BEDROOM PART 23
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
- Msimuliaji : Lucas Lumbasi (+255 710208145)
Follow Me On Socials :-
Facebook : www.facebook.c...
TikTok: www.tiktok.com...
Instagram: www.instagram....
USISAHAU KU SUBSCRIBE NA KULIKE KAMA UNAPENDEZWA NA SIMULIZI.
Psalms 46:1 ESV
"God is our refuge and strength"
Kazi nzuri kaka listening from Kenya much love
Waooo nawapend🎉🎉🎉🎉
Wapili🎉🎉🎉
❤❤❤🎉🎉👏
🎉🎉🎉
Alhamdulinlah kaka Lucas mungu akupe afya na nguvu inshallah 🙏💓
Nimewai Leo thanks bro Lucas lumbas 😊
Wakwanza leo dah❤🎉 i hope meri and deo get peace. Thnx Bro Lucas you dont disapoint at all
good job 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Waoooo🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Shukran Mmungu akupe umri mrefu
Wa mwisho 🔥🔥🔥🔥
Wakwanza jamani likes zenu asante sana luca kwa kutuletea mwendelezo wa simulizi hii tamu kweli kweli 🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🍕 💪 🇹🇿 ciao ciao
❤❤❤👏
@@TeklaNdekeja 🙏🙏🙏❤️❤️❤️🎉🎉
Asante
Shukran za dhati ndugu Lucas kwa kweli upewe mauwa 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
🎉🎉🎉
Kuchelewa ndio kufika ❤❤❤❤❤
nmewai leo😊
Wooooo asante my brother Lucas lumbas
At time
😢😢nimekuwa wa 69 ..Ahsante msimuliaji wetu maarufu MR.LUCAS LUMBAS 🎉🎉🎉🎉
Woow wangap wamefurahishwa na kurudi kwa marietha🎉🎉❤
A2lie asubr wajukuu zake tena .
@FatumaJumanne-p4d dahh na mashallah watoto wake wananyandua sio poa
@BethMdoe Yaan hata hawajafaid dunia tena Marietha ndio kabxaaa maskn.
Nimewahi jaman
Wow ❤❤nipeni likes leo nimewai wally hadi raah 🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉
❤❤thanks @@candidekaneza8587
Wow 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Nimewai ety laike zang tafazali wadau asante lucas🎉🎉🎉❤❤❤
Mawazo ya wengi wenye pesa zao mh, ila Mungu anawaona😢ila kwa darasa hili kubwa ni asanteni sana sana🙏
Kimeumana uko kwa Wiliam maombi yamejbiwa tulio sema careshima akutane na wiliam tujuane👌tuone km atavuka mto salama🇹🇿
😅😅😅😅😅😅atarud kwao hana bikra cheza na William ww
@@Babyfaty-m3y 🤭🤭
@@Babyfaty-m3ymtoto wa nyoka ni nyoka
Hahahah kabisa Bikra itaenda na wiliam
Atachanganykiwa kama alvyochangqnykiwa mama yake kwa Issa 😂😂😂😂patakuwa patamu.
Tuko hapa😢😢
🎉🎉🎉❤
Akuna kupiga leo 😂😂😂
❤❤🎉kwa ajili ya Katalina
tunazidi kusonga mbele Bed Room part 23 ❤❤ Mtui ni rafiki wa kweli kwa Deo atimae amefanikiwa kumpata mke wake Marietta 🔥🔥🔥
Ila issa ana kiburi sana naaliokotwa akiwa masikini wakutupa
Kashajpata lazma aj2mie 😂😂😂
@FatumaJumanne-p4d Ila huyu mke Wa mutwii simuelewi wivu nwann au uamutaka Deo Na sijaona chuki Kwa Marietta 🤣
@RahabuKal Tena yy ndio mchaw angeish na Marietha wangemshaur hata biashara wenda ange2lia yaan cmpend mie .
@FatumaJumanne-p4d yeah mke we mutwii kama angemfukuza Marietta kwake Haya yote ayangetokea
Ni kweli adui wa mwanamke ni mwanamke
❤❤❤❤
Woyoyoooooo finally bedroom ❤❤❤❤ shukran kaka Lucas Lumbasi
Hakuna Roma season 2 aky❤
Tunaisubiri
@@melissaivanyi roma anawarirhi wke Abraham na William 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
@Babyfaty-m3y 😂😂😂nimemiss roma sana mie
Kweli mm sikuimailizia Roma Wacha niirudie nilikuwa Kenya
@@melissaivanyi irudie tena 🤣 🤣 🤣
Leo nimekuw top 10 😅😅😅😅😅😅
Ongera kumi Bora💖😂😂
@@TeklaNdekeja😅😅😅😅
@Babyfaty-m3y uko wap merietha kafika dear sikuon🤣🤣
@TeklaNdekeja leo cjatak kucomment mna sipewi like 🤣 🤣 🤣 lkn nimefika zmn
@Babyfaty-m3y kumbe, bas nipe like🤣🤣
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@@candidekaneza8587 💖💖
Asante lucas 🎉🎉🎉🎉🎉
Leo wakwanza jaman ❤❤ like zenu plz🎉🎉🎉🎉🥰🥰
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
❤❤No2 Jamani leo mkeka utik Deo achukuwe mwanae Mungu aksaidie, Lucas asnte,💖👏 simuli tam san inaelimisha nakurudisha💖💖 like zenu wadau💖💃💃💃🥰
💐💐💐
@@TeklaNdekeja ❤️❤️❤️🎉🎉
❤❤❤❤❤
Haya pia pokea ❤❤❤❤yako kwa kuwa no 1
Chukua🎉🎉🎉Kwa kuwahi
Hhhhha hapo kwenye kibao hahahhha
Wa2 wanaptia magumu kwenye kaz zao😂
Munawai sana Ongera gipenzi watu n'a Mutungaji Asant🎉🎉🎉🎉🎉🎉🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
jamanii namimi naomben like😢😢😢
Katherine maskini Pole sana ❤❤❤
❤❤❤Waooo😢😢😢
😮❤❤❤🎋🎋🎋🌹🌹🌹🥀🥀🥀🥀🔥🔥haya ndani ya bedroom tena
Leo nimewahi nimekuwa wa 2 haya tunaendelea pale tulipo ishia haya tunasikiliza hapa ili tujuwe mwisho wa BEDROOM 🪑🪑🎧🎧
🎉🎉🎉🎉
😮😮😮😊😊🎉🎉🎉
William ameshapata demu mwingine karishma
Huyo nahc ndio atakuwa mbuyu wake shetan atamleta bongo 😂😂😂
Nice story be blessed kaka Lucas kazi nzuri sana ❤❤❤🎉🎉🎉
Jamani hii move tuipe jina gani
Nimekuwa wa 67leo nipeni like ❤❤❤🎉🎉🎉
Jamani naomba likes ❤❤❤❤
💖💖🥰
Ndio kufika hivi wacha tuone mm deo atafanikiwa😢😢😢❤❤❤
❤❤😂😂🎉🎉😢😢24
Mm namchukia huyu mama maria
Jaman mtui hakijii alichokifanya deo deo ndio mkosaa na makosa siku zote huzaa makosa aloanza Huwa haonekani anomaliza ndio mbaya mtuwi acha zako izo rafiki yako ndio mzizi wayotr huyo kayaanza yy acha avune alichokipanda sasa
Mimi wanankera wamesqhau mapto ya Marietha wanaangalia ÿale ya Deo. Wakat Deo uzinz wake ndio uliomponza mwanamke wake hajamuqchiq chochote na alkuwa anajuwa hana chochote yy anahonga 2 vmada 😢
William na Abraham ni wanafyeka wanawake hatari ila wana ni wapole😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂yaan hawa n kzaz cha roma na Danny maana hata Deo hakushenyenta sana .
@FatumaJumanne-p4d daah hawa watoto nikiboko deo alifanyiwa uchawi na hasira kale katoto ka shule sasa wao kama chakula
@khadejarajab8007 Kuna yule alyemponza na yule wa ofcn umewasqhau 🤣
@@FatumaJumanne-p4d ndio tukumbushane hivo😁😁😁😁😁
@khadejarajab8007 😄😄😄
Jamani mbona ivo
😅 😅 😅 😅 wiliam anadananya wenzke kumbe katoka patupu
Ndio inqvyokuwqga hvyo😂😂😂
😂😂😂😂
William atapendana na karishma ama n nyamaze😂😂
😅😅😅😅apo ndo atakapo ganda william ndo atapenda kwel
@Babyfaty-m3y kabisa naa vita itazidi issa akijua will n mtoto wa marietha
@TyT-h5l 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 mna Issa kaw mkorofi saiv
@Babyfaty-m3y 😂😂mkorof atari waeza sema yy ndio mwenye Mali na kumbe Mali n za mke
@TyT-h5l 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 ila deo ndo aliye mfanya awe na roho mbaya
Hiv mtui hana watoto mbna hatuambiw kma anawatt mna anamoyo wa peke yke
Kosa la mama zake ndio tamaa zimewashika merieta hakuwataka hao kamtaka issa ameenda kwa deo mama yake mzazi na huko kwa huyo mzee mama zake wadogo ukimaliza ushawishi wawatu lazima mbele yatakuja maisha na maisha ndio kama hayo yanomkuta kosa la deo kumtaka mwanamke wa mtu kwa lazima na mama mzazi kupenda pesa na mama wadogo kupenda pesa ndio shida yake kusikiwa akili maamuza ya maisha yako mtu uamuwe mwenyewe kama mabaya na mazuri ndio utajuwa mwenyewe so mtu akuchagulie maisha ndio kilomkuta merieta
Apone 2 akutane na wanae kama kujfunza atakuwa kajfunza na watt watakuwa faraja yake.
Kama Marietta alipenda pesa asinge chizika ila alifanya hayo yote kulea watoto wake
@FatimaRamadan-s4f Maisha ya Marietha yakhukumiwa na wa2 walioshba na wacoish maishq ya kwangu pakavu wataona n Tamaa ila hawawez kuelewa kuwa mama yupo tayar kwa lolote il wanae wawe salama hata kwa huyo Deo ukiangalia hakuna alchopata maana aliolewa mikono mi2pu na katoka akiwa mikono mi2pu maana uksema alhudumia family yake n ktk upendo na lcha ya yote akamfukuza. Klchomponza Deo n ile cku ya kukesha kwa knyama.
Acha kututisha bhnaa mimi nataka marieta na deo waishi kwa furaha na amani kabisa
Mungu mkuu upendo wa deo kwa marieta ilikua halali 🇰🇪
Warudiane wapqte mtt wa mwsho maana miaka 17 bado wanaweza kuoata wadogo zao hata 2 wapumzshwe sasa wameshakoma❤😂
Nimakuwa wa pili leo naomba like pia mm leo 😢😢😢
Wiliam malaya kama baba ake 😢😢😢maana deo hana tabia za hivyo😢yule mzungu mshenzi kabisa 😢😢
Upendo mmoja
Leo wa mwisho mie ila nimefika
Walio kuwa wanaisuburi kwa hamu tujuane
DEO amsamehe Marietta warudiane walee watoto wao😅😅 ISSA anakera
Kaka unatumaliza sisi team gulf, team dryspell 😂😂😂😂.
Kwani huyo hawala ya marietha yanini auze nyumba ilihari kiwanja kirikuwa chao amakweli matajiri sio ndugu na vilevile hio familia ya marietha walijisahau kuweka akiba hata kufanya biashara ndogondogo walishindwa mimi hii familia ya marietha imenitoka kabisa.
Tamaa nikitu kibaya sana ngoja wakome walifukuza deo kisa wamepata tajiri🤣🤣 nisiwe mnafiki me niko na deo
@@TeklaNdekeja najinsi marietha alivyo mtukana Deo mala mwisho walipo kutana wakija kukutana patachimbika🤣🤣🤣🤣🤣
😅😅😅😅😅😅marieta na familia yke wte wnapenda kujipweteka wakifadhiliwa
Haifai kuishi kwa tamaa kama walivyofanya, maana tamaa mbele mauti nyuma, matajiri wengi ni wanyama kuliko wanyama wenyewe😢😢
@avelinabaluhya2804 kweli kabisa huyo mzee amenikera kawanyanganya kiwaja chao kwanini asinge chukuwa nyumba yake 🤣🤣🤣🤣🤣
Hii simulizi imebaki vipande si chini ya vinne twataka tuone sehemu ya watoto hiyo ya marietha kurudiana na issa tena itaboa 😢😢😢
Msanaha ni kitu kizuri sana ukitaka upone ni lazima uachilie usihesabu maovu kwani usiposamehe ndani ya moyo wako wote hutapata amani ndani ya moyo wako hongera sana deo kwa ulichofanya shindig mkubwa sana kwani hukuhesabu maovu alitoyokufanyia marieta kumbuka dunia duara
Ukisamee utapata radhi za mungu
Issa na Mariana naomba wasirudiane jamani
😢😢😢😢😢🤔
Huyu mama mtu mzima hovyo 😂😂anatembea na mtoto wa 17yrs ole wake nasema ole wake akigunduliwa 😂hapo hamna kwenda cortin jela moja kwa moja,yule teacher Beatrice ndio chanzo cha haya yote ashamharibu mtoto wa mwenzie i say, huyu dogo bado sana
Abraham si Malaya maana hajawahi tongoza mwanamke maskin yy akipewa yuwala tu sivya chimvi Wala sikari 😃😃😃
Kama deo amesamee pia mm nitasamee mtu alafu deo n msomi mbona hakutumia hio taaluma kutafakari marieta bila kufukuza marieta na banga bado nalaumu deo angefukuza marieta haya yote haingetokea kwa marieta
Alikuwa na laana ya mamake sasa isinge wezekana kuishi kwa amani lazima sekeseke limkute
@FatimaRamadan-s4f sikatai but alianza vituko kabla
nimewahi leo
Chanzo cha yote ni deo...ulijua kabisa hiyo mtt wa kizungu amepatikana wp bado unamfukuza mkeo na watt wadogo...matokeo ona watt wenu walivyo malaya huko ...kumbuka magonjwa je wakipata magonjwa yasiyotibika?
Woyoyoooooo finally bedroom ❤❤❤❤ shukran kaka Lucas Lumbasi
❤❤❤❤
🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
❤❤❤🎉🎉🎉
❤❤❤
❤❤❤
❤❤❤
❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤