#LIVE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- Karibu utazame chaneli yako pendwa ya Star TV Africa.
Jiunge nasi kupata habari za kitaifa na kimataifa, makala, burudani na habari za michezo katika nyanja zote!
Kutoka Ilemela - Mwanza, Tanzania mpaka ulipo, TUNAKUFIKIA!
Star TV Brightens Your Day !
Heche ni SMART sana
Ukiona hii sms like unikumbushe nije niangalie Tena
Njoo 😆
Inaleta afya kwa taifa kwa mida halo kama hii. Ahsante Nyanda.
Kwa nini mnamdhalilisha huyu naibu waziri?
Moleli mwepesi sanaaaaaaaa
Kaaa mbali na hecheeee
Heche yuko vizur sana anaongea vitu kwa undan sana
Heche🙏🙏💥
Heche's intellect is beyond the bald man with the suit
Mtangazaji ulinganifu haupo hata kidogo!!Sijajua vigezo vilivyotumika kuwakutanisha hao watu,basi itoshe tu kusema Asante.
Hakuna CCM yeyote anaeweza kubishana kwa hoja!
Heche big up
Hamna kitu kibaya ndugu mtangazaji umekifanya kumleta chizi studio aongee na mwenye akili nyingi heche john A.K.A genius!!!!!we angalia hicho kipara utajua nini namaanisha 😄 mh aweso ni mtu smart sana 👏 lkn huyo kichwa laini hamna kitu hapo🙌🤸♂️🏃♂️
Tena 🤣😂
Heche is far away from that person heche is smart and has exposure
bwana awabariki sanasana AMEN. SI MJADALA MZURI SANA,MOLLEL HUYO JAMAA SI W uwezo wake.
Heche wewe ni mwamba nakuona mbali baba
Pia nyanda Leo umeferi umemleta mtu wa chekechea kujadili hoja ,mm sikutegemea mawazo (hoja )za naibu waziri kuwa za kijinga kama za mtoto wangu Clayton (5yrs)
Heche safi
Heche ni heavy weight Mollel ni light weight
Mollel mwepesi sanaaa kama karatasi
Km huyu ndio wazir tunamtegemea atuvushe sehem wallah tunajidanganya, wenye akili hawapat nafas ya kutuongoza ila wenye uwezo mdogo ndio hupata hizo nafasi sielew wanapataje hizo nafasi
Kujuana kwingi
heche ure very smart upstairs 🔥
Dah nitapata shida sana kuwaeleza wajukuu zangu kuwa huyu alikuwa Naibu waziri
Awesso yupo vizuri sana
Hapo mwishoni Heche umeua😂😂😂Eti pesa za serkali wamezifanya kuwa za Samia
Akitaka kulamba viatu anasema Samia kaleta hiki
Akitaka kujipendekeza anasema Samia kaleta hiki👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Heche Akili Kubwa Sana
😂😂😂
Heche baba
Big up sana Heche
Good boy Heche my brother
Hoja za ccm haziwezi kwa sasa haziwezi kumshawishi hata mtoto mdogo anaefikiri sana. Ila wale tu waliokunywa maji ya bendera.
Shikamoo Heche
Nakubaliana na Ndg Heche, tatizo ni UONGOZI, hata Mwl Nyerere alitanabaisha mambo 4 ili tuendelee; Ardhi, Watu, Siasa safi na Uongozi BORA!!
Heche mmoja ni ni sawa na wabunge wote wa ccm na samia kama motisha
100%
💯
Heche unatisha we noma
Nyanda watu kama moreli unawatoa wapi? Mbona empty set
Amesema trilioni mi sanu... 😂😂😂😂😂
Dah! Waziri anasema kwenye halmashauri moja wamepeleka X-ray zaidi ya 200? Ina maana tuseme halimashauri ina vituo vya afya 40 kwahiyo kila kituo cha afya na hospitali wamepeleka X-ray 5
Hiv hizi ndizo hoja za naibu waziri?
dah
huyu Mollel alipataje unaibu waziri? He is very shallow badala ya kujikita kwenye hoja yuko speed kuattach mtu....hovyo kabisa.
Jamaa anauliza kwann miaka 61 ya uhuru mnajadili mambo ya kawaida kuhusu umeme, vyoo, zahanat nk mollel analeta siasa hapa
Molel naona hajielewi
@@khalidimsuya4165 molel anakula mavi sio bure
Naibu waziri mweupe sana, hamna kitu 😁
Uwiii dadave, uwi nene nyenyenyeeee!
Alloyse nyanda unamuandaa John heche kuwa rais
Aweso yupo vizur ttzo yupo ccm ila mollel hapana nimemkataa, ni muongo, yaan hana vision huyu sio kiongozi atakayetuvusha
Daah 🤣🤣🤣nacheka kama mazuri lkn kuna shida sana kwenye uongozi wa Nchi hii. Mollel anatakiwa kupelekwa Sobber ase. 🤔🤔🤔🤔
Kunywa fanta Mr Heche nakuja kulipa
Moleli kavamia mtumbwi wa vibwengo
naona tu vile heche amejichapia mingumi ya kutosha kwa wazir 😂😂😂😂
Mtozi yuko kisiasa, very biased!. Huu mjadala ni kama ulipangwa ili kuponda CDM,ila Heche yuko juu!!
Wamasai wana roho ngumu sana.Hapa ni sawa na kujitoa Muhanga.
Watu wanatoka ulaya wanakuja kutibiwa wapi??😂🤣🤣
Mjandala mzuri sana
Aweso afadhali anajibu kiungwana.
Mwandishi umetukosea sana, huyo wazir Kuna muda alisema Kuna vituo elfu 8 hlf akaja kusema vitu Mia 7,kwann hukukazia mkanganyiko huo, kipindi cha magu kulikuwa na vituo Mia 4 amesema, je ndan ya miaka miwili ya rais Samia ina maana wamejenga vituo elfu 7 na Mia 6?
Huyu ndo naibu waziri ambae watanzania wanaomtegemea awavushe nchi hii ina hasara sana huyu hafai hata kuwa mwenyekiti wa mataa
Kma unatazama hii video mwaka 2050 fahamu hawa ndio viongozi tuliokua tupo nao mwaka 2022😂
Heche akili nyingi sana aisee
Watanzania tukisema ccm imechoka muwe munaelewa morer ndio taswila ya ccm
Nasungumuza, CCM NI WATU WAONGO SANA HAWA UMBWA... KWANINI ANAPAMBANA NA CHADEMA WAKATI TUNAZUNGUMZIA MAMBO YA TAIFA NA YEYE NI KIONGOZI? BOGUS
hapo Sasa maji umeme Ajila
yaani nyanda anataman heche aendelee kuongea ila hawezi kusem tu
Molel mpumbavu sana tena namshaur aje asome coments huku ili ajitathimin.
Maccm mnamatatizo yauchoyo ubinafusi ubabaishaji vilevile mnatabia ya kuongeangonjera naporojo tu lakini uhalisia hamuna ccm mumelaaniwa kusema uongo!!!
Nilifikiri wanaojigamba kuwa wana demokrasia wasingetawala nchi kwa miaka 60 bila kupisha wengine! Bashir Ali alisema watatumia vyombo vya Dola kuhakikisha wanabaki madarakani! Mollel think beyond your nose!
Katika Makosa Mtozi umefanya ni kumuweka Heche na Molel kwenye mjadala mmoja..Heche ni mtu wa Facts wakati Molel ni mtu wa Propaganda na maneno ya kuokoteza!!Hawezi hata kuisemea Wizara yake
Nashangaa kusikia maneno yaajabu etikubomoa serikali huyujamaa anamaanisha Nini?? kubadilisha serikali nikawaida siyo uhaini,, wababaishaji waporaji matapeli hawashauliki hao tunawajuwa nivigeugeu,
Mollel ni Daktari mchumia tumbo hana hoja ya msingi, ni blabla tu mdomo uende kinywani, Heche tupambanie vijana tunapata tabu
Acha uongo we kibendela fata upepo chawa , eti mtu wa ulaya aje atibiwe kwenye hospitality zetu hizi zilizojichokea zenjewe mollery acha ujinga unatukosea Sana watanzania
Hawa Watu Wao Nikumlamba Matako Raid Kina Mollel
Yaani huyu ndio Naibu Waziri 😃😃 shame of us
Heche👊👊👊👊
Jamaa ana vituko mpk heche anacheka, eti ndio waziri uyoo😀😀, tanzania bwn
Sauti haijakaa vzr
Nyanda usirudie kutuletea huyo kibwengo , mwepesi sana Tena sanaaaa
Chadema wapeleke maji wao wanatoa wapi pesa?
Jamanii😂😂😂😂😋😋 huyu mmasai wangempa dk 2 sukar ingepanda dadeki
Niliisubili sanaaa hiii
Cheo cha mollel tungempa baba levo
Mijadala kama hii ni afya kwa Taifa. Nataman kuona ikishamili kama kipind cha kikwete.. hongera nyanda.. wakumbuke na Viongozi wa Serikali za Wanafunzi pia, hata wastaafu wanayomengi sana including mimi..
Viongozi mliyoko madarakani msipende kufanya midahalo na opposition parties wanawabaneni kutokana na hali halisi jamani...mitaani uku watu wanawaongelea hovyo sana Chama tawala
Mollel anabweka tu...
Aweso ameweza kujibu hoja.
Chadema pote hero na akisimama cdm mmoja lazima waje ccm wengi wengi tuu
Kipindi safi sana hiki
Huyu Mollel mganga wake noma. Yani ni upupu hamna kitu
Ukitaka kuheshimika ongea ukweli mara vituo zaidi 8000 mara tumejenga 764 huyu sijui amekuaje waziri
Huyu molel bora baba levo
😂😂😂
Heche yupo vizuri sana. Pole sana Molell, maana umekutana na jiwe lililochongoka sasa limekukataata ovyo.
Ki ukweli, Heche yupo vizuri namkubali kwa zaidi ya 91%>
Hahahhaah mollel kapaniki uwezo mdogo .......hii ni debate Kati ya darasa la 3 na PhD holder
Huyu wazuri hajielewi hata kidogo
MH HECHE INATOSHA JAMANI MZEE BABA. UNAPIGA SPANA KWENYE MSHONO BROTHER!!!!!🤣🤣🤣🤣 CCM IMECHOKA. VIONGOZI HAWANA SERA, MAONO ZAIDI NI KUSIFIA NA KUJIKOMBA KOMBA KWA MH RAIS TU!!
Aweso amejibu vizuri Ila huyo kilandage mwingine Ni fala
Hahaaa naibu waziri anaangalia upande upande kichoyochoyo
Itabidi Police wafuatilie Hilo swara la mwenyekiti kutaka kuuwawa.
Mollel 🤦🏿♂️🤦🏿♂️🚮
Yaani kichwa cha huyo mla kodi zetu kilivyokaa hujiulizi mara mbili kuwa ni zwazwa, hoja hana anacheka cheka tu
Molel Ni tapeli muongo mchumia tumbo hafai kuwa kiongozi Ni hovyo sana,Malaya wakisiasa
Heche safi
Huyo moleli anatukosea sana watanzania na anatakiwa atuombe radhi, na hamuwezi Heche hta kama watahamshwa saa 8 ucku
Sahihi Kabisa
Uyo naibu jamani hamna kitu
Usitutoe kwenye reli mambo ya kuuana ulikuwepo kwanini hukusema kipindi hicho,uache umbeya
Tunaomba kipindi kiwe kinarudiwa ili waliokikosa wapate Frusa ya kukisikia.
Et rais ametoa trillion mia 5😂😂, bajet yetu ya nchi ni trillion 21 hlf rais ametoa trillion Mia 5 kwa ajili ya umeme aisee😂😂
😂😂😂😂
Hahaha inabidi nicheke tu
😆😆😆😆😆