Ooh Pole sana Inshallah Allah atakuondolea matatizo yako na wengine walionayo awaondoshee na waliokuwa hawana awaepushie Amiina OMBA MUNGU KWA MTI UNAOITWA MVUJE UNACHUKUA MAJANI YA MVUJE UNACHEMSHA HALAFU UNAKUNYWA NI MTI MZURI KWA MAUMIVU YA TUMBO ukitumia Inshallah MUNGU atakusaidia MUNGU ndie msaidizi wakila jambo yeye ndie Muwenza wa kila kitu UKIMUANI
Halina dawa mimi naishi Marekani mpaka nalazwa ICU na madripu wametafuta mpaka wamekoma my cousin alinipatia supu ya moto siku nilikuwa mjini mwenzangu lilinitoboa kama kisu kutembea nilishindwa wakaniburuzia restaurantiliyokuwa karibu wakaoda supu ya moto wakaniambia shangazi kunywa haraka mwenzangu ndani ya 15 minutes likaachia hivyo kwanxia siku hiyo nikilisikia tu nakimbilia kitu cha moto na haliwi kali sana.I hope hii itakupunguzia good luck🤞🤞halina dawa nimeolewa na nina watoto wanne mama yangu kaniambia ni kwamba una uzazi mwingi sasa utazaa wote waishe tumboni utaweza???
Nasma samweri polesanadada mm niritumiyanga dawa yaunga mama yangu arinipatiya kwani nirikuwa nikiingiya kwenye sikuzangu siwenzi hata kutoka njee mama yangu aripata ahida rakini arinitafutiya daw yaunaunga rakini toka 2014 sajawahi kuumwatena
Wakati mmj nilichukua carrots tangawiz kitunguu saumu na asali nkatengeneza juice nkanywa lilitulia t kwa miezi5 ila ngoma ikarudi pale pale maana ni hatar pia kama unashida ya madonda ya tumbo ukinywa siku hyo jiandae kukesha aiseee
Mm nilikua nayo iyo hali lakini alhamdullillahi nimetumia dw ya miti shamba ya kuchemsha allah amenifanyia wepesi mpaka sasa halija rudi tena nina takriban miaka kumi na kitu sasa lakini je nitakupataje ilinikuelekeze
Chemsha maziwa fresh alafu weka blue band na uweke chumvi kidogo kunywa kwa muda wa siku tatu ukiona bado tafuta mafuta ya ng'ombe uyakaange mwenyewe hakikisha upokaanga unapata walau nusu kilo hayo mafuta kama unaweza kunywa pia ni dawa ila ukishindwa tumia kwenye chakula au kwenye uji kwa muda wa siku saba.pole sana ukifanya hivyo na iman utapona.
Huu ugonjwa unatubika. Binti yangu aliugua na bahati nzuri mara ya mwisho ilimtokea akiwa Morogoro.Kina hospitali alipelekwa akakutana na Dr ambaye kwa uwezo wa Mungu baada ya vipimo alianza kutumia dawa na baada ya miezi kama mitatu hivi alipona kabisa. Madaktari wengi wanashauri mimba kith ambacho so sahihi na kuwafanya wengi kubaki nashida. Anayehitaji wasiliana nami kwa 0713280260 kwa maelekezo ili ukaonane na madaktari husika.Hospitali ipo Morogoro
Dawa ya tumbo la chango ni Mimba, akizaa tu chango akuna tena, kama abebi mimba aende WRM CHURCH kwa Prophet Suguye akaombewe lita isha na ata zaa kama ajawahi kuzaa, akiamini tu asiangalie dini or imani aliyo kuwa nayo Yesu ashindwi gonjwa dogo sana hilo, kama anaweza mpeni hizi namba anitafute 0712847560 na ataona maajabu ya Mungu aina haja ya kunywa mikuyati.
Pole dadangu mm Niko Mombasa kuna nyanya moja huku likoni yuko na dawa nzuri Sana mm nilikuwa nikishumbuliwa na tumbo kwa miaka mingi lakini nilipo pata dawa za huyo mama nashukuru hata pia nilifanikiwa kupata mtoto wa kiume saai yuko na mwaka moja mwanangu kama utapata ujumbe wangu dadangu nitafuta +254710377679
Niko pande za Tanga nilipewa dawa za kisuna zikachemsha kwa mzee mmoja ivi nilikunywa pale pale aisee nilivyomaliza kunywa nililiacha pale pale maumivu saivi ata ifike iyo tareh ..nakua kawaida...
Pole Sana,tafuta za suna na Bibi wazee wakisomali ni wajuzi kwa Hilo watafute mtoni hasa wenye asili ya tanga yani washunguli utapata dawa jaribu kuchecki nao wanapatikana mtoni mtongani
Is CHANGO period cramps ama...kiswahili sio mdomo changu...if so maybe ni endometriosis maskini,it needs special treatment, endelea na matibabu God will see you through our queen, quick recovery
Pole sn daa tumia magamba ya mkunku vipande saba utie na umbani chembe tatu uichemshe pamoja kisha chukua kikombe utie dawa yk alafu usome haya za kubatwilisha uchawi km wazijua
Pol dadariyama ila ulishawahi kutumiya mpeyasi kwani Mimi dugiyangu alikwanalo Hilo tumbo naalichelewa kupata kizazi ila alitumiyadawatu nakupata mtoto tumiya dawa yakushika mimba haraka litapowaukizaatu linapunguwa makali sikuhadisiku mwisholitakuwalakawaidatu
Kwasasa kweli imekwisha nilikuwa nikiingia kwenye mwezi nitalia mpaka kutapika ila wakaniambia ukiolewa ukazaa vitakwisha kweli mpaka sasa sijarudia tena kuumwa
Wanyamwezi wanazijua san izo dawa mmi nilikuwa at kukaa nilikuwa siwez wala kuinuka wal kusimama nilikuwa natambaa at maji nikinywa napiga kelele nashukul mung nilimpa mama wa kinyamwez alinipa mizizi ya kuchemsha na majani ya kuoga mpk sasa nashukul mung
Mimi pia niliteseka sana na chango nilitumia dawa nyingi za hos bila mafanikio. Lakini baada ya kutumia juice ya Alovera nimesahau hata tumbo lilikuwa linaniumajee.
Allahumma rabba nass mudhhabul baasa ishfiy anta shafiy laa shifau illaa shifauk shifau laa yughadir sakama laa baasa twahur amin
AMIN AMIN AMIN YARAB 🤲
Amin amin
AMIIN AMIIN YARABBY
Amiin allahumma amiin
Ameen
Mungu n mwema kila wakati hakika utapona odo 🙏🙏🙏
Ooh Pole sana Inshallah Allah atakuondolea matatizo yako na wengine walionayo awaondoshee na waliokuwa hawana awaepushie Amiina OMBA MUNGU KWA MTI UNAOITWA MVUJE UNACHUKUA MAJANI YA MVUJE UNACHEMSHA HALAFU UNAKUNYWA NI MTI MZURI KWA MAUMIVU YA TUMBO ukitumia Inshallah MUNGU atakusaidia MUNGU ndie msaidizi wakila jambo yeye ndie Muwenza wa kila kitu UKIMUANI
Mola akupe shifaa ya haraka Dada Riyama Ally🙏Nakupenda bure❤️❤️❤️
Allah atakupa shiffah InshaaAllah 🤲🤲🙏❤
Tupo wengi aisee
Pole sana daa Riyama mwenyezi Mungu akupe shifaa
Halina dawa mimi naishi Marekani mpaka nalazwa ICU na madripu wametafuta mpaka wamekoma my cousin alinipatia supu ya moto siku nilikuwa mjini mwenzangu lilinitoboa kama kisu kutembea nilishindwa wakaniburuzia restaurantiliyokuwa karibu wakaoda supu ya moto wakaniambia shangazi kunywa haraka mwenzangu ndani ya 15 minutes likaachia hivyo kwanxia siku hiyo nikilisikia tu nakimbilia kitu cha moto na haliwi kali sana.I hope hii itakupunguzia good luck🤞🤞halina dawa nimeolewa na nina watoto wanne mama yangu kaniambia ni kwamba una uzazi mwingi sasa utazaa wote waishe tumboni utaweza???
Allah atakupa shifaa in shaa allah na huo mtihan wake utaupasi kwa uwezo wake allah na in shaa allah tunazidi kukuomba shifaa
Allah atakuponya mamy wetu😘😘😘
Yaraabiii Allah akupe afuen ya haraka lv u habibty
Nasma samweri polesanadada mm niritumiyanga dawa yaunga mama yangu arinipatiya kwani nirikuwa nikiingiya kwenye sikuzangu siwenzi hata kutoka njee mama yangu aripata ahida rakini arinitafutiya daw yaunaunga rakini toka 2014 sajawahi kuumwatena
Pole sana ndugu Allah atakufanyia wepesi utapona In Shaa Allah
Pole sana dada riama nitafute kwa namba hi hii ili uje znzber ktk dawa za kisunna Asante. Allah atakupa afwen
Pole sana daa Riyama, Allah atakupa shifaa,ss pia twakupenda kwa ya Allah
Polee sanaa mungu akufanyie wepesi upone
Pole sana dada mungu atakusadiya
Pole sana ddngu mungu akupe wepesi inshallah
Daaaaaaah Jaaman Mungu akulinde mamie
Mm natumia vidoge nashukuru mungu nimepona .
Polee Sanaa. My dad 😍😍😍
Wakati mmj nilichukua carrots tangawiz kitunguu saumu na asali nkatengeneza juice nkanywa lilitulia t kwa miezi5 ila ngoma ikarudi pale pale maana ni hatar pia kama unashida ya madonda ya tumbo ukinywa siku hyo jiandae kukesha aiseee
Poleni sana
Pole sana dada
Pole mamy utapona inshaallah
Allah amfanyie sahali ya maradhi
Pole sana dear mungu atakujali shufa na atakuvusha katika huu mthiani aminn yar rabb 🤲❤️ love you too
Mm nilikua nayo iyo hali lakini alhamdullillahi nimetumia dw ya miti shamba ya kuchemsha allah amenifanyia wepesi mpaka sasa halija rudi tena nina takriban miaka kumi na kitu sasa lakini je nitakupataje ilinikuelekeze
Pole Sana
Pole sana mpenzi tumia mzungwa unachuma majan yake unachemsha ukunywa asubuhi mchana na usiku glasi 1
Ajee kwang nimpe dawa mm mwenyew nimeumwa san hilo nilihis nakufa lkn ss Alhamdulillah naendelea vzr
Dawa gan tuambie bas mana tupo wengi
Nisaidie nko na shida ya chango
Mungu akupe shufaa riyama
Allah atakupa shifaa inshaaallah
Pole dada riyama flora wa nitete anayo majani ya.miraco chai mtafute akupe namba ya wakal ukinywa hiy chai utakaa sawa
Njoo mupate dawa tatizo lote litaisha mm nilikiwa ivyo ivyo naumwa mpaka kiuno lakin nimetumia dawa ndani ya cku saba tu.tatizo limeisha Alihamdulilah
Ata mm nisaidie nko na shida hio
Mungu akupe wepesi
Nambie nikusaidie kama kweli ni chango basi ukipata dawa hizo utasahau hilo tumbo dadaangu
Mm ninalo plz naomb unisaidie Kam unajua daw
Pole dda
njoo kenya nitakusaidi dadangu kuna mtu mziri sana kwa dawa za chango
Chango sikiaga kwa mtu omba lisikukute maana unahisi roho inaacha mwili ,pole dadaangu mpendwa ,
Kabisa
Sanaaaa yaani weacha tu
Yan ni mateso
Mie mwenyewe duuu n hatar
Usile pilipili wala vitu vya chachu da riayyama utapona inshallah
Kuna dawa wa Syria walikua wanauza ktk vibanda vya Saba saba..inaitwa (sage )ina faa sana kwa uwezo wa mungu
Pole mama letu
Jamani dawa za chango mbona zipo nyingi tu
Tumia dawa za asili za herbal utapona hakika.. Wanatoa dawa Nzur
Mwambie. A toe. Namba. Nimuelekeze. Kunamtu. Anazijua.dwa.za.chango.
Yupo wap
Pole sana dada
Pole sana
Pole Sana shogaangu hata mimi naumwaa kupitiliza jamani 🤦♀️🤦♀️🤦♀️
Zipo jaman
Ila ukinywa tu mimba
Daaaah lina tusumbua wengi jmn
Dawa mama angu anapika SEMA mama angu Hana bei nanimtu mwenye huluma
@@husseinnuru7544samahn dada unapatkan wap
@@husseinnuru7544naomba hiyo dawa naitaj
Pole Sana ndugu. Mungu akunusuru akuondolee maradhi akupe shufaa Dada mple mstaarabu Allah akurahisishie kila lenye uzito akuwekee wepes
ALLAH AKUJAALIE AFYA NJEMA AKUJAALIE SHIFFA INSHA'ALLAH AKUJAALIE NGUVU NA WEPESI KATIKA MAISHA YAKO AMEEN YAA-RABB THUMMAA AMEEN
🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲👄👄👄👄👌🏻👈🏻😭😭😭😭😭💕❤❤🧡💙💛💓
Amina yaarabby
😭😭😭😭💋💋💋💋👈🏻🤲🤲🤲🤲💕❤😭💚💚💚💚💋💋💗💖
Mmh pole mama angu anapika Walsh hutajuta dada mama angu akipika nikuludi npo paleee niite mbwa nakwambiya mm bakusaidia nanaomba ufanye halaka utasaidika mana mm naumwa npo ktandan kexho yangu siijui nitafute halaka samahan lakn nimsada kutoka moyon
Chemsha maziwa fresh alafu weka blue band na uweke chumvi kidogo kunywa kwa muda wa siku tatu ukiona bado tafuta mafuta ya ng'ombe uyakaange mwenyewe hakikisha upokaanga unapata walau nusu kilo hayo mafuta kama unaweza kunywa pia ni dawa ila ukishindwa tumia kwenye chakula au kwenye uji kwa muda wa siku saba.pole sana ukifanya hivyo na iman utapona.
Sipo Tz ila nikijaaliwa kurudi nitakutafuta nione nakusaidiaje inshaallah
Huu ugonjwa unatubika.
Binti yangu aliugua na bahati nzuri mara ya mwisho ilimtokea akiwa Morogoro.Kina hospitali alipelekwa akakutana na Dr ambaye kwa uwezo wa Mungu baada ya vipimo alianza kutumia dawa na baada ya miezi kama mitatu hivi alipona kabisa.
Madaktari wengi wanashauri mimba kith ambacho so sahihi na kuwafanya wengi kubaki nashida.
Anayehitaji wasiliana nami kwa 0713280260 kwa maelekezo ili ukaonane na madaktari husika.Hospitali ipo Morogoro
Dawa ya tumbo la chango ni Mimba, akizaa tu chango akuna tena, kama abebi mimba aende WRM CHURCH kwa Prophet Suguye akaombewe lita isha na ata zaa kama ajawahi kuzaa, akiamini tu asiangalie dini or imani aliyo kuwa nayo Yesu ashindwi gonjwa dogo sana hilo, kama anaweza mpeni hizi namba anitafute 0712847560 na ataona maajabu ya Mungu aina haja ya kunywa mikuyati.
Ugua pole dadangu, mimi pia napitia maumivu makali kutokana na chango....bado natafta tiba,.
Pole dadangu mm Niko Mombasa kuna nyanya moja huku likoni yuko na dawa nzuri Sana mm nilikuwa nikishumbuliwa na tumbo kwa miaka mingi lakini nilipo pata dawa za huyo mama nashukuru hata pia nilifanikiwa kupata mtoto wa kiume saai yuko na mwaka moja mwanangu kama utapata ujumbe wangu dadangu nitafuta +254710377679
Pole Dada Rhiyama, Wish You a Quick recovery 🙏🏾🙏🏾🤲🤲♥️🇰🇪
Mungu akupe shufa Ameen inshallah 🙏 cousin yangu yeye alipopata mtoto wa kiume lilistop hata mm pia lakini langu sikila mwezi nashukuru Allah 🤲
Niko pande za Tanga nilipewa dawa za kisuna zikachemsha kwa mzee mmoja ivi nilikunywa pale pale aisee nilivyomaliza kunywa nililiacha pale pale maumivu saivi ata ifike iyo tareh ..nakua kawaida...
Huku tanga kuna baba anaenda kukuchimbia mizizi unakunywa habari yote kwisha me nilikuwa hivyohvyo
Ninayo dayachango
0719467190
Nitafute
Pole Sana,tafuta za suna na Bibi wazee wakisomali ni wajuzi kwa Hilo watafute mtoni hasa wenye asili ya tanga yani washunguli utapata dawa jaribu kuchecki nao wanapatikana mtoni mtongani
Is CHANGO period cramps ama...kiswahili sio mdomo changu...if so maybe ni endometriosis maskini,it needs special treatment, endelea na matibabu God will see you through our queen, quick recovery
Yes hii ni endometriosis watu hawajui tu hata kuzaa ni ishu
Pole sn daa tumia magamba ya mkunku vipande saba utie na umbani chembe tatu uichemshe pamoja kisha chukua kikombe utie dawa yk alafu usome haya za kubatwilisha uchawi km wazijua
Tatizo lako Rihama rinatibika Sana tu watalaam huku kwetu wapo Kyerwa mkoani Kagera nitafute Kama hutojali
Pol dadariyama ila ulishawahi kutumiya mpeyasi kwani Mimi dugiyangu alikwanalo Hilo tumbo naalichelewa kupata kizazi ila alitumiyadawatu nakupata mtoto tumiya dawa yakushika mimba haraka litapowaukizaatu linapunguwa makali sikuhadisiku mwisholitakuwalakawaidatu
Dawa ya chango naijua , this is serious kabisaaaaaa.
0754780775
Nitafute
Kabla hajaingia headhi kama ciu mbili au tatu kabla,achemshe tangawizi atie chumvi kdg sana ,atumie nusu kikombe cha chai kabla ya kula chochote
Kwasasa kweli imekwisha nilikuwa nikiingia kwenye mwezi nitalia mpaka kutapika ila wakaniambia ukiolewa ukazaa vitakwisha kweli mpaka sasa sijarudia tena kuumwa
Pole nenda kaombewe kawe kwa mwamposa harafu nunua maji na mafuta ya hapo kanisani ukitumia utapona mpendwa na.utazaa
Wanyamwezi wanazijua san izo dawa mmi nilikuwa at kukaa nilikuwa siwez wala kuinuka wal kusimama nilikuwa natambaa at maji nikinywa napiga kelele nashukul mung nilimpa mama wa kinyamwez alinipa mizizi ya kuchemsha na majani ya kuoga mpk sasa nashukul mung
Ipo dawa imekaa kama kambakamba inapenda kutanda kwenye mti ukipata unapikicha mpaka unatowa ulenda kama bamia unakunywa unatia kwenye bakuli
Oooohoooo tumbo la period ss mbn ss wengn tunaambiwa tusubir kuolewa tu tutapoa jmny mnatutisha ss oooohooooo izo dawa tushazimaliza ss wengn 😭😭😭😭😭😭
Mbona dawa zipo na unapona kabisa
Mm pia nipo ivyo ivyo ila nina mjomba angu ni mtabibu wa mizizi ukinywa tu habar imeisha nipo tanga
Yani hilo tumbo linatusumbuw wengi sana
Mm nilikuwa ivyo nimepata dawa sasa nimepona kabisa nilipata dawa ya mitishamba iliyosagwa
Dada na mm nqhiitaj naipataje hyo daw
Nikienda kuchukuwa huko kijijini nitskuletea
Pole Sana dada
Namshauri aende kwa Maombi hiyo ndiy dawa itakayokuponya my sister
Miti hiyo ipo tabora unakunywa mwezi wa kwanza wapili mimba.
Njoo nikupeleke kilwa mjomba wangu anajua kufulu utapona
Pole ukiipata msg yangu nitafute kuna babu anazo ila mpk akuone mgonjwa pole mdg wangu yupo chang'ombe nikikuelekeza unafika bl wasi
Riama nitafute 0717444303 nikusaidie
Mimi pia niliteseka sana na chango nilitumia dawa nyingi za hos bila mafanikio. Lakini baada ya kutumia juice ya Alovera nimesahau hata tumbo lilikuwa linaniumajee.
Na mm ninalo mamy hyo juice ya alovera unatumiaj kutw Mar ngp na kw cku ngap
Unatengenezaje hyo juice
Pole mpendwa wetu,Mungu akupe uaheni Inshallah
Pole sana
Pole san
Tafuta mizizi ya mpapai dime chsha utumie itakusaidia
Pole.utapona.mungu.yuko.pamoja.nawe
Na mimi nilikuwa ivyo dada yangu ila nika Olewa tuu likaisha mpaka ivi sina Alhamdulillah
Mim ndiy linauma mpk navurungw
Mm niliwai kuumwa chango bibi yangu kaniambia Nika nunuwe pombe yamnazi grasimojatu kunywa asubuwi kabla ujla kitu inshallah utakuwa salama
Are you serious, jee hulipona baadae???
Hahaha limepona kabisa?ili nikanunue niweke akiba
Kambiwa ukizaa linaacha kumbe ata kazi ni leo
Dada Anitafute nipochamazi
Masikini uwiiih dada . Pole sana ili mm linanitsa sana na mmm mm mpaka na tapika
Piga namba izi 0762536710
Hilo tumbo linauma vibaya Sana mm linanitesa sahi ni miaka 15 wallay hadi nakonda
Dah pole sana dada Riyama hilo tumbo mimi nalijua uchungu wake hata mimi ninalo kiingia kwenye ada yangu ya hedhi
Nipe namba yako uje nikupe dawa nipo tegeta
@@hadijambunda7099 wapi nije mie
@@hadijambunda7099unayo dawa bado
Aje huku simiyu atapona
Pl dada san
Dada tumia mzungwa dada
Weka nambaya cm yako upate dawa
tumbo la chango ni lipi
Mazoezi tu ndio dawa da Riyama
Tuma namba ya simu ya WhatsApp nikutumie picha ya hizo dawa.mungu akipenda huwenda ukapona
Ni mm khadija Ally
pore Sana dada
Pore sana mam