Dada kwa kweli sijuwi nisemeaje kwa kuwa nashukulu kwa kujuwa iyi Chanel yako. Nazidi kujifunza mengi gupitiya mafundisho yako. Ubalikiwe sana dada 🙏🙏🙏🙏🙏
GOD BLESS YOU KWAMAFUNDISHO MAZURI SANA. UNAFUNDISHA UHALISIA ULIOPO KWENYE MAISHA NIKWELI KABISA MAFANIKIO HAYAJI KWAKUWA UNAJITESA SANA BALI KWA IMANI YAKO.. ATAKAEKUELEWA VIZURI TAYARI AMEFANIKIWA
wewe dada mwenyezi mungu alikuleta kwamakusudi utusaidie sisi tulie gizani mungu akuweke miaka mingi sana. mafuzo yako yamenipisha ambako sikuamini nikajiuliza. ivi imekuaje Hadi nimefika hapa. ambako nilikua nikiamini. kua tayali nimepata. , ndani ya mwaka Jana Leo nimekipata bila kutalajia mafuzo yako Asante sana. umeniokoa dada sana tu
Napenda lessons zako Dada, you're a great teacher, tutor, and mentor. With excellent elaborative and eloquent skills. I love Nguvu za Universe Channel💌
Sister I salute you, namshukuru mungu kwa kunifanye nikufahamu, taangu nianze kufatilia mafundisho cjawaikujutia ,kwakwel naenjoy maisha ,nafanikiwa kila kukicha
Mimi nitaji mkubwa duniani nitajenga nyumba ya gorifa nitamiliki mashamba makubwa nitakuwa mfugsji mkubwa ninabi az shara kubwa Asante nguvuza ulimwengu na ya uhumbaj8 ninamilikigari lakifahari
Mimi ni tajiri mkubwa sana apa duniani Mimi siyo masiki nitajenga majumba ya kifahari nitanunua magari ya kifahari nakumili mashamba MAKUBWA sana Mimi na watoto wangu wote na wajukuu wangu wote kupitia nguvu za asili nguvu za ULIMWENGUU AMEN
Mimi Ni tajiri mkubwa Sana apa duniani Mimi siyo masikini nitajenga majumba makubwa na magari ya kifahari na mkulima na mfugaji mkubwa sana na familiya yangu kwa Nguvu za ulimwengu amuna
Mimi ninajiamini kipesa mafanikio yangu yapo yanakuja na ustawi wangu haunakikomo.maana nguvu za ulimwengu ulioko ktk pembe kuu nne zadunia zipondani yangu Amina
Mm ni tajiri mkubwa zaidi duniani mm nitamiliki nyumba na gari la dhamani pia nitakuwa na saloon yangu kubwa na nitaajiri na wengine pia nitaibadilisha familia yangu Amen.
Ninae kiu sana ya kubadirisha maisha yangu Mimi ni Mmoja Dunia nzima na wakipekee sana ntafanikiwa maishani na ntakua na Familia Bora yenye Imani thabit Mungu niongoze naamin ntashinda katika jina la YESU Amen
Ubarikiwe dadaangu mzuri mzuri Allah akupe maisha marefu sana pia ubarikiwe mafunzo yako moja kwa moja yananiaminisha kwamba mimi sio mtu rahisi nimebeba nguvu nyingi tena kubwa hapa duniani inshaallah mimi nitajiri mkubwa ❤❤❤
Nitamiliki mali na nyingi Sana, nitasaidia wahitaji ktk utajiri wangu.majumba, magari, ardhi ,na mifugo vitakuwa ni sehemu ya utajiri wangu,.Maarifa ya Dunia na Nguvu ya ulimwengu,vitanisaidia.
Nastahili Mafanikio makubwa katika maisha yangu, Nastahili wingi wa pesa katika maisha yangu, Nastahili Faida kubwa katika biashara zangu, Nastahili Furaha Amani Upendo na utulivu katika Maisha mimi na familia yangu, Mimi Ni Tajiri, Mimi ni mshindi Katika kila kitu lolote ninalolifanya linaniletea mafanikio makubwa sana.. Pesa zinanifuata popote nitakapo kwendaa.. Kwa uwezo wa mmungu na kwa uwezo wa nguvu za Ulimwengu Asante sana dada yangu mungu akubaliki sana sana❤❤❤
I love ❤❤ you so much mdada kwa mafundisho yako mazuri Mungu akubariki sana na uishi miaka100 Amina
Woooooh Amina! sanaaaa ,,,am so happy for you 🙏😊❤️
Naomba namba zako tafadhali
🍀🍀 haya maua yanapatikana wapi?
Nimitz Namìñjñèñoile
Mm ni tajiri namiliki mali nyingi sana nanitafanya makubwa mengi sana
mim ni mkubwa napokea nguvu za universe asante madam ubalikiwe sana ushanitoa kwenye umaskini ❤❤ i love madam
Mm ni mtajari sana katika dunia hii kwa sababu naamini mawazo makubwa niliyonayo yatatimia kwa jina la yesu kristo amen and Amen 🙏🏻🙌👏🏿❤
Kupitia hii video nimefanikiwa nimefunguliwa na nimetajirika In Sha Allah Asante nguvu za ulimwengu
🤝❤️Hakika
Ahsante sana kwa fundisho nzuri kama hili natarajia tena wakati mwingine. Sasa nna imani mi ni tajiri mkubwa sana
Asante sana sister umenipata njia ya kuwa tajiri mkubwa sana hapa duniani
Dada kwa kweli sijuwi nisemeaje kwa kuwa nashukulu kwa kujuwa iyi Chanel yako. Nazidi kujifunza mengi gupitiya mafundisho yako. Ubalikiwe sana dada 🙏🙏🙏🙏🙏
🤝❤️
Mimi ni tajiri sana apa dunian🎉i mimi nina pesa nyingi zaidi apa duniani mimi nina uwezo wa kumiliki gari nzuri sana apa duniani kwa nguvu za universe
GOD BLESS YOU KWAMAFUNDISHO MAZURI SANA. UNAFUNDISHA UHALISIA ULIOPO KWENYE MAISHA NIKWELI KABISA MAFANIKIO HAYAJI KWAKUWA UNAJITESA SANA BALI KWA IMANI YAKO.. ATAKAEKUELEWA VIZURI TAYARI AMEFANIKIWA
wewe dada mwenyezi mungu alikuleta kwamakusudi utusaidie sisi tulie gizani mungu akuweke miaka mingi sana. mafuzo yako yamenipisha ambako sikuamini nikajiuliza. ivi imekuaje Hadi nimefika hapa. ambako nilikua nikiamini. kua tayali nimepata. , ndani ya mwaka Jana Leo nimekipata bila kutalajia mafuzo yako Asante sana. umeniokoa dada sana tu
Karibu sana mpendwa 🤝❤️
asante mungu akutunze miaka mingi
Napenda lessons zako Dada, you're a great teacher, tutor, and mentor. With excellent elaborative and eloquent skills. I love Nguvu za Universe Channel💌
Napokea nguvu kubwa ya mafanikio ameni
Natamani sana kufanikiwa kwa nguvu ya ulimwengu
Utafanikiwa,amini hivyo 🤝❤️
Yes Mimi tokaleo Mimi nitajiri mkubwa hapa ulimwenguni Amin
Amen. Mimi ni tajìri. Nina fedha,, nyumba na gari la kifahr.kwaji. KWA JINA LA YESU.
Sister I salute you, namshukuru mungu kwa kunifanye nikufahamu, taangu nianze kufatilia mafundisho cjawaikujutia ,kwakwel naenjoy maisha ,nafanikiwa kila kukicha
Wow! hongera sana mpendwa 🤗❤️
Mimi ni Tajiri na ninapokea yaliyo mazuri katika ulimwengu,❤🙏
Mimi ni tajiri mkubwa sana ulimwenguni katika jina la Yesu.
Mimi ni mkombozi wa famila ee mungu nisaidie na nguvu za universe
🤝❤️
Mm nimshindi katika Kila Jambo kwa Jina la YESU🙏
Shukran sana mawazo mazuri nitayafanyia kazi ishaallah.
M.mungu atupe mafanikio mema na atupe neema.
Ahsante ubarikiwa mafanikio yamenifata kilamahali
thank you so much, hakika nimejifunza mengi kutoka kwako bila shaka atanisaidia kufika mbali katika safri hii ya maisha. asante san
Mimi nitaji mkubwa duniani nitajenga nyumba ya gorifa nitamiliki mashamba makubwa nitakuwa mfugsji mkubwa ninabi az shara kubwa Asante nguvuza ulimwengu na ya uhumbaj8 ninamilikigari lakifahari
🤝❤️
Mm ninanguvu sana nafanya kazi nzuri mm sio mvivu mm sio mgojwa naamini nguvu ya umwengu
Nashukuru Sana Kwa mafundisho haya. Naamini Sana kuwa Mimi ni tajiri mkubwa duniani. Barikiwa Kwa kazi nzuri unalolifanya. Nakupenda ❤️
Mungu Akubariki sana sana my sister
Asantee nguvu za ulimwengu, kwa kweli nuru naona. Umenifunulia ufahamu wangu wa akili na nafsi. Ninauona njia.
Mimi namini kupokea katika Nguvu za universe,,, pesa,,,yumba,,, ngari,,, maisha mazuri
Nashukuru sana Mungu muumbaji wa vyote ni aamini ktk nguvu za ulimwengu
Mm tajiri mukubwa sana ulimwenguni huu
Happy life with my past, present and my future relatives, seeing Afrika bcm superpower
Ni kweli nimeamini hakuna kisicho wezekana hapa Dunia ni Mimi naelekea kuwa Mmiriki wa Pesa nyingi na Majengo mengi sana Amin
Mimi ni tajiri mkubwa sana apa duniani Mimi siyo masiki nitajenga majumba ya kifahari nitanunua magari ya kifahari nakumili mashamba MAKUBWA sana Mimi na watoto wangu wote na wajukuu wangu wote kupitia nguvu za asili nguvu za ULIMWENGUU AMEN
🤝❤️
Mimi ni tajir ninamagar naninanyumb nzur mm sio maskin mm ninapesa naamini nguvu ya ulimwengu kunitendea
Mimi nitajiri kabisa nanina pesa nyingi sana
Mimi Ni tajiri mkubwa Sana apa duniani Mimi siyo masikini nitajenga majumba makubwa na magari ya kifahari na mkulima na mfugaji mkubwa sana na familiya yangu kwa Nguvu za ulimwengu amuna
Mimi ni mshindi na nina thamani kubwa sana hapa duniani
Mimi ni mtu mkubwa sana hapa dunia. Asante Nguvu za Universe kwa kunifunza
Mi ni tajiri na huwa nahic ivo mara nyingi kwa nguvu ya mungu nitavuka..amen
Mimi nitajiri mkubwa sanaa hapa Duniani nanitamiliki manyumba magari na hella nyingi sana hapa duniani nanina Amin kupitia nguvu za ulimwengu 🙏🙏
Napokea utajili
Mimi ni tajiri mkubwa na mwenye kufanikiwa zaidi maishani mwangu mwote. Imani yangu iko kwa mwenyezi Mungu. Amina, Amina, naAmina.
May God give you enough years to continue to learn and be winners every day
Mimi ni tajiri, ni mshindi, asante sana Dada kwa elimu ya metaphysics
Mimi ninajiamini kipesa mafanikio yangu yapo yanakuja na ustawi wangu haunakikomo.maana nguvu za ulimwengu ulioko ktk pembe kuu nne zadunia zipondani yangu Amina
Naamini katika nguvu Za kilimwengu mmi sahii nitajiri mkubwa sana katika huu ulimwengu mungu wangu nijaalie in shaa Allah
Ahsante sanaa kwa ushauri mzuri nikuelewa tena kwamakini
Mm ni tajiri sana na Nina gari nzuri Nina pesa nyingi Nina nyumba nzuri nimebadilisha familia yangu napendwa sana na bahati mose fungasha
Mimi nitajiri mkubwa tayari katika jina la yesu
Mimi nitakuwa tajiri haijawahi tokea kwenye ukoo wetu, na nitawasaidia ndugu zangu watakao itaji msaada kwangu. 🙏Amina 🙏.
Dada sasate Kwamafunzo yako 'Mungu akubariki sanaa
Mimi ni mtu tajiri mkubwa sana hapa Duniani katika jina la yesu christo
Hakika nina shukuru sana Dada yangu. Hapo nimeamini kwamba mimi ni tanjiri mukubwa sana hapa ulimwenguni pote.
Lo! Dada Somo Zuri Sana. Endelea Vivyo Hivyo Coz Ushauri Wako Hapa Umewabadilisha Wengi
Asante sana kwa kunipa somo hili hakika sasa mm nitajiri na nitafanikiwa
Mm ni tajiri mkubwa zaidi duniani mm nitamiliki nyumba na gari la dhamani pia nitakuwa na saloon yangu kubwa na nitaajiri na wengine pia nitaibadilisha familia yangu Amen.
Ninae kiu sana ya kubadirisha maisha yangu Mimi ni Mmoja Dunia nzima na wakipekee sana ntafanikiwa maishani na ntakua na Familia Bora yenye Imani thabit Mungu niongoze naamin ntashinda katika jina la YESU Amen
Mim ni wa thamani sana. Mwenye Furaha na afya njema . Mm nitajiri mkubwa sana, Namiliki kila kitu..... Na nina mafanikio ya ajabuuuuuu
Mimi ni mwenye kufanikiwa, na nitafika mbali sana
Niko tayari
Namushukuru Mungu
Am a billionaire, nia ninayo uwezo ninao na uthubutu ninao💪
Mimi ni Tajiri sana aiseee!!! Nguvu za Universe zimenifanya kuwa Tajiri, najivunia sana utajiri wangu!
Ahsante Kwa Elimu ubarikiwe sana Rafiki yangu Kama Ujaolewa Mimi naweza kukuoa wallah ❤ Mwanamke mwenye akili ya ziada utanifaa maishani ....
Mimi ni mshindi katika masomo yangu
Ubarikiwe dadaangu mzuri mzuri Allah akupe maisha marefu sana pia ubarikiwe mafunzo yako moja kwa moja yananiaminisha kwamba mimi sio mtu rahisi nimebeba nguvu nyingi tena kubwa hapa duniani inshaallah mimi nitajiri mkubwa ❤❤❤
Amina 🙏❤️
Mimi ni tajiri sio masikini nitamiliki majumba makubwa na magari ya kifahari
Asante sana kweli dd kutuelimisha sana mimi tadjiri mkubwa zaidi hapa duniani kweli🎉🎉
Mimi ni mfanikiwa sana kupitia nguvu za ulimwengu🎉
Mm ni tajir mkubw ktk jina la yesu ameen
Mimi ni tajiri mkubwa sana.
Mimi ni tajiri mkubwa sanaa hapa duniani, na Nyumba nzurii, na pesa nyingi,na gari Nina amani tele katika familia yangu
Nakupenda mno Mungu akuinue sana
Kwa nguvu za ulimwengu mimi ni tajiri mkubwa sana
Nitamiliki mali na nyingi Sana, nitasaidia wahitaji ktk utajiri wangu.majumba, magari, ardhi ,na mifugo vitakuwa ni sehemu ya utajiri wangu,.Maarifa ya Dunia na Nguvu ya ulimwengu,vitanisaidia.
Merci nikweli maman
Mimi nitamiliki kila aina ya maisha mazuri na ya furaha na familia boraa kabisa
Mimi nataka niwe na utajiri nijenge nyumba nzuri na Nishi na watu vizuri na pia ni saidie wale hawana uwezo inshaah inawezekana kwa nguvu za ulimwengu
Mimi ni tajili mkubwa hapa Duniani nitamiliki majumba na magari na pesa nyingi sana. Amen 🙏 🙏 🙏
Mimi ni tajiri mkubwa sana na ninataka kujenga nyumba nzuri sana
Mwenyezi Mungu akuwezeshe
Mimi ni mtu mwenye mafanikio makubwa hapa Duniani❤
Mimi ni tajiri na kiongozi nitakaertambulika duniani
Nastahili Mafanikio makubwa katika maisha yangu, Nastahili wingi wa pesa katika maisha yangu, Nastahili Faida kubwa katika biashara zangu, Nastahili Furaha Amani Upendo na utulivu katika Maisha mimi na familia yangu, Mimi Ni Tajiri, Mimi ni mshindi Katika kila kitu lolote ninalolifanya linaniletea mafanikio makubwa sana.. Pesa zinanifuata popote nitakapo kwendaa..
Kwa uwezo wa mmungu na kwa uwezo wa nguvu za Ulimwengu
Asante sana dada yangu mungu akubaliki sana sana❤❤❤
🙏❤️Amen
Mimi nitajili ninanyumba zuri sana ninapesa nyingi sana ninagari zuri sana mimi nimtu mkubwa sana hapa duniani
Woow somo zurii naona kufanikiwa...ivi ulishawahi kufundisha jinsi ya kufungua jicho la tatu?
Nitafundisha
Am rich from today I beliving ❤
Mimi ni tajili mukubwa duniani namiliki mabilioni ya hela sh asante dada kwa kunielimisha❤
Mimi ninakushukuru sana umenito kwenye kiza,kwa sasa nina Nuru.ubarikiwe sanaa
Unayofundisha ni kweli tupu Barikiwa kwa utajiri wa roho safi na tajiri
Amen 🙏❤️
Mimi ni mtumishi wa MUNGU MKUBWA SANA HAPA DUNIANI NA NI BILIONEA.
Mama mina shukuru kwa iyii maoyoo Na mafundisho kwangu
Mimi ni mtu mkubwa duniani mimi ninamiliki pesa nyingi mimi nimshindi katika maisha yangu mimi ninapesa nyingi
Amina. Katika jina la Yesu hakuna kinachoshindikana.
Nina Mafanikio! Nimefanikiwa.
Nami nitanjili duniani pote naniamini kwanguvu za Universe 🙏
Mawazo yangu yanatimizika kwa asilimia 100%kwa maendeleo kiuchumi
Mimi namiliki pesa nyingi na naweza kununua gari ya aina yeyote Inshaallah
Mimi ni tajiri mkubwa sana apa duniani kwa nguvu za universe
Mimi nimushindikabisa👍
Mimi ni tajiri mkubwa sana hapa Tanzania,nitakuwa mfanya biashara mkubwa mimi nina pesa nyingi nafanya biashara kubwa,
Mimi ni tajiri mkubwa inshaallh
mimi ni tajiri mkubwa sana
Mimi ni tajiri sana hapa duniani kwa uwezo wa Mungu mafanikio yaja mbele yangu.
Am the winner,soon namilik8 utajiri kuanzia sasa,thanks God❤❤❤.
Mimi ni tajiri kwa Imani nitayafanikisha Yale yote ninayoyatarajia kuyafanya hapa Duniani