Nimewahi jamani naombeni likes zenu asante sana sana luca kwa kutuletea mwendelezo wa simulizi hii bomba kweli kweli 🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹🍕💪🇹🇿 ciao ciao
❤❤Asante sana 🤝 tuendelea tulipoishiya, Mungu nimwema, atimae Abraham analekea kukutana na baba ake nijambo jema🙏💖 niko ndan ya mda like zenu wadau💖💖💖🥰
Sisi wanawake sijui tuko na shida gani huyo mama raryam ni shetani yaani uchukue mtoto wa mwenzio umuharibu tu simpendi huyu mama na Abraham hata hujifikirii sijui kwa nn hisia mbaya sana ukishidwa kujicotrol
Deo kwa merieta unapajuwa si ulifukuzwa siku ulienda usijidai buree deo akili mbovu nae amuambie wapime dam tu wajuwe na vitu vya mtoto kama vipi tangu kuzaliwa kwake atampata tu mwanae
Mja wa asili kama baba kama mama kama watoto maisha hayo hayo ndio ukiowa uchaguwe mke so uparamie tu na ukitaka mume bs uchunguze kama baba yao kama mama yao tabia dam hiyo
Truth be told issa alikuwa mnyenyekevu juu alikuwa maakini but not he has no difference with his wife's father imagine same thing was done to him by Katharina father he is doing same thing. Indeed momey brings out someone true colours
Wiliam ama Raphael anatabia chafuu kama babayake ukutee usomi huo wote atakuja kua jambazi....huyu ibra nayy asipokua makini atamuoa huyo mama maria mtu mxima hovyoo....huyu baba mlexi wa ibra hata akienda wapi deo huyo nimwanae nauxuri ana suply chakula shule 25 nahixo kuna moja atampata mwanae ww nimlezi tuuu ungetulia umsikixee deo sasa mnaruka ruka huku nahuku kubadili shule simnakosa kazi.
Tuliokitandani pekeetu huku tunasikiliza simulizi tujuane kwa like... kama una bebe wako shusha like na comment, kisha usisahau kumpa...
Tena nilitaka kukata tamaa nikajigubika nashuka nimesema nichungulie nikakuta mzigo, 🤣🤣 hahahaaa niburudanit😂
😂😂sisi huku Lucas ndio kwanza saa 20 😂😂😂
Lucas lumas anajuwa na anajuwa tena🔥🔥🔥
😂😂😂😂
@@RajabuRihhan kwakweli jamani daaah yaani hadi raha 👏♥️♥️♥️
Wawoòo lala salama sasa❤❤❤
Ha we Lucas lumbas ww kumpa nn sasa ayah bna ila shika 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kazi nzuri kaka
Nimecelewa ety asante kaka lucas ❤❤❤❤nimalizie kwakusema mung awalinde muwe na usiku mwema 🧚♀️🧚♀️
Ameen🙏
Twende nalooo hii simulizi ni kiboko wueeh ❤❤❤🎉🎉
hatulali
Wao thanks ❤🎉🎉
Wow leo nimejaribu 🎉❤❤❤❤ basi mambo matamu anko
Wewee Lucas kiboko yao ❤❤❤
Nice 🎉🎉🎉
Wooooh lucas lumbas wadau wot tujuan kwa like🎉🎉🎉🎉🎉
Niko na raha mno kwa deo 🎉🎉🎉❤❤
Love
❤❤
Wallah Mr Lucas unatuwezea kweli
Nimewahi jamani naombeni likes zenu asante sana sana luca kwa kutuletea mwendelezo wa simulizi hii bomba kweli kweli 🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹🍕💪🇹🇿 ciao ciao
@zenaathumani8144 💖💖🙏
Jamani jamani yaani huyu mtoto Abraham mbona hajitaki mema kabisa daaah 😗😗😗😗
❤❤🎉
Shukran lucas Mmungu akupe umri mrefu unatufurahisha
❤❤❤🎉🎉🎉🎋🎋🎋🌹🌹🌹🥀🥀🥀😂😂😂jambo limezua jambo balaa lakula vitumbua vya wizi usiombe😂😂
Asante kwa muendelezo Lukas lumbasi ♥️♥️
Tupetupe kaka Lucas 🎉🎉🎉 unajuwa umuimu WA mashabiki zako endelea ivyoivyo kutupa buludani
Tuna kesha leo sio😂😂
Hii simuliz haipit bure tuna jifunza vitu vingi Sana asante Kaka ww unafany tunasikia vizuri 🎉🎉🎉❤❤❤❤
Abraham n kzaz cha Roma 😂😂😂
Huyu ilikuw awe mtt wa roma kabisa😅😅😅😅😅
Lukasi Saluti kwaheshima nakujari🎉🎉🎉🎉🎉
Asante bro lucas kwa simulizi❤❤❤❤
❤❤❤❤🎉 hakuna kulalaa
Maua mengi kwa kaka lucas jamani🎉🎉❤❤
M/Mungu atamsaidia deo🎉🎉🎉
Aminaaaa
Deo kafany nn tena
Nimewahi leo na mimi aise❤❤❤
Asante lucas 🎉🎉🎉🎉
Aisee mungu c mujoyo atmae deo kabata mwanae baba mlezi akubali to matokeo mtoto n w deo
❤❤Asante sana 🤝 tuendelea tulipoishiya, Mungu nimwema, atimae Abraham analekea kukutana na baba ake nijambo jema🙏💖 niko ndan ya mda like zenu wadau💖💖💖🥰
N raha ilioje
❤❤❤🎉🎉
@@Lucy-vp8pm 🙏🙏🙏💖
Mbona hawaja kutana sasa paka nimechukia aaaah 😂😂😂
Weee umefka mwisho😅@@iranzizouzouzuriathiranzi8588
Abraham hamezende wallah 😅😅😅
Watatu leo jaman😊
Mama Maria ni mchawi namchukia sana
Thank God i was waiting for it
Asanteeeee lucas
Mimi Niko kitandani. ❤❤❤
Wakwanza tuseme woyoooo 😊
❤❤❤🎉🎉👏
Wiliam kafata tabia ya baba ake mhhh niatriiii
Kwaiy William ni kahuni au😅😅
Wakwanza Leo wadau
❤❤❤🎉🎉👏
Woow leo nimewai pia mm 😂❤❤❤❤🎉🎉
Wakubwa kujeni akuna kulala chukue maua ❤❤❤
❤❤❤🎉🎉
@zenaathumani8144 lala kipenzi
@@FaithPeter-j4w ni lale wapi bwana weee wakati ni saa tatu kasoro ishirini 🤣🤣🤣🤣
safi kaka
Asante nilikuwa 😒 lakini Sasa 😍🥰
Woow
Leo nimewahi nipeni lykes
Oyoooo imetoka njooni
❤❤❤🎉🎉
Namie n omba like ku wakwaza paka waishirini 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
😅😅😅😅😅😅😅😅Issa sas hasra za nn wkt ww.mwenyew ulikula mtt wa muhind au unalipiza kisas kwakuw karbu ufe😅😅😅
Yani mpaka unaskiya inachosha kicwa
@sakinapili1569 nilijuw pke yng ndo inanichosha
Sikujuwa
Tumaini langu tutamsikia merietha Leo pamoja na wengine wengi
Watoto wamekuja na sipd ya kupenda vitumbuwa utasema baba yawo ni Roma 😂😂😂😂
Sisi wanawake sijui tuko na shida gani huyo mama raryam ni shetani yaani uchukue mtoto wa mwenzio umuharibu tu simpendi huyu mama na Abraham hata hujifikirii sijui kwa nn hisia mbaya sana ukishidwa kujicotrol
Jamani watu amlali
Utamu juu ya utam
Deo kwa merieta unapajuwa si ulifukuzwa siku ulienda usijidai buree deo akili mbovu nae amuambie wapime dam tu wajuwe na vitu vya mtoto kama vipi tangu kuzaliwa kwake atampata tu mwanae
Uyu mama ana laana umwaribie mtto wa mwenzako masomo wako yuwasoma
Na yy afanyiwe ivo wkwke na atiwe mimba kabisa
Jamni tunataka kujua kilichomkuta Marietta
tunaendelea kusonga mbele Bed Room part 22 ❤❤❤ Atimae Deo amekutana na mwanaye Abraham 😍
Na vile kuna kibaridi 😂😂 unakumbatia mto 😅
@@binthassan9191 😃😃🥳
Let part ya 23
❤❤❤❤
❤❤❤🎉🎉
Tuna subiri 23 hadi 25 kesho usituletee simulizi ingine kaka Lucas tumefika patamu lazima tuzuwe mwicho wa mzee chongo na deo
Mja wa asili kama baba kama mama kama watoto maisha hayo hayo ndio ukiowa uchaguwe mke so uparamie tu na ukitaka mume bs uchunguze kama baba yao kama mama yao tabia dam hiyo
Awa wa toto wa merietha wanaumalaya wa mama yao
Mbn diamond
Miaininyime like na mm bc mashabiki tujue deo km itakuaje kwa mwanae😢
Huyu mama ananikata stimu kabisa
Mama.fataki anabaka wtt wa watu
Kwani jogoo hana mbwembwe😂😂kumbe mkuki kwa nguruwe kw binadam nimchungu hvi,😃 Issa amesahau yeee alivokua kwa Dr kapoo alivokua anamtia wazim 😁 careshima nae lazima ampitisha mlemle aone uchungu wa binti😂😂
Emmy mambo i miss you❤❤
Acha aone uchungu wa mtoto maana yeye mwenye aliponea chupuchupu😂😂😂😂😂
@@Evelynmoreen3655mwnawe kaliw au😅😅😅
@@ZaiZainabu-o4pAsante nipo ka njia nakuja mda
@@Evelynmoreen3655ukwel atasota maana vyakulisi huzid Tena ilipaswa akubane na william mzee watoto asiejua kulemba😂😂
Wenye wameraukia simulize ya bed room km mm tujuane😂😂😂😂😂
Kiato kitusubiri tutakivaa tu
Tangu mchana naangalia mzigo ila haujafika 😢😢😢😢
😢😢😢❤❤❤❤
🎉🎉😅😅😅
Kaka lukas nimewahi namimi
Abraham naye akiitwa tu anaenda na yuwajua fika wasichana wanamtaman
Lishamkuta jengne au
@Babyfaty-m3y kafumaniwa na mlinzi akinyanduana😂😂
@@TyT-h5l anaendekeza ngono uyo mjinga mtu ushfukuzwa shule lkn bdo anafanya yale yle akishikwa tu nyege zinapanda 🤣 🤣 🤣
@Babyfaty-m3y 😂😂Sana yy na mdogo wake wote wanapenda ngono tena Abraham achagui mpka wamama Ana pita nao
@TyT-h5l tuwaombee tu mungu awanusuri na magonjwa
Jmn hii simuliz kwa William kashafikisha miaka 22 lkn kaka yke bdo ana 17 na mtt wa Issa anamiaka 18 mbna mtihan huu😅😅😅😅😅😅😅😅
Hahahhaha nimecheka
@@ConsolathaFredy-q1o ucheke tu mna tunaenda mbele tunard nyuma na bdo kwa marieta mbna kaz tunayo ata simulizi ikimaliza 🤣 🤣 🤣 🤣
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Nice 🔥🔥🇨🇩
Jaman jaman Abraham
Wacha tukeshe ssa
Wa moja n wa moja tu hy Abraham atakuja fukuzwa n hy mzee anaemlea mana hz tabia za kut*mbana haezi acha
❤❤❤🎉🎉🎉😢😂17
Nimefurahi Hadi nashindwa kusoma komenti
Huy mama maria nimemchukia kweli yaani
Sasa William nimwanamke au mwanaume
Ngoja Kwanza nicheke
😃😃😃sasa mwenzio yuwauliza ww wacheka haya jibu n boy anae penda vitunbua ashakula maden 50 na zaudi
Wa kwanza kutok MombasA Nyali Mnazi mmoja,, Bidiiii Siku zote inakuweka mahali pengiiine
Yani abraham niwakutumiwa tu kama mama yake.nayeye williams ni malaya kama baba yake 😢😢 dah yuko wapi Meri?
Watt wamepata laana za wazee wao
Mtoto wa nyoko ni nyoka
@@nameno8608 ila William sio mzembe mzembe kma Abraham 😅 😅 😅
Truth be told issa alikuwa mnyenyekevu juu alikuwa maakini but not he has no difference with his wife's father imagine same thing was done to him by Katharina father he is doing same thing. Indeed momey brings out someone true colours
Wiliam ama Raphael anatabia chafuu kama babayake ukutee usomi huo wote atakuja kua jambazi....huyu ibra nayy asipokua makini atamuoa huyo mama maria mtu mxima hovyoo....huyu baba mlexi wa ibra hata akienda wapi deo huyo nimwanae nauxuri ana suply chakula shule 25 nahixo kuna moja atampata mwanae ww nimlezi tuuu ungetulia umsikixee deo sasa mnaruka ruka huku nahuku kubadili shule simnakosa kazi.
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤
❤❤❤❤