Nili comments hapa mama alivyohojiwa ni Haram mama ambaye yupo kwenye eda nakuanza kuongea sauti yake kusikika watu humu povuuu likawatokaaa eti ooooh hayajakukuta mara ooooh asipoongea msaada atapata wp haya janguo huyoo anawajibu 🙅
hata mimi nliambiwa hapa hayajanikuta nkasutwa humu.nliposema mfiwa hahojiwi..from the first minute mke akifiwa eda inaanza anafichwa haskiki hata sauti na alipo haenuki ila kwa privacy sana
Na mukubali sana kwa movie .uyu mpee hongera .
Nikweli kabisa na uso wake ulikwa wazi sijuwi wenzetu hawajuwi mana ya eda ni nn Atakwa chizi huyo mama subhanallah Allah Atamsamehe
Well said
Mama ana tamaa mpaka amsahau heshima ya dini..Mungu amsamehee..kisha hana hata majonzi ya kuondokewa na mume..kweliii pesa haina huruma...
Mwenye kukaa eda hatakiwi kuonekana Wala kuskiwa sauti yake huyo mama mtaftieni mwalimu afunze hajakaa eda inavyotakikana
Saw saw Mzee jengua Mama kakosea kwa sababu yupo ktk Eida,,,Eida ni jambo muhim sn ten sn tuu
Bora umetusaidia babu..Uislamu wa siku hizi ni matatizo
nikweli mzee jenguo hata akipewa pesa haruhusiwi kupokea kwa mkono anatakiwa awekewe chini ndio aokote
Kwani jengua na majuto wapo ndugu
Mi namkubali jengua pamojaa👍👍👍
Ww
@@hisanijingakisima6709 yes
Pesa pesa pesa shetani jaman mali hizi dah mungu niepeshe kabisa kuwa natamaa ya vitu ambavyo si jasho langu
Hhaha jengua huyoo
Wanasemaga eti wa kwanza na mie ndo ivo RIP KING
Eda ni ngum sanaa
mzee jengua big up
Alivofanya sivo kizuka hatakiwi kuonesha uko wake wala sauti duu mali mali mbaya
Nikwer amekosea awez kuongea kama ivyo
mumesomq kuwa hawezi kuongea au mumesikiasikia
Nili comments hapa mama alivyohojiwa ni Haram mama ambaye yupo kwenye eda nakuanza kuongea sauti yake kusikika watu humu povuuu likawatokaaa eti ooooh hayajakukuta mara ooooh asipoongea msaada atapata wp haya janguo huyoo anawajibu 🙅
onlymeruky nikwer hairuhusiwi
Nikwer kabisa upo sahihi
haram haram kabisaa
hata mimi nliambiwa hapa hayajanikuta nkasutwa humu.nliposema mfiwa hahojiwi..from the first minute mke akifiwa eda inaanza anafichwa haskiki hata sauti na alipo haenuki ila kwa privacy sana