahaha
Malanyingi uwa nikiamka najikuta siwezi kuinuka kuongeya wala kujigeuza ila mtu akiogeya namsikiya nanikijalibu kuongeya siwezi uwa naogopa sana
Usiogope
Yan mm Kila ninapo Fanya naishia kwenye vibration na mpaka vibration inapotea nikifumbua macho bdo najikuta nipo vile vile sasa kipi ninakosea hapo
Mimi nikivibrate siwezi kurudi yani hua naogopa hadi napiga yowe ila sirudi hadi nipigwe tukio huko duniani ndo niweze kurudi kuna siku nilifanikiwa kuongea na mchawi ila sikumfahamu kabisa
@@3leggedbird222🤣🤣🤣🤣jmn nasom comment za wat nafurahi mwenyew
Mm nilijaribu nikashindwa
Endelea mpaka ufanikiwe
@@NGUVUZAUNIVERSE huwa najipata naota vitu viko halusia kabisa
Nakurudi tunarudi vip ?? Ao unataka tukufe😂
Kwani unaskia njaa nikiwa nje yamwili
Matajiri wanaenda kufanyia hotelini.
Nyumbani risk ni kubwa
Umesema kwamba mtyu akitingisha mwili wako ndo bas tena we unapotelea huko uwezi rudy ko mwili wako ulioacha kitandani hauwezi kuamka tena yaan unakua umeshakufa???
😂😂😂😂
Ndiyo