Kifo cha mwandamanaji | Sammy Cullin alipotea wakati wa maandamano

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 19 ส.ค. 2024
  • Mwanafunzi wa chuo kikuu cha KCA Sammy Cullin Maina aliyetoweka wakati wa maandamano mapema mwezi juni amepatikana akiwa ameuwawa. Sammy amekuwa akitafutwa mitandaoni kama mmoja wa waandamanaji. Familia yake ikithibitisha alipatikana kasarani, japo kitendawili kimeendelea kugubika sababu ya kifo chake

ความคิดเห็น • 69

  • @JoeMbugua-ri4wy
    @JoeMbugua-ri4wy หลายเดือนก่อน +24

    Ruto and Farouk kibet should not think hii kenya niya mama ya mtu ata biwwot was there

    • @Spectre-Turner20
      @Spectre-Turner20 หลายเดือนก่อน +2

      It's not also for Kikuyus. Kenyatta was also there. Kikuyus feel entitled. Out of power you cause chaos and instability. Luos are the only true patriots.

    • @annitakoilel6045
      @annitakoilel6045 หลายเดือนก่อน

      Siku izi ruto anatembea akiua watu?

    • @RoyCaptainKenya
      @RoyCaptainKenya หลายเดือนก่อน +1

      What i know is that Uliam Nebuchadnezzar zakayo will Fall 🍂

  • @rihkaa6289
    @rihkaa6289 หลายเดือนก่อน +11

    ruto must go,,a murderer cannot rule us😭😭😭💔💔,,fidhuli aliyepungukiwa na utu anafanya Nini state house,,ni president wakina nani?

  • @patrickmurunga4820
    @patrickmurunga4820 หลายเดือนก่อน +10

    Pole sana

  • @Livenation-254Tv
    @Livenation-254Tv หลายเดือนก่อน +18

    Ruto must go

  • @Nat-wu4kj
    @Nat-wu4kj หลายเดือนก่อน +10

    We all know who the “Butcher of Nairobi” is

  • @mercyaduda2633
    @mercyaduda2633 หลายเดือนก่อน +7

    Eeeish, surely this is too painful

  • @florencemuthoimuthoni5816
    @florencemuthoimuthoni5816 หลายเดือนก่อน +1

    Hamna ata adabu....na mnahitaji dialogue mkiuwa vijana ...,God shall fight for us....Genz oyiii

  • @john-m2z
    @john-m2z หลายเดือนก่อน +7

    Ruto has failed Kenyan,he must stop politics in Kenya

  • @samsonmuisyo6990
    @samsonmuisyo6990 หลายเดือนก่อน +7

    So sad.. RIP Gen Z...

  • @djjeremy254
    @djjeremy254 หลายเดือนก่อน +8

    Tutakufa mpaka lini.....😭😭😭😭😭

    • @Borvia109
      @Borvia109 หลายเดือนก่อน

      Mpaka mukue na akali muzuri

  • @shawnkai532
    @shawnkai532 หลายเดือนก่อน +12

    Kazi ya Ruto

    • @annitakoilel6045
      @annitakoilel6045 หลายเดือนก่อน

      Ruto ni polisi ama

    • @user-lm6wx5fp4s
      @user-lm6wx5fp4s หลายเดือนก่อน

      ​@@annitakoilel6045maybe ni ww ju unamtetea sana

    • @placeswithah6656
      @placeswithah6656 หลายเดือนก่อน

      ​@@annitakoilel6045ni head of state.

  • @user-dd2ut8ef1z
    @user-dd2ut8ef1z หลายเดือนก่อน +1

    Hakuna kugwogwa na gari ...hii uwongo itaedelea mpaka lini....useless government

  • @agnesalwanyi1859
    @agnesalwanyi1859 หลายเดือนก่อน +3

    😭😭😭mungu tutakimbilia wapi sasa tusaidie😢

  • @aheudit
    @aheudit หลายเดือนก่อน +5

    Its not good, everyday it's about demise

  • @eleven-in5qw
    @eleven-in5qw หลายเดือนก่อน +4

    Hii huwezi kutuamlisha si Serikali . Kila mtu aliunga mkono maandamo except those who were in the government and government its self

  • @bonifacewanyonyi3555
    @bonifacewanyonyi3555 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana

  • @fatumaadam4271
    @fatumaadam4271 หลายเดือนก่อน +6

    Ruto😢

  • @MareMa-kb3iy
    @MareMa-kb3iy หลายเดือนก่อน

    😢😢😢😢 poleni sana familia

  • @Jane-uw9ow
    @Jane-uw9ow หลายเดือนก่อน

    Ruto must go ! So many innocent souls we have lost

  • @yasminsuleiman5589
    @yasminsuleiman5589 หลายเดือนก่อน

    Aiiii imezidi 😮😮😮

  • @DancunMyekho
    @DancunMyekho หลายเดือนก่อน

    Mungu awe nanyi

  • @GeorgeMaluki-jr7xi
    @GeorgeMaluki-jr7xi หลายเดือนก่อน

    Makosa sana ruto must go

  • @john-m2z
    @john-m2z หลายเดือนก่อน +3

    We don't want police in Kenya

  • @aishasaidi1784
    @aishasaidi1784 หลายเดือนก่อน +1

    Yaani polisi wanauwa halafu wanasajili kama mtu asijulikane halafu leo hapa mnatuletea ka mtu mmekalipa serikali ili watudanganye eti yeye ndio alitekeleza mauaji akawatupa wananchi kwa maji taka

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 หลายเดือนก่อน +1

    Aonekane kituo Cha police then mnaripot aligongwa na gari aje Sasa🤷

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 หลายเดือนก่อน

    Kumbe tutakufa sisi wote jameni na watoto wetu. 😢😢😢😢😢😢

  • @RfgfffCfdggg
    @RfgfffCfdggg หลายเดือนก่อน

    Hii n nini ak, seriously yaan ivo ndo vijana wanakufa tu😢😢😢😢 very painful

  • @mr09670
    @mr09670 หลายเดือนก่อน +4

    Watu si WAJINGA!!!

  • @okindovictor586
    @okindovictor586 หลายเดือนก่อน

    In kenya kupotea na kupatikana maiti ni kawaida

  • @Redcatek
    @Redcatek หลายเดือนก่อน

    Hawa politicians maumbwa wanafaa watoke na wamalizwe kabisa!!!

  • @vasilakare8524
    @vasilakare8524 หลายเดือนก่อน +1

    Na hii city mortuary ituambia ukweli who those people wanaleta dead body's morgue wakati mtu ametafutwa almost a month no see

  • @coyoluo
    @coyoluo หลายเดือนก่อน

    Kenya cannot continue like this.

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj หลายเดือนก่อน +1

    Yani huyu Ruto aende zake yani Inaskitishana hakuna cha mazungumzo na ss

  • @katodilotulya7781
    @katodilotulya7781 หลายเดือนก่อน +1

    So sad 😢 😢 😢 😢

  • @blessingsblssd
    @blessingsblssd หลายเดือนก่อน +1

    Accident gani haki 😢😢😢hii Kenya wee

  • @suziejoe4187
    @suziejoe4187 หลายเดือนก่อน

    Aiii, watakufa wangapi

  • @majmuirurithiongo2601
    @majmuirurithiongo2601 หลายเดือนก่อน +1

    Aki ruto is amonster kenya will be free from this butcher of sugoi

  • @rwptv9703
    @rwptv9703 หลายเดือนก่อน

    RIP😢

  • @aishasaidi1784
    @aishasaidi1784 หลายเดือนก่อน +1

    Halafu Muna sema leta mtu atudaganye mmmh ruto

  • @zakayomwamba7475
    @zakayomwamba7475 หลายเดือนก่อน +1

    And our president is born- again christian and his wife is an evangelist.Afadhali Wajackoya na bangi zake.

    • @peterkariuki9073
      @peterkariuki9073 หลายเดือนก่อน

      The two, man n wife are worse than devil worshippers. Kanisani ni kuficha makucha. Hata Rigathi na mkewe ni mashetani tupu.

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 หลายเดือนก่อน

    Sasa hii ni maneno gani jameni wooiyie huruma zilienda wapi jameni Kenya yetu. 😢😢😢😢 mbona wanauwa watoto wetu jameni.

  • @peterkariuki9073
    @peterkariuki9073 หลายเดือนก่อน +1

    Ruto is very blood thirsty. Ataua wangapi? Anaua hadi watoto wa watu really?

  • @juliusmaranga-zh6be
    @juliusmaranga-zh6be หลายเดือนก่อน +2

    😢😢😢😢

  • @Bekita-nz7bq
    @Bekita-nz7bq หลายเดือนก่อน

    Ruto must goo

  • @blessingsblssd
    @blessingsblssd หลายเดือนก่อน +1

    😰😰😰😰😰😰ooh God

  • @VoccaBeatz-xf2jg
    @VoccaBeatz-xf2jg หลายเดือนก่อน +1

    Yote haya yanafanyika kwasababu ya io serekal ya wahuni

  • @HunchoRashid
    @HunchoRashid หลายเดือนก่อน

    Wanaua kwa nn,hii serikali Walahi cna imani nayo kama mama,najuta kuvote

  • @swabirali1276
    @swabirali1276 หลายเดือนก่อน +1

    Too much

  • @AssignmentHelpExpert140
    @AssignmentHelpExpert140 หลายเดือนก่อน

    mjinga akierevuka, mwerevu yu mashakani. kesho videos and picha za maandamano ziko kwa hii tiktok na telegram inaitwa Trending in Kenya.

  • @aishasaidi1784
    @aishasaidi1784 หลายเดือนก่อน

    Hiyo pia ni kusingizia hiyo kugongwa na gari pia nikusingizia polisi walimuua na kama ni kugongwa na gari polisi walimsukuma kwa agongo na gari ama walimvunja ndio aseme yagongwana gari kuna ushahidi gani polisi wanajua ukweli hakuna mauaji yanatekelezwa kama si polisi hii kenya waandamanaji

    • @carolinenduku8422
      @carolinenduku8422 หลายเดือนก่อน

      Muendelee nakuchochea .mtazidi nakuumia tu.

    • @aishasaidi1784
      @aishasaidi1784 หลายเดือนก่อน

      @@carolinenduku8422 hata wewe utakuwa mmoja wao iwapo sisi tunazikwa hata wewe huwezi kuonea ukiwa hapo kenya sisi tutazidi kuumia wewe zidi kufurahi si umeridhika lakini kila kitu kina mwisho hakuna kilicho na mwanzo kikakosa mwisho ruto must go

  • @davidopogbake2899
    @davidopogbake2899 หลายเดือนก่อน +1

    Gari aje uongo

  • @obarelida
    @obarelida หลายเดือนก่อน +1

    modern day Pol Pot

  • @JaneStelzer-lk9gl
    @JaneStelzer-lk9gl หลายเดือนก่อน

    Umeuwa alafu mnsema eti gari alimgongo

  • @phelesiaawour7655
    @phelesiaawour7655 หลายเดือนก่อน

    Another lie 😢 Kenyans