Asante Bongo zozo.
Nimeangalia video nyingi zinazoelezea Bitcoin na Blockchain lakini hii ndio ya kwanza kuielewa kwa %100.
Thanks Brother Endelea kututoa ushamba. Afrika tupo nyuma sana!
Darasa zuri Mungu akubariki kwa upendo ulio nao Bongo Zozo
Video kama Hii ambayo inaweza kuchange maisha wa watanzania wengi af unakuta ina views 720 tu ila video za kina harmorapa na amberlulu ndio ukakuta zina views 500K ila umechambua vizuri sana katika level za juu sana na umeeleweka sana unafaa kuwa financial advisor..Hongera sanaa kaka Bongo zozo,Naomba video zinging nzuri kama hizi!
Mwamba nimesoma kwa uchungu hi comment yako,,,, nashukuru sana nimeshanza kusoma vitabu vinavyohusu bitcoin
@@canisiusclemencemkuyu6505 nielekeze ni vitabu gani hivyo mkuu...tafdhali
Much love from Kenya
Asante Bongo Zozooo, tumeondoa ushamba wa Bitcoin
God bless swahilo yk iko vzr sn
Blessed 🤝🙏
Asante sana Nick
daaah bongo zozo asante kwa kunifunza mm nilikuwa nasikiaga tuu
Congrats brother Zozo,,,, tupe elimu tujikwamue aisee,,, God bless you
Tunafundisha cryptocurrency kwa shilling 20000 10k mwanzo 10k ukishajua karibu 🤗
Nimejifunza kitu. Asante sana. Pamoja. Heradius
Asante sana kwa elimu nzuri
Shukrani kiongozi 🙏🏾
Pamoja sana jembeee upo vzr brother isichoke kutuelimisha wabongo tunakutegemea big up sana & be blessed
Jamaa nimempenda Bure anafundisha criticaly bila misemo migumu mifano inayoaks anachosema
Thank you sir,we appreciate for this
oohh that's nice
Very helpful
Ahsante sana kwakutupatia elimu hii Bongo zozo
👆👆👆👆
Dm here for guidance and learn more about crypto currency investment.
Shukrani kwa elimu uliotoa,pia tayari Tanzania imesharuhusu criptocurrency.
Tunashukuru sana bongozozo umenifungua baadhi ya vitu big xana
Much from Kenya
One love brother
Nice🤔🙌
Ahsante sana
OK poa tumekuelewa bongo zozo
Bwana Bongo Zozo shukrani kwako kwa somo hili zuri na muhimu. Tafadhali tusaidie kutoa maelezo ya jinsi ya kujiunga au kuwekeza kwa njia ya Bitcoin.
I'm really interested for sure
God bless you brother
Ahsante sana zozo
Bongo zozoooooooo❤️❤️❤️
Nimeamini wew n mtanzania na watanzania dotukoivo.shukran kwamapenzi yako kwa Africa
Nice bro
Nice
Sawa ndugu.
Ongera sana kaka, nilikuwa naitaji kujua zaid umuhimu wa kutumia smart contract kwenye cryptocurrency (Bitcoin) na namna gani inavyofanya kazi.
Mwemwee mtoto mzuri mrembo sana huyo jamn
Nimekupata bongo zozo
Elimu nzuri Kwa karne ya 21
hii video itaishi.
bongozozo utaishi.
Umeilezea vzur nimejitahidi sana kuzifatilia youtube maelezo yake kutoka kwa wataalam wengine lakini kwako nimepata uwelewa zaidi umtumia mifano mepesi na mizuri kuweka wepesi wa mtu kuelewa Big up ntajiatahidi kukufatilia zaidi kwenye vipindi vyako vingine juu ya BITCOIN ili nasi tuwe mawakala wa kuwatoa watu ushamba
Sawa
Brooo unajua
Hili Darasa Ningehitaji Kulipa Fedha Nyingi Sana Ila ,Nakushukuru Sana BONGOZOZO Kwa Kutupa Darasa Hili Bure Kabisa La Cryptocurrency Tena Kwa Lugha Rahisi Ya Kiswahili..Mungu Akubariki Sana🙏🏻
bonge la elimu
🔥🔥🔥🔥🔥✊✊
Nice video,
It is really helpful to us traders,
Investing in crypto is the best and fastest way of making money, but only few understood the secret of crypto currency.
Yes crypto currency is very profitable especially with the current increase in value, but I still don't understand how this whole thing works.
Mrs. Evelyn remains my number one broker for life, I invested $1200 with her and I was credited $6500 in a 3days interval. Mrs. Evelyn is a teacher not only a broker.
I have heard a lot of good news about this lady called Mrs. Evelyn, how is helping people to increase their financial status in a twinkle of an eye, I think I'm gonna give it a try.
I've tried this some time ago but it wasn't successful, but I do get positive news about how it has elevate people financially.
Please how do I invest with crypto currency?
legit platform, please
Wow, she is indeed a nice broker and a good teacher, a beautiful creature too hehe. Just invested $500 with her.
Nashukuru Kwa kutupa elimu... Napenda kufaham kiundani nipo najifunza kupitia account yako na naomba uendelee kutoa tutorial zingine Za muendelezo ili tuweze kuifaham zaid
🔥 🔥 🔥
good
Bongo zozo ubarikiwe sana
Somo madini tuuu.. 🥇 👏 👏 👏 👏
👊🏿👊🏿
Asante sana broh,
Mbali na kununua bitcoin je kwa wale watakaohitaji kufanya mining ni vitu gani vya kuzingatia wakati was kumini bitcoin na namna ya kulink wallet yako na mining browser
Barikiwa sana nimejifunza.. I'm getting the clarity. This year baada ya kupata understanding ya kueleweka ntawekeza kidogo nione Growth yake (naiacha ikue hata miaka 5+😂)
Asante kwa ushauri.. nitawekeza pesa ambayo niko tayari ku_risk
Bongo zozo karibu Arusha kunajambo laki huku
me naomba uniangalizie jinsi ya kuverify account ya local bitcoin kwa vitambulisho maana naona inakataa me imenikataria
Bongo zozo mi nakukubali asee mzungu wewe uko poa
#bongo zozo
Bongozozo natamani Sana hii kitu
Bit coin
Natamani kuijua na kuifanyia kazi
Nataka kujua naweza ku hold coins zingine under Btc. Coz kwa bei yake ya sasa I can't afford
Suali langu. Bitcoin kama sarafu imetengenezwa na Satoshi nakamoto. jee blockchain huu mfumo mzima umetengenezwa na nani?
Jinsi ya uchimbajii wa Bitcoin
Bongo Zozo uko sahihi sana,shida kubwa kwa sisi Watanzania ni ukosefu wa Elimu ya Huu Mfumo,Binafsi niliibiwa bitcoin mwaka 2017.
@@nimrosenasser9147nahitaji kujifunza hiii kitu mkuu unaweza nisaidia ?
Hi bongo zozo tz naomba ongelea forsage utusaidie ili watu wajisajili wengi waoga sana
Maelezo ni mazuri ni vipi tunaanza hapo ndipo elimu itakuwa umetusaidia watanzania (how to start)
Nafunguaje brockchain
Father bongo zozo ni kiasi gani cha kuanza nacho? Ombi nikwambie weka link ili tupate app ya kweli
❤😅😂
Hii ina tofaut na metaforce au ni same things
Blockchain ni cryptography techniques inayo fanywa na computer kuchanganya code herufi na number 256, namba hizo zinaitwa HASH, hizo hash ndio Bitcoin, ETH na coin nyinginezo nyingi, ukitaka kujua zaidi kuhusu Bitcoin jifunze Blockchain ni nini hapo ndio utajua Bitcoin
ajabu! ! ! ! Wmān isku dayay in aan maalgashado, wmān ku shubay bahut lagad ah stock, kiều qaar ka mid ah sạn loo kội 'cryptocurrencies', lakini wanaifanya kuwa muhimu ah ma tên. Waan ka gehansih laha ifa aad la gashikeyga sikaga ku sida loo soo-noqosho oo maal-gashikeyga ah.
Jihadharini na hitaji la kifedha la kufanya go'aamo wax ku ool ah waa lama huraan. Ikiwa aan aan ku kiyotya talo talo ah, waa in aad higalmo ka raadsato lataliye ektokan, Bi. Oprah Winfrey.
Trust wallet inaweza kufanya kazi ya blockchain pia au
Haujatuonesha namna ya kutoa hela bank na kununuaa na kuuza kurudisha bank bongo zozoo
@@fatumagaturwa2121 je umeisha fanikiwa, kama bado njoo inbox nikueleze
Yes nimechelewa kucheck video hii ila nimevutiwa sana please naombeni msaada wa maelezo zaidi
Kaka vipi kuhusu P I maana Bitcoin. Gharama kubwa sana kuipata kwa sasa .
Bongo zozo tunajaribu kufanya huo uwekezaji lakini mwisho wa siku tunaingia chaka na kuanza kujutia , kwani tunatumia hela kubwa mwisho tuna ambulia sifuri
Naona mwongozo mzuri na namna ya kubadilisha dollar
Bongo zozo somo nzuri ila utaonaje kuwa bitcoin imepanda au imeshuka thamani?
ety nilikua nazo ila mama jesca kaniibia😂
Kama we ni kijana na hujihusishi na mambo ya cryptocurrencies basi una hali mbaya sana kwenye future yako.
nimependa uyo Janet nampataje jaman bongo zozo
Sasa nipo bongo cash nitapataje? Kama kubadili cash nimpaka mamtoni.
Nimependa Sana masomo yako
Next time naomba tufundishe proof of working vs proof of staking
Dah kiukwel naona inaitaji elimu kubwa maana nikama natak kuelewa ila bado
Naweza kununua wap hiyo bitcoin
Bongo zozo father naomba nisaidie namba ya
Inataka kufanana na kamari ya kindege (Avatar )
Kubwa sana hii vijana wa Africa (Tanzania)wanatakiwa kujifunza mambo ya digital currency ili tuepuke kuilaumu serekali aitoi ajira 💯
Asante kwa elimu nzuri.
Je ili uwwze kuingia ni lazima uwe na compyuya ama laptop ama hata simu?
Bitfinex uwe na computer lakini bitfinex ni kuexchange ukishakuwa na Bitcoin na unataka sarafu aina nyingine. Kuanza unaweza kuanza na simu tu. Blockchain.com app iko fresh kwenye simu
@@BongoZozo Umesema kwa Tanzania sihali tutannwaje usalama wapesa zetuutakua Bongozozo
Samrtphone yako ni tosha kabisa, nitafute kwa maelekezo zaidi
Samahani Bitcoin Ina uhusiano gani na royal q
Bongo zozo unatusaidiaje tunaotaka kujiuna huko
Platform gani ninaweza kununua btc,kwa bei ndogo,...mfano nina trust wallet minimum is 50 usd to buy....
Bongo zozo mpole na mvumilivu sana hauna hasira tunakupenda sana tz