NDUGU ZANGU SAMAHANI SANA KWA KUWA DISAPPOINTED ILA HII NI NZURI SANA NA IME TIMIA KILA IDALA MGENI WA KIJIJI ITAEMDELEA WASHIRIKI WALI PATA MATATIZO NAOMBA MNISAPOTI HUMU TUPO PAMOJA
Luta man nimekusikiliza ukihojiwa na mbengo tv man umezungumza mdngi sana man hadi katika mazungumzo yale ndko nikasikia ukiitaja hii movie ya unyago man nami nikasema lazima niitazame man kazi yako naikubali man hapo ndipo man support yangu nikiwa kenya nakupa man unapendwa na wengi man kazi safi kutoka Tanzania man
Mnatuchanganya jaman sasa sisi tuelewe nn mgen wa kijiji finally aijafikia mnarushq movie zingine kama mnashindwa muendelezo wake si ni bora mkakaa chin mjitafakari
NDUGU ZANGU SAMAHANI SANA KWA KUWA DISAPPOINTED ILA HII NI NZURI SANA NA IME TIMIA KILA IDALA MGENI WA KIJIJI ITAEMDELEA WASHIRIKI WALI PATA MATATIZO NAOMBA MNISAPOTI HUMU TUPO PAMOJA
❤❤❤swa tunasubir
Tunaita bado tafadhal tunaomb uilete
❤❤
Hamna Baya, From Mozambique Fans
Sawah ruta man🎉❤
Mko vizuri, filamu nzuri. Kenya Watching, twapenda
Much ❤❤❤ from Kenya namkubali sna Ruta man big up bro mungu akubariki n akuzidiashie maono yako
Waoooh nmefurahi kumuona mganga wa kijiji 🔥🔥🔥
Kamweee sitaacha kukufuatilia nakukubali sana mwamba
Mimi murundi nawapenda watanzania boncena juu sana unyago kali sana iyo nyimbo yitupe yote❤❤
Love from Chzdiz official to🇧🇮
Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Naitwa Bailangy man nawasalimia nyote man🙏🙏🙏🙏
Man huyo bint kashakuzimia man😊😊
Luta man I say umeweza hii immeenda ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 afu hiyo nyimbo atari
Tupe vitu bwana mgeni w Kijiji.Umepatia sana kumpa Baisa kipande k cha kuwa mganga kwa Mara nyingine tena 🙏🙏🙏🇧🇮🇧🇮
Bayser anajua kuliko waganga wote wa Tz much love from 🇰🇪🇰🇪
Wakwanza kutoka Congo naombeni links zangu, ila boncena umetukosea tunapenda mgeni wa kijiji jamani
Mgeni wa Kijiji haikuisha tena mmeanza ingine but ni sawa tu
Boncena mgeni w Kijiji n VP ❤❤
kali sana luta hii big up keep it up
Kasi mzuri sana ruta mubarikiwe sana ilaa tunaomba mgeni wakijiji seson 3tafadhali🙏🙏💯💯❤️❤️❤️
Hiii ni moto tena moto wa moto nimekubali Sana 😢😢😢❤❤❤❤❤
Much love from 🇨🇩🇨🇩
Much love from Kenya 🇰🇪 kazi Safi sana
Weeeeh ino kali luta,,plz muiendelezee utamu ivi ivi salute🎉ajjab❤
Much love from cap town we love ❤ 😍 you all ep 2 please 🙏
Kaz nzur sana vip kuhusu mgeni wa Kijiji
👌🏿👌🏿💯,vipi kuhusu mgeni wa Kijiji mbona kimya.
Wakwanza nikiwa kenya. Likes zikam
Gys huyo anaye fanya beee kama anabeua yani anaboa bhbaaa anaudhiiii badilishen ubunifu
Bpncena tunakubali kazi Ila ,please tumaliziye kwanza mgeni wa Kijiji please sana.saison 3 tunaisubiri
Mwanang pm1 San luta man 🎉🎉🎉 Alf iii nyimbo imenikumbush mbali San dah❤❤❤
Nakukubar xan mtu wang piga kazi mungu atakufanyia wepesi kwenye maono yako
Kazi nzur man unajua man pamban man nakukubali san askar wang man
Unyama mwingi hapo umeuwa kabisa 🇧🇮🇧🇮🇰🇪🇰🇪
Nimemis mganga bahisa jaman na kobelo tuleteee mgeni wakijij 😢
Love so much from Kenya
nawafuatilia from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 toka mgeni wakijiji mpaka sasaiv
Mgeni wa kijiji season 2 lakini good work boncena Luta Man
Ruta man ww mnyama kbs♥️❤️🇹🇿🇧🇮🇿🇲
Hongera zenu mov nzur sana.ila mb nyingi sana
Boncena please drop the song
I love it 😍😍😍❤❤❤❤
Much love from Kenya🎉🎉🎉
Wooow mpaka nikamkumbuka move mwali wakisaramo
Nitazidi kukubali kaka Boncena najuwa hii ninzuri sana
Luta man nimekusikiliza ukihojiwa na mbengo tv man umezungumza mdngi sana man hadi katika mazungumzo yale ndko nikasikia ukiitaja hii movie ya unyago man nami nikasema lazima niitazame man kazi yako naikubali man hapo ndipo man support yangu nikiwa kenya nakupa man unapendwa na wengi man kazi safi kutoka Tanzania man
Hata kama mimi sio mtanzania lakini nakubali kazi zako bony❤ , from drccongo🇨🇩🇨🇩
Ruta man . Your fan from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Jamani. Mbona naona mandhari traditional rakini mienendo za wahusika ni modern
Jamaa umetusha sna ❤❤much love from USA
Pure talent ❤pure entertainment ❤Bonacena you are on next level
Good work lutaman aki MUNGU azidi kukupa kibali 🙏🙏🙏🙏
Luta waelekeze bsi wakata wa kulia wajitahid kutoa Machoz bas nataman ningekua karibu ningewakilisha
❤unyama ni mwingi sana ❤
Napendelea kujuaa sehem gan hioo.
Huna Kaz mbovu Kaka pamoja Sana Kaka tupo nyuma yako
Nimependa salam, mko vzr❤😊
tunaomba mwendelezo wa my heart yoo😢
Keep going luta man❤❤
Very nice and enjoyable episode
Unazd ku improve man,, hongera sana
Nani kama wew boncena respect sana ndugu
Mnatuchanganya jaman sasa sisi tuelewe nn mgen wa kijiji finally aijafikia mnarushq movie zingine kama mnashindwa muendelezo wake si ni bora mkakaa chin mjitafakari
Nice one luta man bt naomba sana utumalizie mgeni wa kijiji
Boncena love you so much❤❤❤
Jamani mbona hii ni burudani nimeipenda mno like zinfine😊😊😊😊
Mbona mgeni WA kijiji haikuisha😂,, from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Unyama sana it song mnyma mkar sanaaaa
Nakubaliii sanaaa
Rutaman umetisha sana unyama mwingi man❤❤❤
Rutha Man,unanitesa man❤❤❤
Nakukubari sana kaka ruta man big boy ,pamoja sana kanda ya ziwa tz mwanza
Getman
Unyama sana❤❤❤man....from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿man😀😀😀
Huyo boya analia kama kondoo ananikela Mimi
Hizi ndo filami napenda sana
Chukua maua yako ❤❤
Mwakinego muigizaji
❤🎉🎉🎉🎉
Good job boncena 🙏
We Luta Pia Nawe Warukera Mjeni Wakijiji Bado Ujatumalizia Umeanza Nyengine
Hii movie alitakiwa awepo ratifa ingenoga hatarii Tena ingekuwa ni fire
Nani kamwona ness wa kwenye tamthlia ya 4:04 kibenteni😂😂😂
Hapo kaumwa n ng'e au nyoka ila movie za kibongo😅😅😅😅
Cobra kabisa man
Nakukupali sana man kazizako sakiasiri sana bigap man
Wow ruta man nimkubari kwer ❤❤❤❤❤
Léo umetuangusha umefanya vitu vyakizamana ,rakini maongezi niya kisasa
Wow nice movie 🎥❤❤❤
Waah nice movie ❤️❤️😍much love luta man 👌🔥🔥
Jaman nampenda sana belina
Kenya represented
Namkubali sana ruta man❤❤❤❤😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉
Mambo ya shalukhan hayo au sio rutaman
Much love from kenya❤❤❤
Muvi nzuri IRA stories haikamiriki
😂😂Mganga jau,Mmbea atari,,hatulii hadi taarifa anaenda toa nwenyewe physically😂😂
Umetisha kinoma Man
Ruta man nakakubali sana man 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Much love from 🇰🇪🇰🇪🤛
Location tam sana. ❤. Movie yenyewe kali
Ongera sana boncena
Hako kafumu kambea jamani 😂😂
Ruta man nakukubali sana ukovizuri❤❤❤
😂kumbe lutaman ilamdada anamkatajicho kampenda
Iuta man mwamba San uyu bro
Waaaaaahu zuri sana. ❤❤❤❤❤keep up the good work you are doing
Namkubali cna man from KENIA Man