Imebainika kuwa Samuel Mutisya mkazi wa Kibra alipigwa risasi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
  • Mwili wa Samuel Mutisya aliyepigwa risasi mtaani Mlolongo na kupelekwa katika makafani ya city sasa imebainika kuwa alifariki baada ya kupigwa risasi kichwani na wala si kuuwawa na umati wa watu eneo hilo siku hio ya maandamano.
    Mwanahabari wetu wa upekuzi Ode Francis alikusanya matukio ya namna vijana wawili walikutana na risasi wiki iliyopita katika maandamano na kutuandalia taarifa ifuatayo.

ความคิดเห็น • 114

  • @user-ou5hm9iu2i
    @user-ou5hm9iu2i หลายเดือนก่อน +20

    The wicked shall never go unpunished.

  • @rickobwoy
    @rickobwoy หลายเดือนก่อน +6

    Imagine that guy tumesoma shule moja😢so sad

  • @Redcatek
    @Redcatek หลายเดือนก่อน +4

    Waweke number tuchangie Mwaura

  • @bibianamulei7090
    @bibianamulei7090 หลายเดือนก่อน +4

    And may God of mercy heal the injured ones for those who lost their life 😢,may they have internal rest. Amen

  • @rizikimohamed2449
    @rizikimohamed2449 หลายเดือนก่อน +3

    Jamani haki Iko wapi kwa wakenya haya serekali msaidieni huyo kijana yuwahitaji damu na pesa yskulioa hospital

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj หลายเดือนก่อน +6

    Ikiwa baba Kwa familia ni MRONGO family yote ni ya warongo.ati amepigwa na umati.

  • @titus1846
    @titus1846 หลายเดือนก่อน +5

    Mnasikia tu,alikuwa anatoka kazini !

  • @FamousBerry139
    @FamousBerry139 หลายเดือนก่อน +9

    Police are killing people halafu DCI wanaleta fake person eti anauwa watu

    • @ummiissaabdulissaabdul8117
      @ummiissaabdulissaabdul8117 หลายเดือนก่อน +1

      D C I wala pesa tu wala sio.kuchunguza ngombe awa jinga sana mungu awalani wote

  • @bensonkirimi8065
    @bensonkirimi8065 หลายเดือนก่อน +4

    Citizens citizens number one

  • @antonykioko9709
    @antonykioko9709 หลายเดือนก่อน +5

    Tafadhari mlioko karibu okeni huyu jamaa na damu mkijua ni mkenya kwa mkenya amna viongozi

  • @softjeanskhakis789
    @softjeanskhakis789 หลายเดือนก่อน +8

    Jamani. Vijani. Tulieni. Munatesa. Wazazi wenu. Shida ukipata mzazi anaumia. Tulieni please

    • @MuniraShughuli-kc7vj
      @MuniraShughuli-kc7vj หลายเดือนก่อน +1

      Ww tulia ni Haki yao

    • @omwangegriffins7000
      @omwangegriffins7000 หลายเดือนก่อน

      We sijui nikuite aje

    • @lucymwai7645
      @lucymwai7645 หลายเดือนก่อน +2

      Please wacha kuongea maneno kama haya, Coz hawa Vijana wanaokowa Ichi yetu Kenya.

    • @florencenjeru9000
      @florencenjeru9000 หลายเดือนก่อน

      Na waandamanaji wote walikuwa wanatoka kazi...

    • @petronillahosoro4828
      @petronillahosoro4828 หลายเดือนก่อน

      ​​@@omwangegriffins7000umuite ngamia

  • @akinyi774
    @akinyi774 หลายเดือนก่อน

    Odi Francis well done from KTN

  • @corneliusodoo7183
    @corneliusodoo7183 หลายเดือนก่อน +1

    Kindly Kenyans let’s help this young man with blood,I wish I was in Kenya singechelewa. What Ruto’s government is doing it shall not be well with him

  • @patrickthariki7465
    @patrickthariki7465 หลายเดือนก่อน

    Family and friends please donate blood faster. Us kenyans will donate money. Kidogo kidogo ns tuwe wengi. Leta mpesa number. All peoples of good will we save this young man.

  • @consiliawanyama1086
    @consiliawanyama1086 หลายเดือนก่อน +1

    May Christ heal him🙏

  • @KimathiFelix
    @KimathiFelix หลายเดือนก่อน

    Polisi Wameshindwa Na wezi apa Kenya xaa kazi yao kubwa Ni kuua wasio Na hatia😢😢😢😢😢😢

  • @bensonngichabe946
    @bensonngichabe946 หลายเดือนก่อน

    Ruto must go, whether he like or not.

  • @YasminAli-io8xn
    @YasminAli-io8xn หลายเดือนก่อน +1

    I'm ready but i go whar please to ondonit My blad 🙏🙏🙏🙏

  • @danielwachiuri-qg7go
    @danielwachiuri-qg7go หลายเดือนก่อน

    Mungu tunusuru na minyama kwa jina la vio gozi na vibaraka wauwaji

  • @julielagat7033
    @julielagat7033 หลายเดือนก่อน

    Mchanga pesa iko wapi?

  • @user-jb6ej1hj4p
    @user-jb6ej1hj4p หลายเดือนก่อน

    Ruto uko na watoto
    Mungu atakkuonyesha pamoja na Hao askari

  • @dianamungai6413
    @dianamungai6413 หลายเดือนก่อน

    3:52 eiih

  • @Gffry9520
    @Gffry9520 หลายเดือนก่อน

    Now that the govt won't care; the mobilisers of these protests should quickly mobile funds for the victims too.

  • @Ericmwangii
    @Ericmwangii หลายเดือนก่อน

    Those responsible will definitely pay. Definitely.

  • @user-kt1si2jn3o
    @user-kt1si2jn3o หลายเดือนก่อน

    Damu yangu napeana Bure kumbe wanauza bei kali😢

  • @Stephen12.
    @Stephen12. หลายเดือนก่อน

    Na kindiki amerudishwa tena.😢

    • @petronillahosoro4828
      @petronillahosoro4828 หลายเดือนก่อน

      Aendelee kunyonga watu,round hii tutahakikisha wameenda nyumbani wote

  • @bernardkariuki2615
    @bernardkariuki2615 หลายเดือนก่อน +4

    Nani alikutuma maandamano?????

    • @evansokemwa6587
      @evansokemwa6587 หลายเดือนก่อน +1

      stupid question

    • @georgekenya7867
      @georgekenya7867 หลายเดือนก่อน +3

      Wewe n shenge

    • @bernardkariuki2615
      @bernardkariuki2615 หลายเดือนก่อน

      @@georgekenya7867 wewe kwanza tahiri uache kukaa kama mbwa Malaya hii

    • @agnesmutindi3094
      @agnesmutindi3094 หลายเดือนก่อน +2

      Vitakuja kukupata pia wewe, shameon you

    • @michaelbuyayi8980
      @michaelbuyayi8980 หลายเดือนก่อน +3

      Very despicable question.... what of the one who was coming from work, and not in demos? Boss don't advertise your ignorance in full glare of the public.

  • @karutyericscomedies2783
    @karutyericscomedies2783 หลายเดือนก่อน

    Wanajaribu uongo WA kila namna kuhadaa wakenya.
    Shame on you!!!

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 หลายเดือนก่อน

    Kwani police wanataka kuua watoto wetu wote,?😢😢

  • @dafinesmailo1984
    @dafinesmailo1984 หลายเดือนก่อน

    Yani vijana wetu wanauwawa alafu DCI inatoa taarifa za uwongo.

    • @ummiissaabdulissaabdul8117
      @ummiissaabdulissaabdul8117 หลายเดือนก่อน

      D C I wataka kuliko ibiwa pesa wakimbie wakazirambe ndpo wachukue waizi awana lolote awa wangalia pesa na sio haki

  • @jotonyae-04
    @jotonyae-04 หลายเดือนก่อน

    Yaani Serikali inatupatia habari feki tu

  • @Daguudickson026
    @Daguudickson026 หลายเดือนก่อน

    Imgn unatokea hustle 😢

  • @happytsalakushe141
    @happytsalakushe141 หลายเดือนก่อน

    Qr kijana

  • @AbcdEfgh-wd1wu
    @AbcdEfgh-wd1wu หลายเดือนก่อน

    Why allow Kenya police to shot the pple????? Ruto and your Ministers should go immediately

  • @gordonomondi7161
    @gordonomondi7161 หลายเดือนก่อน +2

    Where are the human rights bodies in Kenya?

    • @juliaannenderitu
      @juliaannenderitu หลายเดือนก่อน

      They're not available for now.... the invisible hand of evil couldn't allow those organisations, they have their calling n funding from specifications that connects with leadership so for now in the particular scenarios of Kenya they are not available....find wisdom to understand

  • @musaandre
    @musaandre หลายเดือนก่อน +4

    wakiwa kwenye maandamano wanakua na umangaa xana but,mtu akipatikana anajikunja kama kiwete.wametuibia xana na wanafaa kulipia

    • @MuniraShughuli-kc7vj
      @MuniraShughuli-kc7vj หลายเดือนก่อน

      Kwenda zako w

    • @omwangegriffins7000
      @omwangegriffins7000 หลายเดือนก่อน

      Matako wewe

    • @Mohalira
      @Mohalira หลายเดือนก่อน

      Usiongee mdomo wazi...leo kwa mwenzako kesho kwako.

    • @MuthamaSabastian
      @MuthamaSabastian หลายเดือนก่อน

      Ingempata mtoto wako ungejua kuongea.

    • @Travelwithfred
      @Travelwithfred หลายเดือนก่อน

      Nyinyi ni wale mnamgojea WENGINE wawapiganie mkipiga kelele hapa malenge hii bila brains

  • @WakadiNali-tp2yt
    @WakadiNali-tp2yt หลายเดือนก่อน

    Number ikuje tuchagie huyu shujaaa

  • @franciskiarie3396
    @franciskiarie3396 หลายเดือนก่อน

    Haaaiya tu

  • @alextercisio
    @alextercisio หลายเดือนก่อน +3

    Wote wanasema walikuwa wanatoka kazini 😂😂😂 kazi ya kurushia polisi mawe na kupora ?

    • @FamousBerry139
      @FamousBerry139 หลายเดือนก่อน +1

      Police pia warushe mawe

    • @user-fl7oz7iw1k
      @user-fl7oz7iw1k หลายเดือนก่อน

      Washenzi wanafikiria ha walikua waizi

    • @bbd359
      @bbd359 หลายเดือนก่อน

      It's good to you 😢tgat u were tgere and saw 👀 all tge ordeal

    • @florencenjeru9000
      @florencenjeru9000 หลายเดือนก่อน

      Wote 💯 walikuwa wanatoka kazi,😅

    • @ummiissaabdulissaabdul8117
      @ummiissaabdulissaabdul8117 หลายเดือนก่อน

      kwaiyo wewe watakaje au unalipi

  • @bglad1387
    @bglad1387 หลายเดือนก่อน

    Y are you showing his face?

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 หลายเดือนก่อน

    😭😭😭😭😭😭😭

  • @user-jb6ej1hj4p
    @user-jb6ej1hj4p หลายเดือนก่อน

    I wish God can revenge for this pple, mm onekana

  • @bernardkariuki2615
    @bernardkariuki2615 หลายเดือนก่อน +2

    Pia mtuletee wale wanapora maduka??

  • @JustinRwibagiza
    @JustinRwibagiza หลายเดือนก่อน +4

    Awa wa kibra ndiyo walipora rongai na kitengela stupidness

  • @harrynjenga
    @harrynjenga หลายเดือนก่อน

    Tuwache hii mambo ya Protest. Gen Z hawatukusaidia ukijipata pabaya

  • @augustinekaio411
    @augustinekaio411 หลายเดือนก่อน

    Heri waliokufa juu wengi wa vijana hatuna maana juu pesa hatuna

    • @jenifferKimeu
      @jenifferKimeu หลายเดือนก่อน

      You came under sun alone it's ironical to talk in plural, when you don't need gift of life thirst for death alone without speaking for others infact what you lack is what others have .
      Such satanic comment is only for educated silly idiots.
      Those who think money is life like you may you get it and be hospitalized when fighting for such life is what shall make you understand why you take it for granted

  • @benlangat2082
    @benlangat2082 หลายเดือนก่อน

    Wajinga,si wangekaa nyumbani,mpigwe risasi tu,

  • @davidthuks2128
    @davidthuks2128 หลายเดือนก่อน

    Wapigwe risasi kabisa wasisamehewe

    • @brianmutugi-t8c
      @brianmutugi-t8c หลายเดือนก่อน

      Untill your family member becomes a victim don't wish others bad luck

    • @bonfacemaingi5106
      @bonfacemaingi5106 หลายเดือนก่อน

      Think twice

    • @ob4ra
      @ob4ra หลายเดือนก่อน

      I hope you are older than me. I watched the cabinet list and nikapandwa hasira cause it's the same people riddled with scandals from previous jobs. Mi nikasema apana, I will protest. Someone has to stand up to this bullshit. Alafu weeewe! Unawish the many people who think like me tupigwe risasi! Dude!

    • @vanlivasia
      @vanlivasia หลายเดือนก่อน

      Wewe David hujui Si waadamanaji tu waliopatwa na risasi hatawapitaji , kwa hivyo usifuhie watu kupigwa risasi hata wewe unaweza kuwa victim pia

    • @samwelWaweru-wi6fz
      @samwelWaweru-wi6fz หลายเดือนก่อน

      Wewe kijana mjinga sana