BONGO ZOZO : WATOTO WANGU WANAIPENDA TANZANIA, LAKINI WAKIFIKA MIAKA 18 TANZANIA INAWAKATAA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
- Watoto wawili wenye asili ya kitanzania wanya’anganywa uraia baada ya kufikisha miaka 18.
Bongo zozo akilalamika kuhusu watoto wake Jeska na Miki wenye asili na uraia wa kitanzania kwa kuzaliwa na mzazi mmoja Mtanzania ( mama yao) kunyang’anywa haki yao ya uraia baada ya kufikisha miaka 18 . Anauliza je ni sawa kwa watoto hao kunyang’anywa haki yao ya uraia huku wakiwa na ndoto za kuishi katika nchi hii na kushiriki katika kulijenga taifa?
Nchi nyingi tayari zimesharuhusu uraia pacha
#ChangeTanzania #UraiaPachaTz
Nashauri Bongo zozo na familia yake ni watanzania jaman. Ni wazalendo wa kweli. Waangaliwe kwa jicho la kipekee kabisa jamani.
Pole kaka..naungana nawe..ikiwa mtoto amezaliwa kwetu..hawa ni watoto wetu.
Hivi ushapata uraia wa tanzania maana wewe ni mzalendo sana❤❤
Nawezi huyo ni rais wa Uingereza.
So kuwa nchi yetu hairuhusu uraia picha ndo maana hajapewa anachofanya yeye ana wapambania watoto wake ambao amezaa na mtanzania.
Mfano ww uwe mmakonde na mwenza wako msukuma, halafu waseme eti mtoto wenu akifikisha umri fulani aikane kabila ya mzazi mmojawapo ili awe kabila la mzazi mmojawapo.
Do you see
Does it make sense ?
Hawo hao utawasikia wanasema mtoto ni hazina au tunu ya taifa
Watunga sharia wa bongo na watu waserikalini wanaroho mbaya Kopitar kiasi...especially for diaspora...wanawsonea wivu na chuki sana...leo hii karibia kila nchi duniani facilitated dual citizenship kwa raia wao except Tanzania...yote kwa sababu yao...
very sad and disappointed...I feel so sorry for this man and others...Tubadilike jamani...
Inasikitisha kweli
Mmmh Hii inashangaza hivi nilijua watoto wakizaliwa hapa ni watanzania
😢😢
wahehe oyeeeeee😂
Baba mkwe
Baba mkwe
Binti yako mzuri bana nataka nimuoe
huku tanzania ukoo tunafwata kwa baba mbona nyie wenyewe mnawa nyanyasa waafrka huko kwenu
Hii familia ni wazalendo wa kweli wa Tanzania. Tusiipoteze, Jamani Mamlaka za nchi msikae kimya muda krefu. Roho zinatuuma kuskia maneno ya moyoni ya Bongo zozo. Totally breaking our hearts.
Nakukubali sana naamini ujumbe wako umefika na utafanyiwa kazi Mama ni Msikivu atafanya lenyekufaa
Inasikitisha sana niubaguzi ,watt wetu Tanzania hata baba yao anaipenda pia 😢
Bongo zozo ametuzidi upendo wa nchi yetu
Nchi yetu yenyewe haitupendi unafikiri sisi tutaiependa
@@alzawahirabdallah2299 Nchi yetu ina wapenda wageni sio sisi wazawa
Jamani bongo zozo shemeji yangu na watoto ni wetu wa Tanzania lazima iwe hivyo ❤❤
Bongo Zozo hebu tueleze vizuri kuhusu kunyang'anywa uraia wa Tanzania imekuaje?. Maa sio wewe peke yako uliyezaa na Mtanzania kwanini wewe watoto wako wanyang'anywe uraia? Kama baba ni Mgeni mama ni raia watoto hawa walizaliwa wapi na lini? Hebu tuletee ufafanuzi wa kuzaliwa kwao kwanza ili sheria ya uraia ifafanuliwe
Pengine hiyo sheria hujaisoma vizuri ama hujaisoma kabisa. Mfahamu kila nchi inasherua yake ya uraia Watanzania msikurupuke kwakuwa mzungu
Hata wacongo nliskia wanamalalamiko kama haya. Ikishindikana wawe wabongo tu waachane na huo wa nje.
Bongo zozo wewe nimzalendo pia naomba nimuoe Jessica
Yani bongo zozo hawa viongozi wetu ni hovyo sana …hebu angalia sasa watoto wetu wanawakataa pasipo sababu ya maana… imeniuma sana kuskia jambo hili
Uwez amin eti machozi yamentoka. Sio vzur
Daah mpk nimeumia aisee. Yani wanaofanya tunashindwa kuwa pamoja na ndugu zetu waliozaliwa nje ya nchi ni hawa wazee wenye mawazo ya enzi za musa na farao. Tunatakiwa tufikie hatua tuamue kama wananchi kuwa tunataka uraia pacha kwa ndugu zetu ambao wamezaliwa nje ya Tanzania
wanakuaga majasusi hawa
mimi mpaka machozi yamenitoka imeniuma sana yaani 😪😪😪
Tunawaitaji sanaaaaaa❤
Huyu bongozuzu siojasusi lakini
Tuna karibisha tanzania nchi ya aman na upendo 🙂🙂
Sasa wewe unamkaribisha anaeijua nchi yako kuliko wewe ameizunguka Tanzania kuliko wewe huyu ni mwenzetu basi tu
Qatar hata uzaliwe ukuwe kwao kama wazazi wako hawatokei hapo hupewi tu uaraia hata uishi miaka mia, labda uzaliwe usome hapo na uwe na kipaji kwenye michezo hapo watakufikiria
Bora ata bongo uku uwarabun awatoi uraia pacha ata mtt awe nasiku moja
Namkubari sana Bongo zozo lakini sijaelewa zaidi,,kwamba watoto wake wamenyang'anywa uraia wa Tanzania??????
Acha umbumbumbu wako wewe.
Kila kitu kaelezea hapo.
Acha kuuliza UTOPOLO kulingana na kichwa cha habari
Kabisa hila nyinyi inatakiwa
Muwe munakuja kuja tanzania🇹🇿
Mala kwa mala hapo sawa tutawakubal
But nyinyi inatakiwa muje kwa mama
Yenu kamwene kule iringa region
ni ujanja wa kizungu
Serikali inahofia swala la uraiyapacha Watanzania waishio nnje wanaweza wakaja na misimamoyao wakatufungua akili huko nnje kuna watanzania wengi wasomi.. hawa wamesha zoeya kutuburuza
wewe penda Tanzania na watoto pia wapende Tanzania lkn ujue sheria ya hiyo nchii unayo inasharia zake kama vile UK, kupenda kwako Tanzania harusiwi mtu kuwa na uraiya wa nchi mbili.
Bongo zozo ukinip mwanao jesca atapat uraia uku
Wama come to ug
I'm also in the same predicament with my 2boys.The law needs amendment and Thanks for sharing.
you must follow our law!! the law is understood well enough by Tanzanians. you can stay in your beautiful whatever nation you were born.
Uraia pacha ni sasa👍🇹🇿👍🇹🇿🇬🇧
nchi hii inaenda kwa uwizi hivyo vumiilia tupemda 2025 tuponao tena uamiaji tunazo tabia zao
Kuna wahindi wengi kweli siyo raia wa Tz lakini hawasemi chochote kuhusu hao .
Hoja nzuri sana umeamsha mawazo
MPE NAFASI JESCA AJE TANZANIA NINAAMINI KIJANA WANGU HAPA ATAFANYA MAMBO MTOTO ABAKI KUWA MHEHE AU MNYALUKOLO
Kwanini only Tanzania, nchi zote zintoa
Tunawahitaji sana tatizo walioko kwenye madaraka wanajifanya wao ndiyo miungu ya kutoa amri pole baba hawajachelewa
Bongo uko vizuri sana sema serikari yetu hii tunaijua sisi tumeizoea ina 'wenge' kama zote
Tanzania inakosa fursa nyingi raia pacha unafaidanyingi kwanza tunawachezaji wengi wakitanzania walioko niche lkn sera yaovyo ya viongozi mambumbu wa ccm ndoimetufikisha hapa
Hiyo haiwezi kubadilika tanzania hata ukae miaka Mia bado lkn haiwezi Kua raiya
Namkubari sana Bongo zozo lakini sijaelewa zaidi,,kwamba watoto wake wamenyang'anywa uraia wa Tanzania??????
Nimekusoma sana Bongo zozo
Uwezi mnyanganya mtu aliezaliwa Tanzania na kuondoka kwenda ugaibuni akifikisha miaka kumi nanane kwani yeye kaamua kuwa mtanzania basi waacheni hata hizo inchi zao za ugaibuni hazita wafatilia
Wewe sizani kama unajua faida ya uraia pacha kamahuelewi maadahii nafuu unyamaze hizi nizamazingine uraia pacha unafaida kubwa sana
Daah tuache ubanguzi yaani hawa watoto wanahaki yakuwa watanzania 😢😢😢
Tupo pamoja mzalendo #2
Nisaidie namba zako tuongee vizuri kwa hilo sawa
Bongo zozo kwani wewe uko na uraia wa Bongoland?
Unakuta hata wimbo wa taifa haujatungwa na MTANZANIA
Bongo zozo naomba ushare wimbo wote huo wa background mwishoni. Sijui nani kaimba
Una matan sana faza 😁
😭😭😭😭 Naomba Jessica aolewe na kijana wangu mzee
ili iweje wafrica mjaa tamaa kuzani kuoa mzungu kuwa tajiri 😡
Inaskitisha sanaaa ila ujumbe umefika
Nimzarendo sana nakubari sana faza
Bongo zozo eeh, Jessica kaolewa? 👀😁
Serekali ina mambo yakishamba san
Serikali iwaludishehao waje walitanganze taifa
wapewe haki yao jamanii
Tunawataka sana hawa ni wtt wetu
Nakubali
Kwakweli ,nchi yangu inatakiwa haraka sana wafanye mabadiriko katika eneo la uraia pacha, hasa kwa waliozaliwa ndani ya nchi yetu. Wawape kabisa. Ona tunapoteza masuper star wengi kama hawa vijana. Congoree Bongo zozo tunakupenda sana kwa kazi ya kuisema vyema nchi yako Tanzanian
Upo sasahihi kabisa Bongo zozo 👏
Wapewe uraia
Nchi ngumu hii
Taratibu za kibongo ni za kishamba tu
Yaani nashangaa mbona mpaka Sasa hatuna urai pacha😢😢😢😢
Miki ni handsome😍
Hawa wanatawa wetu hawafai
Hao ni wa tongo zetu
Mashaallah
Bongo zozo niozeshe mm huyo Jesca. Niishi nae Tanzania.
Hahaaaa nakweli aseee iliapate uraia haraka
So painful
Bongo Zozo Watanzania tunakupenda, na zaidi tunawapenda watoto wako kwani wanadamu ya Tanzania. Je wako tayari kuwa kukana uraia wa nchi yako? Maana nchi yetu hairuhusu uraia pacha.
Hoja hii ni muhimu saana. Mimi kama mama ambaye nimezaa na mtu kutoka nje pia inaniuma saaana. Nchi yet iliangalie swala hili kwa umakini
Kweli dada yangu lkn uraia pacha unafaida kubwa sana lkn viongozi wetu sijui kwnn hawaelewi
Kwahy wanataka watoto wamkane mama Yao ambaye n mtanzania hyo n akili kweli umkane mama Yako
Hiyo ndio shida ya Tanzania kwetu Kenya hatuna hayo sisi
Hatuwezi kuwa kama ninyi mabepari ( Capitalists)
@@gibsonjosephat6352 ni kwa kina mama lakini hamutaki uraia wa nchi mbili sisi nenda ukichoka rudi nyumbani
Kwanini wakufanyie hivi hamani nimeumia
Unajua nn hawa viongozi wetu wana fikra mgando.
Wana kitu kinaitwa kwa kiingereza self satisfied (yaani umimi). Mfano una mpenzi wako akisha maliza haja zake afu wewe bado anaitwa au muite self satisfied 😀😀😀
Sasa hawa watawala wanaamini hawa watu wa nje wana nguvu kiuchumi wakiwarusu watakuja wengi hivyo watahatarisha ile hali yao kuabudiwa , halafu wata wapa wenyeji maujanja au tuseme kutufungua akili.
Kitu ambacho hawataki.
Wewe unafikiri hii hali ya maisha tulio wengi tunalalamika maisha magumu , bidhaa wanaifanya bei juu ni hali ambayo inatengenezwa ili waweze kututawala.
Inafanywa hivi maksudi ili kila siku wewe uwe una wazia kula yako ya siku.
Kwa kifupi kuna formula ukisoma soma huko unaweza kukutana nayo.
Inasema.
Ili uweze kumtawala mtu mtengenezee mazingira ya kumtawala. Ikiwemo kumlipa malipo madogo ktk kazi Halafu bidhaa bei juu na vitu kama hivyo
@@nuruworldinsight2957 ❤️❤️❤️🙏