IJUE ASILI YA JINA LA MWAKALELI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 เม.ย. 2018

ความคิดเห็น • 31

  • @nurukapoja7759
    @nurukapoja7759 4 ปีที่แล้ว +4

    Kwetu mwakaleli najivunia kuwa mzawaa nakupemda asante mungu kwa mwakaleli

  • @kambanimwanyulu7570
    @kambanimwanyulu7570 ปีที่แล้ว

    Am proud of you Mwangoka, mwalimu wangu.

  • @tuponemwaisela5529
    @tuponemwaisela5529 ปีที่แล้ว

    Naupenda mji wa mwakaleli
    Ndiko alikozaliwa babaangu na akazikwa uko
    Na mama a ng u pia ni mtu wauko uko mungu akulinde mamaangu

  • @gloriamwakibolwa6972
    @gloriamwakibolwa6972 6 ปีที่แล้ว +4

    Tunaipenda sana Mwakaleli yetu

  • @amosimwangonji1067
    @amosimwangonji1067 4 ปีที่แล้ว +2

    Tujuane waku mwakaleli mweeh

  • @noelmichael9425
    @noelmichael9425 2 ปีที่แล้ว

    Nikisikia neno Kandete ninafurahi sana. Kandete kwa Babu zangu Kyela nmezaliwa Dar es salaam nina tafuta maisha.

  • @emanuelmwalukasa7723
    @emanuelmwalukasa7723 6 ปีที่แล้ว

    Nawaona ndugu zangu hapo mwangoka,josia mwakalengela,mwasyebhule mungu awabariki

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 3 ปีที่แล้ว +1

    Mimi mtoto wa mwakaleli busokelo hoyeee

  • @mariamwakabuta1034
    @mariamwakabuta1034 4 ปีที่แล้ว

    MWAMKALILE babu wa mama yangu, NSUMBULE baba wa mama yangu , MWAKABUTA baba yake na baba yangu MWAIJELE babu yake na baba yangu jamani hawo wazee wetu hivi ni kweli ni kazi ya mungu au ni mkono wa mtu (mabepale) baba wa tukuyu rungwe, mama wa mwakaleli ,yaani bora mtu ataaabike lakini tuonane vizazi vyote lkn mtu asipate taabu uku uko peke yake Familia ni muhimu sana ktk maisha yetu ya Amani ! Eewe Mungu mweza yote mwenye siri zote tukumbushe BABA!!!

  • @reinfredyhera5658
    @reinfredyhera5658 5 ปีที่แล้ว +2

    KIASILI WANYAKYUSA MBEYA SIO KWAO.ASLI YAO NI UPOGOLONI.

  • @happynyonga4536
    @happynyonga4536 6 ปีที่แล้ว

    Nakupenda kwetu jomoni

  • @mwasisobajohan7641
    @mwasisobajohan7641 2 ปีที่แล้ว

    nyumbani Mwakaleli 🙏

  • @stellahbrave4821
    @stellahbrave4821 6 ปีที่แล้ว

    mwakaleli ubini Wang mwakalile duuuh atare

  • @mozespaul7138
    @mozespaul7138 2 ปีที่แล้ว

    Maana ya mwakaleli ninini?

  • @EphraimMwandemange
    @EphraimMwandemange 2 หลายเดือนก่อน

    Hao wanajaribu kuelezea hivo jina LA mwakaleli limetokana na MTU mmoja alikua anaumwa alikua akishinda amelala kwenye mkeka hivo watu walikua wakipita toka isange bumbigi walikua wakipita halo Kila wakipita wanamkuta kalala wakiuliza haliyake inaendeleaje yule jamaa aliekua anaumwa alikua anasema kwakilugha ndipapakalili hivo mungu mwakapalila alishindwa kuita kalili akalibatiza jina mwakaleli hats wengine wakaanza kusema tupite kwa mwakalili (kinyakyusa alindagha pakalili pojo mwakalili ka ikulinda nkalili

    • @EphraimMwandemange
      @EphraimMwandemange 2 หลายเดือนก่อน

      Jamani hapo sio mungu ni mungu mwakapalila

  • @yonamwakalobo5289
    @yonamwakalobo5289 2 หลายเดือนก่อน

    Wazungu walishindwa kutamka neno MWAKALILI mahali walipofikia na kulala hapo. Ndipo wakatamka MWAKALELI Kumbuka akalili ni (kilago) hiyo ndiyo asili ya mwakaleli/mwakalili.

  • @nisilemwalwiba4639
    @nisilemwalwiba4639 6 ปีที่แล้ว

    baba yangu mwangoge nimefurahi kukuona

  • @officialmbeyaone3572
    @officialmbeyaone3572 6 ปีที่แล้ว

    Kwetu jamani Mimi natokea mbambo

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 5 ปีที่แล้ว

    akaja ka luki nu lukama tukuyu yetu hoyeee mvua January hadi December ndaga Kyala gwetu utuganile

  • @oshenimelari1180
    @oshenimelari1180 6 ปีที่แล้ว

    mwe kukujha kwa mpuna nkukumwike

  • @emanuelmwalukasa7723
    @emanuelmwalukasa7723 6 ปีที่แล้ว

    Mwakaleli yetu

  • @lukadelik3652
    @lukadelik3652 5 ปีที่แล้ว

    Nikweri. Majina. Yarifamika. Wa watu malufu

  • @ebenezerfreight3309
    @ebenezerfreight3309 6 ปีที่แล้ว

    Lufirio unatokea Makete

  • @rachaeldaimon1260
    @rachaeldaimon1260 6 ปีที่แล้ว

    Mwe kukaga

  • @upendoagrey6991
    @upendoagrey6991 6 ปีที่แล้ว

    kwetu kuzuri jamani

  • @mnyaqboytz3966
    @mnyaqboytz3966 ปีที่แล้ว

    th-cam.com/video/oj28_NvjGVk/w-d-xo.html
    Mwakaleli boy ☝️☝️

  • @user-kc4sy9dw4l
    @user-kc4sy9dw4l 6 ปีที่แล้ว

    pazur hadi laha