Mutabadilisha kila aina ya rangi blue kijani n.k lkn ukweli na uhalisia kadri siku zinanavyokwenda maisha ya watu yanazidi kuwa magumu na ukipinga hilo itakuwa niushindani tu kwa ufupi nchi imewashinda miaka 60 ndani ya madaraka yenu hali ya Mzanzibar inazidi kuwa mbaya
Hi sio ALFata ni Almavi tv. watu wanakufa njaa maisha magumu nyie mnatuletea ukhanith kama huu, njaa zenu za kujipendekeza kw madhalim hawa zinatufanya tuwachukie na vichannel vyenu .
🤔Ukihukumu au kuchangia mada, angalia mfano wa Mungu. Alipoumba wanadamu ilikuwa ni mume na mke. Kwa maana hio kila kitu hapa duniani kitakuwa na pande mbili, nzuri na mbaya kama vile pepo na moto kwa ahadi ya Mungu. Tuangalie nini Mheshimiwa Rais wa Zanzibar anasema na anachokifanya pima, angalia na utajua lipi zuri na lipi ni baya hapo ndipo unaweza kuhukumu. Vinginevyo hutatenda haki wakati bado mambo mengi ya nchi yako kwenye michakato. Muda utasema = time will tell🤔.
Mtakosa hata samaki mdogo baada ya miezi michache tu hawa wa Chinese wanazoa kila kitu kilicho kua Baharini tumesha yaona baadhi ya nchi mwisho wake waliondolewa na hili baadae ndio athari yake itajitokeza
Big up Mh Rais Big up Mr Amin Mungu akubarik wallah
Good 👏🏻👏🏻
Safi
Ni jambo zuri, lakini je bei itakua chini? Sio kwenda sokoni af samaki ni Tsh elf 5000
Mutabadilisha kila aina ya rangi blue kijani n.k lkn ukweli na uhalisia kadri siku zinanavyokwenda maisha ya watu yanazidi kuwa magumu na ukipinga hilo itakuwa niushindani tu kwa ufupi nchi imewashinda miaka 60 ndani ya madaraka yenu hali ya Mzanzibar inazidi kuwa mbaya
Hi sio ALFata ni Almavi tv. watu wanakufa njaa maisha magumu nyie mnatuletea ukhanith kama huu, njaa zenu za kujipendekeza kw madhalim hawa zinatufanya tuwachukie na vichannel vyenu .
Al..fatah mmekwisha nyinyi
Waulize raia hali yao ya maisha musijimwambafai
@Talib Muhsin
Wanaofaidika Zanzibar ni wakubwa na watoto wao tu.
Dhulma haileti maendeleo
Hii TV ni ya ccm sasa
Kila kitu ami ni ya Ccm sio TV tu
🤔Ukihukumu au kuchangia mada, angalia mfano wa Mungu. Alipoumba wanadamu ilikuwa ni mume na mke. Kwa maana hio kila kitu hapa duniani kitakuwa na pande mbili, nzuri na mbaya kama vile pepo na moto kwa ahadi ya Mungu. Tuangalie nini Mheshimiwa Rais wa Zanzibar anasema na anachokifanya pima, angalia na utajua lipi zuri na lipi ni baya hapo ndipo unaweza kuhukumu. Vinginevyo hutatenda haki wakati bado mambo mengi ya nchi yako kwenye michakato. Muda utasema = time will tell🤔.
Mtakosa hata samaki mdogo baada ya miezi michache tu hawa wa Chinese wanazoa kila kitu kilicho kua Baharini tumesha yaona baadhi ya nchi mwisho wake waliondolewa na hili baadae ndio athari yake itajitokeza
Reja mafuta na gesi yanchimbwa lini